Super Mheshimiwa Jerry Waziri wa Ardhi unafanya kazi nzuri na haki
@dignakanje4508
3 ай бұрын
Hpa mama kachagua mtu sahihi kwenye hii seckta yaardhi.Mungu amweke jmn mtu wamungu hyu.Mtu wamana kbisa jmn.Dhulma kwenye nyumba ardhi nimyingi sna,kubadilisha hti nikitu chakawaida sana.
@marystellah4532
Ай бұрын
Mheshiwa wetu waziri wa Arhdi Jerry Silaa kama ni haki unatoa Baba, Mungu akilinde 🙏
@DevisDeogratus
2 ай бұрын
Mama samia hongera sana kwa huyu waziri na mkuu wa mkoa mh Paulo makonda,,, nimekubali sana hawaonei mtu hata sekunde moja
@sundaystanley5322
3 ай бұрын
Jerry Slaa,Mungu akusimamie aisee
@valenakomba7686
3 ай бұрын
WAZIRI UNAFANYA KAZI NZURI SANAA. MUNGU AKUBARIKI SANA.
@chedielimrutu6955
3 ай бұрын
Good Mheshimiwa Waziri umefafanua vizuri sana.
@jackmabirangacharles9398
3 ай бұрын
Mimi nahisi Silaa hatishii mtu ila watanzania Huwa hatupendi ukweli tunaongea Sana ndio Maana hata ukitoka nje ya nchi kama Kenya mtanzania ukikutwa na hatia hupewi nafasi ya kujitetea Maana tunaongea sana
@rexgodwill7353
3 ай бұрын
Imagine huyo mama analia namachozi kumbe tapeli 😂😂.. Dah
@suleimanikirassahassan9711
3 ай бұрын
Sio tapeli isipokuwa ameshindwa kujua historia ya vizuri namjua vyema wao ndio watu wa mwanzo maeneo ya kwakaheza!
@tabuomary1016
3 ай бұрын
Mama zake wamezaliwa hapo hapo , Waziri amepigwa changa la macho. Mchaga Mmasi mungu anakuona, Kamishna wa ardhi TANGA mungu anakuona na atamlipa mwalimu. Iko siku. Yaani hakuna hata chembe ya huruma, Eneo lenu unapewa kiwanja kimoja, Mchaga anapewa 15. Mungu atamlipa Mwalimu Tabu. Inshallah.
@hajjiomary2383
3 ай бұрын
@@suleimanikirassahassan9711acha story sikiliza historia. Nii shida ya familia zetu iyo inatupa wakeup call ya kuakiki maeneo yetu
@bakariomari8758
3 ай бұрын
Huyu waziri ana kazi ngumu sana Allah amlinde
@user-qz5to1vn1z
3 ай бұрын
Tulio nunua viwanja kwa mwenye kiti tujuane 😂😂😂 na tupo nje yanchi nyie ntakufa mie
@MuhamedAjigar-dw9ve
Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 ni kweli kabisa
@user-hi8le2vb7z
3 ай бұрын
MWAMBIENI ULE MGOGORO WAKE WA NYUMBA YA WAKHFU KULE K KOO,,,WATU WASHAYATIBUA TENA,,,,HII KAZI NGUMU
@hajjiomary2383
3 ай бұрын
Siokweli 😂😂
@EdnaMuro-tx8os
2 ай бұрын
Akisema demarcation mama anaelewa kwel?
@Bashitetako
3 ай бұрын
Huyu mama ni mdhulumati kabisa kwakuwa yeye ni mrasimishaji
@tabuomary1016
3 ай бұрын
Wazazi wako hayajawakuta.
@piusjuma7384
3 ай бұрын
Badala ya kushughulika na watumishi wa ardhi
@rosetreffert4179
3 ай бұрын
🙏🙏🙏❤❤
@kilogreekachananawatuwasio4054
3 ай бұрын
MADAM MWALIMU KASOMA NA MPAKA SASA ANAFUNDISHA MBONA ANAJITOA FAHAMU 😂
@milley7185
3 ай бұрын
Kuna wakina wanabishana kama wako na waume zao kumbe na mh ambaye anasimama kama mwamuzi au judge wkt wowote anaweza kuwatia ndani kwa kukiuka sheria ...
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Tatizo clip za Waziri hazina usikivu mzuri
@Rai_online_tv
3 ай бұрын
Tutalifanyia kazi ili usikivu uwe Mzuri zaid
@Pelegrinoemanuel
3 ай бұрын
Slaa acha kutishia watu polisi
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Hatukusomi
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Jamani wananchi tunataka kusikia unaowahoji wape mike
@emmanuelmlowe-ew7gx
3 ай бұрын
Waziri pita kila mahali
@dignakanje4508
3 ай бұрын
Hpa mama kachagua mtu sahihi kwenye hii seckta yaardhi.Mungu amweke jmn mtu wamungu hyu.Mtu wamana kbisa jmn.Dhulma kwenye nyumba ardhi nimyingi sna,kubadilisha hti nikitu chakawaida sana.
Пікірлер: 31