Matatizo ya aridhi na makazi ni meengi mnooooo waziri unajitahidi ila uwezi kuyamaliza kwa njia hii lazima uongeze waasaidizi na vikosi maalum kusikiliza matatizo yao nchi nzima na wakuletee yale ambayo yanahitaji nguvu ya waziri …. Ila nawe endelea , kazi nzuri saana 👏👏👏👏👏👏
@emmanuelmlowe-ew7gx
5 ай бұрын
Anafanya kama makonda ila zamakonda tamu sana zinasikika vizur
@Rai_online_tv
5 ай бұрын
Na sisi tumeiona Hii shida ya Sauti Next time tutalifanyia kazi
@emmanuelmlowe-ew7gx
5 ай бұрын
Clip za slaa sy tam we nambie mi niko hapa mawazo
@mbwanakiting7180
5 ай бұрын
Mpiga picha ubalipwa nunua boom tupate sauti nzuri. Video ni sauti kama hamna unaaribu kazi za watu na unatupa makelele
@ezevisionmediastudioezevis7855
5 ай бұрын
kumbe na wewe umeliona hili
@NardhisMhagama-sy3eq
5 ай бұрын
Ulishindwa kutunga sheria bungeni nawewe mwenyewe unaumia komesha huyo mbunge
@kilogreekachananawatuwasio4054
5 ай бұрын
Silaa ya drone hinapiga mabomu kwa Mazuluma ya mali za masikini😂😂😂
@davidlinus6940
5 ай бұрын
Ndugu bunge
@basumegheMbotwa
5 ай бұрын
Huyu mwenye upala sina imani naye
@Rai_online_tv
5 ай бұрын
Mjanja mjanja au ha ha
@elizabethkikoti7265
5 ай бұрын
Kweli kabisa mwandishi mfikishie ujumbe slaa awe makini na huyo kamishina
@elizabethkikoti7265
5 ай бұрын
Halafu kama anatumia dumba huyo anaonekana mwizi
@cclaudeshilling957
5 ай бұрын
Mheshimiwa umekosea sana ungetakiwa usimamishe mahujiano mpaka azana hiishe alaf ndio uendelee mazungumzo yen
@nth3512
5 ай бұрын
We nae, wadhani kila mtu ni muislamu? Mi mwenyew ni muislam ila inabidi ufaham huyu sio muislam, unayoyajua ww haina maana kila mtu anayajua. Em tumieni akili na uhalisia wa mazingira
@melkizedekikalanga3349
5 ай бұрын
Tumia akili, usifananishe kitambi na mimba
@dicksonkilupa2258
5 ай бұрын
Wewe unajua sheria za liturugia? imani yako ni yako wengine haituhusu.
@sakayonsakihunga3496
5 ай бұрын
Umekalili
@valenakomba7686
5 ай бұрын
HAO NDO WANAOTUMIA VYEO KUJILIMBIKIZIA MALI. 😂😂😂. VIONGOZI WETU WA KITANZANIA NI MIMI, MIMI, MIMI. WENGINE WAJIJUWE.
@emanuelmaraki9758
5 ай бұрын
Wewe usileti mambo ya udini hapa
@JosephuSwai
5 ай бұрын
Azana ndo nini wewe
@musayosia4081
5 ай бұрын
Ni uwito kwa waislam pindi wanapotaka kufanya ibada.
Пікірлер: 22