Mama anatuangusha japo ana pelikwa Sana na watt achangamke bhna alie ona ili apiga like
@AshaAbedi-nw9xd
2 ай бұрын
Kweli
@user-zb3ws3vi5k
2 ай бұрын
Mm tangu ep ya kwanza nilisema
@user-fn3uo1wm6r
26 күн бұрын
KBs yani mama kapoaaa
@nasrachimamy
25 күн бұрын
@user-fn3uo1wm6r kweli yan kweny sekta ya mama awajachagua vizur
@thomasfuluto1393
2 ай бұрын
Sema kumfatilia sana Dada ako sio mchongo ,Mara nyingi mwisho wake huwa nikuvunjiana heshima
@gadafimuemede2985
2 ай бұрын
Kazi nzuri sana 🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@AbdullahiMfaume
Ай бұрын
Tupo pamoja
@Tobias_mhina
27 күн бұрын
Dady yupo sahii kwa dada yake maana uyo mtoto ni mdogo ana soma na ni mdogo pia kuna ule wakati wa kubarehe kwa waschana uwa ni shida sana kujizuia ndio maana una ona kama ivyo kwa kidem jau na hiyo hali ikipita uwa wana kaa sawa
@MuendabusseMuenda
2 ай бұрын
Do ndo naipenda sana istory já chado Masta bado naisubiriya namba 7
@SamwelMagulukwenda
22 күн бұрын
Kidem jau ,,,sema katoto kazur sana mwamb chado kama zar😅😅😅
@user-jg1no4uw1t
2 ай бұрын
Chado master history zako nizuri sana kwakweli umehaza kupita wacheza film wengi bro jikaze sana
@J74251
2 ай бұрын
Oya we wahuni hatubahatishi hii ngoma la wajanja tu ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤
@user-to3wz6gv5n
Ай бұрын
Daaah hii move noma sana mwanangu baga mwanangu chando nae mikosi kibao
@NuruSeleman-g4x
22 күн бұрын
Chado 😊masta
@mesmorizetztz4059
2 ай бұрын
Salute Snaa Chado master bonge moja la Series ujawah kuniangusha
@MNIZZYThafatima
2 ай бұрын
CHADO MASTER KAZI NZURI SANA NAKUBARI KAZIAKO PAMOJA NA BIG DADY!
@YoungblackPeople-qf7vx
2 ай бұрын
Soko la like lime kufa wacheni kuomba like😅sawa nduguzangu
@Bujenierias
28 күн бұрын
Kazi🎉nzurii ongezen juhudi
@hassanhussen3596
2 ай бұрын
Kweli hachangamki kabisa mama ilasikaishakufa tuendelee mbele au mnasemaje
@user-ko6lg9tw6w
9 күн бұрын
Huyu mmbwa alaliliya nn nayeye ndomuuwaj anajifanya anahasra et mshenz huyu lana zamama zikuazbu milele
@aishaomar2287
2 ай бұрын
Ila chado, ati "Astaghfirullah rest in peace" 😂😂😂...chukueni 🎉🎉🎉 team chado hamuwezekani
@abdhulqareemkhamis1169
2 ай бұрын
Kutoka Kenya, Chado nakukubali sana kwa kazi yako nzuri, big up to sana bloody.
@IteritekaAmina
2 ай бұрын
Uko vzr shado masta
@haruniblackson1318
2 ай бұрын
Movie Kali knoma🔥🔥🔥 ila apo Kwa allydady kumsukuma mama ake Pana pain knoma dah😭😭
@nasrachimamy
25 күн бұрын
San yan
@mohammedkidody5618
10 күн бұрын
Dah kabisa yn😢
@MwajabuKassim-gj3wo
2 ай бұрын
Kwani hawa wanao omba like wanashida gani ?? , yani wanashindwa kuongelea kilichopo ndani ya movie wanaomba like
@MkasyswallehsaidSwalleh
2 ай бұрын
Nashangaa
@AthmanHamisi-j2v
2 ай бұрын
Hata mm siwaelewi
@Gamba81
2 ай бұрын
Ukiweza wape akuombaye kama unacho mpee
@MussaCharles-n8m
2 ай бұрын
Ni wajinga2
@teddymaliatabu2039
2 ай бұрын
Wasengeret light
@andercheruu
9 күн бұрын
The first video from tanzania i likes tge most, big love
@ShebaziIzake
2 ай бұрын
Aliye tunga iyi filamu zuri saana napiya ajuwa saana napiya directory ongera saana
@RizikiZiki
2 ай бұрын
Ni chado master kwani we humjuwi
@mwanamisi1808
Ай бұрын
Chando mwenyewe kandika na ndiye director
@alexjuvenary2790
12 күн бұрын
Mnao sema mama amepoa haya sasa amesha kufaa
@YoulaikGuineasake
12 күн бұрын
mimi south África naifatiriya sana
@MorkidTz
2 ай бұрын
Aweeeeee Jitu na mamba Nani mkali hapoo Weka coment yako hapoo twende sawa 🔥🔥🔥
@tagx_boe
2 ай бұрын
Sema nin bimkubwa anakata Sana jinsi anavyoigiza bola tu sin yke ND mwisho
@TALLUBOY
Ай бұрын
Makaka waivi wanakuwa Makuma sana sasa sjui Wanataka wadogo zao Wakike wawatombe wenyewe Mimi nilikuwa na mdogo wangu Mzuri sana wakike lakin sikuwai Kumuwekea wivu mdogo wangu Nampaka sasa bado yupo saw Na yupo kwenye mji wake wivu Wakijinga aufai kwa sisi makaka Na kaka mdogo wako anajielewa Hataendelea kujielewa tu!
@Tobias_mhina
27 күн бұрын
Kumbe akiri yako kisoda au kaka jamaa yupo sahihi sana kumlinda dada yeke kwasabu kwanza ana soma pili ni mdogo sana izo ni atua tu za ukuwaji kwa waschana ndio uwa Ina kuwa ivyo na hiyo hali aki ivuka uwa ana kaa sawa kwaiyo alikuwa yupo sahihi sana
@mohammedkidody5618
10 күн бұрын
Unajw unachokiongea lkn
@AtanasioDaffa
2 ай бұрын
Mki'ambiwa bangi mbaya mnaleta maandamano..Ona huyu Fala na hasira zake za bangi zilivyomletea hasara ya milele...
@ARONPaul-bz3ws
2 ай бұрын
Mtoto wa kikeee akishindikanaa kweny familiya mwacheni achague njiaa yake ya kupita apiteee ukifatilia saaan utajikuta unaleta matatizooo😅
@AthumanJuma-y3s
22 күн бұрын
Kweli bangi Co chai 😂😂😂
@francksmpole1044
2 ай бұрын
Haya wakwanza Mimi Leo kuomba like nawaombeni jamani sitaomba tena😢😢
@user-hr5fj3cp5w
2 ай бұрын
Safi kabisa🔥🇲🇿
@Shakirahassan-jn6ox
23 күн бұрын
uyo mama ata ajui kuigiza kapoozaa kama nini bola ata mmemtowa mama gani anakuwa sio mkali kwenye maovu ya mtoto tena mdogo akiongea maneno mawili kamaliza 😂😂😂😂
@Mariamsalim-u7t
15 күн бұрын
Siyo awezi wapo wazazi wapole Ivo ivo km Mama ang mkubwa yupo Ivo ivo
@husnamussa9631
11 күн бұрын
Huyu mimi
@HusnaSaidi-cf1ig
10 күн бұрын
Ila kuna wamama wapo kama huyo mama najma awawez kabsa kuongeaongea na hasa ukichanganya na mapenz kwa mtt wake
@HeroJoseph-nm8pv
2 ай бұрын
Mama angeonekan kama kazimia ndo ingekuwa fresh ili uu mwamba mweny hasila kilko wengin ajifunz kitu😊
@aishaomar2287
2 ай бұрын
Hewaaa
@SaraphinaKidoti-qe7gi
2 ай бұрын
Kapoa
@AmisJuma-he5me
Ай бұрын
apo sawa kbs
@ZaitunZaitunsaid
Ай бұрын
Mr producer 😅😅😅😅
@seciliamanda
24 күн бұрын
Yeahhh,,, kawahi sanaa kufaaa
@user-zu8yr7mh4h
2 ай бұрын
Like kwajili ya chado master mnyama nakubali nipeni kidogo naombeni tafadhali
@MaheriChristopher
2 ай бұрын
Chado master hujawahi kufel bigpu sana
@mohammedkidody5618
11 күн бұрын
Chado hii filamu yamoto sana❤🎉
@IsmailJuma-n4c
2 ай бұрын
Leo nimewahi namba moja naomba like
@user-gn6zc8wy7e
2 ай бұрын
Unapeleka wapi
@patrickpatrick8642
2 ай бұрын
❤
@patrickpatrick8642
2 ай бұрын
❤@@user-gn6zc8wy7e
@FintanLilian
14 күн бұрын
😂😂@@user-gn6zc8wy7e
@AyralAythen
14 күн бұрын
😂😂😂 ovyo
@sitisule6812
2 күн бұрын
Kaka..mwanakulitafuta mwanakulipata
@HasnaRashdi-e1y
25 күн бұрын
Ooooh kwakwel hajawahi kufel nampenda chado mast
@AllymMnyenje-bg5td
2 ай бұрын
Kaz mzur sna Master 😊
@NasraNabeel
28 күн бұрын
Nampenda chado 😅
@ElizabethGaitan-yy8lu
26 күн бұрын
Nakukubali najma 😂😂😂😂kaka unanitaka au
@MariamAwadhi-k7n
2 ай бұрын
Movie nzur San lkn huy kidemu jau Kuna muda anakwama aiseee hatuoni ile emotional inayotakiwa
@AshaAbedi-nw9xd
2 ай бұрын
Kweli hakija changamka sana
@mwanamisi1808
Ай бұрын
Uongo Yuki sawa tu Najma achangamke vipi sasa?
@mohammedkidody5618
10 күн бұрын
Yuko vzr mbn
@CatricplatyVoice-gu1yk
27 күн бұрын
❤❤❤❤
@Pandas-w1f
Ай бұрын
Kazi safi
@annjohn194
24 күн бұрын
Niko kenya lkn nishampenda chado jamani😢😢😢
@user-ii3rb6uj7g
14 күн бұрын
Uyo mama sie mchangamfu hadi ywakera
@shebymango
28 күн бұрын
Jamani nai njoi sana😅😅
@ZaryAmiss
2 ай бұрын
Chado masta nakukubali sana dungu yangu napenda sana movie zako ❤❤❤❤❤❤❤
@SaraphinaKidoti-qe7gi
2 ай бұрын
Bola uyo mama amekufa 😂😂😂 alkuwa anapoza movie
@AnicetNzokira-k6y
2 ай бұрын
Hao yote nihio mama ameshindwa kurea vizuri nakufatiria ako katoto kanapenda wanaume nakajaeneza myaka nakupenda
@ChabySalehe
2 ай бұрын
Jmn chando vipande ongezeni urefu kidogo vifupi mno😢
@RizikiZabroni
21 күн бұрын
Bonge moja la kazi chaddo master
@PidfourYoungTz
2 ай бұрын
Dah! Asee imentoa machozi 😭 ila kazi kubwa sana bro CHADO god bless you🙏
@vellah-op4ut
2 ай бұрын
Chado master kweli yani hana baya ,,nakupenda tu bure ila mwekeni na Hanifa humu
@AbaidiiniNgweti
23 күн бұрын
The best movie
@deomaster77
2 ай бұрын
Director kafanya vzr kumwondoa bi mkubwa, hakuitendea haki nafasi yake. Oya weeee kidem jau anataka wa Chado master 😅😅😅😅
@Maua-mj7pm
26 күн бұрын
Bangu zote zimeruka😂😂😂😂😂😂
@JanetRiziki-ut2is
27 күн бұрын
Chado we ni mwamba broo chukua maua yako ❤❤🎉🎉🎉
@JohnZumq
2 ай бұрын
Wakwanza pia from Kenya
@callarnest1537
2 ай бұрын
🇰🇪
@MimiHanifa-z3d
28 күн бұрын
Movie nooma kabisa ila mshkji analia knooma😁
@Realme-xm3sh
2 ай бұрын
Jmn ndonn mama naj kufa 😢😢pole bro najua nimapenz ulitak mdog wako abadilike ukasahau kuw hasir hasar jmn tujifunz umaut nikidg sn 😢😢tujue kuzuiy hasir zetu mung mungine😢😢
@NashuShety-kg9bk
Ай бұрын
Eti kipenzi cha watoto 2000😅😅😅
@elizabethswai-ix9zy
Ай бұрын
😅ilo kwapo jomon😁😁
@Kombam-n4r
Ай бұрын
Kaka wa dada anawenge sana halafu hajuh maana ya busara
@AminaSikwala
2 ай бұрын
Mbona kama kuna shida kdg, nyumban bado wa taharuk ya msiba ila mtaani tayar wameshajua, imekaaje hiyo wpendwa
@fefeonlyme5394
Ай бұрын
Umeona pia
@Jackohusna
29 күн бұрын
Apo kdg wamezingua ila kitu kikalii
@nurrykhamis7181
28 күн бұрын
Uyo mjomba hakai aapo
@TrizerIkiru
2 ай бұрын
Kazi nzuri
@ThomasSigani
2 ай бұрын
Best move❤❤❤
@NicksonKiyule
12 күн бұрын
Nakubal Sana muviii tam Ina radha fran ad laha sana daaah 🥰🥰🥰🥰🥰🥰💟
@RehemaSaidi-v1y
Ай бұрын
Iko p kinoma yan❤❤
@saudamwakunemwa3856
23 күн бұрын
Hama kweli hasira hasara
@SalhaRaphaelNyika
2 ай бұрын
NAOMBA MNIPE FAIDA YA HIZO LIKE NA MIMI NIANZE KUOMBAAA😊
@MwanadiaSaid
Ай бұрын
ushamba Tu
@SalhaRaphaelNyika
Ай бұрын
@@MwanadiaSaid kweli ushamba mtupu mana kila mtu like nlijua kuna kafaidA🤣
@RashidKidume-w8e
2 ай бұрын
Dadi bangi zako umeona hasira ni hasara unaja maji ya moyo umeona sasa baada ya kwenda jela chado sasa unaenda wewe
@MrNoah-gr7rq
2 ай бұрын
Chado master😊
@MekiAli-ub4ld
2 ай бұрын
Masha Allah ❤❤
@TumainiHezron-f7d
3 күн бұрын
Mmmh huyo dada ni WA moto jamani hata kama ni hisia mbona kama chado so saizi yake
@salimomanjavilamanjavila603
2 ай бұрын
Huuu ni move mkali toka sija wai wona kamba hu move toka hafariki kanumba❤❤❤❤
@Sadiq-lu8xs
2 ай бұрын
Nakubali chado unajua kupanga movie mwanzo taarifa za mazishi naamini zimefanya mwenye yuafatilia movie ajihisi kama chozi latoka hakika Big up bro
@ralitaemuria9897
23 күн бұрын
Nimetoka mbio kama Kile cha mission impossible mie😂
@FatumaAzizi
2 ай бұрын
Next please
@ZAKARIATV-of4cx
2 ай бұрын
Kwa kweli uyu kidemu jawo kacheza vizuri alikuwaka wapi kwenye zile movie nyingine ?
@OmarShevo
2 ай бұрын
Dady man upo sawa kuuchezaaa
@Maskinijeuri-ci6nn
2 ай бұрын
Sema chado gang mnajua sanaa
@SichaliJuan
2 ай бұрын
Unaraza sana dam family 😢 unachelewa kutoa mwendelezo
@DevisoniClavery
6 күн бұрын
Duuuuuu atakama ni asila kazingua
@Ibrahim-me6cd
2 ай бұрын
Chado your the best my broo congratulations
@RizikiZiki
2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣kaka kimemukuta mukubwa waneno uyo unamutaka nini😢 pole sana dady punguza janziba utaambiwa zaidi ya ayo unauwa mm yako nini😢asira asara
@jaymapepefatma5936
2 ай бұрын
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
@khadijashinani4334
2 ай бұрын
Nakupend san chado yaan kiukwel ukweli yan😅😅😊😊
@ZaryAmiss
2 ай бұрын
Upo vizuri sana kaka yangu mimi zari kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@user-oj1dv7ci1v
Ай бұрын
Daah tujifunze kitu
@JMtv-n7b
2 ай бұрын
Huyo cheusi ye taarifa anapewa na nani 😂
@sharonnanjama2202
19 күн бұрын
Hapo sasa😂😂
@gracesifadimbamba9269
2 ай бұрын
Good job guys🇨🇦🇨🇦
@user-zx3ji7ux4k
2 ай бұрын
Hasira hasara ona Sasa dady umemuua mama ako uku napo mdogo ako kakimbia
Пікірлер: 433