Jiji la Dar es salaam miundo mbinu bado sana sehemu nyingi hakuna barabara za lami au taa za barabarani....mji bado mchafu sana
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Katika wanao chafua we ni mmoja wapo pumbaaavuuuu wee
@section8ight174
Жыл бұрын
This is true about cleanliness! Yes the CBD area is clean but the rest of the city is questionable! When it comes to tarmacking the roads, you’ve got to remember Tanzania is one BIG country, landmass wise, therefore it won’t be easy as tarmacking let’s say a small country like RWANDA! Please take that into account as you air your grievance!! Thanks & have a blessed day!
@jiweg-unit5408
Жыл бұрын
@@shinipapaya846 Abeid kaongea wewe unamtukana, lakini anasema Ukweli
@mohamedjeizan5929
Жыл бұрын
Nchi ilirudi nyuma kipindi Cha awamu ya nne hakuna kilichofanyika Cha maana zaidi ya Wavuta unga
@niolaussdavid
2 ай бұрын
KUNA HAJA YA KUIBADISHA NWANYAMALA /MANZESE NBUGURUNI KUWA KISASA KAMAWALIVYOFANYA FUMBA TOWN KUNA HAJA YA KUBADRISHA KILA MKOA KWA YA KITALII ZAIID@MAMASAMIASULUHASSAN
@jiweg-unit5408
Жыл бұрын
Dar tamu sana this is east Africa New York r.l.p jpm wetu mzalendo, Dar au Tanzania imebadilika baada ya jpm wetu mzalendo kuwa rais wengine nadhani walijisahau na kupiga Noti tuuu 😂😂
@NDEWARA
Жыл бұрын
😂😂😂zuzu
@rogerabdallah439
Жыл бұрын
Unaijuwa new York au umeshiba miogo uchungu yaapo kwenu bongo
@jiweg-unit5408
Жыл бұрын
@@rogerabdallah439 hiyo mihogo unayonitajia ninahamu nayo kichizi Durban huwa tunapikaga na Tukianza kula tunagombania kwasababu inapatikana kwa Nadra sana
@shinipapaya846
Жыл бұрын
Na hasa yule alienda kubembea JAMAICA 😂😂
@karimkinwary4668
Жыл бұрын
Hivi lile daraja la jangwani limeishia wapi mana story zimekuwa nyingi vitendo kidogo
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
Ni hadithi tu uwa wanaongea mambo mengi ila hawatekelezi, sport arena sijui zimeishia wapi na sasa wameanza uwongo mwingine wa kujenga daraja dar hadi Zanzibar
@shinipapaya846
Жыл бұрын
@@kabwelasutiviraka4765😂😂😂 tena awamu hii yaani ni mapacha na ile ya 4 wazee wa TUPO kwenye MICHAKATO liko wapi BWAWA LA UMEME? Iko wapi SGR? Iko wapi Msarato Airport? Liko wapi daraja la mzee baba? Liko wapi daraja la Jangwani? Yako wapi ma BRT? daraja la dar to zenji nasikia nguzo 3 tayari zishasimikwa 😂😂
@niolaussdavid
2 ай бұрын
SISI HATUNA VITA HATUPASWI KUFANANA NA NCHI NYINGINE@MAMASAMIASULUHUHASSANI
Пікірлер: 16