Namuomba Mungu mwenye rehema awape nguvu na uwezo mkubwa ili tufanye vizuri katika Kila ligi yaan ngao,lig kuu, clab BINGWA , Toyota cup na shirikisho tubebe makombe yote katika jina la YESU kristo Amen
@patricklaiton8939
26 күн бұрын
NEXT BIG NAME IN NBC PREMER LEUGUE
@user-cv4yi5hz9b
26 күн бұрын
All the best My team 💚💚💚💚💚✅🤲🏻🤲🏻🤲🏻🏆🔜🔝✌🏿
@user-ok3bc8of5q
26 күн бұрын
Pacomeeeeeeeeee tuna kupenda sana wanchiiiii love you
@veelmng7746
26 күн бұрын
Mungu awape afya njema wanajeshi wetu. Juhudi hizi zitatulipa sana msimu huu.
@hashimkakozi7752
26 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko Tujitahidi kulipa ada zetu ili furaha idumu daima
@amaniomar1755
26 күн бұрын
Wewe ni mtu wa maana sana na umeongea kitu cha maana sana
@Carolina-sm5zt
26 күн бұрын
Tutajitahidi kufanya hivyo 🎉🎉🎉
@josephathmeijo8094
26 күн бұрын
Umeupiga mwingi sana😂
@slimmuhabesh2400
25 күн бұрын
Safi sana
@Carolina-sm5zt
26 күн бұрын
Mungu Muweza yote awapiganie katika kila hatua
@imanikubwa2896
26 күн бұрын
Nakuombea Sana Pacome asipate majeraha kabisaa Halafu awe vizuri kiakili na kimwili
@barakawabuge5285
26 күн бұрын
Eeh Mola mwepushe Pacome na adha ya majeraha msimu huu
@GodwiniFwelo
26 күн бұрын
Hadi raha
@faridaamenye8405
26 күн бұрын
Daah napenda sana timu yangu
@amaniomar1755
26 күн бұрын
Zidane wa Africa 🎉🎉🎉
@user-yh5bg5ds7k
26 күн бұрын
My team 💚💛💚💛
@user-he7ke4vh2b
26 күн бұрын
Timu kubwa mambo makubwa
@andersonbruno6255
26 күн бұрын
🔥🔥🔰🔰 Professor pacome
@revocatusandrew2356
25 күн бұрын
Mwenyezi mungu uwlinde wachezaji wetu na wale wote wenye husuda
@cynthiapwani1383
26 күн бұрын
Mungu tulindie team yetu yanga❤❤❤🎉
@danyboytz2744
26 күн бұрын
Pacome 💚💛💯
@Allyjully98
26 күн бұрын
Watasema tu kama chama ni Mzee au wao ndo wanaukataa uzee 😂😂
@MoajGraphics
26 күн бұрын
Huyu ndiye atakuwa shujaa wa msimu ujao
@adolfmathew9698
26 күн бұрын
Sahihi kbs. Pacome ataimbwa sana. Narudia pacome zouzou ataimbwa sana ni moto wa kuotea mbali. Muda utasema tusubiri
@ceciliadaudi1632
26 күн бұрын
Surely 🎉🎉🎉🎉
@kanyeshahigirimana5686
25 күн бұрын
Inshaallah Amin na iwe hivyo
@user-ue1xd9rv8p
25 күн бұрын
Emwenyezi Mungu awatangulie katika mashindano yote
@revocatusandrew2356
25 күн бұрын
Mungu awaepushie mbalimna majeraha kipindi chote cha msimu
@AbbasPuyaga
26 күн бұрын
YANGA FIRE 🔥
@aishabakari8040
26 күн бұрын
ROHO ❤️
@naliakafatuma9870
26 күн бұрын
Kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@stapinuswilliam860
26 күн бұрын
Prof
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Aziiz 🎉🎉🎉
@kelvinshao2888
26 күн бұрын
let's go
@bakariomarimndeme6059
26 күн бұрын
Alafu eti kambi Misiri ya nini.
@ShafiiHungo
26 күн бұрын
Wee pacome weeee hadi rahatupu kipenzi cha wana yanga
@bongodata
26 күн бұрын
Njooni Tuangalie Bonog Data
@kassimchuo5290
26 күн бұрын
All the best to my lovely team yangaaaaa all the way from QATAR penda Sanaa yangaaaaaaaaaa
@ntakakasendebayi9992
26 күн бұрын
Love you yangasc💚💚💛💛🔰
@revocatusandrew2356
25 күн бұрын
We love u man
@patridabernard9148
26 күн бұрын
Naomba mungu awalinde na majeraha na kitu chochote kibaya na wenye macho ya husda pia
@sofiamsuya2254
26 күн бұрын
Atawamalizaaaa
@user-ql2hc7zt6b
26 күн бұрын
Muda wa kazi
@malietamaliet
26 күн бұрын
😂😂😂mwenye Ako karibu na pacome amuulizie anatumiaga Nini meno yake adi yanakua hivo nimechoka kua mmasai uku mm ni mkurya
@Enock-sy2en
26 күн бұрын
Acha maswal ya kijinga ww
@MirumbeMarwa-eo2yl
26 күн бұрын
Kama huna Cha kusema unakaa kimy
@FirdausyAbubakary-bl2wo
26 күн бұрын
@@MirumbeMarwa-eo2yl😂😂😂jamani kilamtu ana uhuru wa kuzungumza😂😂😂
@malietamaliet
26 күн бұрын
@@MirumbeMarwa-eo2yl ubwaa wewe nitolee kiele ele chako nimekuuliza wew na domo kama mwijaku ninyamaze umeninunulia bundle maku we na uyo mwenzako
@malietamaliet
26 күн бұрын
@@Enock-sy2en kijinga vip mm nimejisikia kuccoment hivi na sio kwamba Niko serious ningekua serious nisingeweka emoj za kuvheka ila nyie ndo mnajiona mnajuaga Kila kitu hapa mtandaon kama mnaleta usilias uku mtateseka sana
@user-lz1dw3dm5g
25 күн бұрын
Tuwaombee sanaa wachezaji wetu
@richardmaziku246
26 күн бұрын
Mpenii no 6 ..auu 11
@barikilangoy4737
25 күн бұрын
Yanga 🔥🔥
@apolnaryjohn92
26 күн бұрын
Good job idara ya habari maudhui🎉🎉🎉 mko juu sana ata kwa antenna hawawafikii🎉😂😂
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Max🎉🎉🎉🎉
@Adrianolaurian
26 күн бұрын
Munataka wasilete timu😮
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Sure boy🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Mzizeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Nkane🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Job doc🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Pacome 🎉🎉🎉
@DittoAlly-er5yz
26 күн бұрын
Yanga raha sanaaa
@ShafiiHungo
26 күн бұрын
Bacca ana vaa namba 2 lakini naona leo ame vaa azizi andambwile
@user-lz1dw3dm5g
25 күн бұрын
Wawooooo
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Kibabage🎉🎉🎉🎉
@elikindomondo3569
25 күн бұрын
💚💚💚💚💚💚
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Yaooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Capten 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mwamnyeto🎉
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Chama🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Muda🎉🎉
@fabianmwinuka1395
25 күн бұрын
Acha vyuma viongee
@DatyVena-ph3sz
26 күн бұрын
el professor
@Sumaiyafisoo
26 күн бұрын
Farid🎉🎉🎉🎉
@RozaliaStanslausRaphael-zw7zj
26 күн бұрын
Kwa haya mazoezi kama hajafa mtu kwa majirani sijui
@allysinde6208
26 күн бұрын
Kuna mchezaji kavaa jezi ya Bacca.. Halaf Bacca mwenyewe haionekani.. Kulikoni jamaniii.. Msituambie eti wachezaji wanavaliana jezi😢
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
Uongozi unajua zaidi wewe lipa ada yako
@jovinmashauri7883
26 күн бұрын
tulia bacca yupo sana kashaongeza mkataba
@RehemaDavid-f2l
26 күн бұрын
Hyo ni kawaida2,mbna Chama kavaa jezi no 10 ambayo ni ya pacome?, kwahyo ni kawaida2,icwaze baca yupo
@AntonyNdayanse
26 күн бұрын
Tukutane 8 8
@onesmomnyeke3477
26 күн бұрын
Aucho yupo wapi
@paulclementmakune3661
26 күн бұрын
Aucho Baka Azizi Gift Msonda hawajaripot
@onesmomnyeke3477
26 күн бұрын
Maana tuseme ukweli bila aucho kuna mechi tutapoteza point
@Carolina-sm5zt
26 күн бұрын
Kikubwa wawepo tu wasiondoke Ndiyo wasiwasi wetu
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
Kalipieni app maswali humu hayasaidii
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
@@onesmomnyeke3477lipa app upate taarifa
@FrankMlaponi-hz4ns
26 күн бұрын
Vitaro wameyatimba
@user-pw6rn5jn2q
26 күн бұрын
Mabingwa wa kila muda
@kmuhema2021kmuhema
25 күн бұрын
aaaa
@pambaboniface1199
26 күн бұрын
Ipo siku jitu litakufa 8-0
@muddymuzungu4357
26 күн бұрын
Wananchi! İbrahim Bacca na mkude hawajaripoti?🙏🙏🙏
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
Nenda kwenye app
@zakiakondo2849
26 күн бұрын
App lipia kaka
@muddymuzungu4357
25 күн бұрын
@@zakiakondo2849 nalipiaaaa mdogo wangu! Unajua na mm pia ni Ukoo wa KONDO
@user-yh7bn1jg9o
25 күн бұрын
Mbona namba ya bacca amevaa mchezaji mwingine ndio wametunyang'anya nini
@mhinajerome5964
25 күн бұрын
Aisee hii yanga bwana league ianze tu ila jamani mkude yuwapi na musonda?
Пікірлер: 99