Masha Allah, Allah Akbar, Bila shaka dini ya uislamu ndio dini ya haki mbele ya Allah! Ustadh Yusuf we ni shujaa wetu, Waliganie hao ndugu zetu kwa maana wamepotezwa na paulo. Strong No retreat no surrender.Ishaa Allah
@mwajumamwajuma3756
4 жыл бұрын
Mashaallah wisilam 🤝 inalilahi wakirsto nishida mungu awape mogozo
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin
@alimaalima6016
6 жыл бұрын
Wallah masheikh mnafanya kazi kubwa sana na Allah atawalipa hapa duniani na akhera pia mbarikiwe
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
Alima Alima Amin sote
@kibibimwanamvuamohammadmoh9823
6 жыл бұрын
Allah awape afya njema na subra ktk kuwafundisha wasiojua . Aamiyn. Wallah mna kazi ngumu hapo mkiwa na hasira ni kupigana tu ,vle wanaambia mtume swaalla Allaahu àlayhi wa aalihi wa sallam maneno wasiokuwa na elmu nayo....washindweee
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
Kibibi Mwanamvua Mohammad Mohammad hahaha,Amin
@alsaarh239
5 жыл бұрын
Weee postar uko na wazimu sana Paul ni mtume wakutoka wapi kwakweli makondoo walio potea ni wengi mtakwenda kaa kwa mahakama mbele ya Allah kazi ni kuwapotosha watu tu
@omarshaban9157
6 жыл бұрын
Masha Allah Sheikh Yusuf
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
SHUKRAN
@rbagha5280
2 жыл бұрын
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
@pilimusa3217
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@zaidanawadhi2664
5 жыл бұрын
Mashallah mashekhe wetu, hivi nyie wakristo mmeweka pamba maskioni au VP. Mbona maandiko yako wazi. Ukristo ni ujanja tuu.
@emmanuelasukile6275
5 жыл бұрын
Tatizoo akili huna mwepes wa kushabikia ujinga wakatii unasubilia hukumu tu hakika hutaukumiwa
@zaidanawadhi2664
5 жыл бұрын
@@emmanuelasukile6275 una uhakika gani kama sina akili. Tafuteni njia sahihi sio kujifanya manunda.
@emmanuelasukile6275
5 жыл бұрын
Endelea kumwombea mtume bwana sisi atumwombei Jesus but tunamwomba pia acha kukulupuka fuatialia historia ya dini yenu ndo ujitie kuzungumza hakunaga mtume manage alishawahi logwa, kuoa bint wa miaka 6 pia kufanya ugaidi wa kupola na mambo mengine pia pepo yenu bwana ina uleviiii sie hakuna
@ramlamburi9743
4 жыл бұрын
@@emmanuelasukile6275 pole sana
@pilimusa3217
2 жыл бұрын
@@emmanuelasukile6275 sasa aliyekuumba Mungu au Yesu. Na wa kuabudiwa ni Mungu au Yesu
@jamilaomari2444
4 жыл бұрын
Huyo ni sheikh yusuf kidume cha daawa Kenya akiwa na msomaji wake hatari sana aliye na sauti ya kupendeza ustadh Saeed.Allah awalipe kila la kheri.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Amin sote
@ramzanqarim4977
3 жыл бұрын
Mualike ndacha kwa redio ndio ajiume meno
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
3 жыл бұрын
Nilimuarika akakataa
@ramzanqarim4977
3 жыл бұрын
Alijua huko hakuna ushabiki wa haleluya..maana anapata nguvu akiwa na watu wamemzunguka
@chiefmkalikibz1503
3 жыл бұрын
Hapo ataregesha Chanch
@chiefmkalikibz1503
3 жыл бұрын
@@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp Yusuf una subra sana bro. Waallahy mimi hunipandisha hasira kwa Kibri na kejeli zake. Hayupo kufundishana ila kubishana. MUALIKE MOMBASA KISAUNI HALAFU AJE NA HIO STYLE YA MATUSI NDIO ATAJUA. TUFUNDISHANE KWA HIKMA NA HESHIMA
@ezralesiamon8455
2 жыл бұрын
Yusufu hamwezi ndacha kabisaa a. Kabisaaa
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
2 жыл бұрын
Hayo nimaoni yako tu
@alimaalima6016
6 жыл бұрын
Mashallah
@mohammedali7803
6 жыл бұрын
Jezaka'Allahu kheir
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
AMIN
@gamelahg4613
5 жыл бұрын
Najivunia kuamini Yesu
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
5 жыл бұрын
Ukimwamini tu unakuwa muisilamu kama yeye
@faizasaid8262
5 жыл бұрын
YUSUF WAMBUGU 0736253243,Whassapp haha kabisa
@bahatihadijabahati7456
5 жыл бұрын
Wanapenda n mdomo ww kafiri2
@chuchulampa9324
6 жыл бұрын
MASHA ALLAH
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
Thanks
@rammeysrambo887
5 жыл бұрын
Yaan hyo msomaji amerudi kwa uislam namhurumia sna
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
5 жыл бұрын
Ameongoka ametoka kwa upotovu
@jamalathman6219
3 жыл бұрын
Mtume Muhammad ametumilzwa kwa watu wote c kwa watu fulani tu c kma Paulo na yesu wametumwa kwa waizraiel,wakiristo mumepotea
@feiselhussein9000
6 жыл бұрын
Masha Allah
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
THANKS
@jarsaduba2626
6 жыл бұрын
Wewe Mshungaji, rudi shule ukasome tena usipotoshe watu, Walimu wangu wa kislamu wafundisheni hao,Na mwenye masikio na asikie, kazi ya Mashekhe wetu ni kufisha tu.
@chachamwita8350
6 жыл бұрын
jarsa duba waislamu ninyi ni kulaumu tu Hamna maandiko mmjaa jaziba
@rskiabdala4868
6 жыл бұрын
Chacha Mwita hamna maandiko ya kutetea dini lenu
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
uisilamu uko wazi
@shabanawino9426
4 жыл бұрын
Wakristo mnashabikia operation ya Dasha ya kuwapoteza?
@golflima5392
4 жыл бұрын
Shaban Awino Kuwapoteza kivipi? Kati anasema ukweli..
@pilimusa3217
2 жыл бұрын
Ndacha mwenyewe pengine haelewi
@Nolithajack12
3 жыл бұрын
Muhaimd siyo mutume
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
3 жыл бұрын
Maoni yako hayo sio ushahidi
@pilimusa3217
2 жыл бұрын
Yesu si Mungu
@ramadhankiponza6730
6 жыл бұрын
Yaani Asiyeelewa Ndio Haelewi Tena. Wakristo Mwalimu Hawana Wa Kuutetea Ukristo. Wakristo Wameangukia Pua.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
ramadhan kiponza kabisa
@shabamuhidin634
3 жыл бұрын
hahahah,huu mjadala ulikua mtamu sana,eti injili ya wasiotaahiriwa
@pilimusa3217
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@muhsinsalum2305
4 жыл бұрын
Ustadh Yusuph ulinifukia mchungaji YAHYA sikuhizi simsikii tena akijitapa kutetea UKIRISTO wake. 😂😂😂
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
4 жыл бұрын
Alhamudulillah
@SalmaSawaqw
5 жыл бұрын
Sasa kama ni mtue kitabu gani alitelemshiwa?
@allyabdallah4357
2 жыл бұрын
Kwa hali hii wakristo hawawezi kutafakari maandiko wao kucheka tuu
Una ushahidi kwamba Yesu alikuachia bibilia? Na alibeba bibilia gani ,ju bibilia ziko tofauti?
@faizasaid8262
5 жыл бұрын
Akili zao hawa ssa kurogwa kuna tatizo gani mtume wetu kakosa bahati tu maana enge jaaliwa maradhi kma nabii ayub sijui enge kuwaje miaka 18engeuguwa mtume muhamad duniani pasengetosha
@golflima5392
4 жыл бұрын
Faiza Said hivi wewe, unadhani mtume wa mungu kurogwa si tatizo? Tatizo ni alirogwa na katoa maandiko ya shetani (satanic verses). Soma Quran 22:52 na tafsiri yake.
@alexchege1004
3 жыл бұрын
Yani Mohammed katumwo na nasi mungu akiona,hawa nasi niakina nani quaran 4,79
@alfanaansuperdayaxdalnursh811
6 жыл бұрын
ustaadi sasa ame kwa huyu pasta mawislaamu. Ama baado
@AmiirAlwajidiAsomaal
6 жыл бұрын
wakristo ni waoga wanazima umeme
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
MWISHO WALIFICHA MPAKA VITABU,WAKISOMA KITABU WANAODOE KWA MEZA HAWATAKI KUREKEBISHWA WALIJUA TUMEJUA UJAJA WAO
@AmiirAlwajidiAsomaal
6 жыл бұрын
yusuf wambugu 0736253243,Whassapp hhhhh ni vichekesho wlhi
@nurakanik1394
6 жыл бұрын
nawapongez.mnajitahidi mungu atawaongoza/nikiwa -G/MBOTO-BONGO-TANZANIA
@jamalathman6219
3 жыл бұрын
Wakiristo ni wajinga hawajielwi kbsa
@chancelinechuchu7333
5 жыл бұрын
sema ukweli mcungaji
@bahatihadijabahati7456
5 жыл бұрын
Hakuna mchungaj anasema ukwel Bali wako kwa biashara upo
@muhsinsalum2305
4 жыл бұрын
Ila mimi niombe samahani. Maana unajua nikiwatazama wakiristo naona kama vile wana ka kichaa kichaa flani. Hasa hawa wanaojiita wasabato. Wamekaa kama visieani hivii 😆
@golflima5392
4 жыл бұрын
Muhsin Salum Quran yanyewe yathinitisha kwamba Mohammed ni mtume wa uongo
@pilimusa3217
2 жыл бұрын
@@golflima5392 😳
@neemamohamedmaryakamaryaka4686
6 жыл бұрын
Nyinyi wakristo mnaona ukweli lkn mnajifanya amuelewi sasa subirini siku yakiama mtakijua kilicho mtoa kanga manyoya
@golflima5392
4 жыл бұрын
Neema Mohamed Maryaka Maryaka Ukweli gani? Ebu niambie ukweli wa uislam. Kama Mohammed kweli ni nabii, basi niambie ni unabii gani alieutoa?
@pilimusa3217
2 жыл бұрын
Kiama mbali, watakiona cha moto siku ya kutolewa roho
@pilimusa3217
2 жыл бұрын
@@golflima5392 kama Yesu ni Mungu kamuumba nani?
@golflima5392
2 жыл бұрын
@@pilimusa3217 Ebu soma hii hapa: Wakolosai: 15 Kristo anafanana kabisa na Mungu asiyeonekana. Yeye ali kuwepo kabla Mungu hajaumba kitu cho chote. 16 Yeye ndiye ali yeumba vitu vyote mbinguni na duniani; vitu vinavyoonekana na visivyoonekana; kama ni viti vya enzi au nguvu, au watawala au milki na mamlaka: vyote viliumbwa na yeye kwa ajili yake.
@pilimusa3217
2 жыл бұрын
@@golflima5392 Mungu ndiyo aliyekuwepo na ataendelea kuwepo na hafi. Yesu alikufa kama mnavyosema. Toka lini Mungu akafa
@alsaarh239
5 жыл бұрын
Wewe ndo ulirogwa kabisa achana na mtume Muhammad miminafurahi sana kuwa mtume wangu ni Muhammad s.a.w. na wengineo
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
5 жыл бұрын
Kabisa Muhammad s.a.w.w ni mtume wetu .tunamuamini na tunampenda
@faizasaid8262
5 жыл бұрын
Kurugwa sitatizo engekua karoga ndo tatizo
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
5 жыл бұрын
Hahaha
@thomaslaizer3486
6 жыл бұрын
Hahaaaaaaa yaaan Mungu alitenda miujiza kupita kawaida kwa mikono ya mtume Paulo
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
Thomas laizer Paul sio mtume brother, na vitabu zake hufai kusoma,Maana ni barua kwa watu furani,wewe unasoma barua za wenyewe hatari
@thomaslaizer3486
6 жыл бұрын
Pole sana ila ushauri wangu kama unataka kuokolewa mwamini Mungu na mitume wake wote na maandiko yake matakatifu bila kuwa na shaka ila kama umechagua mafunuo ya muhamad basi wewe utasubiri siku ya malipo kama utaokolewa ila YESU Ndiye NJIA,KWELI,NA UZIMA Na mtume Paulo ni mmoja wa mitume wake MUNGU WAKUBWA Hata zaidi ya wale unaowajua
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
Thomas laizer yesu kuwa njia hatukatai kila mtume ni njia kwa watu wake,yesu ni njia kwa waisrail yani watu wake,mathayo 1:23,mathayo 15:34
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
Mathayo 15:24 sio 15:34
@chiefmkalikibz1503
3 жыл бұрын
Thomas umepewa maandiko hapo ujisomee, Mbona hujajibu!!!!!
@michaelwainaina4476
6 жыл бұрын
waislamu watumia maandiko kiujaja na kupotosha ili wafiche uongo wa qurani yao.
@YUSUFDA-WAAKENYAWhassapp
6 жыл бұрын
Joe Wainaina quraan bahari kubwa inataka wasomi,unaudhibitisho kuwa Qur'an ni uongo?
@rskiabdala4868
6 жыл бұрын
Joe Wainaina acha pumba ww
@michaelwainaina4476
6 жыл бұрын
Abduli Viduli , nikosoe boss kama wewe ni mwalimu wa dini.
Пікірлер: 109