Jamani kama anakodi haina shida ipo siku atanunua au ajenge ya kwake tu love you my wema sepetu from Rwanda
@molelly1803
2 жыл бұрын
Yake au kiki tu
@khadijakamus2850
3 жыл бұрын
Mashallah Allah amzididhia ile muache umbea mwacheni kumsema wema wa watu
@wennceslausmushi2356
3 жыл бұрын
Amina
@angelraymond8
3 жыл бұрын
Amen Mungu hana choyo
@nassramohammed5374
3 жыл бұрын
Mashallah hongera yake wema nyumba nzuri mno🔥🔥🥰🥰🤜🤜
@salhaadam349
2 жыл бұрын
Ppppp
@danielkioge2274
3 жыл бұрын
Wema anakiri sana mana. Masada wengu awajitambui uwezi kumlinganisha na wema
@ruffinsafari4847
3 жыл бұрын
Wema you are the best my sis♥️♥️♥️♥️
@happynelson5856
3 жыл бұрын
Mbona kuna watu matajiri Ulaya wameuza nyumba zao wamehamia kwenye flat za kupanga sabatu kutunza nyumba Ulaya ni kazi ngumu sana Ulaya kitu kikiharibika unatengeneza mwenyewe lakini kupanga kwenye flat kitu kikiharibika unatengenezewa bure
@mohamedimtinga7391
3 жыл бұрын
Ongela sana dada wema
@anjelamwashiuya6538
2 жыл бұрын
Nyumba nzuri dada
@hadijarajabu7306
2 жыл бұрын
Mashaallah ilove you dada ake ongera sana
@Patrickpatrick353
3 жыл бұрын
Pole Sana umenifulahisha ✓✓Mjegejo tena😄😄😄
@ezekieljetam8947
2 жыл бұрын
Hongera yake kwa status alio nayo inakuwa haipendezi kuishi kwenye nyumba za kupanga
@aishakatandula3124
3 жыл бұрын
Mashallah hongera wema.
@witnessmsokwe9241
3 жыл бұрын
Hata kama kapanga pia hongera amepanga nyumba nzuri
@suzyemmanuel6030
2 жыл бұрын
Hyo ni nyumba yake alinunua hapo shamba natulionyeshwa hakupanga hapo huo ni mjengo wake jaman
Mh hemu mie nisitoe sir za watu bora niendelee kukaa kmy duh ila nashindwa wema dada angu utapanga mpaka lini mh bora nisiseme sana watu mnadanganywa sana na hao wasanii
@augustusrwabuyongo1886
2 жыл бұрын
Nyumba nzuri
@kishepuonlinetv
3 жыл бұрын
Mm naomba unitafute unipeleke kwa wema nampenda tu
@neemaelisha7689
3 жыл бұрын
Hongera sana dada angu kwa mjengo mzur sana
@tatumashauri3891
3 жыл бұрын
Wadishi wa habari wa tanzania wanaogoza kwa umbea
@barakasaimon2396
3 жыл бұрын
Nyumba nzuri sana brother
@linetmokua6604
3 жыл бұрын
Gai wema congrates wenye wivu wajinyonge,wewe ni bidii yako hujanunuliwa na mwanaume mwingine kama Zari.
@pamelaemmy8180
3 жыл бұрын
Yani wewe ni senge kweli uwezi koment bila zari usinifananishe zari na wema
@emilychichi7517
3 жыл бұрын
hapo nakunga mkono😅
@user-zz3ll3pj6n
3 жыл бұрын
@@pamelaemmy8180 zar ana nini mbaka asifananishwe
@sofiasuleiman8474
3 жыл бұрын
Kapanga bhana jiran yangu huku kijichi nyoo sio yake
@gainamwatiamwa3282
3 жыл бұрын
Jmn kwetu huku
@maimunaabdalla7146
3 жыл бұрын
Ma ashaallah,wema good work,🇰🇪
@yytfhh6247
3 жыл бұрын
pazuli kbs💯🇹🇿
@ahmeddhinho5909
3 жыл бұрын
Kwni unautaka umarufu piyA we
@faridasalum2019
3 жыл бұрын
Nyumba kaburi tu ila linahitaji maandalizi ukifuzu peponi na ukifeli motoni allah atujalie makuburi yetu yawe miongoni mwa nyumba za peponi" mhhhhh pumzi mtihani tumelewa na dunia
Wema nyumba nzur xn ila shepu yako mbn imeondoka ss
@amynahally6762
3 жыл бұрын
Mashallah
@crimildoatanasioernestoern9336
3 жыл бұрын
Má ashaaalah dada nyumba zuri
@constanciapeter2497
3 жыл бұрын
Soo nyumba yake
@user-wo8go6wc3d
3 жыл бұрын
Si mlisema kahamia mbagala
@rajabkiti896
2 жыл бұрын
Mis.wema geto limetulia
@AmerdaKavishe-pu3cf
3 ай бұрын
Anaishi au kwake
@bimumaulid1171
3 жыл бұрын
UMBEA TUU HATA LA KUULIZA HUNA
@saidingabunjwa1167
3 жыл бұрын
Anatumia uridhi wa bibi vizuri😀😁😂
@pilitumba9090
3 жыл бұрын
Kama yake ok na kama si yake na afanye ajenge yake ndo maisha ya mjini
@kenethpoul9169
3 жыл бұрын
Kuixhi nyumba nzuli ainamana watoto ndodili mjini
@ashakandenya9744
3 жыл бұрын
Kuzaa majaaliwa
@maryomogo3208
3 жыл бұрын
Why do you post a failed interview....
@amynahally6762
3 жыл бұрын
Mashallaah
@zuwenahamis1494
3 жыл бұрын
Mpz unajialibu bwana uzuli wako umeondka usijipunguze sana
@janekanuti803
3 жыл бұрын
Haushia kukodi nyumba tu
@janethmkude2397
3 жыл бұрын
Hongera wema
@jacksnomolle3802
3 жыл бұрын
Mambo
@felixjulian8207
3 жыл бұрын
Noma sana
@sophiajuliuss8333
3 жыл бұрын
Iyo nyumba yakwake au amepangaa
@janeisrael3474
3 жыл бұрын
Hiyo nyumba niyakwake jamani Wala hajapanga ameinunua
@hadijajibaba2061
2 жыл бұрын
Mi naimba naomba kampani yake
@asiaismail1907
3 жыл бұрын
Vikunai si mgeni nani mbele huko
@danieljoseph1610
2 жыл бұрын
Sio nyumba yake wema hio! Na hata kama ingekuwa ya kwake, Hio ni nyumba ya kawaida sana! Hata za huku gongo la mboto zinaizidi mbali! Bora hata asiwafungulie, Mna mambo ya ajabu sana! Nyumba ya 5 milioni tano ndo mkamtangaze mtoto wawatu!
@pendoyese4452
2 жыл бұрын
Nyumba ya milioni tano acha dharau wewe ujui garama ya ujenzi wewe
@brendahnyerere2190
3 жыл бұрын
Umewafuga mendomo ulikusema sana 🇰🇪
@johanessmwitamwita1723
3 жыл бұрын
Mmmmmmh jamn mbona hyo nyumba ya kawaida Sana
@sauliaugustin2966
3 жыл бұрын
Kama yakawaida Jenga yako tuione
@zamdabkr-278
Жыл бұрын
shilole
@paschaziamathias5090
2 жыл бұрын
Hogera dada wema,mungu aendelee kuwa nawe
@ramadhanmnyomoka5643
3 жыл бұрын
Mtangazaj unazingua iyo nyumba sio yakwake ndo Mana ajafuriwa
@deejaynahramadhani7484
3 жыл бұрын
Mungu akusaidy inshallah
@ronnykid1484
2 жыл бұрын
❤❤❤
@caashamacalini3887
3 жыл бұрын
Kajenga saa ngapi,?hamumjui hapo nikupanga sio yake analipa kodi kwa kwenda mbele nyumba ya sinza mlisema yake
@pamelaemmy8180
3 жыл бұрын
Siyo sinza tu hadi pale kwa kopa walisema yake
@wennceslausmushi2356
3 жыл бұрын
Kajenga hutaki?
@caashamacalini3887
3 жыл бұрын
Sitaki kwa herufi kubwa unalingine?
@wennceslausmushi2356
3 жыл бұрын
@@caashamacalini3887 endelea kuishi na mambo ya miaka ishirini iliyopita ndio hivyo anaishi kwake endelea kufura ukiwa na hela unajenga kwa mwezi tu biashara kushney.
@sophiamacdonald2711
3 жыл бұрын
Tafuta wema kapata mtu mwingne 🤣🤣🤣
@mkatunzikabelinde2382
3 жыл бұрын
We nikuma tu
@jacobclavelly5273
3 жыл бұрын
Mwenye wivu ajinyonge
@abissafaouzane6853
3 жыл бұрын
Je in
@khadijadula1873
3 жыл бұрын
Wama wacha kujifaharisha duniani he kwa mungu uko na hisabu gani
@zainabmakame1181
3 жыл бұрын
Kma ni yke kwnn akatae kufungua mlango
@kessynurutajiri4940
3 жыл бұрын
Msitudanganye. Hiyo Nyumba Wema alipanga maeneo mengine. Sasa anaishi Kijichi Uswahilini. Hizo ni saga tu. Wema haishi hapo. Tulishaonyeshwa Nyumba anayoishi. Wema siamini kama amejenga. Hizi ndo Channel za kufungiwa, zinatoa habari za uongo.
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Unakujua kijichi wewe? nenda kaone mijengo huko!!
@kessynurutajiri4940
3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 Kijichi naijua vizuri mno. Kijichi ina sehemu mbili, moja wanaishi wenye nazo na maeneo mengine wanaishi akina Wema Sepetu na wengine ni Kijichi Uswahilini. Hiyo Nyumba iliyoonyeshwa sio anayoushi Wema, hilo ulijue.
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@kessynurutajiri4940sasa kwani wema kuishi kwa wenye nazo hawezi?
@kessynurutajiri4940
3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674Kwa sasa uchumi wa Wema umeshuka, hawezi. Hapo mwanzo Wema alikuwa anaishi maeneo yenye hadhi zaidi na si Mbagala Kijichi.
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@kessynurutajiri4940 hahahaa,,,,,,,,,,,,!!!
@gracesiwale7066
3 жыл бұрын
Mm nikajua yake kumbe niyakupanga
@pillyolsen8377
3 жыл бұрын
Ndugu zangu mnampongeza kwenye Nyumba ya kupanga ustaa wake wote huu mikaaa yoye hiyo amesshindwa kujega ata nyumba yake anaishia kupanga pole yake 3😜😝😝 akili ni nyule kila mtu anazake
@wennceslausmushi2356
3 жыл бұрын
Unauhakika sio yaje?
@antonymangu3458
3 жыл бұрын
Life is hard here don't try lie Africans come and experience what am talking about
@fredymachaba223
3 жыл бұрын
Hii Wema ameanza kujenga lin kama sio uwongo mtupu
Пікірлер: 162