HONGERA SANA OLPA KWANZA NDO MSANIII NAEMPENDA ALAF UMEFANYA KITU KATIK VITU AMEN
@ikouwasi7644
8 ай бұрын
😂vipi mumewe au siyo yake
@EzekielDebora-cd2ib
8 ай бұрын
Afazali Yani huyu dada Yuko busyy na maisha yake na walikuwa wanamzalau
@happyswai6688
8 ай бұрын
Hongera sana kwake mpambanaji mchaga wanguvu 🎉🎉❤❤
@maryamshabani5571
8 ай бұрын
Duuhh nyumba kama hekaluu....hongereni sana mr & mrs rich
@stellahanssen1434
8 ай бұрын
Well done. Hivyo inavyotakiwa, kufanya mambo kimya kimya mpaka utilimishe.👍
@happynelson1136
8 ай бұрын
Hawa naamini wamejenga kweli, Lulu na wema wakati wametifuana Lulu alionyesha kuwa anajenga lakini baadaye ikawa kimya sijui aliishia wapi
@khadijayusuph2634
8 ай бұрын
Si mlusema hana kitu kafulia stress zinamsumbua"Leo katoa wapi nyumba😢
@toshirohitsugaya6421
8 ай бұрын
Kajenga Mwanaume lakini sifa anapewa mwingine au kama wamejenga wote sifa wapewe wote ….
@tanzcanmediatv4473
8 ай бұрын
Kuna vihelehele vingine unavuka mipaka
@iddykwangaya2794
8 ай бұрын
Wanasemaga nyuma ya mafanikio ya mwanamke kuna,,,,,,,,!!!!
@hafsalucky1088
8 ай бұрын
Safi sn, Binti anayejitambua, ❤❤❤
@DM.2200
7 ай бұрын
Huna baya mchaga wangu wa nguvu barikiwa sana
@BukuruAhmed-zy1ub
8 ай бұрын
Ongera sana dada yangu
@hawaaathman-rs8oy
8 ай бұрын
Hongera dear. Mungu amekuwezesha
@lucyaudax158
8 ай бұрын
Beautiful
@kiya0910
6 ай бұрын
Mungu awabariki pamoja nakazi zenu
@sarahwawuda5164
8 ай бұрын
Hongera sana kwao Wenye wanatilia mashaka hivyi kwani mtu hawezi jenga?
@janethjonas1700
8 ай бұрын
Nimemuona Rommy anasema hamna kitu hapo...why...??? Msimchukulie powa hii ni roho kamili...
@ashamtweka191
5 ай бұрын
Hongera sana ❤❤
@clovicemusobozi3891
8 ай бұрын
Mashaa Allah hongereni sana ❤❤❤❤
@simontemba1851
8 ай бұрын
Safi mankaa
@Ric_255_
8 ай бұрын
Nzuri Hongera yako.
@khadjamhozya
8 ай бұрын
Ida sema tukuskie Tena na huyo shoga lokore na yure Fara mwingine sijuwi anaitwa idirisa mseme Tena hamkusema hatukusikia mseme tusikie mmedharirika na arivvo mujanja majibu yake yote hakuwajibu anachotarajia kuzinduwa arijikaria kimya na hakusema Kama mume Yuko karibu kurudi arijuwa mtapata aibu wenyewe MORA kawaumbuwa, nasisi tunawazomea😅😅😂😂🤧🤧🤧🤭🤭
@isacksamsoni7024
8 ай бұрын
haaa kumbe ni jirani yangu
@MusaHamis-oz2rg
8 ай бұрын
Mwenyenyumba akiiona hii post mtahamishwa
@JoelinaPareso
8 ай бұрын
Uko vizuri
@sophiakimaro5174
8 ай бұрын
Kweli ile ya mzaramo ni banda la walinzi wallah!!!
@emanuelmacha4690
8 ай бұрын
Usisahau kumwagilia moyo kidogo sio mbaya baada ya kazi.
@janengowi-lt9gu
8 ай бұрын
Tnamsubiri Jumalokole na Dida
@mahmoudMshamu
7 ай бұрын
Sister kila la kheir
@DicksonOnesmo-go1ts
8 ай бұрын
Nyumba zawat hz
@MwanaishaShattry
5 ай бұрын
Huu mjengo kama jumba la treni
@user-nj6vm7ij5f
8 ай бұрын
Hongera mamy
@TonnyMchura
Ай бұрын
Pesa za wanaume😅
@UmmuMayrah-rg9ot
8 ай бұрын
Uyo mwanaume baba ake anaishi nyumba mbaya duuuh dunia hii
@aishaabeid2099
8 ай бұрын
Watu bhna Sasa ulitaka aanze kumjengea baba yake 😂😂😂
@gorbywilliam2617
8 ай бұрын
Sema wasanii ni waongo waongo yani mimi siamini yani.
@madaleinem8109
8 ай бұрын
Weuoni alipoanzia ujenzi?
@gorbywilliam2617
8 ай бұрын
@@madaleinem8109 wasanii na wanasiasa drama nyingi sana sema wanasiasa wanatudanganya ila wanasinii wanatudanganya na kujidanganya wenyewe.
@shflaBoaz
29 күн бұрын
Lopo bagamoyo jilan yetu
@user-iu4yg3kv7v
8 ай бұрын
❤
@siriyangu4724
8 ай бұрын
Mashallah
@pascaldonati2711
8 ай бұрын
Ya kawaida sana sio kwa jina lake huyo aje mwanza aone watu wanafugia popo tu huku pembezoni mwa ziwa
@ikouwasi7644
8 ай бұрын
😂😂onyesha ww yako
@evangelist22
8 ай бұрын
Anajenga nini sasa dunia imefika mwisho
@mamachris6811
8 ай бұрын
😂😂😂😂 kumbe imefika Sasa mshauuri afanyeje 😳
@sarahwawuda5164
8 ай бұрын
Kwako ndio imefika mwisho😂😂😂
@user-hp3cu9ll5z
8 ай бұрын
Hahahaaaa,,jmn
@fatmahchambo2037
8 ай бұрын
😂😂😂😂
@gracekagoma3231
7 ай бұрын
Show off za😢 nini 😢
@mariamibrahim6738
8 ай бұрын
Ongera yke
@kiya0910
6 ай бұрын
Wabongo wajifunze kitu kupitia wolpe
@juniorndambalilo66
8 ай бұрын
Muiteni Dida aone nyumba siyo banda lake
@hyacintagugu7
8 ай бұрын
😂😂
@hallin9561
8 ай бұрын
kama ni kwel bas hongera sana, Namuonea huruma sana SEPETU. akili kisoda..
@Soon815
8 ай бұрын
Utajiri wao unampa kiburi
@verianmatiliya5658
8 ай бұрын
Punguza makasiriko
@joycekaguo8476
8 ай бұрын
😂😂😂😂 kisoda tenaaa😅😅😅
@neemaclement
8 ай бұрын
😂😂😂😂
@HalimaJuma-de5gc
8 ай бұрын
subira huvuta heri
@امنداامندا-ظ3ث
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂mijengo yawatu
@saphiasuleiman9594
8 ай бұрын
Dunia imeisha wewe unajenga nyumba
@mohamedmashaka4680
8 ай бұрын
Nakubali😂
@claritypmetalssales8121
8 ай бұрын
Chai ya moto
@ezekiamgimbaofficial5694
8 ай бұрын
Nikweli ninyumba yake ameijenga kiharaka
@sadajackson3209
8 ай бұрын
Dinda hajaiona
@kennethbenjamin275
8 ай бұрын
Wasanii bana
@user-eg8qw6jo1i
8 ай бұрын
Pw kaka
@user-eg8qw6jo1i
8 ай бұрын
😂😂😂😂
@PhyinaElias-mu4wf
8 ай бұрын
Haya sasa didah na juma lokole kipo wap😊😊
@HalimaJuma-de5gc
8 ай бұрын
Mashoga wale
@scholamodestus9386
8 ай бұрын
Bora hata juma ila dida ataumbuka sana mana anajionaga yeye ndio kajenga katika dunia hii wenzie wote anawaona wehu
@jumahalifa6436
8 ай бұрын
Kiki
@daudysanga8492
8 ай бұрын
Endeleeni kuonyesha majumba ya watu hizo episode zenu wasanii sijui zitaisha lini
@gracemtango
8 ай бұрын
Nyumba yake ndugu amejitahidi sana huwezi ona hata mazingira ss majirani zake sikuzote furahieni mafanikio yamtu
@daudysanga8492
8 ай бұрын
@@gracemtango kama niyakwake kweli maashalah
@ashwaqhasni
8 ай бұрын
Ameweza tena ameweza siyo rahisi jamn ukiona mwenzio kajenga mpigie salut kununua gar ni rahis mnoo lakn ujenzi ndiyo kipimo cha kukua kiakili
@gracemtango
8 ай бұрын
Kabisa yaani unaambiwa nyumba siyo matako kilamtu anayo anastahili pongezi.
Пікірлер: 92