Gamba umefariki katika njia ya kweli ya hao wazishikao Amri na Ushuhuda wa Yesu Kristo Bwana atakufufua ajapo hivi karibuni , pumzika kwa Amani ndugu yetu.
@annabahatifrancis5650
5 жыл бұрын
Isaac you spoke so swiftly...humbly and innocently! He was such a handsome man a face covered with smile all the time, a reflection of your heart! priceless talent. Smile with the Angels Mwanangu!
@abdulghanirashid680
6 жыл бұрын
R. I. P Gamba
@Alpha-Tv09
6 жыл бұрын
Amen...
@hellenmollel6679
6 жыл бұрын
R.I.P Gamba
@respiciussamba4135
6 жыл бұрын
R.I.P GAMBA
@praygodmeena2935
6 жыл бұрын
R.i.p isack Gamba,ulikua na kipaji cha tofaut ktk Tasnia ya habari,sauti ya tofauti na yenye mvuto kwa wasikilizaji,
Huyu jamaa alikuwa real, nimekaa nae hapa ujerumani alikuwa mtu waku-appriciate watu ambao wamemsaidia. Kuna mengi ya kujifunza kwa huyu brother. Me sikuwahi fuatilia interview zake ila baada ya kufa na ni alikuwa jamaa yangu mtaa mmoja hapahapa bonn- ujerumani, ndo nakuja nkujua kuwa alikuwa mtu mkubwa namna hii. Hakuwahi jivuna, na yeye ndo aliniomba namba ya simu na tukawa marafiki since day one wote tumeingia ujerumani 2015. Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya Brother Gamba ameen.
@patrickKitambo
5 жыл бұрын
Abdallah Yahya Said sorry for your loss
@samirsumary8230
5 жыл бұрын
Yes
@saumuhassan6365
5 жыл бұрын
Dah! Pole sana
@fransiscamatemu987
5 жыл бұрын
pole jamani
@monicajulius905
5 жыл бұрын
Amen
@josephnkuba9735
6 жыл бұрын
Jaman ata siamin kabsa ndugu yetu kama katutoka.. huyu bro naamin alikuwa hanijui ila hii haindoi ukwel kwamba nilikuwa namkubali sana ama hakika kizri hakidum, mungu akulaze pema kaka amen
@eddymkwambe574
5 жыл бұрын
Very humble and intelligent. Alikuwa jembe , Mungu amfanyie wepesi.
@josephnjoroge860
5 жыл бұрын
R.I. p mwenyez Mungu aihifadhi roho yako pahali pema peponi hakika utakumbukwa kwa kaz yako nzuri iliyotukuka,, polen wana Familia na dugu jamaa na marafiki tuliyofikwa na msiba wa Ndugu yetu Isaac Gamba
@elizabethidowa9498
5 жыл бұрын
Duuuuh acheni mungu aitwe mungu ,pumzika kwa amani ndugu.
@gaudencemassawe3704
5 жыл бұрын
Nilikuwa cjawahi kuangalia hii video dah.... pumzika kwa amani kamanda nakumbuka ulivyokuwa unapenda kusema MTU MAKINI
@samwelmashauri9414
5 жыл бұрын
Mungu akulaze pahala pema sana!!!
@babamourinmtaki6470
6 жыл бұрын
inauma sana nampenda isaack namsikiliza sana huyu mtu mungu ailaze mahali pema peponi
@yasminamlima7828
6 жыл бұрын
Mwenyezi ampumzishe kwa amani
@emmanuelnyange9793
5 жыл бұрын
R.I.P brother Isack Gamba
@mtanzaniamzalendo7001
5 жыл бұрын
Apumzike kwa Amani Gamba,jamaa alikua humble sanaaa,anapoongea tuu unaona ni mtu humble
@Nyanda_Jr
6 жыл бұрын
Sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea Aisee Umemaliza mwendo kaka gamba
@giannajoji7944
5 жыл бұрын
Inauma zaidi hajaacha hata mtoto,mkaka mzuri jamani RIP Isaac.
@franciscomasungulwa3575
5 жыл бұрын
Good memories....Rest In Peace brother...
@emymlay4732
5 жыл бұрын
Kaka ulikua mzuri!upumzike kwa amani kaka yetu!Mungu akupe furaha ya milele.
@aminaally4028
6 жыл бұрын
Mbele yako kaka mungu akufanyie wepes wa safar yako inauma
@thepilot2530
5 жыл бұрын
Gambaa dahhh inauma sanaa Mtangazaji mahiri Sana na sauti ya kipekeee rest in peace legend
@steviemwangu5932
5 жыл бұрын
Sauti yako ilikuwa ya kipekeee sana Kiongozi . Tutakukumbuka daima, Pumzika kwa Aman Gamba
@karimhemed9261
6 жыл бұрын
Rest In Peace Legend 🙏🏾😢
@joycesaninga2672
5 жыл бұрын
Rest in peace brother 😭😭
@tukiokikoti6737
6 жыл бұрын
Sitaki kuamini Jamani duhhh! Hata kusema R. I. P ni shida
mwenyez mungu ailaze roho ya marehem pepon nimeumia sana nilikuwa napenda anavyotangaza pia saut yake nilipenda vipind vyake hakika imeniumma sana
@festomsamba2044
6 жыл бұрын
Oooooh my God ts unbelievable ,but we have to admit ,R.I.P our legend.
@nusurakimea2785
5 жыл бұрын
Forever mic u brooo
@christianmbise8851
6 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Isack Gamba halafu ni kama vile ana undugu na marehemu Kanumba. Mwangalie kwa umakini na sauti pia
@TheSalma1999
6 жыл бұрын
Christian Nicolaus kweli anafanana na kanumba
@rehemamahmud855
5 жыл бұрын
Tajiri wa sauti ,upumzike kwa amani.
@conradbathromeo7608
5 жыл бұрын
Sikujua Kama huyu jamaa ndo mwanzilishi wa jina wekundu was msimbazi..r.i.p
@dawsonrugalabamu9110
10 жыл бұрын
Nimeipenda saut ya Isack..... Haibadiliki ni ileile... Good show mamy salama
@witnessemmanuel8785
6 жыл бұрын
R.i.p mtangazaji mwenye saut ya kipekee
@anjelinakasembe845
6 жыл бұрын
Rest in Piece R.I.P Gamba
@hokemakesh
6 жыл бұрын
R. I. P legendary gamba
@willymartinmartin8885
6 жыл бұрын
Rest in power legend
@ashaabdallah6260
5 жыл бұрын
pumzik kwa amani bro mbele yko nyuma yetu
@jojigeorige1056
5 жыл бұрын
Gone but will never be forgotten...
@theresiajoseph3951
6 жыл бұрын
RIP kaka sote tu njia moja tulikupenda na mungu alikupenda zaid nenda kaka kapumzike umeimaliza kaz yako na iman umeilinda kwaheri kaka
@josesizy1315
5 жыл бұрын
Very intelligent. Hard working. Charming. Social. OMG. RIP Isaac.
@wlltondaniel9870
6 жыл бұрын
RIP kwa mwenyezi mungu tutarejea kikubwa ni kumuomba mungu atuchukuwe tukiwa tayari tumeshajipnga kurejea kwake mungu alilaze roho ya marahemu pema peponi ameni
@kitiodoreen7487
5 жыл бұрын
RIP Isaack Gamba.
@janetmlulla374
6 жыл бұрын
Turudishieni hicho kipindi jamani. Hakika ni ukumbusho umetuachia Kaka, njia ni yetu sote. Upumzike kwa Amani Gamba.
@johnp6388
6 жыл бұрын
Be in Paradise Bro!
@azizmunawar2026
8 жыл бұрын
mjomba Isaac big 5
@ruwaidatembo4141
6 жыл бұрын
Yan dah had naogopa jamn gamba rest in peace baba yan Mungu awape nguvu family yako na jipa pole mm pia maana nimeguswa had siamn.
@geofreychirwa2389
5 жыл бұрын
Daah huyu jamaa kwakwel pengo lake halitozibika. Mungu ampe raha ya milele huko alipo.
@aniphalookmoneylookmoney8881
5 жыл бұрын
Kaka hajui kununa jamani jamani Mungu akutangulie kaka
@rogersmasofa6549
5 жыл бұрын
R.I.P gamba
@mamachris6811
5 жыл бұрын
Ever smiling
@kinglance6365
6 жыл бұрын
What a blessed voice the heavyweight presenter #vizuri havidumu
@nicodemusbura7669
6 жыл бұрын
Ata siamin jmn, Nakumbuka akisema mm ni Isack gamba duh RIP
@happykipeya8516
5 жыл бұрын
R.I.P 😢
@francolazaro8646
6 жыл бұрын
Ivi Tusker si waliizuia bongo... R. I. P. Gamba
@rizikibakar3186
5 жыл бұрын
Fransis Paris ipo
@dicksonulotu9717
6 жыл бұрын
R.I.P Izack Gamba hakika tutakukumbuka
@michaelkichaka508
6 жыл бұрын
Dhaaaa Izack gamba moyo wangu inauma sana nikisikia sauti yako R. Ï. P mwana mara mwenzangu
@jenyyusuph4973
5 жыл бұрын
Mh masikini huwez amini kama huyu kashazikwa kifo ni sir ya ajabu
@isaaclusesa2079
5 жыл бұрын
r. i.p wajina wangu isaac mungu akulaze pema peponi amina
R. I. P Isaac Gamba ntakukumbuka sana wakati ukitangaza mpira ligi ya ujerumani ukiwa na josephat charo. Zaidi ni ile game ambayo Dortmund alishinda 4-3 paco akipiga hatrick
@myingaone4746
5 жыл бұрын
R. I. P.
@kashindetz5316
5 жыл бұрын
Rest in paradise broh
@foziaabdullah9053
5 жыл бұрын
Inauma sana kiukweli pumzika kwa amani gamba
@deblackmalkia7334
5 жыл бұрын
r.i.p Isack Gamba
@pastoryrichard1257
5 жыл бұрын
Ckuzote chema hakidumu R.I.P my brother
@deokapunda3862
6 жыл бұрын
bwana ametoa bwana atwaa jina la bwana lihimidiwe "" R.I.P gamba""
@BarakaSwanga-fn7ih
5 ай бұрын
Ni muda umepita irp Isaac gamba
@josej9888
5 жыл бұрын
Rest in peace Mr.Gamba
@amenyekibona8730
6 жыл бұрын
R. I. P GAMBA, mbele yetu nyuma yako twafwata
@neemamsak5512
6 жыл бұрын
R.i.p.gamba mwenyezi mungu akurehemu
@jamesmashauri8315
6 жыл бұрын
Ni Kama siamn vle
@HarleenKaur-ge7uo
6 жыл бұрын
R.I.P BB YAANI NMESHTUKA NA BADO SIAMINI MWENYEZI MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI GAMBA 😂😂😂
@ahmedseifsuleiman4031
6 жыл бұрын
Rest In Peace ✌🏾 isack gamba
@kssubitomas9289
6 жыл бұрын
R. I. P
@kcstarztorch248
10 жыл бұрын
this guy is the best talking sense so much
@queenyahaya3147
5 жыл бұрын
R.i.P gamba😢😢😢
@isaacsengunda3099
6 жыл бұрын
ISAAC MUYENJWA NYAGABONA MALIBWA GAMBA. R.I.P Inauma sana,lakini tufanyeje sasa wanadamu hatuna la kubadilisha kamwe,MUNGU atupe nguvu ya kuvumilia maumiu haya ya kuondokewa na mtangazaji mwenye haiba nzuri kwenye microphone,, Dahhh,, inauma sana.
@mamachris6811
5 жыл бұрын
Ni mu wazi hala hata Zomboko alisema Issack alikuwa anampenda sana Mama yake na jumtaja kila wakati.R.I.P Issack Gamba
@poulineplacid2610
5 жыл бұрын
muasisi ya neno wekundu wa msimbazi ......rip kaka
@athumanimvula3718
5 жыл бұрын
Innaa lillahi wa innaa ilayhi raajiuun
@francissumira1061
6 жыл бұрын
R.I.P Isaac Gamba, Mungu aiweke roho yako pema peponi
@nassormussa4236
5 жыл бұрын
Salama watu wngi unaowahoji wanafariki kama kanumba sajuki gamba majuto sharbaro nk
@glorylema1927
5 жыл бұрын
R.I.P broo
@merrymakuli7132
6 жыл бұрын
Daaaaah!! nimekosa ata chakuandka
@sophiamarco5979
6 жыл бұрын
Daaaah inauma Sana r.i.p Kaka yetu
@laurentngowi3052
6 жыл бұрын
NApenda sanaa saut yako .... rIp bro
@hashimkajara5015
5 жыл бұрын
Daaaah naikumbka siku taarifa yake ya kifo inatolewa, nlkua nipo naskiliza DW jion, na kwa skueza skia sauti ake nkawa najiuliza kaenda WAP??? Mara mda huo huo naona habar za kifo chake ktk net. R.I.P bro
@apollojohn5698
6 жыл бұрын
in loving memory
@ainonlinetv8863
5 жыл бұрын
kwel bhana tumepoteza jembe.pumzika kwa aman kaka
@zamzamhassan4159
6 жыл бұрын
so sad ulikuwa msema kweli ,muwazi hufichi maisha ulotoka
@michaeljohn6381
6 жыл бұрын
R.I.P
@esharamadhani3438
5 жыл бұрын
Nenda salama Gamba 😭😭😭😭
@athumanihamza8856
5 жыл бұрын
Kwangu Gamba sitakusahau ulitufanya kuonakama uliziba vzr nafasi yaakina Charles Hillary pumzika kwa amani mpendwa wetu
@eliasjilanga2320
5 жыл бұрын
Pumzka Kwa Aman Hamn
@barakamwakapoma2702
6 жыл бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi kaka Isack
@andrewmajita6437
6 жыл бұрын
R.I.P mujita wetu kaka yetu muyenjwa
@amanikudeli5297
6 жыл бұрын
Apumzike kwa Amani
@bintabu1713
6 жыл бұрын
Inna lillahi wainna illahim raajiuun
@nyanzalakaporo2504
5 жыл бұрын
R.I.P Baba Isaac Gamba
@josephmpemba8951
6 жыл бұрын
R. I. P mzeee babaa
@edwardgwaspika4943
6 жыл бұрын
R. I. P so sad, ivi wameeleza idara ya afya ibasemaje chanzo cha kifo chake?
Пікірлер: 332