Kama bd unaitazama Hii interview gonga like twende sawa
@user-gw5lb9ju5m
8 ай бұрын
Weweeeeeee
@user-jq9rj4dm5u
3 ай бұрын
Nanii anatazama hii interview bado 2024
@vincentmushi1247
Жыл бұрын
Huyu mwamba alikuwa na vision tangu kitambo...na ni mpambanaji haswa Tumuache ainjoi maisha yake Big up sana simba
@abdullykapole9617
4 жыл бұрын
Kama unaitazama hii tena mkasi 2019 gonga like yako au weka koment yako hapa..
@japhertboaz7031
4 жыл бұрын
Ndio baba lao wa leo hyo wangpi wako pamoja na me
@hamisibandar5038
4 жыл бұрын
💯
@kitoynnko3839
4 жыл бұрын
Baba lao
@ExpedtoFelixTV
4 жыл бұрын
Suffer Soldier nice
@canisiusibrahim9856
4 жыл бұрын
Suffer Soldier 2020
@vidamusiq2549
Жыл бұрын
12 years later he is still the number one artist in Tanzania and east Africa. Iconic.👍👍
@mutuachris
Жыл бұрын
For sure
@milley7185
Жыл бұрын
true
@selemanibididas6734
5 жыл бұрын
Naiangalia tena 2019 yan baada ya miaka 7
@adrisurv
7 ай бұрын
Leo tena nipo kma una watch nipe like zangu
@liberatusulaya2269
4 жыл бұрын
Kaka mkubwaaa, Simbaaaa!!! Hahhhh most influential musician!! Nakubali sana
@claudiangowi9585
4 жыл бұрын
Diamond umejinenea utajiri miaka mingi iliyopita na sasa hivi kweli unaiwakilisha Tanzania, hongera sana
@joelgeorge5588
4 жыл бұрын
Mm bado naitaza 26 nov2019 nipe like Zang na hili movie la kihindi. ..Haliishi
@allykassim9826
4 жыл бұрын
Nov 21. 2019. Nimeangalia tena hii baada ya mondi kupost clip leo yupo cameroon kwenye show. Don't give up.
@severinemziba6226
8 ай бұрын
2023 bado nakufatilia kwa juhud zako,ujasil wako...ww n mtu ambay unantia moyo kila kukicha nakukubar bro forever🎉
@saidimusaid9120
11 жыл бұрын
Nampenda sana Diamond, ni msanii ambaye ametoka mbali na ana bidii sana. ni mfano katika jamii. anawapa vijana changamoto kujituma. Big ups Diamond.
@erickmarcus2321
4 жыл бұрын
Kitambo Sana miaka Saba sasa
@omarihamadumetishasanalava4725
3 жыл бұрын
Maswali ya kijinga salamu
@romansuzana46
12 жыл бұрын
safi Diamond ujakurupuka kama wengine,wengi tu wamekuja hapo na wamekuzidi umri ila hawakuingii,keep it up bway utafika mbali
@mkuyu-ben.6746
4 жыл бұрын
Neno limeeleweka kitambo sana. Wachache wameanza kulielewa sasa!! God is with you.
@aloispaulsimon6174
3 жыл бұрын
Kama unamtazama Simba wa muziki Afrika mwaka huu 2021 gonga like
@mjungatv8172
Жыл бұрын
Diamondplatnumz kilanja wa Muziki 2022🙌🙌🙌
@barakazakalia1830
4 жыл бұрын
Kama unaangalia hii 2020 Gonga like Hapo chini
@veryboyplatnumz3506
Жыл бұрын
Mapema sana 2023 nikimtizama King Platnumz miaka 13 still on top number one artist East Afrika ✊
@jumahumphrey3656
4 жыл бұрын
Bango ni kubwaa tunaishi humu 2019
@khairunkhatib7588
10 жыл бұрын
Ndio maana Allah anakubariki sana kwajili ya kumpenda mamayako na kumueka kulakitu kwako,endelea kumheshimu mama yako diamond coz no one like mom
@tim9434
12 жыл бұрын
good interview,, Inavyoonekana kajipanga, anajua nini anafanya na anataka Big up Diamond..
@najaahabdi1202
10 жыл бұрын
Daimond. Uko juu. Long life
@junemuchiri609
5 жыл бұрын
Diamond had a vision and look at him now
@kindandakudingwa7514
3 жыл бұрын
That's true
@junemuchiri609
3 жыл бұрын
@RICH HOMIE Haha could be very possible 😂
@junemuchiri609
3 жыл бұрын
@Rich Homie kirinyaga
@jamalmdugi6458
4 жыл бұрын
01.12.2019 watching this interview
@innocentwilliam1669
3 жыл бұрын
Kama umerudi kuangaliya baada ya kusikiya diamond nitakufa 2021 gonga like tujuwane
@celeone2655
5 жыл бұрын
2019 Miaka 10 ya Simba
@shabanhussein3816
4 жыл бұрын
Good
@Umuuahlaam
7 жыл бұрын
Uzuri diamond huna maneno ya kujigamba ama kashfa big up kwako
@abdallahburhani3487
6 жыл бұрын
kweli yametimia miaka 5 ssa unaiwakilisha nchi yako
@moshijongo9056
4 жыл бұрын
Naiyangariiya iii intaviyw 2019
@nilmarjr6473
3 жыл бұрын
Hii interview inaelezea kila kitu kuhsu Simba... Oct 2020
@shabanikaniki9747
4 жыл бұрын
Am watching this interview 2020
@jumawahanzemsirywamsisiry7394
3 жыл бұрын
Good interview naiangalia hii interview leo tarehe 28/08/2020 again watching thanx Simba umekuwa inspired Sana kwangu
@fikiri_lssa
4 жыл бұрын
I’m still watching this in. 2019
@mpigiful
11 жыл бұрын
i like this guy,s music so much though i understand little Swahili but at least i got the meaning of Mbagala and ntarejea.......my best. thanks for the show.
@georgenyotoka1468
3 жыл бұрын
Watoto wa siku hizi hawaelewi kwa nn jamaa alikua anaitwa Mzee wa magazeti...enzi hizo social media sio kiivo bongo so hakuna Instagram..kiki zote ni kwenye magazeti ya udaku...sio siku hizi page za udaku....😂😂🤣🤣.....it's Jan 2021....
@gospelvibestv3914
3 жыл бұрын
After 8 damn Years daah Maisha ⚡💥💥HOngera sana Diamond
@christopheroscar3938
4 жыл бұрын
Tupo pamoja 2019
@najmohamed6950
4 жыл бұрын
Mond adi leo ajabadli future yke hakiii
@sportsbezi6690
4 жыл бұрын
Kamaunaiangalia tena 2020 gonga like twende sawa
@Memphisblue22822
4 жыл бұрын
Lebo umiversal, done... Msanii mkubwa yes it's done
@joeljoseph766
4 жыл бұрын
Big by simbaaaaaa🙂😃
@fredrickmatiku7783
Жыл бұрын
Sasa hivi Habari ya mjini ni Harmonize 2022 mzeee wa mitandao sio magazeti ya kipindi kile global udaku Diamondplatnumz na wema sasa hivi mitandao harmonize na kajala
@fortunatemushi4943
2 ай бұрын
2024 bado naangalia hakika mwamba alijijua atakua milionea tuuu one day
@lizertv5595
2 ай бұрын
Kweli aisee
@benbranco3688
6 жыл бұрын
Huyu jamaa alijua soon atakua mkubwa na sasa ona alivyo mkubwa
@deviskitali9801
4 жыл бұрын
ben branco kwel kbsaa
@MOJAZAIDI.
5 жыл бұрын
MWAKA HUU NIPO HAPA NAMCHEKI MOND...
@chunanachu2529
Жыл бұрын
That why nampenda sana diamond always u will be number one
@chrissygk
11 жыл бұрын
Gud and Hard worker!
@mczundaoriginal2491
10 жыл бұрын
safi kabisa Diamond kila siku unavyozidi kufanya intervwe ndiyo unazidi kukomaa hapa umejibu vizuri umejieleza vizuri hata Salama ana haki ya kukuita shujaaa ni shujaa kweli.Diamond ameambiwa ashukuru watu watatu ambao wamemfikisha hapa alipo,kama unatembelea this is Diamond lazima amshukuru Mungu ndiyo akupe taarifa ya siku hiyo,amanaulizwa watu Mungu si mtu ,ameangalia swali akajibu linavyotakiwa uko juuu kijana songa mbele.
@omarseif3945
10 жыл бұрын
dah! kwel kabisa Diamond anaji2ma sana kweny kaz zake
@robertmwasile8903
6 жыл бұрын
Mwanaisha Zunda hii
@shakiramohammed5015
11 жыл бұрын
nimependa sana jinsi unajielezea
@babawatotobabu7229
4 жыл бұрын
kama unamkubali mtt wa mm dangote weka like yako twende pamoja 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ezapesambili2130
4 жыл бұрын
Watu wa kigoma tunanyoota kama umesikia kauli hiii gonga like tujuane
@elnasser4037
5 жыл бұрын
Watching again in 2019🔥🔥🔥
@amanibadru5842
4 жыл бұрын
Still watching on july 2020
@ashanalinga8719
5 жыл бұрын
3 .9 .2019 simbaaa
@veenpoul900
Жыл бұрын
Watu wanaishi kwenye ndoto zao jmn,,,acheni fitina zenu nachuki zakixhamba
@veenpoul900
Жыл бұрын
Ebu jiulizen huyo mmakonde wenu alikua wapi wakt huo????,,,AF Leo hii mnamvunjia heshima kwakumfananisha navitu vya ajabu
@kelvinisabinani8079
3 жыл бұрын
Daaa chibuuu mwaka 2020 unaishiaa uooo
@jacksonleonard4275
Жыл бұрын
2022 nipo namalizia mwaka kuicheki hii interview
@munaminaji2672
7 жыл бұрын
cool men diamond the lion
@TheRuky07
12 жыл бұрын
Amazing..thumbs up crew
@mzirairebeca9996
Жыл бұрын
Hongera sana.....dreams come true G
@saidkitamo832
3 жыл бұрын
02 02 2021 watching this interview
@remmizmlope5008
11 жыл бұрын
nyc interview
@africangirls482
5 жыл бұрын
Sema ulitakiwa pia umshukuru Bob junior ndo aliekufanyia ngoma kali ukatoboa
@astrofreeimkush2189
Жыл бұрын
Si alimpa tunzo au hujaskia kipande hicho akiulizwa
@OchoaHomeDecor_
Жыл бұрын
Simbaaa
@rehemaibrahim9022
4 жыл бұрын
Watching 1December 2019
@jovinmagesa5261
4 жыл бұрын
30 november 2019 💪🏿💪🏿💪🏿chibuu
@Muniboolov
10 жыл бұрын
napenda sana mkasi you r so funny
@mejamiela7436
Жыл бұрын
Nipo naangalia 2022
@farish2899
9 жыл бұрын
I luv you son .
@sulehakasha9421
11 жыл бұрын
kimziki uko juu dogo
@Paplick9
Жыл бұрын
Up to now Shekh Mansour
@fatumakamba6324
5 жыл бұрын
Ilo toroli na me yamenikuta🤣🤣🤣🤣🤣
@renathustesha4036
4 жыл бұрын
2020 bado tuna cheki?
@YusufuBenjaminEsenga-nl9cb
9 ай бұрын
Kama bado unaitazama Interview hii mpaka leo gonga like
@judithjulius5993
11 жыл бұрын
diamond we mkali kiukweli nakukubali
@theresiachitinka9410
10 жыл бұрын
gosh i like this guy
@mpilimieston9982
4 жыл бұрын
Kumbe toka kitambo unajua kijieleza vizur
@yahyahamad1802
Жыл бұрын
salama ulimuona diamond mapema sana
@shaniej25
12 жыл бұрын
Great Interview.....
@ichbin_nicole2318
7 жыл бұрын
na kweli diamond lebo yako imeifikisha tz mbali kimziki
@ebreezyliker3880
6 жыл бұрын
@Nicole Jessic please find me by this number 0788908796
@dazaiasha2584
10 жыл бұрын
Uko juu nakupenda sn
@paschalmbilizi765
4 жыл бұрын
naiangalia hii interview 2020 .... harmonize karbu tuiangalie kaka
@shidiiz_
4 жыл бұрын
2020 still here
@RONALDOTRUCKDRIVER
4 жыл бұрын
2020 naingalia tena pindi kali Sana
@davidsingu2750
4 жыл бұрын
Naichek hi mwaka 2020 na yaliyosemwa nimeyaona.
@AidanMlay
7 жыл бұрын
dakika ya 25:30-26:15 ..ndani ya miaka 5 unajiona wapi...jamaa alijua kabisa
@animanasser1230
9 жыл бұрын
I LOVE THIS GUY,,
@enockm.maduhu8386
9 жыл бұрын
unawezaje kumpenda shoga
@karumetwaha8040
9 жыл бұрын
Enock M. Maduhu we fala nn ma nina shoga ni ww mjalana ww chibu c shoga kenge ww
@fridahthomas4510
9 жыл бұрын
Enock M. Maduhu shoga alikuvulia suruali mtu mzma ovyooooooo
@user-nt8xi4sg9g
8 жыл бұрын
+Enock M. Maduhu acha majungu unaforce ustaa kupitia baba tiffah ushindwe na uteketee puu
@arsenalic23
12 жыл бұрын
want to see you sign for that label 1 day yes kaka...the good thing is you have your own focus which you strive to maintain,something alot of artists lack.
@immah_deo19
2 жыл бұрын
He Has WCB Now
@TheNewKid_TV
Жыл бұрын
@@immah_deo19 huyo jamaa yupo kweli maana amekoment miaka 10 uliyopita 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bhm675
Жыл бұрын
@@TheNewKid_TV kwa iyo unataka kusema amekufa au😂😂🤣
@TheNewKid_TV
Жыл бұрын
@@bhm675 labda maana daaah🤣🤣🤣
@bhm675
Жыл бұрын
@@TheNewKid_TV 😂😂😂 jamn atujib basi turidhke☺️
@machintangachibwena5922
3 жыл бұрын
Hichi kipindi kilikuwa kizuri sana ila bora kimekufa manake huyo muba alikuwa hamuachi msanii amalize kujibu swali nae anadakia kuuliza swali
@willteddydar5747
11 жыл бұрын
napenda kazi zake.
@Justinedominic50
12 жыл бұрын
Dats gud dude!
@mrsmile20
2 ай бұрын
In 2024,so poa mwamba,,mpak leo hit tu
@babakim4064
6 жыл бұрын
Bless Mr chibu
@ashanalinga8719
6 жыл бұрын
Daahh Chibuuuu umejitabilia utakua Mwanamziki mkubwa nakweli umekua Mwanamziki mkubwa
@ezapesambili2130
4 жыл бұрын
Simbaaaaa 2012_2019
@johnstartv5455
2 жыл бұрын
Watching 2022,, hiz ndo level za harmo kwa Sasa, Now Ndo anamtafta aliyekuwa rafki wa wema kipindi icho,ndo kapata tuzo tatu,ndo ndo anasema anamkubuli q!! Ha ha ha haaaaa
Пікірлер: 406