Ana watoto wanzuri kabisa japhet,,,,anatakiwa aombewe sana kwa mungu msamaha,,,ni mtunzi mnzuri mno wa nyimbo za injili amen,
@subiramakiya3835
22 күн бұрын
Ooh God rescue Zabron team....hawa watu ni wa kuwaombea mnoo, shetani anataka kulitawanya kundi jmn...coz kwa skendo hizi hakuna mwenye ujasiri wa kuimba tena...hasa Japhet, only praying for them
@Kwanduyusto
7 күн бұрын
Suala la uhusiano wa mtu na Mungu wake ni siri nzito. Unaweza kupoteza muda wako kujadili jana ya mtu kumbe mwenzio alishatengeneza na Mungu wake. Jililie nafsi yako. Kila mtu atasimama kwa zamu yake.
@rhodareuben-i2z
7 күн бұрын
Mungu awasaidie
@GeofreyKalo-ot3we
7 күн бұрын
Kama ni kweli basi japhet mungu amsamehe tu, na alee hao watoto
@euphrasietuyisenge5610
19 күн бұрын
Wee hawa watoto wanamufanana kweli ona hio ki smile ya kak mkubwan na uso wa huyo mudogo
@WITINESSALUPHONCE-fz4ux
13 күн бұрын
Awaa watangazaji sijuiiii niwafanyeje mbon mumemuandama sana kakaaa Japheth kiasi ukooo muacheni basi afanyee kazi ya MUNGUU
@BenedictaMagantg
9 күн бұрын
Sasa si ukweli.
@josephinenyangi9484
Күн бұрын
Acha iongo
@adelabahati976
24 күн бұрын
Ni kusema Marco ndo a😢likua akificha hizo siri zote ! alikua mpatanishi kabisa! Mbona kundi hilo litasambazwa!ingelikua heri muombe msamaha jinsi mulivyokoseana na kumkosea Mungu tena muanze kazi ya uimbaji mkiwa kwa umoja
@veronicankhwazi7954
23 сағат бұрын
Acheni uongoooo weka sura tukuone 😢😢
@ImmakulataJoseph
25 күн бұрын
Jamani waandishi habari tafuteni habari nyingine tumewachoka kila siku mnamsema Jafeth Zabron. Amewakosea nini.
@marymuruka2962
10 күн бұрын
Shetani huingia mahali anaona watu wakifanikiwa,na huingia kwa kufanya mapenzi kiholela na kuwatawanya waimbaji wote😢
@CarolineChepngenoh
14 күн бұрын
Kwani Marco kufa kwake ndio hizi zote kutokea mbona mbeleni hawakujitokesa kwani japeth Ako na kosa wapi
@mtegamelkior5193
4 күн бұрын
Familia hii imeingiliwa na shetani, wapenzi na viongozi wa dini na wenye karama ya kupmbea tuiombee familia hii ili iendeleze kumtangaxa Mungu, ninaipenda na inanibariki sana.
@TumainiSingano
28 күн бұрын
Sio kweli 4:14
@EdithaMartin-t4t
11 күн бұрын
Bado YESU yuko kazini atawaokoa tuuu Endeleeni kuimba...msiache kumwimbia BWANA. Wewe mtangazaji unafanya kazi ya SHETANI... MUNGU ni mfinyanzi...ataumba upya tuu ..ya kale yamepita...TANGAZA habari Za KRISTO.....
@AnnhMorrnh
2 күн бұрын
Mambo ya uongo Mnaogea mambo msio na uhakika nao
@RhodaUgomba-z1q
28 күн бұрын
Walikuwa wapi siku zote
@PAULNZUGUMYA
23 күн бұрын
kama mtu amekufa na anasemwa ww uliye hai kwa nini usisemwe? potezea tu! utasemwa hapa duniani hata kama uwe ni nan?
@BeatriceHozza
27 күн бұрын
ila wivu😂😂 mbaya sana
@roselyneapiyo3623
28 күн бұрын
So after saying all this what will you gain??????
@mirriamkwamboka7079
5 күн бұрын
Does it mean Marco alikuwa amefunga midomo ya Hawa wajinga, ndio waanze kupweka Sasa. Tanzania demons are many na asiogopi mungu. I don't agree with this stupid message
Huyu dada aliyemvunjia ndoa Ni Jamila huyo Jamila sio ndg wa zabron aliletwaaa na japhet wakampokea baadae ndio hvoooo mkeee katimuliwaaaa na akaolewaaaa mwingneeee😂😂😂 daaaaah wanaumeeeeeeeee
@Giresi-p2u
22 күн бұрын
Mungu amkuzie, kumbe??
@JeniferMkakatu-y7p
28 күн бұрын
Jmn mbon mnatudanganya hivyoo jmn kwan hamn vity vya kusema kila sik zabron waachenii jmn tafuten taarifa kwa wasanii wengine jmn we tired jmn kusikiaaa achen kudangany MUNG anawaona hay me yangu machooo😮😮
@DamariJohn
17 күн бұрын
Nenda isnt andika miriam emanuel ni kweli
@JacklneUrio
11 күн бұрын
Ni kweli wala sio uongo
@CarolineChepngenoh
14 күн бұрын
Tafuta bwana ya watoto kwani watoto Hawa wote ulikuwa wapi
@OnikeDaniel
21 күн бұрын
Achen uzuxhiiiiii
@mponjolimwatebela4555
12 күн бұрын
Ila sasa Hawa watu wanaowa kila siku huduma Yao ni kipengele bas
@NellieKiki
17 күн бұрын
Niliwaambia mtatoboa yote hamkuamini, anyway niko na mengi ya kusema lakini acha tu nifungie ndani😢😅
@JescaGand
27 күн бұрын
Waacheni zabton maana waandishi mmekuwa waongo sana hivi hata hofu ya Mungu haipo?
@shariffah5278
22 күн бұрын
Japheph ni kama Diamond😂
@RachelMichael-n3i
25 күн бұрын
Jamani familya ya zabron2 iacheni ipumzike na imetoka kwenye wakati mgumu wa majonzi mbona hamsemi yenu ungekua unawaza mabo yako au ungehubiri innili ungekia mbali sana msijichumoe laana jamn kwani yanawahusu zaidi ya kuchafua2
@pilipili1907
23 күн бұрын
Kazi umbea Tuuy kafanya Yako Ahaaaaa 😢😢😢
@MercyOgutu-oo4mh
21 күн бұрын
Shetani alikua mmoja WA malaika WA Mungu mbinguni na mwimbaji mkubwa. Vile vile anawatumia waimbaji wengi kuangusha . ,(usihukumu ukaja ukahukumiwa,) maandiko yanasema
@OnikeDaniel
21 күн бұрын
Jaman jamaxio vizur mngekuwa ni nyie mngejisikiaje?? 😢
@HuldaMariki
24 күн бұрын
Wanakuwaga wapi hadi ntu afe ujitoe kimasomaso?
@evaabdalah9003
24 күн бұрын
Sio kweli mmekosa la kuongea
@TabithaMiddle
21 күн бұрын
I HV nothing to say only that this generation is full of ex.
@HildeShehemba
13 күн бұрын
Hivi Japhet Zabron na Marco Zablon ni mtu huyo huyo?
@MancerNkya
13 күн бұрын
Japheth zabron, Marco Joseph bukuru ni ndugu wanaimba kundi moja ambalo ni zabron singers, Marco marehem halafu Japheth ndo huyo wanaemuongelea kila siku mtandaoni
@janethmwihumbo1289
28 күн бұрын
Mh,huu mda ungetumia kumtangaza KRISTO,,hata kama imetokea uenda alishatengeneza na MUNGU wake imebaki story wewe unatumiwa kuvuruga huduma wivu tu,,Katika yoote uliyoongea hakuna jipya,,Una madhabahu wewe kila siku nihilo hilo
@Mariamthoya-ff6jd
27 күн бұрын
Kbs huy mtu amezid kwa kwel
@NaomNtabo
26 күн бұрын
Kuna vile tumaeza vuruga account Kaa hizi zifungwe kabisaaa🙄🤔🤔
@mamasia9741
28 күн бұрын
Jmn ninyi hamnaga vitu vingine vyakusema? Zablon kila saa tumewachoka na taarifa za kuzusha looo
@AtuFute
26 күн бұрын
Mmmh uongooo😊
@arafaally2895
25 күн бұрын
Aliowa miriam
@Vel42
19 күн бұрын
Ukweli juu Japhet mwenyewe amepost huyo msichana eti ni his daughter na pia mtoto mdogo
@ElizabethOsimba-x6u
23 күн бұрын
Hata hao watoto hawafanani kabisa na Japheth,,mama mwenyewe mkubwa, Japheth ni mdogo xna,muache mtoto WA wenyewe afante kazi ya Mungu 😢
@SylviaAdhiambo-o1g
22 күн бұрын
Ukubwa Haina ki2 bn hata mdg anaeza owa mkubwa n mkubwa aowe mdg so
@patrickmutinda1386
28 күн бұрын
Ww nigobe tu
@RachelMichael-n3i
25 күн бұрын
Ulikua wapi kiswma kabla hawajafiwa wenzako au hujawai kufiwa si muwaache wapumzike jmn unawazid nn asa muongo ww au unatufundisha nn hapo
@MinJoy-y2c
23 күн бұрын
Kwa hivo tufanye nn sasa🤔🤔turuke juu😏😏😏mnakera Bana🙄🙄🙄
@FarajaMlwale
25 күн бұрын
Jaman kwan siku zote mlikuwa wap mbona mnakela sas
@leahongeri-qs8zp
25 күн бұрын
Aibu tele mtangazaji, nawewe dada ulikuwa wapi akifunga ndoa ya pili. Wanaume ni wengi jipe shugli
@NiyubuntuAisha
20 күн бұрын
Inamana anawatoto watanu na wanamufanana kwer
@SalomeMichael-j7k
23 күн бұрын
Wasabato wanaluhusiwa kufunga ndoa ngapi jamani
@SharunAa
22 күн бұрын
Walai lyo sio ukweli😢😢
@JacklneUrio
11 күн бұрын
Ni kweli walikuwa wamefunga ndoa 2019 na Miriam emmanuel
@SharunAa
11 күн бұрын
@@JacklneUrio n Hawa watoi watatu am n huyu Japhteh hanaonekana kimika mdongo aje
@AlphaDaimon
15 күн бұрын
Mitandao bhana🤔
@mercysaphina7320
26 күн бұрын
Sasa watakaje wewe,wenyewe hawanashida ,Mungu wa msamaha bado Yuko kaka
@JalàlKapitene
22 күн бұрын
Ungeyasema mapema washenzi wakubwa
@ceciliaonyango5367
28 күн бұрын
Usitudanganye wakristu hatuna ndoa nyingi acha kutuchosha hayatuhusu
@tuikezeezra1315
13 күн бұрын
Fyonkoo
@RachelMichael-n3i
25 күн бұрын
Ulikua wapi kiswma kabla hawajafiwa wenzako au hujawai kufiwa si muwaache wapumzike jmn unawazid nn asa muongo ww
@Teaching356
28 күн бұрын
Baada ya marco kufa ndo haya yameanza kusemwa ungeyasema mapema pumbaVU zako kama huna kazi kojoa ukalale.
Umbea mtupuuuu lichanel la Uonqo.umekujaaa.ptuuiui
@StellaNyanda
21 күн бұрын
Nyie binadamu mtahukumiwa kwa uzushi mnaouzua kwa wenzenu, kwann haya yaje ghafla hivi,milikuwa wapi?nyie niwazushi kutaka kulichafua kanisa tu Kama milikuwa kimya mda wote kwann msitulize midomo yenu waongo nyie.
@JacklneUrio
11 күн бұрын
Sio uzushi ni kweli walioana 2019
@SesyliyaEmmanuel
10 күн бұрын
Achen uzushi wakijinga
@NgajiloDavid
21 күн бұрын
Walioshindwa wanamaneno mengi nyie sio Mungu Mungu ndo anaejua mwachie afanye kazi yake
@VerdianaBonda-c8s
18 күн бұрын
Acha ubishi niwatoto wake kabisaa hyo ndo mke wake wakwanza walifunga ndoa cku Moja na marehem Marco nikweli mtupu
Пікірлер: 85