Dah kiukweli kijana kaongea kwa busara sana Mungu aendelee kukubariki ❤
@kabujeasukile5462
6 сағат бұрын
Sema dogo ana Akili sana
@catherinecharlz2814
5 күн бұрын
Kaka pascal unaakili saana kuliko ata dada ako aliemaliza chuo nimekupenda bure Sie tuliachwa na wazazi wote na bado wakarud bila ata zawad yoyote lakon bado tuliwapokea Na maisha yakaendelea pendo nakushauri Mungu alokutetea ukamalza chuo naomba akusaidie kujua nguvu ya msamaha tunamkosea Mungu tusiemwona na bado anatusamee Isipokuwa mzazi aliekubeba tumboni miezi tisa msamee mama ♥️ jifunze kusamee 😢😢
@danielsighis9953
17 сағат бұрын
Pascal anakili na pia hekima flani,
@MagrethMallya-we8ui
6 күн бұрын
Hongera sana Pascal, Mungu Akubariki tena na tena, Hongera sana mama Pendo na Pascal, . Mungu awasaidie myamalize salama.
@careenpatrick2759
Күн бұрын
Pascal mtoto mdogo sana lkn unaakili kubwa sana mungu azidi kukuongoza ukuwe kwa kimo na ufahamu zaidi❤🎉
@SabrinaHussein-w6v
5 күн бұрын
Aisee mdogo angu mungu akubariki sana unaakili sana mshauri dada mama ni mama tuu
@MariamGweba-i4u
Күн бұрын
Huyu kijana alikuwa nimtoto wayule bibi leo ameonekana ana dada mpya achen kutuigizia
@Jajakanjaniri
5 күн бұрын
Aise Nakubali Sana Dogo 😊😊 Uko Vizuli Kbx ❤️❤️❤️
@husseinmilao5789
6 күн бұрын
Pendo yupo sawa, mana huyu pascal anajua mama ake sie lakini anamfichia maovu yake. Pendo mauwa yako hayo🎉🎉🎉🎉
@anodearsulusi7536
6 күн бұрын
😂😂😂 anammiss ipo siku
@SubiAbdallah
5 күн бұрын
Sawa kabisa yupo saihi kwa kuikataa iyo gari apande mwenyewe
@neemamasimba2981
5 күн бұрын
Naona Pascal yupo sahihi
@EstherJoseph-jy1os
2 күн бұрын
Kwakweli mapenzi ya mama ni muhimu kuliko chchte pendo yupo sahh sababu alikosa upendo wake anakuja kumpa Gari ndo asamehewe
@careenpatrick2759
Күн бұрын
Jaman kama huyo mama alikuwa na maisha magumu angefanyaje au hamjasikiliza tokea mwanzo,,alafu mkumbuke hata hiyo elimu alipewa na mama yake
@ashasaleh8427
4 күн бұрын
Mungu akubariki pascal mungu akuongoze upovizuri mwanangu
@rosengiloi9381
4 күн бұрын
Pascal umeongea vizuri mno ,Mwenyezi Mungu azidi kukupa hekima
@Joan-j7r
2 күн бұрын
MashaAllah ❤❤❤❤🎉🎉pascal
@halimamfaume1925
6 күн бұрын
MashaAllah ❤❤❤❤ pascal
@winfridambwambo9830
4 күн бұрын
Tusimlaum sana Pendo malezi ya mama ni mazuri na ni chakula cha ubongo wa mtoto so hayadhidi hata Hilo gari japo ni vzr wake wayamalize
@AderickKasigwa
6 күн бұрын
Pascal mbona wewe ni mdogo Sana lkn una IQ kubwa sana Mungu akupe hekima daima
@NeemaMweta
6 күн бұрын
Nampendaaaaaaaaa pascal oyeee tunaomba pendo abadilike aimeen hili jembeee tumwombeee
@suzysam6002
4 күн бұрын
Mm ni mama kikweli pascali nimekuheshimu sana MUNGU wa mbinguni akutunze heshima uliyonayo ikakuongoze siku zote za maisha yk yote
@evachuwa3809
5 күн бұрын
Kaka unaakili sana MUNGU AKUBARIKI 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MohammedNgulangwa
7 күн бұрын
Safi sana dogo ni kama afisa habari flani anavyonyosha maelezo
@nabilmkilindi9548
2 күн бұрын
dogo hongera sana mungu akuongoze na muendelee kupendana na nna iman mtakua sawa inshaallah ❤
@HawaMdoya
5 күн бұрын
Upendo wamama haulinganishwi nachochote gali sisaman kuliko mama Ila kwakua ameomba msamaha nabinadamu hukosea angesamehe
@AtvMedia-new
2 сағат бұрын
Mungu akubariki sana
@mwajabuYusuph
5 күн бұрын
Pascal is right ❤
@ismailnahato657
6 күн бұрын
Pascal mungu akupe afya njema kila wakati,amini hekema uliyonayo ni ya kipekee sana .
@safarivahocha8077
6 күн бұрын
Pascal anaongea kwa hekima sana. Yaonekana huyu mama Ana maleza bora. Tuhukumu tusije tukahukumiwa
@heriethmosha9868
5 күн бұрын
Mungu akubariki San kijan una akili kubwa San
@poulmalulu2354
6 күн бұрын
Shida hapo ipo kwa bibi mm namshauri paschal apitie kwa bibi kurekebisha Huyu dogo ni bright
@HawaAdili
5 күн бұрын
Huyo pendo Hapaswi kuchukia mama yake anampenda sana ndomana alivoona anakoolewa mwanae hatapendwa akampeleka kwa bibi yake angekua mtu mwingine angemtelekeza mitaani hvi haoni km alijua kwamb kwa bibi yake atapendwa tofauti angelelewa na baba wa kambo
@GraceMollel-l3x
5 күн бұрын
Daaaaa, kwanza namkubali sana dogo,mpen maua yake ila Pendo amsamehe mama
@ZainabuZaina-dk7mx
3 күн бұрын
Apana grace pendo alikosea kabisa mama ni mama tu
@halimamasai2234
17 сағат бұрын
Huyu kijana maashallah yupo vizuri sana
@TABAHELAPIERRE
6 күн бұрын
Dogo Mungu akubariki unahekima sana kwakuongea ila muyajenge kama familia yataisha
@salamamusa753
Күн бұрын
Pendo bibi ndo alikuwa ajielewi angekueleza kwamba mama alikuwa anakusomesha na pia angekuruhusu uongee na mama kwa cm,kwa maelezo ya mama bibi alikuwa hataki uongee na mama , bibi kasababisha hayo yote ,msamehe mama na bibi pia maisha yaendelee.wengine tumejifunza kwa tukio hili.
@skbgosple7766
Күн бұрын
Kweli
@merynessfelix9158
7 күн бұрын
Pendo yuko sahihi kabisa, coz ameishi hajui thamani ya mama, unasikia mama yako yupo ni tajiri afu wewe unaishi maisha ya shida lazima ujue wazazi ni wakatili hakiwai kujua thamani ya mama, thamani kwa watoto wetu tunaitemgeneza wenyewe. Swali je huyo mama miaka yote hiyo alikuwa haendi kumuona mama yake akapata nafasi ya kuongea na mwanae. Uolewji gani huo jamani ata kama umepata mwanaume mwenye pesa kweli? Afu siku ya graduation ndo ujilete na gari, hasingesoma inamaana hasingemjua mama yake?
@drinnerfuraha1161
6 күн бұрын
Sasa ingekua pia hakusomeshwa na mmke si ingekua vbaya zaidi sion haja ya kuekea chuki mzazi wako wakati ametambua makosa yake msamaha upo hakuna alie kamili
@reginaldmapunda6702
Күн бұрын
Pendo yuko sahihi sana na mama hakumwandaa mapema Pendo wala Paschal. Kuna jambo mama alitakiwa alifanye kwa hawa watoto kabla ya tukio hili na zawadi ingefuatia . Hatujui Pendo amepitia magumu gani na huenda alishaambiwa kuwa mamake alishakufa na huenda hata babake hamfahamu. Pendo anahisi mamake alikubali kumtelekeza kwa faida ya kile alichojichagulia na kukiona ni kuwa ni bora kuliko Pendo. Pendo Anajisikia ana thamani ndogo kuliko kile ambacho mamake kilimfanya amtelekeze na hicho kitu siku akikifahamu nacho hatakipenda kwa sababu ndicho kitamkumbusha magumu aliyopitia. Pendo sasa ni mkubwa ki umri na kielimu na bado hivo haviwezi kumpa nafasi ya kusahau utamu wa mama aliostahili kama alivyoona kwa watoto wenzake. Tunaweza kufikiri kuwa gari au pesa vinaweza kufuta makosa ya mama kumbe si kweli, Pendo angweza kupokea maneno tu ya mama kwa furaha zaidi kuliko hizo zawadi na Pendo anahisi kuwa anapumbazwa au kusahaulishwa madhaifu ya mamake kituambacho kikawaida wanafanyiwa watoto wadogo na yeye anajisikia amekua na ana elimu yake isingefaa kuchukuliwa kama mtoto wa darasa la pili.
@abdallahkihanza482
19 сағат бұрын
Pascal yupo sahihi, huo ndio uwanaume, hongera sana
@kharmxowrashid707
6 күн бұрын
Kijana yko vzr sana hongera kaka 💪❤
@LuckyStar-n5p
7 күн бұрын
Dg unajua kujielezea bg up👏
@JenaniKilipamwambo
5 күн бұрын
Pendo,Pendo,Pendo .Msamehe mama .Duniani tunkose kila siku.Naomba Pendo umsamehe mama😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@ElizabethDaudi-b6v
2 күн бұрын
Dogo unaakili sana,ila pendo alitanguliza sana hasira,ajui tuko wengi tuliotengwa nampaka Sasa mzazi au mama Hana upendo ubaguzi unaendelea mpaka Sasa lakini najitaidi kusameheetu nawala habasiliki kitu
@eliseoseverine
6 күн бұрын
Kwakweli huyu kijana Pascal ana hekima na busara sana, tunawataka vijana kama hawa katika taifa letu, wazazi tuwalee watoto wetu katika malezi bora kwa ajili ya taifa lenye maendeleo
@salamamusa753
Күн бұрын
Kilichopandikizwa na bibi ndicho kilichojitokeza ,naamini Pendo atakaa sawa baada ya kupata ukweli atakuwa best wa mama sana ,ashukuru mama yupo hai atampa mwongozo mzur wa maisha ,kwa mama ilikuwa ni mapito tu
@EmmanuelTamosha
Күн бұрын
dogo yuko vizuri tuu sana sana nimefurahi kwa hekima ya pasko
@SarahM-bq7us
2 күн бұрын
Dogo uko sawa mungu akupee maisha marefu unaongea kama mtu mkubwa🎉🎉🎉
@suleymandachi782
5 күн бұрын
Huu ni uongo sababu miaka yote huyo mama asiseme kama anamtoto ghafla aseme anamtoto nakutoa zawadi kubwa tena kupitia kijana wa online tv tena anakabidhi kihuni tena bila kumuona mtoa zawadi na dhamira yake ni ipi uongo mtakatifu huu
@ashurantunzwenimana5975
5 күн бұрын
Inaonekana paskar hakuwa anamtemberea hata bibi yake kwasababu angemtemberea angemujuwa dada yake
@fredybanda2861
4 күн бұрын
Nikweli angekuwa anaenda kwa bibi wangejuwana
@antybabybintrashid2333
4 күн бұрын
Nyie Kuna wanaume wakatili mm nko nae cuzo wangu ameolewa lakin hakuna mtu yeyote Kwa familia anejua anakoish kiufupi mume hataki mke aende kwao na watoto hawajui mtu zaid ya baba Yao na mamayao bibi mzaa baba
@TundaBakari
5 күн бұрын
Dogo uko sawa nakuelewa mzazi alikosea lkn amejirud sion baya🎉hapo pendo amekosea
@dameboyboy2068
6 күн бұрын
Safi dogo mungu akubariki sanaa
@EuphrasiaNtawatawa
2 күн бұрын
Pole sana Pendo,kumbuka pia mamako aliumizwa sana na baba yako lakini kwa upendo mkuu bado alijaaliwa kukusomesha kupitia kwa bib inamaana alikuwa anakuthamini,msamehe mama pokea zawadi maisha yaendelee,dogo una akili na upendo wa kweli sanai
@EsterNaali
Күн бұрын
Mtoto alihitaji malezi ya mzazi wake kwa hiyo malezi ni Bora kuliko gari,inawezekana alipitia maisha magumu Sana.
@naomichristopher3941
6 күн бұрын
Pasco , yuko sahihi tena ana busala kijana mdogo Lakini anahekima ya ajabu , sijapata kuona , uishi maisha malefu paskali , huyu dada asifanye hivyo Ludisha moyo Pendo .
@radegundamateru235
5 күн бұрын
Pascal Mungu akutunze skuongezee hekims maishani mwako
@KabenderaTijara
6 күн бұрын
Hata watoto alioawqza hawakujua wana data alimtenga kwa nini?aondoke huko na gari zake
@sophiaherman8091
5 күн бұрын
pendo msamehe mama sana tunamuombea msamaha hata wewe hujui mwisho wako badae msikilize mdogo wako paskar ana maneno mazito sana usifanye ivoo pokea zawadi mamii
@bintimbuto5740
5 күн бұрын
Baba niko mbali ningekuwa karibu ningekupa mwanangu una busara ekima na akili nyingi mungu akubariki utakuwa baba mwenye ushauri mazuri sana kwa familia 😊
@muhammadmuhammad5043
7 күн бұрын
Dogo Pascal Yuko Vizuri Mashaallah Na Pendo Atakubali Ukweli Kwanjia Ya Huyu Pascal Atakapo Mueleza Yote Babi Ndio Chanza Kikubwa...
@albertlihawa
5 күн бұрын
Huwezi linganisha thamani ya gari na mahusiano ya mahusiano ya mzazi na mtoto. Angetafuta namna nyingine ya suluhu then akiridhia ndio gari ifuatie .she is not cheap. Binti anajitambua.
@RoseSilayo-eb2dz
2 күн бұрын
Mm kikwwl ngechukua gar😅😅
@LLl-p4r3l
Күн бұрын
Hongera xana dogo uko na hekma na mungu akubariki xana
@PRICASAIDI
5 күн бұрын
Pendo akumbuke kuwa kuna maisha baada yakesho mama kwa mama kafanya vizuri Sana ili uijuwe familia yake maana kesho utakuta wameowana Siku za mbeleni halafu ulaumu wazazi kwa kweli pendo Hana hakili
@judithtitomalyeta4000
2 күн бұрын
Pendo hajatumia akili awezi jua mamq yake alipitia changamoto gani ,mwanamke utayakuta ya dunia
@SubiAbdallah
5 күн бұрын
Pendo ni mtoto ila uyu mama pendo ndio mkosaji sana kwani alishindwa nn kua nae Kalibu ila inawezekana sana kumpeleka mtoto kwa mama yake na akamtembelea mwanae ila penda yupo saihi sana awezi kufanyia ivyo
@wisewise2482
2 күн бұрын
Dogo anajielewa sana hongera sana Mwamba. Ila mwisho amefeli
@drinnerfuraha1161
6 күн бұрын
Pascal yuko sahihi kabisa sababu mama alijua makosa yake ndio katoa zawadi ya gari ishara ya msamaha mbna asimsamehe mmke na alimsomesha
@NizigiyimanaJoselyne-d8f
5 күн бұрын
Pascal angela sana baba ukue ivo hivo na mungu akubaliki
@mvunge7108
3 күн бұрын
Pendo yupo sahihi...huyu pascal hakuwahi kumjua kwa miaka 17..hakutembelea hata bibi yake..pendo hakuwahi kufikisha miguu nyumbani kwa pascal
@esterMahenge
5 күн бұрын
Uyo pendo mjinga tu watoto wengi wana lelewa na bibi zao wa mama wameenda kutafuta na bado mama yake ana msomesha ,alitaka afanyaje ili ajue mama ake ana mpenda
@NamiriNamiri-oz4xs
5 күн бұрын
Tujifunze kitu hapo teacher vi here here vya kukimbilia midia kabla hatujamaliza mapungufu yetu.
@suleimanjokoro
7 күн бұрын
Dogo ana i.q kubwa, big up kwake!💪
@B-TZ
7 күн бұрын
Dogo unaakili Sana hongera Sana mungu akubarik kwa kuwa na busara
@ummyhoza4495
7 күн бұрын
Pascal yuko sahihi hakuna kama mama
@sadickissa1600
4 күн бұрын
Dada ako hana Akili, pendoana.muhadhiri mama ake
@mambazizephania
5 күн бұрын
Yaani yanauma lakini pendo alikosea Hekima inatakiwa pendo arudishe moyo nyuma mzazi nimzazitu
@estermulungu3833
4 күн бұрын
We kijana neema ya Mungu ikutunze,Pendo wanawake wanapitia mengi huwezi kujua msamehe mama tu.
@Nghomano
6 күн бұрын
Dogo uko vizuri sana hongera
@emanuelnkukwe5453
7 күн бұрын
Dogo anaupako wa maneno ya Hekima..na ndiye mpatanishi wa familia hii Abarikiwe..Ila chanzo ni bibi😢
@deuskisabo3223
4 күн бұрын
Pendo rudisha moyo nyuma msamehe mamaako izo ni changamoto tu za maisha, japo mama alijari mapenz sana kuliko uzao wake wa kwanza
@KabenderaTijara
6 күн бұрын
Una deko kwa kua umelelwa na mama ako huyo binti mmuelewe msimuhukumu hata kama mama ni mama ndo atelekeze akijua ntakaporudi watanipokea?Pendo hakuhitaji gari alihitaji upendo wa mama ambao hakuupata
@ZawadiHemed
5 күн бұрын
Huyu kaka kila sehem yupo nyie mnataka kutrendi wewe siulikuwa mtoto wa bibi wa miaka 50 aliemganda kijana wa miaka 23 au nanyie mnaomuhoji mnatafuta view tu sio kaka ake pendo Wala mdogo wake kutaka kutrendi tu kuog aaa
@AngelPatrick-i3b
Күн бұрын
Kabisa my dada
@CHARLESJUMANNE-d3m
20 сағат бұрын
Binti kakosea sana tena San Bora angechkua hyo car.mbele ya wahitimu wnzie
Wewe ndo humuelewi huyu kijana au hujadikiliza mpaka mwisho
@DamasObeid
6 күн бұрын
Kijana mdogo akil kubwa
@suleymaniqram1510
5 күн бұрын
Pascal Pascal Pascal amenena kweli
@EuphrasiaNtawatawa
2 күн бұрын
Na wee Pendo kumbe unajuana na kaka yako,sasa kinachokufanya ukatae zawadi ya mamako nini tena,au kiburi na ukatili wa babako aliyetelekeza mimba kinakutawala?
@GoodluckMweta-p6c
5 күн бұрын
Akika dogo yuko saiii sana py dada siwezi muukumu py alikuwa sahihi kwa wakati wake ila dogo nime mkubali sana mrudishe mama katika kifua cha dada ili waya malize ila dogo pongezi kwako
@mariafwemasafisana.....pen5496
4 күн бұрын
Pascal 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 hata pendo hana kosa
@pudencianamnunga9564
2 күн бұрын
Pendo amekosea ila kuna upande alikuwa Sahihi, mama hajamuona miaka mingi, kwa nini mama asingeanzia kwa mama yake( Bibi Pendo), kwa sababu anajua Bibi kampa Sumu mjukuu? , hii Hali kwa ghafla Hivi jamani sio rahisi kuipokea. Asamehewe Tu Pendo
@IreneJonas-t2r
4 күн бұрын
Inauma jaman hauwez juwa binti kaptiya changamoto ngap
@FadhiliDrona-q3r
6 күн бұрын
Dogo yuko very smart kwenye speech yake
@novathmboya8507
2 күн бұрын
Hizi ni kick za mtandaon tu huyo dogo sio kaka yake utamwona kwenye kids kingine andika bibi wa Miaka hamsini Amanda kijana wa Miaka 23 utamwona Tena anahojiwa
@HIDAIAZngbar
3 күн бұрын
Mama ni mama hakuna mwenye dramatic kama mama Amsamehe tu
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
2 күн бұрын
Huyu mtoto anaakili sana Mungu akutunze paskali
@Norah-s9f
5 күн бұрын
Alifanya vizuri sana kukataa,kilicho mufanya hakumulea huyu dd ni nn ?huyo mm aseme ukweli😂😂😂 asituzingue. Mkenya
@ndogolofadhila6203
2 күн бұрын
Hata mimi ningekuwa pendo ningegoma mbaka pale nitakapo amua nikubali uwepo wake ama nijikatae mazima kuna laha ya kuwa kalibu na mama sisi ambao tuliwa poteza mama zetu tuliishi kwa shida sana bila mama sasa chukulia mama yupo ila hakutaki kisa mwanamme
@MagrethMallya-we8ui
6 күн бұрын
Majina ya ya PENDO Mara nyingi sana ni visirani. Majina ya PENDO viburi, jeuri, na kujisikia mnoooo. Umesoma lakini akili huna !!! Ngombe wa nyumbani kwenu, nyau wewe.
@GloryMrema-iy5uj
5 күн бұрын
Pascal ni jembe jamani Mungu aendelee kukutunza
@GloryMrema-iy5uj
5 күн бұрын
Hongera Sana Pascal unajua kujieleza kwa ufasaha
@SalmaMusa-w4v
3 күн бұрын
Pascal nimemuelewa dogo ana mawazo yakikubwa sana ukirudi nyuma bibi ndio na yeye anahusika haya kwann alikuwa hamshilikishi pendo kwamba Hela anayosomeshewa inatoka wap hata yy pendo alikuwa hajiulizi Hela inatoka wap alikuwa hajiulizi yeye pendo
@AliaJuma
Күн бұрын
Kwaupanda wangu kitendendo cha kukataa gari yupo sahihi ila ni ngemsamehe mama ila gari nisinge chukua
@kabujeasukile5462
6 сағат бұрын
Mama hana akili tena ni muuwaji mfano huyu dogo ana miaka 17 alafu toka azariwe hajui kama ana dada anaitwa PENDO
@HawaAntoni
5 күн бұрын
Pasker yupo sahihi yupo vzur Sana namkubali sana
@Somoeomarysaid
9 сағат бұрын
Huyo dada hana akili. Kalelewa na mama miaka 8 . Kuna watu walitupwa na mama zao wakiwa wachanga lkn wanamtafuta mama. ..
@gracelema2374
6 күн бұрын
😢😢upendo ukanunuliwa kwa gari gia ndo imezingua yule dada angemsamehe mama yake hata bila gari et unakuja umebebelea gari na camera ugundue nn nachomoa tuu
@tccsfa5490
Күн бұрын
Da!! Dogo utafika mbali,waona mbali washa kuona......
Пікірлер: 287