Kaza buti chumvi mie nakuombea kaka angu pia ogopa la mungu tu la mwanadam never...
@SashaBeib-jk1im
Ай бұрын
Our Mr chumvi nying tunakupenda sana
@ramajuma4063
Жыл бұрын
Muandishi Bana Uko kwa Rader zangu Sana in short nimeku love 😍
@rizoibrahimovich605
Жыл бұрын
Ahsant JUMA Kwa kunipenda haha
@user-cr8cs2qc8f
7 ай бұрын
SUBHANALLAH.JAMANI CHUMVI WETU WANAKUROGA.MUNGU ATAKUONGOZA ISHAALLAH.HAWAKUWEZ BANA.MUNGU YUKO PAMOJA NA WEW🙏🙏🙏 nakupend sana chumvi
@prezgal8869
4 ай бұрын
Madebe yuko vizuri sana kwenye kutafuta majina unique
@chinaboyzanzibar5328
Жыл бұрын
MY BROTHER I AM PROUD OF YOU MY ALLAH ALWAYS MAKE U HAPPY AND ALSO MAKE UR DREAM TO BECOME TRUE INSHALLAH AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@chiefnumborecords4819
2 ай бұрын
Aisee mimi ni shabiki yako kazi zako zooote nimezifuatilia ktk youtube
@chiefnumborecords4819
2 ай бұрын
Awakuwezi mwenyezi mungu atakulinda mimi mwenyewe shabiki yako nakuombea saaana duwa njema japo uwezi kujua wangapi wanakarama kuubwa wanakugagi wewe kwani kazi unazo zifanya zinatutoa tree's na kutuburudisha tupo tunao kuombea duwaa wewe kaza sana awakuwezi hao
@slimmuhabesh2400
Жыл бұрын
Pole sana
@rizoibrahimovich605
Жыл бұрын
Team mkojani TUJUANE
@DaudomataAmade
11 ай бұрын
🎉🎉🎉 chumvi nyingi kwe chumvi nyingi karibu kwetu mozambique.
@eliasonsomu1491
Жыл бұрын
My comedy ,lve u chumvi
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
Chumvi nyingi tizama mchezo wa fagio series, yule mtanga makofia na bakora yule, yule noma sana, ana kipaji kuliko maelezo. Shirikiana nae utaona mafanikio makubwa. Yule jamaa sjaona kwa sasa ikiwa atajifahamu haswa atashinda.
@matataoneproduction5355
Жыл бұрын
Wewe mtangazaji jifunze kuongea vizuri kiswahili unaboa unapotia herufi L kwenye R acheni mbwembwe nyingi kwenye kuongea mpaka mnaharibu tathnia ya habari
@mwanahamisbeku4094
Жыл бұрын
Mkojani anatakiwa afikilie man Kuna tini kuna nagwa kuna kirangaso na chumvi wote awapo na yeye mmmh
@Kichwa_Cheupe
Жыл бұрын
Wakwanza kutazama nipeni like zangu hapa
@saidmwinyi7062
Жыл бұрын
Mkojani na chumvi ni hatari bwana
@edwinmiriti335
Жыл бұрын
Wachukue mabwende na chando master
@LameckMnyika
10 ай бұрын
Nakukubal sana chumv nakuombea ufike mbal
@billylovebillybillylovebil580
Жыл бұрын
Chumvi nyingi nampenda sana anavyo igiza pianili kuwa napenda san wakigiza pamoja na mkojani
@romeoabdul7499
Жыл бұрын
Umeondoka WCB?duh uchawi upo
@geraldmwangira.4978
Жыл бұрын
Chumv rudi kwa Mkojani mkayamalize, yaan sai ungegua kwenye Umbamba ingeniga zaiidii.
@Oman-nu2kc
11 ай бұрын
Nakukubali sana chunvi
@ismailnongwa6332
Жыл бұрын
Amwenye Mimi niko pamoja na wew nakukubali 100% pambana mndenge mwenzangu
@latipherHussein-ig8uk
11 ай бұрын
Mkojani tatz komed nyingi paka anaboa
@ibraimoissiaca6058
Жыл бұрын
Bro usifanye sana interview utaonekana unalalamika lalamika watu watakuchoka
@reinatave780
Жыл бұрын
Ni Kwer kabisaa
@jacquelineadrian6436
Жыл бұрын
Umeongea point kubwa sana
@mashramadhani1989
Жыл бұрын
Muache afanye mladi aongee ukweli
@rakinaabdalla7193
Жыл бұрын
Kabisaa yanii
@user-jk1gq4mp9u
Жыл бұрын
Chumvi nakukubali san mwngu
@samiyasaidirindo1969
4 ай бұрын
Msifanye ivojamani
@user-ix5vj6sx9u
Жыл бұрын
Pongezi kaka Kwa kazi zako
@kadeshchege7455
Жыл бұрын
Kumbe uchawi upon😱.sielewi yaani mtu anaeza kudropisha bahati ya mwingine
@shadaphnalinga1661
Жыл бұрын
Daah! Aisee mtangazaji ni mzur Sana tena ni muislamu huyu bint na popote alipo nahtaj kumfaham na cjuw Instagram anatumia jina gan Ila dada nimekupenda Kwa kwel
@jacklinejacklinejonh6530
Жыл бұрын
Me nakupenda sana
@abuuabdillahtv8457
Жыл бұрын
Chumvi kwann uskae na mkojan mkayazungumza na mkojani kuliko kuyasema mtandaon
@makamekombo8243
Жыл бұрын
Wandereko mmmmmmh
@ushindibyamungu335
Жыл бұрын
Ongera sana mwandishi kwa kumtafuta chumvi
@furahamandai6628
Жыл бұрын
Chumvi tuna kukubali Sana Mzee wa Kula ubuge
@gilbertkalanda9354
Жыл бұрын
Kumbe Mkojan ni mchawi kiukweli kweli ? 😀😀😀 Maana mmetaja uchawi hapo
@nassjr6566
Жыл бұрын
Bambane ww uckubali saw
@maasaimkisii9089
Жыл бұрын
Good work bro
@user-wc7sn9pz3v
8 ай бұрын
Mkojani gang vp 😮😢
@mariocharque7066
Жыл бұрын
nakuelewa sana
@binthkhamis8042
Жыл бұрын
Ndio maan sikuoni kwa ugai gai
@jalinachilala8465
11 ай бұрын
❤❤❤❤
@jamalmnema8334
Жыл бұрын
We muandishi ubadilike unaongea sana kuliko anae hojiwa
@rugendorunene545
Жыл бұрын
Ushirikina hata kwa uigizaji jameni... hii hatari!!
@user-jr4gq1py2d
9 ай бұрын
Bila kuchoka
@yogwemwakulola1634
Жыл бұрын
Nagwa hayupo tayari simuoni kweye umbambamba
@aishaomarry6996
Жыл бұрын
Hata chado hayupo
@shukurulazaro8688
Жыл бұрын
Safi sana
@movieseries11
Жыл бұрын
Unaongea san mwandishi
@OpecSadick
Жыл бұрын
🤔🤔🤔
@qtrqtr8016
Жыл бұрын
Yuwafanana na rayvanny
@selemankishuga948
Жыл бұрын
Uyoo mwamba anajua
@mashramadhani1989
Жыл бұрын
Chumvi uko vzr sana
@chiefnumborecords4819
2 ай бұрын
Ivi kitunguu maji ni wewe au?
@furahamandai6628
Жыл бұрын
Mkojani akuwezi bwana kaotambawa mshamba
@twahirushabann9788
Жыл бұрын
Hata mm nishabiki namba 👆 wachumvi nyingi
@alimkumbukwa8363
Жыл бұрын
Mtngzaj bdo sana
@amidjaja5695
Жыл бұрын
😂😂😂
@levythadon6387
Жыл бұрын
Mkojani mpumbavu sana
@rajabdullaz1026
Жыл бұрын
Peleka umalaya wako huko unawasema mafundi
@kwangwaluboy8923
Жыл бұрын
Chumvi nyingi wewe unaweza kaza
@ibrahimmahidaya7124
Жыл бұрын
Dogo nakuona mbali sn
@jacquelineadrian6436
Жыл бұрын
Unaongea balaa mtangazaj
@qtrqtr8016
Жыл бұрын
Ugaigai haina maana ulivyotoka haina maana ata siiangali tena
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
Yaani saivi yule jamaa aloect fagio. Kibandiko😂. Yule burudani. Sjaona kwa sasa
Пікірлер: 83