Safi Sana Baba,Huwa hawataki kutumia Hela walizonazo,wanataka ziongezeketu,sijui wanataka watengeneze magodoro ya noti za efu10,10,10
@erastomwambeje9920
10 ай бұрын
1.Kwa hiyo nauli apate wapi ? 2.Kwa hiyo nani anamlipa mwinjjilisti ? 3.Yaani unataka mwinjjilisti atumie gharama zake ? 4.Hivi Jina lipi ? 5.Yaani kuwa mwinjjilisti lazima uwe mwinjjilisti wa Taifa ? Mzee Kuna tatizo kwenye mfumo mzima wa kikatiba. Chunguzeni Katiba,ina shida
@derickcowly6681
10 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana mtumishi wa Mungu
@MaryElisha-hs3zq
10 ай бұрын
Ubarikiwe Tena wamezoea
@salvatorybakilana2378
10 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@eliamtinda7222
10 ай бұрын
Amen! Blessings, blessings, blessings!
@PhilipoMwandry-zw1gb
11 ай бұрын
Mkurugenzi mkuu uko vizuri hujakosea😅😅
@beniviva5014
10 ай бұрын
Wataendaje wasipo pelekwa???😳
@mosesmligo9614
10 ай бұрын
Point.
@beniviva5014
10 ай бұрын
Kabisa kaka
@justussebastian4779
11 ай бұрын
Si kwa Nia mbaya na lile andiko lisemalo.... 1.watasikiaje wasipohubiriwa,watahubiriwaje pasipo muhubiri na watahubirije wasipopelekwa?? Kuhusu kupelekwa ..si ni kusafirishwa huko... 2. Na andiko lisemalo Mungu ameamuru wahudumuo katika Injili wale katika Injili je wainjilisti hawapo hapo?? Nadhani kibaya ni kuweka masharti ya bei aina ya usafiri n.k
@neemaraphael660
11 ай бұрын
Ubarikiwe baba yangu
@veronicamnico4773
11 ай бұрын
Amina babaangu MUNGU akubariki sana 😭😭 hadi machozi yamenitoka 😭 nilisha jiuliza maswali yasiyo na majibu🤦🤦
@zawadimwakapala7935
10 ай бұрын
Naona wanakusifia mwinj. Lakin ukwel kuna wengn ni wainjilist wema lkn hawana nauli, na wale wenye uwezo wanaonekana..... Ni muhimu wapelekwe kama hana uwezo.....na hata wew pia kuna muda ulisaidiwa na sio kwa tamaa lkn sasa Mungu amekwunua hivyo wasaidie wengine wakahubir injili.... NOTE: kweli kuna wainjilisti wana uwezo wa kufika mahali na bajeti ya kula mwaka mzima lkn wanaweka vikwazo hivyo, achana nao....lkn pia mwinj. Lazima aangalie hali ya kanisa anakoelekea inaweza ni mbaya kuliko yake.....
@NicodemusGasore-xk9kd
10 ай бұрын
Mimi nina mawazo tofaut kidogo ktk eneo la kuacha logistic nyumban.......aloyeitwa ni muinjilist mkutano wa siku 10, kabla hajaondoka lazima ajue mke wake na watoto wake watakula nn........sasa hyo yahtaj hekima pia
@beniviva5014
10 ай бұрын
Sahihi mtumishia
@chaulam5567
11 ай бұрын
Safi sana mtumishi
@GloriaSilayo-e3b
11 ай бұрын
Amina mchungaji 🙏🙏🙏
@regnethmtemanyongo2237
11 ай бұрын
Amina baba
@mosesmligo9614
10 ай бұрын
Naona wainjilist mapovu meng😂😂
@RichardTenga-yj3qo
11 ай бұрын
Ubarikiwe mkurugenzi,umenena jambo jema kabisa.
@EdwinMbwilo-fj6bf
10 ай бұрын
Asante Yesu
@josephmusagasa5566
11 ай бұрын
Lakini kama hana nauli akiomba siyo mbaya,kama unayo unamtumia tu na kama huna mwambie kwa uzuri tu. Mbona hata wachungaji wengine hudai hivyo hivyo?
@DeoKasokola
11 ай бұрын
Wewe mch. Wataendaje wasiopopelekwa
@ashambena6910
11 ай бұрын
Asante baba umenena
@EmanuelJohnIbrahim-iw5kc
11 ай бұрын
Umesema kwel
@wilfredlukowo9476
11 ай бұрын
Hiyo imeenda tumekuelewa
@PaschalIbrahimu-le4yv
10 ай бұрын
Tunahitaji tiba
@peterkihongosipeterkihongo1154
10 ай бұрын
Inamanisha wainjilisti tufanye kazizamikono
@m.m.tvmbebamaono
11 ай бұрын
Unasema kwel mkurugenzi
@MushagalusaLeonard-zw8rr
10 ай бұрын
Bwna Yesu asifiw,sasa mwalimu mfano Niko Drc Congo naitwa tzn na wala sina nauli nifanyeje ?mzee chunguza hili...
@benjamenshepa1000
10 ай бұрын
Huyo Mungu anaekutumia hawezi kufanya njia
@GloriaSilayo-e3b
11 ай бұрын
Wengi wametukatisha tamaa
@festokivuyo7121
11 ай бұрын
Asikiae na afahamu na kuelewa kama ilivyosemwa
@coolruler6820
11 ай бұрын
Makanisa ya leo ni changamoto kubwa,,,ukiachana na KKKT haya ya sijui manabii, mitume, kuhani ni shida kubwa. Unakuta kanisa ni la mtu binafsi, unamkuta mwenye kanisa kajilimbikizia mali kibao, ila angalia wainjilisti wake na wazee wa kanisa walivyopauka, hawana hata baiskeli, ila Nabii, Kuhani au Mtume ana gari zaidi ya moja tena ya kifahari. Kuna changamoto kwa kwelimakanisa ya leo,,,arudi tu Mkombozi wetu ajionee
Пікірлер: 36