Penye ukweli tusitumie u babe, ester Yuko sawa hii ni kwa watanzania wote pasipo kuendelea mtu yeyote, pole dada nimekuelewa Sana Sasa umekua hongera sana
@yusuphmsuya8336
5 ай бұрын
Zungu sio spika anaongoza kwa matakwa yake
@emmanuelsulle911
5 ай бұрын
Esta Matiko, Hongeraaa sana Mungu akubariki Mno,✌️✌️✌️
@jeremiahngoka4980
5 ай бұрын
Abarikiwe nn huyo?.Acha kumsifia upuuzi wezi wa kodi zetu hawa.Wabunge wa mchongo
@PeterRhimo
4 ай бұрын
Hongera ester kwa watetez wa wanyonge watu tumepoteza nguvu kazi vijana wengi sana
@thomasmollel9465
5 ай бұрын
Hongera dada esta
@JumbeRichard
5 ай бұрын
Esita ubarikiwe Kwa kweli Maana how wajamaa kwa kweli wanapiga sana watu risasi
@RamaOmari-ei9yk
5 ай бұрын
Zungu unazingua sanaa aisee tumia akili acha matisho
@Petro.John.
5 ай бұрын
Kabisa, kusema nitakutoa nje si jibu , hizo ni vitisho, ishu ni kutumia busara,nampenda sana Tulia Ackoson anatumia busara.
@SmilingCityMap-xb9md
5 ай бұрын
Anaezidiwa akili lazima atoe makucha kujilinda maana akili ndogo utamsikia kila mala akijilipua kama baluti maana hukosa hoja za busala kulinda enzi yake@@Petro.John.
@calvinjoseph4278
5 ай бұрын
Hongera mheshimiwa dada estar kwakusimama kwenye haki
@NemesiRabow
5 ай бұрын
Esta mitano tena
@user-fl7jl7vk3n
5 ай бұрын
Uko sahihi dada yangu mungu akubariki sana askari wanapigia watu risasi kama wanyama tumechoka na CCM
@RamaNinga-jv2xw
5 ай бұрын
Bila ya kuwa mnafiki huwezi kuwa mfuasi wa CCM lazima uwe mnafiki ili upate kula.
@hajihassan5433
5 ай бұрын
@@RamaNinga-jv2xw Polisi kupiga watu risasi na CCM kunahusiana je.
@zanzibamjimpya17
5 ай бұрын
anaye ongoza selkari ni ccm je unakwepa vip hapo
@HashimuHashboy-bo2wl
4 ай бұрын
Tanzania hakuna mwananchi anayewexa kuuwa askari wananchi silaha yake ni mkuki mshale na panga inawezekana aka pambana na askari mwenye smg bunduki yakivita acheni uongo
@elizabethmassi7327
5 ай бұрын
huyu waziri nafasi aliyo nayo haimtoshi wenzie wanatoa hoja yenye msingi na yenye kitu kipo halafu anakwepa
@petermboje5839
4 ай бұрын
Huyu hafai kuwa waziri hii nafasi amepewa tu kwa ajiri ya
@happyjeremiahmhuli4043
5 ай бұрын
Mkisikia tumechoka tumechoka.Na hakuna ripoti mlileta kwa masilahi mazuri ya umma
@AlexFanuel-i1p
5 ай бұрын
Waziri hajitambue anatetea wapofu hata mungu anamuona
@gwamakagwamaka
5 ай бұрын
Kwani huyu zungu nimbunge wawananchi au nimbuge wa serikali maake kila sikuyeye anaitetea serikali Sasa najiuliza hili mbuge ni laserikali au wananchi sipika ziro mawaziri ziro yani hivyo tu
@mokeya
5 ай бұрын
Asante kwakuliona hilo.
@SimonsamweliKivuyo
5 ай бұрын
Anahepa maswali Suma wanaua raia kila wakati hakuna hatua wana chukuliwa
@NixonGerson
5 ай бұрын
Kumbe ni majizi haya hayataku hoja nzito wanataka kusema ndio . Kuanzia leo nutamdharau mbunge yeyote nitakayemuona jimboni kwangu
@NixonGerson
5 ай бұрын
Hawa wote ni wizi wa kodi tu mishahara ya wizi tu watu wanakufa njooni muone makaburi acheni utani....
@tonysadick5338
5 ай бұрын
Watu wanakufa asilete masiara na dam ya watu polisi ni wakae vizuri na wana nchi
@michaelndilima6210
5 ай бұрын
Ki namama oyee safi sana.
@OmarButotela
5 ай бұрын
Esta matiko hongera sana,naomba namba yako
@charlesmwambinga4355
5 ай бұрын
Bunge lipo Tupu wameenda wapi ?
@jitabojilala6162
5 ай бұрын
Yaani mnajibu kisiasa huku watu wanauawa 😢 Mungu simama na Taifa lako
Ww waziri mbona unajitoa hakili pia mbona mnakoromeana kunawatu wamepotea serengeti hata ndugu yetu ameishia huko mpaka leo ni miaka mitatu sasa
@jemeslaizer8436
5 ай бұрын
Ni kweli inalinda ccm na wenye nguvu.
@zephaniasirikwa7495
5 ай бұрын
Hivi waziri anajibu swali au anapiga porojo bungeni?😮
@diegoshanga8184
5 ай бұрын
Bwana waziri majibu mbona mepesi!! Watu wanakufa hukoo!!
@emmanuelsulle911
5 ай бұрын
Hakika,Matiko,na hawa wabunge wawili wa kike wako vizuri Mno, lakini huyo jamaa Hana hoja kbx
@NardhisMhagama-sy3eq
5 ай бұрын
Ukisema ukweli nakutoa nnje ikosiku yata warudia lema alisema. Kamuulize jonn heche Kwa mdogo wake opareshen tokomeza ilikuwaje
@augustinomhanje9225
5 ай бұрын
Waziri unatakiwa kuelewa hoja. Issue ni wanakijiji wanaingiliwa maeno yake. Sasa suluhisho nini?. Ili kuepusha mauaji ya watu.
@MichaelKingazi-wm7xj
5 ай бұрын
Haki huinua Taifa,bali dhambi ni album ya watu wote, tuungane kuliweka vyema Taifa letu.Amen
@Mjeda-q1m
5 ай бұрын
Muogopeni mungu polisi hawatendi hali wamekuwa sehem ya serikari na wawekezaji wanafanyakazi kwa maelekezo
@BonifaceHassan-j5m
5 ай бұрын
Upo sahihi dada yetu mbungee, esta!
@ngotosilasi2099
5 ай бұрын
Waone hadi aibu watu wamekufa sana fika ramadi au bunda uliza utalia
@petermabula4492
5 ай бұрын
Ee mungu atusaidie tumepata wengine ambao wataungana na jamii yetu ya kifugaj
@JumaJuma-js2sm
5 ай бұрын
Kweli wanaua
@user-fu3hn1ms2j
5 ай бұрын
Hovyo
@Emmanuelilemomo2024
5 ай бұрын
Hongera.esta
@nghomanohosea9251
5 ай бұрын
Waziri acha kutetea mambo unayo yajua Kama huna jibu ni bora ukae kimya,
@William-ki1st
4 ай бұрын
mungu akuinuw dd esta usiogope kuongea ukweli mungu maybe ni mukweli
@William-ki1st
4 ай бұрын
mungu akuinuw dd esta usiogope kuongea ukweli mungu naye ni mukweli wapolis wanaua raia
@daudimwita-bk6mg
5 ай бұрын
Hamna, katika hili la vyombo vya usalama kuwakatili wananchi Waziri using'ang'anie msimamo
@WamburaNelson
5 ай бұрын
Mh. Masauni umekosa sifa ya kuwa waziri. Kama huwezi si ujiuzjlu tu.
@faustinluambano2958
5 ай бұрын
Huyu hafai kuwa kwenye hicho kiti
@chingaboy1149
5 ай бұрын
Nani hm
@levissanga8867
5 ай бұрын
Waziri hana.majibu sahihi.
@yusuphngwele4190
5 ай бұрын
Waziri bado hajajibu hoja.na hiyo ripoti ikifika mawaziri watakubali kuwajibika.
@FatnaAlly-go7yt
4 ай бұрын
❤❤
@saidybhoky-lb7hg
5 ай бұрын
ccm mjitafakari sana kweli tanapa watu wanaishutumu sana
@pauloropian2367
5 ай бұрын
It's fine mawaziri Kama hayo mawaziri Kama hayo Kama si watoto wao au watoto wa watoto wao wataikutana na Mambo Kama hayo yanayo wafumbia macho
@LazaroELucas
5 ай бұрын
Huyu NI wazir au chawa
@raymondnlelwa427
4 ай бұрын
Ni Chawa, si ndo wale wale??
@evaemil856
5 ай бұрын
Itawasilishwa kwa nini inachukuwa muda mrefu? Huyu waziri wa ulinzi Mungu anamuona. Na wote wanaotetea na kukwepa mauaji yaliyofanyika na yanayoendelea, Mungu anawaona.
@kaidiSaid-ot9nl
5 ай бұрын
Uzee umezidi inafaa jimbo limfchie aibu mzee mwisho atapiga wabunge.
@romanamassawe814
5 ай бұрын
Hili lizee linakera Sana, kwanza umekuwa mzee mpaka unafanywa Babu cheza
@isaliisu3408
5 ай бұрын
Wewe tukupeleke ujezi huku kwenye mambo ya kisheriya aje kabudi
@ngotosilasi2099
5 ай бұрын
Naibu spika na mawazili sijui wanatokea burudi mimi siwaelewi
@pauloropian2367
5 ай бұрын
Huyu hastahili kuwa waziri wa ulinzi anangalia upande mmoja wa shilling pamoja na mshahara wake
@AugustinoPeter-rn9bn
5 ай бұрын
Hakuna kitu hapo nyingi shibeni tu
@geophureysamsoni5033
5 ай бұрын
Huyu waziri huyu ndo shida ya hawa
@happyjeremiahmhuli4043
5 ай бұрын
Yaaani Zungu sasa ndio anajipambanua !😢 Tuhitaji ukombozi😅
@franciscoivo1591
5 ай бұрын
Waziri kilaza unajibuje swali
@dullayomwinyi3359
5 ай бұрын
Matico upo vizuri usitishike na usirudi nyuma mtetezi wa wanyonge
@abdallahkihanza482
5 ай бұрын
Mliwataka wenyewe, hayo ndio majibu yake
@JabuSeifu-nt4ce
5 ай бұрын
Mbona wabunge kila siku hawajai bungeni ukiona mabunge ya ulaya bunge linajaa wanajadili ila bunge letu hata wabunge 60 hawafiki wanasaini tuu posho
@ZerahSchwebence
4 ай бұрын
😢😢waziri chupa inapoza unachokwepa hapo n kipi Dada ester Umemalza mama ujumbe umefika sio kwamba hawajui
@dullayomwinyi3359
5 ай бұрын
Ni kweli wanauwa raiya badala ya kuwalinda na mali zake
@makongorowassira6593
4 ай бұрын
Nyakoro Esther, ungeshikilia hiyo shilling hadi kieleweke. Ila hongera kwa kupigania haki za wananchi🇹🇿🇹🇿🦾🦾👏🏾👏🏾
@JosephJon-wk6il
5 ай бұрын
Dada ukosawa kabisa hawezi kukueliwa kwasababu wanalala naulinzi masaa yote
@WamburaNelson
5 ай бұрын
Mh. Zungu unatukosea heshima sisi watanzania. Mbona unaongoza bunge kama unaongoza familia? Shida ni nini kwenye hixho kiti? Si kuna kanuni? Nakushauri ni vyema ukatumia kanuni kuliko kujiendea tu ndugu yangu. Mtaleta machafuko ndani ya taifa kwa kuwapa Askari na wageni kupaumbele kwa kila jambo. Hamuoni kama wananchi watanzania wa sehemu kubwa ya Tanzania wamewacjoka?
@WamburaNelson
5 ай бұрын
Wamechoka?
@richardhoseni2643
4 ай бұрын
Namna majibu ya serikal yanavyotolewa ni wazi kuwa kuna tatizo na hamtaki kushindwaaa ila hamtaishi milele
@danielreuben4177
4 ай бұрын
Ajirinde kwanza alinde na wengine, mngu anakuona mh waziri
@ml-elisante-kwayayavijanai6570
4 ай бұрын
Kuna mambo mengi sana yanafunikwa funikwa tuu 😢 dah
@franciscoivo1591
5 ай бұрын
Zungu anaongea na wabunge km familia yake
@mackarioussmakuri6147
5 ай бұрын
Kwanini hoja ikitolewa bungeni wabunge hupiga makofi kama vile kushangilia? Naomba mnieleweshe hili,maana jambo liwe halina mantiki wanapiga makofi liwe na mantiki wanapiga makofi sasa hapo huwa inakuweje?
@alexandernyambo7739
5 ай бұрын
NDIYOOOOOOOOOOOOOO WANANCHI KAZI TUNAYO DADA ESTER MATIKU AMESEMA KWA UCHUNGU KUWA ""WANANCHI NDIYO TUTAKAO PIMA" TATIZO WAPINZANI WANAOWEZA KULETA MABADILIKO YA KWELI KABIIIIIISAA SIWAONI DAAAAAH😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@user-im9cg1gl6z
4 ай бұрын
Km huwaoni mbadala shikilia hapo hapo!
@ChristmasMaheri
5 ай бұрын
Sasa,mnatenda haki kwa kukataa utendaji mbovu wa serkali.Eneo la usalama na amani ya raia limezorota sana hapa Tanzania kv:askari wa mbugani,n.k.
@EZZEMatelephone
5 ай бұрын
Ndo Tanzania yetu ,,nisiongee nisije nikapotea ila maaskari wananyanyas wananchi atali,Wana tumia vyeo vyao
@simongwandu7392
5 ай бұрын
Mwishoe mtasema haki ya ushoga
@revocatusvedastus8893
4 ай бұрын
nimemwelewa Easter matiko lkn wabunge wa ccm hawanaga hoja nimakofi tu
@happyjeremiahmhuli4043
5 ай бұрын
CCM ondokeni yaani hata mkingangania mtaondoka tu kwa nguvu ya Mungu😅
@CornenciaFaustine-pd2rc
5 ай бұрын
Ni hatari wananchi yafaa tuamke kulinda uhai wetu wenyewe. Huyu waziri wa ndani haeleweki kabisa anatetea polisi tu kujilinda dhidi ya wananchi je wananchi wanapouawa na polisi wafanyeje.
@NardhisMhagama-sy3eq
5 ай бұрын
Wabunge wa ccm hawapo wenyewe Wana gonga meza tuu
@sagamomattaro6568
5 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@Emmanuelilemomo2024
5 ай бұрын
Matiko ajafajiwa haki.kabiza
@AlbertSabo-hp3ss
5 ай бұрын
Huyu waziri wa mambo ya ndani ni kilaza. Wala hastahili kuwa ktk nafasi hii ya waziri. Point zake zipo weak na hajibu maswali kabisa.
@WamburaNelson
5 ай бұрын
Kabisa hajitambui.
@nizigiyimanaibrahim2329
5 ай бұрын
Waziri nenda kituo cha polisikilchopo nyakanazi(w) biharamro wanavoua watu wanavombambikizia makesi watu
@HamisMghuna-fj3vz
5 ай бұрын
Kawaida yao kua raia,wa Tz mjipange, mipira inapigwa nje,hakuna uchunguz,
@NixonGerson
5 ай бұрын
Wizi mtupu
@frankchuwa4962
5 ай бұрын
Hivi ni akili gani unatuhumiwa halafu wewe unayetuhumiwa unaunda tume ya kujichunguza mwenyewe sasa hapo haki itatendeka kweli?
@stewartdyamvunye-wz6rn
5 ай бұрын
Kweli. Hapo wataalamu wa masuala ya uchunguzi watuelimishe. Serikali inatuhumiwa halafu serikali hiyo hiyo inaunda "tume huru" ya kuichunguza. Wataalamu, tunaomba elimu kwa hili.
@ezekielmabwai482
5 ай бұрын
Huyu waziri m as ni taka kweli. Hana Makini!
@abadimapunda7218
5 ай бұрын
Waziri unatakiwa kuelewa kwa kiasi gani watu wanaumia katika nchi Yao na sio kutuletea siasa ambayo haina msingi
Enzi za spika Adam Sapi, Samwel Sitta Hatukuwahi kusikia mkalia kiti cha spika akiwadharilisha wabunge kwa kuwatukana wao na waliowalea ati hawana adabu. Sasa kama naibu spika anathibitisha kuwa wabunge wake hawana adabu je hili bunge la sasa linastahili kuheshimiwa?
@prophetjohnmasso186
5 ай бұрын
Hawa askari Wana wake na watoto pia na Wana wazazi wakati mwingine raia waheshimu vyombo vya usalama maana vipo kwa ajili Yao....Kuna askari waliuliwa mbona hamkemeo wale wanawadhuru ?tuwapende askari wetu na kuwaheshimu
@ALESIACHIJOKA
4 ай бұрын
Zungu acha utemi fanya kazi wananchi tuelewe sisi tunawategemea kauli yako sio sahihi kwa wabunge wetu.
@elizabethmassi7327
5 ай бұрын
yaani waziri ni sijui hajaelewa kinachozungumziwa na wabunge? hata mimi sio waziri nimewaelewa sana hao wabunge
@adorchmassimba4413
5 ай бұрын
Anayoyaongea matiko kama ni kweli harafu mawazili wahusika wa serekali wanayapuuza nakutokujali kwa ajili ya masrahi yao mwenyezi Mungu anawaona Damu za hao watu ziko madhabahuni kwa Mungu zikilia kudai haki ya uhai wao uliodhurumiwa hukumu ya Mungu itakua juu ya wote waliodhurumu uhai wawatu wasio na hatia Amin
@mokeya
5 ай бұрын
Ingekuwa inafaa kutukana viongz kwa mitandao bas ningeanza na huyu waziri . Anajibu kirahisi tu masuala ya uhai ase
Пікірлер: 232