Mwenyezi Mungu aendelee kukubariki, hakika wewe ni tunu yetu Watanzania.
@mussamussa9446
Күн бұрын
Very intelligent president, Love you madam president
@WhiteMgeni
Күн бұрын
Umeongea vizuri rais wetu na waliotekwa unaongeaje
@emmanuelmwakyoma5746
Күн бұрын
Niwakati wa kujificha uvunguni maana mama kakasirika mkichifanya vichwa ngumu mtapigwa mara mbili
@denisosward7464
Күн бұрын
Tunaomba hiyo itelejesia itowe taarifa basi Hawa watu wanaouwawa nani anahusika, toeni hiyo taarifa ya vikao vya chadema nje kwazia mwazo wa kikao hicho mpaka mwisho
@KilonzoJohn-mg7cw
Күн бұрын
Mama tuambie nani anateka watu na kuua vyombo vya usalama vibane vikuaambie ACHA kuilamu chadema na watu kulaumu ni haki yetu usilalamike mama wewe ndio raisi wetu Sasa unataka tumlalamikie nani mama
@festokastory5282
17 сағат бұрын
Mmmh😮😮
@NgareliChacha-d2p
Күн бұрын
😎😎😎😎
@tanzanite9944
Күн бұрын
Mbowe anafanya Vikao vya Siri na chama chake kuiharibia serkali na hajui Vikao vyake vyote akiwa na Lema vinasikiliwa na Intelijensia. Eti serkali iondoke madarakani kupitia vikao vya Mbowe? zo ni akili za Vyura.
Пікірлер: 11