Nimejua kupika chapati kupitia huyu kaka jmn ubarikiwe mdogo wangu❤❤❤
@salomewandya7257
2 сағат бұрын
Anapika vizuri mashaallah ❤❤
@bahatirngulika4493
Сағат бұрын
Aiseee Mungu anisamehe sikuwazaga kwamba huyu ni gentleman kbs kumbe ni chalii ya Ara😁 big up brother
@Blackmar229
44 минут бұрын
Anapika uyu Yan akifungua mgahawa na kupika mwenyewe itakua nomah 😊😋
@masalakulwa7601
54 минут бұрын
safi sana aise..nashangaa mnaoswma shoga .shoga baba zenu.mxiew
@NtamamiloGibson
3 сағат бұрын
Nimepemda anavyojibu facts bila kulemba lemba. Big up dogo najua utatoboa kuna siku campuni zitakuona.
@annagakome2991
3 сағат бұрын
Hongera sana mdogo wangu,Mungu akuwezeshe ufike mbali
@Stellastella-yi5vu
26 минут бұрын
Akili nyingi sana, nakupa PHD ya kujibu maswal nakupika pia. Barikiwe mwanangu
@MiishHassan-qm1et
33 минут бұрын
Anaongea kisomi sana good job brother 🥰🥰
@EsupatLaiser
20 минут бұрын
Arusha Moja
@aziadaommary
22 минут бұрын
Nakupenda bure
@HappyShirima-k9t
3 сағат бұрын
Me nilikuwa najuaga ety ni mkenya kumbe ni mwarusha mwenzangu jaman congrats George ❤❤keep it
@AnethMungure
3 сағат бұрын
Me too
@Bahati47
2 сағат бұрын
Hata Mimi 😂
@pascoswai3704
2 сағат бұрын
Kabsa mawazo yalikua Sawa, mi nilijua kabsa sio mtanzania
@ireneshao7950
Сағат бұрын
Mimi pia😂
@halimamasai2234
2 сағат бұрын
Hongera kijana wetu WA Arusha 💪💪💪
@JescaJosephati
3 сағат бұрын
Anajua anajua na tena yupo vzr mashallah
@chany9950
26 минут бұрын
Nice👍🏾👍🏾
@salmamlokela1987
2 сағат бұрын
Usijar geoge mama samia amekusikia tegemea mambo mazur mda si mrefuuuu😅
@judithkirenga9977
2 сағат бұрын
George idea zako huwa nzuri sana, Rudi Arusha fungua restaurant yako huku restaurant nyingi zimejaa vyakula vya kizungu, pls come tuuze na mbege pia😂❤❤❤
@Mimy_keys
3 сағат бұрын
Hongera Sana GEORGE Mi Nakufatilia Sana 🥳😍🙏
@jamilajuma3811
2 сағат бұрын
Bro anaongea kisomi mpaka raha yuko so professional kama kafika chuo😮 Big up❤
@ghaniyapoches2684
Сағат бұрын
Haya watanzania kwenye mahoteli makubwa sekta nzuri hata vipindi#wasafitv muajirini huyu Jamaa ana wafuasi wengi Sana tutamsapoti Kwa kila Hali...mpeni fursa ya KAZI jamani tusapoti vijana
@murtanseif3539
2 сағат бұрын
Good brother very nice
@leahmanase1034
2 сағат бұрын
Pambana mdogo wangu@Georgeskitchen..utakuwa mpishi wa kimataifa utatoboa.
@GladnessSamson-xk2ii
Сағат бұрын
Huyu kaka nampenda buree❤ anaoga had maji ya maziwa😅
@salmamlokela1987
2 сағат бұрын
Upo vizur George
@DpN-rk8xz
51 минут бұрын
Ana sauti nzuri unweza kupata nafasi
@nelykaaya6503
Сағат бұрын
Nakubaliii sana
@youthchanel8612
3 сағат бұрын
Yupo strong huyu wala sio ...
@annafredinandmatandiko8438
3 сағат бұрын
Daaah 😅😅😅😅
@pascoswai3704
2 сағат бұрын
Kabsa yupo, strong, man aliekamilika hahaha
@IreneMacha-d5q
2 сағат бұрын
Nampenda❤
@annakbunga8377
35 минут бұрын
Mm nlijuwa ni mkenya kumbe ni mTz
@ce-08
18 минут бұрын
Duuh hata utamkaji wa maneno umeshindwa kumjua au TikTok usomag hata comment mm Huwa nawashangaa sana watu wanaohis vitu vizur au watu wenye kipaj flan n wakenya
@justice607
3 сағат бұрын
Kaskazini hatokagi fala! Ooh! Chuga hiyo! Chuga hiyo!😅😅🎉🎉🎉🎉
@missmoona4497
2 сағат бұрын
Ningefurah zaid ange pika live kupitia Ayo tv
@NuruCleopa
3 сағат бұрын
Keeps going broh Mungu hawezi kukuacha
@ghaniyapoches2684
Сағат бұрын
By the way naomba upike mseto WA choroko na samaki WA Nazi can't wait for this...shush hii kitu utube na insta we r here for u Mungu azidi kukupeleka juu kimafanikio
@loitengia4217
2 сағат бұрын
Ila watanzania bana kila mtu anataka mama samia this mama samia that wooi inaboa
@rayaalhabsi1725
2 сағат бұрын
Wapishi wengi na ma hodari sana ni wanaume. Subhana Allah
@AshuuuBakari
2 сағат бұрын
Wanawake tunafatilia sana mambo ya kiduni 😂kupika ziro
@MwadawaMohamed
2 сағат бұрын
Tanga raha❤
@DianaMacha-jf8gw
3 сағат бұрын
Huyu kaka napenda sana kazi zake saluty kwake
@HafsaShekigenda
2 сағат бұрын
Tangia tupo vizuri😊😊
@annamussa185
Сағат бұрын
Camera Man or Camera women?????
@annafredinandmatandiko8438
3 сағат бұрын
Good job
@HappyShirima-k9t
3 сағат бұрын
Nimempenda jins anavyojibu
@bimumaulid1171
2 сағат бұрын
SASA HII KANGA YA NINI?🙆♂️🙆♂️😳
@AthanaseKiyoja
2 сағат бұрын
Kwa dunia ya.wenzetu (wazungu) lkn hata tasisi zingine. kama vile Majeshi,wapishi ni wanaume.Wapishi wazuri ni wanaume,wanawake ni wasaidizi tu.
@Travis0nlineTv-vf2bd
2 сағат бұрын
Gentleman
@sadamissa5687
Сағат бұрын
Hyo hanifikii vile sijioneshi tu
@HusnaSaidi-ge9ei
Сағат бұрын
1:29 1:31
@VailethBeautus
2 сағат бұрын
Mimi ningefurahi ANAJUA kupika nasubiri tu nile
@juliusjustins6859
2 сағат бұрын
Yes yes yes yes😅😅😅 from the beginning to the end of the interview
@privatusmodestus3327
2 сағат бұрын
Nilikuwa naitafuta hii reply😂😂 sasa yes nimeiona
@juliusjustins6859
2 сағат бұрын
@@privatusmodestus3327 🤔🤔😂😂😂
@Thisisgrace979
Сағат бұрын
😅😅 ila waja jamani.
@hedayamohammed2781
Сағат бұрын
😂❤
@hagaramgini-sz1du
2 сағат бұрын
Dogo amenyooka sana big up 2u
@MahaSaeed-hf3gs
3 сағат бұрын
Pambana brother maishaàa haya kukaaa ty mtihani
@MariaMagele
2 сағат бұрын
Vizuri
@MSWAKIMSWAKI
3 сағат бұрын
Mwenye namba yake wajamen.. kuna buku ten hapa inazagaazagaa 😂
@aminakipande5645
59 минут бұрын
😂😂😂
@aboudijaaboudija
3 сағат бұрын
😂😂😂najikuta nacheka tu sina usemi
@ShabaniSaleeh
4 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@VailethBeautus
2 сағат бұрын
FUNGUA BIASHARA UTATOKA
@EstharKiond-zp5xd
2 сағат бұрын
Yeah ,yes,😂😂
@StellaStanphord
50 минут бұрын
Baclesa wamchukue
@ReginaErnest-cf6ji
3 сағат бұрын
❤❤
@BakariOmary-s6j
4 сағат бұрын
Cha upishi
@JoyceMasaki
2 сағат бұрын
Hizi sufuria zako unanunulia wap kwa hapa Arusha
@fidesbernard4835
15 минут бұрын
Na mimi nazitamani kweli, jibu basi kijana wetu.
@khadijauledi3293
4 сағат бұрын
HONGERA SANA GEORGE.UBUNIFU NDOKITUU PEKEE
@innodeculture8551
3 сағат бұрын
Namkubali huyu mkuu.. alinipigiaga keki 2021 ilikuwa tamu hatari
@modricseif1018
Сағат бұрын
Anazingua
@Hamis-ks1sy
Сағат бұрын
Mbona anavaa kanga wakati wa kupika?
@MarthaMgaya-zo4bi
Сағат бұрын
Kitanga😂😂😂
@Hamis-ks1sy
Сағат бұрын
@@MarthaMgaya-zo4bi Haya bana😁😁😁
@JeminAbraham-f1o
4 сағат бұрын
Yan hii dunia naogop ...Yan tunamuoji mtu mzur Alf pia tatizo
@ikrissaidrissa8613
3 сағат бұрын
Ushaidi
@wemaMichael-fr4th
3 сағат бұрын
mhhh hakuna mwanaume hapo ni shogaa huyo bhana usituchoshe
@Kim-xr1yw
3 сағат бұрын
Shoga wewe
@samwesupa6906
3 сағат бұрын
Mungu akujalie uzae shoga na ww maana unaona ww unaish mbinguni
@VeronicaRugoyi
Сағат бұрын
Nyie kila mtu shoga wee huogopi
@ايتيتووينويو
Сағат бұрын
Ushawahi mzagamuwa
@rukaya-jg7hj
3 сағат бұрын
Mtoto wa ruge
@glassamo3847
3 сағат бұрын
Weee, sema kweli😮
@AminaAmine-v4m
3 сағат бұрын
Kafanana hatar hadi ongea yake
@NtamamiloGibson
3 сағат бұрын
Aisee kweli kabisa ana element za Luge Mtahaba muonesha njia.
@aminakipande5645
57 минут бұрын
@@NtamamiloGibson😂😂😂
@masalakulwa7601
53 минут бұрын
haswaaa
@MonahAbdull
3 сағат бұрын
Kula vizuri kote meno yameoza😂😂😂😂 mama yee
@fatumayusuph-z7i
3 сағат бұрын
😂😂😂Hayajaoza Kanda za huko Wanameno ya hivyo jamani khaa
@chamimdesa148
3 сағат бұрын
Sasa meno yanauhusiano Gani hapo? Acha wivu, by the way Arusha Kuna calcium nyingi sana kama hujui
@AmaniManase-x1i
3 сағат бұрын
Mamamamaeeee angekuwa na meno yameoza asingekuwa hai fara weeee
Пікірлер: 117