Mzeeee anahekima na busala sana mungu aendelee kumpa subla
@abidunamasheshe7693
14 сағат бұрын
Poleni sana kwa msiba ndugu zangu, Innalillah wainnailaih rajiun. Kikubwa subira ndugu zangu.
@Shukurukoll
10 сағат бұрын
Allah SW Awajalie kila jambo liende kwa kheri. Muishi kwa amani na siku zote mazungumzo na Subira ni mambo ya msingi maishani.
@ireneshao7950
14 сағат бұрын
Mungu awape faraja na amsaidie huyo mke wa marehemu juu ya swala hili
@stonetown578
13 сағат бұрын
Sawa kakopa hakumwambia mumewe lkn sio sababu hao OYA wamuuwe kijana wa watu kila jambo Mungu ndio anopanga.
@IddyKristopha-c7z
4 сағат бұрын
Ndio nakila kifo uwa kinasababu
@darajalakidatukilomgi2362
10 сағат бұрын
Mzee ana busara kubwa, mada hapa ni Oya kuuwa binadamu mengine ni maneno yakugombanisha familia tu
@FatmaHamad-g6s
13 сағат бұрын
Dah mtihani sana watu wanashindwa kushukur kifo ni haki yetu
@NemaAli-zh6hr
12 сағат бұрын
Ni haki yetu mtu kauliwa kwa kupigwa wew vipi
@SafiaOmar
12 сағат бұрын
@@NemaAli-zh6hrsasa ndio wamlaumu mkewe kwani ametaka mumewe afe au?
@chuimnyama9074
11 сағат бұрын
acha uongo hakuna anaeridhika Kwa kifo ngoja afe mama yako
@KaizaMfuse
9 сағат бұрын
Kifo ni haki?mi sikubali haiwezekani ndugu yangu afe kisa limwanamke ambalohalimtii mumewe
@FatmaHamad-g6s
9 сағат бұрын
@@KaizaMfusekwa iyo ungefanya nn
@jumaigoti7541
9 сағат бұрын
Hizo kampuni Ni matapeli sana .Tena majangiri eti oya
@yohanakateko
12 сағат бұрын
Poleni sana mambo ya duniani mungu awape nguvu ni shetani tu
@fadhilmgahi1334
Сағат бұрын
Mamlaka ziache uzembe kwenye kusimamia maswala kama haya yanyotokea kwenye jamii, Hasa kwenye kuchukua hatua na kutoa adhabu kali kwa watu wanaofanya matukio ya kikatili ya namna hii, Hatua zisipochukuliwa na jamii haioni kama watuhumiwa wanaadhibiwa ni mbaya sana
Si mnajifanyaga Sheria ya Dini hairuhusu so why mnamuacha marehemu mochwar😂ila uislamu hekaheka za mashamshamu ya pwani
@Jasim-uddinIftakhar-uddiin
13 сағат бұрын
Vaa uhusika wewe ndo unge kuwa muislamu ndugu yako kauliwa kifo kama hicho kifo ambacho kinahitaji uchunguzi wa kitabibu na baada ya hapo kuna process za kufuata za kiserekali ndugu wakijiridhisha na kauli ya serikali baada ya hapo tuna wahi kuzika tu mbona mapema'? Na pia jinsi ulivyo comment inaonesha tu wazi unachuki dhidi ya uislamu
@kassimualli1755
13 сағат бұрын
Unafirwa wew
@RamlaMburi
13 сағат бұрын
Pole Sana, uislam usikunyime usingizi. Fanya yako.
@annamussa185
13 сағат бұрын
@@kassimualli1755 na Baba yako mzazi
@AlHamra-k4u
12 сағат бұрын
@annamussa hiki ni kifo ambacho inatakiwa uchunguzi wa kina ufanyike Pana mkono wa serikali Hawawezi kuchukua mwili kwa lazma hadi kibali kitolewe juu ya uchunguzi
@PrinceHendry-hp8vv
14 сағат бұрын
Alimuozesha mkeo au mwanao
@erickashindi2666
12 сағат бұрын
Ulimi umejikwaa mdomoni
@iddimngazija1957
14 сағат бұрын
Nikweli mke kafanya kosa kukopa deni ambalo mumewe halijui lkn je ni halali mdai kumdhulu mdaiwa hadi kumkatishia uhai wake???
@ireneshao7950
14 сағат бұрын
Ilikua hivi walikopa pamoja ila deni lilikua alijaisha wakamfuata Kwa jazba nakumfanyia fujo na Waka mwambia akope tena alipe deni la nyuma aanza deni upya
@ireneshao7950
14 сағат бұрын
Kukwepe fedheha akasaini
@leokamil6284
13 сағат бұрын
Sio haki wao kumpiga na kumuua huyo kijana. Serekali itizame hiyo mikopo ni utapeli mtupu
@MwanaHamis-y4e
12 сағат бұрын
Na walivhokosea kwanini awajamsikiliza alipowaambia mhusika ayupo kwanini wasingesubili mpk muhusika awepo hila kifo kikiwadia akikwepekj Mungu amsamehe makosa yake Ampe kauli thabiti
@AlHamra-k4u
12 сағат бұрын
@@ireneshao7950 asilimia kubwa sisi wanawake mambo mengi tunafanya kwa siri sana yakitufika hatunaga pakukimbilia. Nawaza ndugu wa marehemu lawama zimeanza
@aronmilinga7303
4 сағат бұрын
Hun akili www mzee , bint yko kasema amekopa bil mme wake kumwambia. Inaonekan karithi akil zako huyo dada.
@TatoTato-t7s
4 сағат бұрын
Acha kumtukana baba wawatu kenge wewe
@marymanoni5536
2 сағат бұрын
Kama bb yako
@mwajumasaid7306
13 сағат бұрын
Kifo hutafutia sababu t lakin wanawake tupate funzo kupitia hili yaan kiufup tunawapa sana mzigo wanaume kwa ajili ya mikopo
@darajalakidatukilomgi2362
10 сағат бұрын
Funzo walipate Oya deni ndio mkauwe mtu? Usituondoe kwenye mada Oya wameua Hilo ndio neno la kufundishana hapa na sio mengine
@priscakwannhamfungimipakam9231
8 сағат бұрын
Ule sio mkopo kwanza wafanyakazi wa oya Wana matusi nilikuta wanamtukana mume wa mke alikopa daaa hawafai
@janetchinga695
12 сағат бұрын
Sasa wakiua mwanamke watoto watabaki nanani 😢😢😢😢😢😢
Mzee mtoto wako mwenyewe alisema alikopa bila kumwambia mume wake!! Ko huyo mwanamke anahusika hata yeye
@darajalakidatukilomgi2362
10 сағат бұрын
Mijitu isiyo na ndoa utaijua tu kwa comments zao bila aibu, kapate ndoa kwanza ndio uje kucomment
@SafiaOmar
12 сағат бұрын
Si wakawaroge hao Oya sasa waloua mtu wao
@rehemaomary6631
10 сағат бұрын
Mkwe kakili kakopa mwenyewe
@chuimnyama9074
11 сағат бұрын
Ni wanawake kuchukua mkopo bila la kumwambiaa mwaume ni kawaida tu hata apa mtaàni vyombo vingi vimebebwa
@darajalakidatukilomgi2362
10 сағат бұрын
Umeona ehh shida ni Oya kuuwa binadamu mkopo hata serikali inadaiwa kwa nini mdai kwa kuuwa mtu?
@nyomicreative
11 сағат бұрын
waislamu wanaendekeza sana uchawi asee
@SaadaAlsheibani
11 сағат бұрын
Nikwasababu wewe umeshaweka hivyo kwenye akili yako kua waislamu waendekeza uchawi usilolijua ni giza sisi dini yetu ya kislamu inakataza mambo ya uchawi na ushirikina ni haramu na zambi kubwa
@mwajumasaid7306
13 сағат бұрын
hapo ndugu inahitaj subra t wasijitazame wao watizame watoto maana washampoteza baba
Пікірлер: 79