Mchekeshaji Mwanya kwa mara ya kwanza leo amekubali na ametolea ufafanuzi kuwa mchekeshaji mwenzake ambae anafahamika kama Clam ndio mchekeshaji anaetengeneza maudhui mazuri kuliko wengine pia amefunguka kuhusu baadhi ya watu kutumia vimbao kuoneshakuwa wanapesa na kuonesha kuwa wamefanikiwa
Aidha Mwanya ametoa ukakasi kuhusu kile watu wengi wanachodhani kuwa yeye anamahusiano na Nayce
Негізгі бет Спорт MR MWANYA-” CLAM NDIO MCHEKESHAJI BORA / ACHA WATUMIE MBAO/WASANII NDIO WANALETA SHOBO KWETU
Пікірлер: 19