Baada ya msanii wa maigizo nchini Clam vevo kufunguka kupitia kipindi cha Clouds Fm kinachoitwa XXL kuwa tangu ameanza kutumia KZitem Channel yake mpaka sasa ameingiza Billion 2, rafiki yake wa karibu Steve Mweusi amefunguka ndani ya Mpenja tv kwa kusema kuwa hakuna ukweli kwenye hilo kwani yeye anajua kuhusu mapato na amempita Jumla ya watazamaji KZitem hivyo sio kweli
Aidha Steve Mweusi amefunguka kuwa anafanya mawasiliano na Golikipa wa timu ya Yanga Djgui Diara anatumiana nae ujumbe kutumia mitandao ya kijamii
Негізгі бет Спорт STEVE MWEUSI AMLIPUA CLAM VEVO '' HAWEZI KUWA NA BILLION 2/ IHEFU WAMEMZOEA YANGA'' / CLAM NI MUONGO
Пікірлер: 401