Hata lulu diva alipofiwa na mamake alitoa wimbo,muacheni atoe machungu ya moyon mwake😭😭
@stellanyamuhogota1832
2 сағат бұрын
Ni kweli maan akikaa na uchungu atadhurika Acha alieee ndo afya yake
@rahema1992
19 сағат бұрын
Pole kaka allah akupe subra na nguvu ila kwa ushauri wang ucfanye hivyo utakufuru upate madhambi kilichobaki hapo ni kumuombea dua allah amtanulie kaburi lake na ampe mwangaza ila ucfanye hivyo
@halimahassaniiyami3485
6 минут бұрын
😭😭pole san kaka unapitia maumivu makali nivile hawajui endelea kumuombea Mungu ampumzishe salama
@sophiakimaro5174
18 сағат бұрын
Hawa huenda walisharudiana japo kimyakimya. Pole ndugu
@BeatriceSamwel-p7u
17 сағат бұрын
Walikua wamerudiana mpaka dida kafa wapo wote
@amidabukuru
16 сағат бұрын
Ndio walirudiana nandomana anaumia sana Mungu ampe subra yanguvu huyo kaka maaana anaumia sana
@Malangalusaede
15 сағат бұрын
0:51
@aishaomary4498
9 сағат бұрын
Huenda niubinaadamu tu
@aishaaisha4549
9 сағат бұрын
Nadhani ivyo
@mandelatv-e3b
17 сағат бұрын
Wajinga wamitandawo watasema huyu kaka anataka Kiki 😢😢😢ila uyu anasukumwa na hisiya kbx allah akupe subra kwakipindihiki kigumu😢💔💔💔
@Zuu673
17 сағат бұрын
Walirudiana hadi anakufa yuko nae
@amidabukuru
16 сағат бұрын
Ndio mungu ampe subra
@Scolayusuph558
10 сағат бұрын
❤😢
@Mwanah-cg3ie
9 сағат бұрын
😢kabisaa😢
@SabihaibrahimRajabu
9 сағат бұрын
Kwani walirudianaq@@Zuu673
@uwimana6533
8 сағат бұрын
Watu wamekaa kama hawanadini ,upumbavu mtupu , mkose kumuombea dua huko lipo nikuzito msifanye msihara mnavyofikiria , wabongo mepotea sana mnsahu kama kunakufa ndotatizo 😭😭😭
@Legends_Interviews
5 сағат бұрын
Mtihani kweli
@RashidAbdallah-f8l
5 сағат бұрын
Kama kuna mtu alie zubgumza maneno mazuri na mazito hakuna km ww yaani mtu anakufa eti wabana pua umuimbie nyimbo wewe ndo wanona ndo wamfariji huyo alokufa au kujifariji wewe uliofiwa huu ni uzezeta ukopitiliza
@صفوابنتسعيدباوافد
2 сағат бұрын
KM@@RashidAbdallah-f8lkatoka hapo kiki
@VivianCharlesAlfred
49 минут бұрын
Yaani kama alishindwa kutengeneza mwenyewe na MUNGU Hata kama mkiomba haisaidii
@sanetag2173
Сағат бұрын
Pole kaka inauma sana ambaye hajapitia hayo hawexi kuelewa😭😭
@angelaminde1247
3 сағат бұрын
😢😢😢 ivi ni mimi tu nilielia au ni hisia za machungu tuu . Pole kaka. RIP Dida
@JosephKingwere
8 сағат бұрын
Pole sana kaka daaah Mungu akupe nguvu katka kipendi hiki chakuondkewa na kipez chako ningum ila ndio hvyo tena 😢
@anniealoyce1976
29 минут бұрын
Pole sana shemeji yetu😭😭😭
@AlksvJshd
2 сағат бұрын
pole sana kaka
@KhadijaKhamis-p2i
19 сағат бұрын
Dua kwa wingi kaka angu na ww mungu atakupa subra
@AishaZadi
19 сағат бұрын
😢😢😢😢 umeniliza we kaka duu Allah amsameh makosa yake dada yetu
@jamilahchikuti89
18 сағат бұрын
Najua hali unayopitia kaka MUNGU akutie nguvu inaumiza sana😭😭😭🙏
@vero57
50 минут бұрын
Pole sana Nana ,
@elizabethrimba
Минут бұрын
😢pole kaka
@HabibuSheila
23 сағат бұрын
pole brother nana mipango yamungu kaka sema tu alhamdullilah
@halimahassaniiyami3485
10 сағат бұрын
😭😭sio rahis kukusahau didah Mwenyz Mungu akupumzishe salam akuondolee adhabu za kabri
@aishaaisha4549
9 сағат бұрын
Ameen
@anuarymzee9898
19 сағат бұрын
Nana kama nana Pole my Brother bles😢😢 Ngoma kali sana good music
@nancynyali2362
19 сағат бұрын
Am from Kenya but sijaamini kama dida ndo kashaenda jamani😢
@musakhamisluli6699
20 сағат бұрын
imenitashi yimbo...tumependa Lakini mweye zimungu amependa zaidi ..big strong brother
@teclakagai754
2 сағат бұрын
Pole sana dida😢😢😢
@BongoPlatformTv
17 сағат бұрын
Dah, unatisha nyimbo kali sana ila muombee tu kwa mungu ampunguzie makosa.
@EricaBizuru-jp9by
6 сағат бұрын
Wimbo Mzuri pia pole..,Lakin ungetulia kidogo kwanza
@Queenofdsouth
6 сағат бұрын
Hmm toka bana😂
@EricaBizuru-jp9by
3 сағат бұрын
@@Queenofdsouth Eeh angetulia kidogo 😂😂😂 Yan fasta hivi utadhani alijiandaa
@SarahSeleman-pj9fr
5 сағат бұрын
pole sana kaka inauma sana ila ni mipango ya mungu 😭😭
@ClevonaMakene
Сағат бұрын
Nimelia wallah😢
@MariamMagang
5 сағат бұрын
Nimelia mm jaman duh,kufiwa kusikie tuu pole sana kaka angu
@NanaMilfath
7 сағат бұрын
Maskini walifanan na dida sura
@DayanaKeneth
3 сағат бұрын
Daaah 😔😔😭😭😭 tupendane jamani tunaishi mara 1
@magreciousthomas3527
2 минут бұрын
Poleh san😢
@lightwilliam4443
3 сағат бұрын
😢😢😢😢😢😢 kwa kweli
@braggadachu1723
52 минут бұрын
So kweli Huyu jamaa anatafta kiki
@OmanMobaile-nm1hw
7 сағат бұрын
Inalilah wainalilah lajuuun kikubwa muombee dua njimbo aimsaidii kitu uko alipo alaf pia usisahau kua kila nafsi itaonjaumauti
@QueenNgai
17 сағат бұрын
Pole sana kk inauma sana hii kitu mm sisemi sana mama yangu alinitoka 2007 wallaah 😭😭 inaumiza sana allaah atupe mwisho mwema inshallaah 🤲😭😭
@LeahStanslaus-u1w
8 сағат бұрын
Queen Ngai😮😮
@priscakwannhamfungimipakam9231
2 сағат бұрын
Daaaa 😢😢😢😢😢
@AmranShafik
3 сағат бұрын
Mimi nakushauri...usipende kuimba nyimbo mtu alie fariki sawa ni bola huwe hunasoma Quran mwanetu
@pillykindoi9776
Сағат бұрын
Pole sana kaka mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
@sarahalfani3124
Сағат бұрын
Mwenyewe nimeumia sana na sijawah kumuona dida sijui watu wao wakaribu jamn
@Kidotii
6 сағат бұрын
Poleee Nana!😢 acheni kumsema huyu kaka anaendeshwa na hisia😢😢 nasisimka!
@JudyMwende-u8r
15 сағат бұрын
Pole sana kaka nakwombea mungu akupe ngufu ❤❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪
@Shadia544
17 сағат бұрын
😭😭😭😭Jamaniii dida jamaniii tunalia dida jamaniii haupo tena dida atukusikii tena wasafi kweli dida 😭😭😭💔💔💔
@SilviaAnthony-uf9fq
17 сағат бұрын
😂😂😂😂😂hata mm siamini jamaniii
@amidabukuru
16 сағат бұрын
Muombeeni dua msije mkakufuru kifo kiliumbwa sote niwakufa kila mtu kwasiku yake
@SangaliPower
12 сағат бұрын
@@amidabukuruni kweli ila Mungu aliwapa vipaji kwaajili ya nini acha waimbe
@sayman158
9 сағат бұрын
😂😂😂😂 aisee hii dunia
@nishaabdula5015
8 сағат бұрын
@@amidabukuruinamaana ww ukifiwa uli na unasahau kwa ck 5 au wt wnajuwa kuwa i afaa na inabufi kumuombea duwa ila ndo usilie na usahau jwa ck 6
@BarbaraPatience-qt9cc
19 сағат бұрын
Eeeeeh Mr Nana!!! Pole sana.... eeeeeeh Dida wetu jamani....... aaaaaaaah lala salama!! Laza kichwa chako Kwa Allah!
@AsmaAsma-og6ul
2 сағат бұрын
Pole San kka kikukubwa kumuombea Dua Allah aiweke roho yke mahar pema pote tunapita makaz yetu ni uko uko
@CareenKaleen
7 сағат бұрын
😢 dah pole mkaka umeimba kwa hinsia paka umeniliza kweli umeumia san MUNGU akutie nguvu kipindi hiki kigumu
@chidi_don
20 сағат бұрын
Dah pole sana bro ya poleee 😭🕊️
@Fayzer-yb4ic
2 сағат бұрын
Pole sana kaka kikubwa nikuombea tu aione pepo inshaallah mbele yake nyuma yetu
@zahramohammed3265
15 сағат бұрын
Maskini Allah akupe nguvu Na subra Zidi kumuomba Allah amsameh amweke mahali Pema Ameen . Pole Sana Nana
@FATUMABACARCADANGE
8 сағат бұрын
pole nana mungu akup wepssi
@taucdulle7460
4 сағат бұрын
Sura nzito kama uji wa uwele maninerrrer…mwache apumzike
@LucyOmary
6 сағат бұрын
Pole kaka kama sisi dida hatujawahi kumuona live tumeumia je wewe? Pole sana kaka
@FatimaFati-pu4lb
19 сағат бұрын
Pole Sana nana 😢😢😢 mm nimkenya lakin dida nilimpenda Ila mungu amempenda Zaid yetu😢😢😢😢
@Kthenation
2 сағат бұрын
Pole sana Kaka 😢😢
@NeemaLwoga-s4c
Сағат бұрын
Umenifanya nimelia sanaa jmn
@zainab-yb7tt
2 сағат бұрын
Kiukweli Mr Nana Ulimpenda sana Dida
@SummymaddyMaddy
18 сағат бұрын
Dida hayupo ampumzike kwa Aman Allah atupe mwisho mwema inshallah
@Penina-r7u
17 сағат бұрын
Daah mpaka chozilime nidondoka pole kaka kikubwa nikumuombea tu kaka
@Al-KharithBinmasoud94
2 сағат бұрын
Allah akupe subra IshaAllah 😭
@MasoudOKingilima
5 сағат бұрын
Daaaaaa nimeria aisee pole sana brother 😢
@Elishaelishadboyelisha
2 сағат бұрын
Pole sana kwakumpoteza umpendae😢😢
@JoharryPasko
23 сағат бұрын
Nimejikuta nalia Tena mim jamaniiiiiii 😭😭😭
@khadijabbykhadijabby1389
21 сағат бұрын
Pole snaa NANA wallah mm siamini kama didah amekufa 😭😭😭😭😭😭😭😭
@sallescutz
18 сағат бұрын
Bonge la ngoma nana
@WiselightOfficial
23 сағат бұрын
Pole kaka, hata nam nilikuwa nampenda dada huyu japo alikuwa hanifaham,
@Serah-b7v
7 сағат бұрын
Pole kaka mungu wa mbinguni akufanyie wepesi😭😭😭😭😭
@KittyPerry-bh8nw
3 сағат бұрын
ALLAH akupe subra kaka hadi nimelia
@mohdkhalifa8828
8 сағат бұрын
Pole sana kk pigo letu sote
@SaumSaidi
Сағат бұрын
Muñgu awape nguvu wafiwa wote
@YusuphUrasa
2 сағат бұрын
Kaka umeuimba apo ❤❤❤❤❤
@FetywhiteTV
23 сағат бұрын
Pole san kaka najua maumivu unay yapitia yalish nikuta pole san 😭😭😭
@MariamuCheusi
3 сағат бұрын
Pole kaka ulimoenda dida wako lkn ndio hivyo aliyemuumba kampenda zaidi
@Zuhuranadadoita
10 сағат бұрын
Pole saaana tumeumia sote monyewe nimeumia saaana imagine wewe
@Mudyfigo
6 сағат бұрын
Nyimbo nzuri kk umetish❤😢.
@CdeUbwa-he8si
3 сағат бұрын
dah pole sana bro umeimba kwa hisia sana😭😭😭
@HUpendo
5 сағат бұрын
Alimpenda bila kituuuuu jaman mpaka nimeliya daah
@HalimaZuber-d2e
8 сағат бұрын
Pole sana ngumu sana kuvaa kitu chako muombee dua tu
@SakhaAli-kv9jz
19 сағат бұрын
Polesana kaka Mungu akusaidie na Mungu amlaze pahala pema...unalizwa na mazowea ila kazi ya Mungu haina makosa.😭😭😭
@mudibojaffar9269
9 сағат бұрын
Wimbo Huu Umenitoa machozi😢😢
@oman1oman179
15 сағат бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢pole sana kaka yangu mipango ya mungu haina makosa muhimu muombee dua
@SurprisedBlackKitten-zc2vl
5 сағат бұрын
Umenikumbusha mbali sana mume wangu alivyo ondoka ghafla
@remsmwita
17 сағат бұрын
Pole sana mungu akutie nguvu
@IreneJonas-t2r
4 сағат бұрын
😭😭😭😭😭 inaumiza sana
@NEVERGIVE-e3o
8 сағат бұрын
Pole san Kaka 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🤲🤲🤲
@NuraAlly-y8j
6 сағат бұрын
Pole sn kaka ni maumivu makubwa sn jmn😢😢😢😢 Amna mtu anweza kuvaa kiatu chako wallah 😢😢😢😢😢😢
@gmagicbeats6435
23 сағат бұрын
Very sad...😢😭😭 Ila ndo safar tumeumbiwa lazma yatimie haya... Mbele yake nyuma yetu , pole sana brother, bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe 🙏
@joycethomas7918
15 сағат бұрын
Pole sana Mr Nana Mungu akupe Moyo wa ustahamilivu na Amani , utulivu . Tunakuombea Mungu akupe wepesi. Huo wimbo ni mzuri sana na wakufikirisha basi katika wimbo huo Mungu akakuone. 🙏
@hopemusictz9353
Күн бұрын
Duh inauma Sanaa🙏🙏😔😔
@AmillinondoMwidini
Сағат бұрын
Dah pole mwaya
@happinessmongiah150
3 сағат бұрын
Pole sana kaka😭💔
@FettyFettyricious
3 сағат бұрын
inauma 😭😭😭 pale sana
@KuluthumuMsuwakollo
18 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu
@AsinathMuhidini-ye6jc
2 сағат бұрын
pole sana kaka najikute nalia
@JacklineLoth
18 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu broo muombeee mkeo apumzike kwa aman inaumaaa sana😭😭😭😭
@masudially9968
Күн бұрын
Pole sana bro tulikua wote juzi msibani masudi kipanya apa
@Samiafficial3942
6 сағат бұрын
Pole kaka from Rwanda❤❤
@umwizasalama1328
3 сағат бұрын
Inalilah wa inailayih rajiun. Pole sanaa
@loulumony8519
8 сағат бұрын
Pole san inauma kbx😭😭😭😭
@meryamreally2768
21 сағат бұрын
Pole Sana kaka pole Aaaah dada pole 💔💔😭😭😭😭🙏🙏🕊️🕊️🕊️😭😭😭😭😭
@callicevallice7383
Сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka hadi nimeliaa
@FEBRONIAJULIUS
Сағат бұрын
Mungu akutie nguvu kaka😢
@nurusaid-fg3sb
20 сағат бұрын
😢😢😢😢😢 Pole San brother Allah ukutie nguv katik kipnd hik kigum ningum kusahau lkn jikaze nana
Пікірлер: 475