Asante Mama kwa maelezo na maonyo mazuri, ila kuhusu kudanganya, wazungu pia wanadanganya.
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana
@mlingwajosiah7252
3 жыл бұрын
Barikiwa mama mchungaji
@papafikiri
3 жыл бұрын
Mama uko vizuri kila ukienda nje ya nchi lazima useme tunafurahia sana
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Asante mtumish subscribe channel hii iliusipitwe na kirp za mama asante 🙏
@stevenmarcel5375
3 жыл бұрын
Hiyo ni kweli kabisa Mimi nina fanyanao kazi Na mmoja wao ni boss wangu wa kazi
@williamuphilipo7447
3 жыл бұрын
Ee Mungu turejeshee kiu na njaa ya Neno lako na Roho wako Mtakatifu.
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Amina
@Godisgreat20243
3 жыл бұрын
Sema mama hiyo ni kweli,Kanisa lipo pabaya sana,mengi yafananishwa na MORTUALY, mahali pa maiti kusubiriya maandalizi ya mazishi!Wana wa Mungu huongozwa na Roho,mahali Roho wa Mungu hayupo wamekufa tayari.Mchungaji Magembe na mama hakika ninawapenda sana,maana mnasema kweli bila hofu ya mwanadamu yeyote.Maisha marefu ili mzidi kutangaza kweli ya Mungu.
@mhandosuzy6790
3 жыл бұрын
Nimeumia sana hakika Yesu atupiganiye
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer
@hawamusumba431
3 жыл бұрын
God have mercy on us
@josephnyarobi3913
3 жыл бұрын
Jesus Christ keep me True
@frankmpoto5347
3 жыл бұрын
Ukristo wa kweli ni pamoja na mwanamke kubaki katika uasilia wake kwanini unabandika mawigi kichwani na manywele ya bandia? Kupaka marangi ya midomo na makope ya bandia kuvalia mapete machen na maheren, kujibadilisha ngozi namna yeyote yakubadili uumbaji wa asili wa Mungu hayo nimachukizo ni mafundisho ya Yezebeli kahaba, unaitwa UDUNIA,
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer frank
@sylvestermhojaaron9659
3 жыл бұрын
Kweli kaka
@selikaljnr1432
3 жыл бұрын
Mungu atusaidie2
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Hakika
@bitaetenge8704
3 жыл бұрын
Hiyonikweli hapa marekani limekuwa nikawaida atandoaza mtuna mnyama zinaalalishwa ataserekaleni. Mashoga niwachungaji kwenye mazehebu waluteri nawengine wengitu.
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer
@expert5898
3 жыл бұрын
Duuuu!! Inasikitisha sana
@salmahassan3521
3 жыл бұрын
Eeeee Mungu tusaidie
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer salma
@shadrackmasungandolo9494
3 жыл бұрын
We mambo yamekua hatari sana.umenifundisha mama
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer, shadrack
@fredrickkasekwa6827
3 жыл бұрын
kwer duih mungu ana lud siyo mda
@mtanzaniahalisimungunimwem673
3 жыл бұрын
Kutoka wapi
@andrewfrednand4536
3 жыл бұрын
Mama Mchungaji kweli unaye Mung wakweli kwasababu waafrika wengi wakiishi izoinchi wanaona nifahari kuiga utamaduni wao angali wakijua kuwa niupagani kabsa
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer mama yuko vizul ubalikiwe sana
@piuscletus5780
3 жыл бұрын
Niukwer
@sylvestermhojaaron9659
3 жыл бұрын
Haya sasa wale wanao lilia kwenda marekani na ulaya, mtaweza kuwalida watoto wenu, afrika ndio bara pekee lenye usitarabu wa KIMUNGU,
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer
@adelinamwasenga6436
3 жыл бұрын
Kusuka nywele pia ni dhambi
@mackfasonmoshi4629
3 жыл бұрын
Dada A M kusuka au kutokusuka kusikusumbue sanaaaa... Dhambi ni zaidi ya kusuka au kutokusuka.....Kama umezaliwa mara ya pili (kuokoka), una heri Dada as. Barikiwa mno...Amen..
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
@@mackfasonmoshi4629 asante sana kwajibu zur ubalikiwe sana mtumishi wa mungu, kumbuka ku subscribe hii channel kutakusaidia kupata talifa mbalimbal asante
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Mungu akubaliki dada adelina kalibu Edmoning Tv
@selikaljnr1432
3 жыл бұрын
Dada kalibu sana kumbuka kumsuport brother kwa ku subscribe to
@selikaljnr1432
3 жыл бұрын
@@mackfasonmoshi4629 kalibusana brother tumsuport brother Edmoning Tv
@agripinaakhani7005
3 жыл бұрын
Mam funika kichwa 1korintho 11-1-5
@selikaljnr1432
3 жыл бұрын
Kwer mama
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Amina
@newbornhaule1635
3 жыл бұрын
Wakristo tuamke haya mageni sio fashion ni Dhambi inalembwa ili tudumbukie motoni kirahisi... Amkeni Amkeni Tarumbeta ikaribu kupigwa
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Amena newborn
@rahabnkya8276
3 жыл бұрын
UMENENA sawasawa .
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Ubalikiwe
@mwadiabulymoshabani6336
3 жыл бұрын
Yalioandikwa lazima yatimie, Siku za mwisho
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Razima yatimie
@mwadiabulymoshabani6336
3 жыл бұрын
Dhambi iko mlangoni inafaa uinshinde,🤦 Mungu atusaidie.
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer dunia iko mwisho
@isackphinis5040
3 жыл бұрын
Hao ndio tunataka misaada kwao dah!
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer Mungu atusaidie
@margrethroyd9741
3 жыл бұрын
dunia imeisha
@tithosimpito7863
3 жыл бұрын
MUNGU tusaidie Tukimbilie wapi tukajifiche tuende wapi sasa jibu nimoja tu MUNGU Tusaidie 🙏🙏🙏
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer Mungu atusaidie
@thomaskitemi3283
3 жыл бұрын
Mzee piga kelele tz kanisa lipone,na ukiweza hubiri Kwa TV,ili watu wapone,ni wachache wana tag ndo wanasikia pekee.
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer
@queeneva3709
3 жыл бұрын
Bwana Yesu atuponye kizazi hiku.
@EdmoningTv
3 жыл бұрын
Kwer kabisa
@myself4128
3 жыл бұрын
Hao woote walioweka Thumbs down Wote walioipinga hii video ni Mashoga na malesbians!!! Siamini mtu anaweza kupinga ujumbe kama huu kama Sio member wa hizo community! Injili inachoma
@dicksonkyamurusa288
3 жыл бұрын
labda wengine wamefanya hivyo kwa kutojua maana yake😂😂😂
Пікірлер: 72