Juma Duni Haji ambaye ni mwanasiasa wa miaka mingi Zanzibar na Tanzania amestaafu wadhifa wake wa kuwa mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo. Baada ya kuwa katika ulingo wa siasa kwa zaidi ya miongo mitano, je amechangia vipi maendeleo ya siasa? Je mtizamo wake ni upi kuhusu hali ya sasa na mustakabali wa siasa visiwani Zanzibar na Tanzania kwa ujumla? Sikiliza makala haya ya #Kinagaubaga kati yake na Salma Said.
- Күн бұрын
Mtizamo wa Juma Duni Haji kuhusu siasa za Zanzibar na Tanzania | Kinagaubaga
- Рет қаралды 1,188
Пікірлер: 4