Huyu mnaemwitaga dada wa Taifa sijui mliona nn mpaka mkaona anafaa kuwa dada enu asiyejua kutofautisha nyakati za kuropoka na kunyamaza, huyu mwanamke n mshenzi kuliko mnavyomjua na kumchekea. Endeleen kumpa kichwa iko siku
@Legends_Interviews
2 жыл бұрын
Yaani anaboa nahivo wanamsapot app yake watanzania kweli vilaza
@yusrasalum
2 жыл бұрын
Mimi pia nashangaa yule hafai tayari kashanza na rais mama samia
@maryandason1815
2 жыл бұрын
Mm cjui at wanalipendeaa nn? Na kuliamn ety dda wa taifa,taifa lipi iloo maana mm siyo dada yangu uyo wala simjui
@davidcurtis8556
2 жыл бұрын
@@Legends_Interviews tuombe radhi mkuu sio watanzania wote vilaza baadhi yao bdio bilaza hasa hawa wanaotumua vifururushi vya siku wabatupa shida sana, na huyu dada yao alieliwa tunda la giza na baba yake unadhani atakuwa sawa? Lazima awe kichefuchefu tu maana ni kaana ndio inamsumbua japo wengi hawajamstukia.
@mademamasano8734
2 жыл бұрын
Mmmmhhh
@irakozegracia183
2 жыл бұрын
Mtu ni mtu tu wa kawaida lakini anaendesha nchi nzima kama ni President wakati hana hata cheo chochote
@tamarali8325
2 жыл бұрын
Who will teach 🤔 this woman a lesson 🤔 that she can never forget
@zainabnassoro1109
2 жыл бұрын
Atakipata tu soon
@tumlakimwaitumule
2 жыл бұрын
Ulimwengu
@justinebitariho1129
2 жыл бұрын
Carma gonna make her its b!#h soon or later 🤨
@ashaomari7972
2 жыл бұрын
Mngese 2 hana haya alikosa heshima dunia itamfunza
@franklinassey6600
2 жыл бұрын
Mungu yupo
@tousihhhh6765
2 жыл бұрын
huyo mange allah kareem ipo siku atamdhalilisha kwamatendo yake njaa mbay sana
@minjesha
2 жыл бұрын
Aliyechukua video sio mange, ye kaletewa habari na akamlipa aliyeleta habari..watu mipovu imewatoka..ila wa kulaumiwa yupo tofauti na mange..aliyeleta clip ndio mwenye njaa..
@salhamrisho8138
2 жыл бұрын
Yaani lifungwe kabisa lile lidada alina ata aya mwehu kabisa
@zou7470
2 жыл бұрын
Tatizo waliyo mutumia iyo video kwasababu mange hayupo tz sema wauguzi ndo wabaya
@sirielsamweli4751
2 жыл бұрын
Kweli aadhibiwe aliye tumaa,,,,
@randx1158
2 жыл бұрын
Simpendi n huyu malaya yani anabooa afe uko hata kama njaa yake imezidi malaya wa vibabu pumbavu
@sophieatieno5148
2 жыл бұрын
Mange hufanya chochote tu ilmradi watu waingie kwenye hiyo app. Sasa utaekaje picha au video ya mtu mgonjwa hadharani bila idhini yake? The disrespect 🙄 Huo ni ukosefu wa ubinadamu
@boscojackson5557
2 жыл бұрын
Kwann mnaluusu wa2 kuingia ma cm ndani wodi za wagonjwa hadi hao wauguzi inatakiwa watumie cm za mezani kila wodi
@barakakusa7606
2 жыл бұрын
Uongozi wa anko Magu alikuwa kimya lakini kwa Sasa anadhalilisha watz anavyotaka yaani sijui ni uhuru umezidi au nini Naomba serikali ifungie hicho App,Kama walimfungia Polepole wanashindwa nin kumfungia na hii????
@stanleykilangi1289
2 жыл бұрын
Mange kosa lake ni kupost.sawa hatukatai je ni nan alirekod na kumtumia mange.au mange ni doctor. Kidhibit mferej wa maj tnaanzia kwenye chanzo chake.shame on those who recorded bt not much to mange
@cheiknamouna2058
2 жыл бұрын
Yees wadili na aliyempelekea Mange na walikuwa na makubaliano gani
@dottohamisi9844
2 жыл бұрын
Yani mange kimambi sijui yukoje akipata kitu lazima apost sijui hawazi kunyamaza wa mchukulie shelie maana amezini kuingilia maisha ya watu akomeswe tabia yake anakela sana mange 😏
@sonnyr1899
2 жыл бұрын
Ndio tatizo la mtu mwenye kupenda sifa sana. Yani kuna vitu haviitaji kushabikiya kabisa. Mtu yuko hospital we unampiga picha kisha mnasambaza bila ridha yake kwa kweli wa tz tumefika mbali
@OfficialA83640
2 жыл бұрын
@@sonnyr1899 Aliyempiga picha atakuwa ndugu yake au wahudumu maana haingii mtu mule kumuona zaidi ya hao na viongozi wa Serikali waliokwenda
@sonnyr1899
2 жыл бұрын
@@OfficialA83640 Kabisa ndio yale yale Ya Kigogo haya
@swahibaswaleh1348
2 жыл бұрын
Ashitakiae huyu kimavi
@jcrackcrack1669
2 жыл бұрын
Alitaka kuzima ep
@Perfect_side_tz
2 жыл бұрын
Fanya mambo haya kila siku asubuhi Gusa,👇👇👇 kzitem.info/news/bejne/lKyL4IylgZt2maQ
@siaammo1104
2 жыл бұрын
Hii inaumiza sana hasa kwa familia ya mgonjwa.
@officialkilly2836
2 жыл бұрын
Watanzania mange kimavi anawaburuza SNA anajipendekeza Kwa Raisi huku akiichafua nchi yenu.
@sophiajackson5001
2 жыл бұрын
Yaani we mange siku ukikanyaga TZ utabondeka sana shenzi sana mtu asiyejua kusoma nyakati.... Hivi anajikuta yeye nani??? Harafu kuna alienda huko akapiga nae picha
@theopistakajuna2619
2 жыл бұрын
Mange ana. Watu Kila Kona ya nch wakimchchafya atasema aliyempa amchongo huo nwatu w Muhimbili humo mstusumbue
@neponova8988
2 жыл бұрын
Huyo mdada anakuwa entertained sana....nawazaga serikali haimuoni anachofanya au.... kutengeneza pesa kupitia kudhalilisha watu....na kwa nini anajiamini hivyo.... anazngua sana.....
@queennaomi4129
2 жыл бұрын
Oooo my God this mange anaroho mbaya saaaaaaana nilijuwa anamcukiya Zari but today naona anatatizo ya akili 🙄sorry for this legend
@مونيكمونيك-ع1غ
2 жыл бұрын
Huyo Mange alifaa kuzaliwa Kenya angejua ajui kazi yake ni kudhalilisha tu wenzie
@mwangiakila8020
2 жыл бұрын
Kenya hakuna hii utoto
@edyteemba1918
2 жыл бұрын
Na isitoshe watanzania wenyewe ndio wanampostia hizo habari na yeye analipuka nazo juu hayuko tz
@issazalala4907
2 жыл бұрын
Jamani mange yupo marekani video kaipataje
@rukiabari9431
2 жыл бұрын
U call her ati Dada wa Taifa ha ha ha hata Visa kusaidia vijana awapeleke penye uko hawatimii wala msaada hampati nikuwaharibia tu sifa na heshima kwa kila department ya Tanzaniz hasaa viongozi na familia za watu.... Mpeni limit huyo mwanamke
@aymankhadija619
2 жыл бұрын
Sasa Mange hayupo Tz hiyo Video kaipata wapi?,Au sasa hivi yupo Tanzania!!??
@edyteemba1918
2 жыл бұрын
Kweli hebu watuambie ilikuaje kuaje mpaka akaipata hiyo video?
@aymankhadija619
2 жыл бұрын
@@edyteemba1918 Mwenyewe nashangaa!!??,
@dazzwazenji5490
2 жыл бұрын
Mangi yupo marekan iyo video ameipta wap tz noma alomtumia mangi atafutwe ndio mkosaa wa kwanza
@saidfhamad
2 жыл бұрын
Kwani mange kaandika kipi kibaya au kupost video??
@jaharaoman6478
2 жыл бұрын
Yaani huyu mange sijui kwa nn anafanya haya kashaimiza weng sana huyu pimbi
@winnieedson4631
2 жыл бұрын
Wamemlea wenyewe so wachaa awachezee izo kende zao😏😏
@aisharamadan3620
2 жыл бұрын
Uyu mange anataka nn mbona nimkosefu wanidhamu
@irakozegracia183
2 жыл бұрын
Kitu naweza kusema nchi yenu ina uhuru kupitiliza kwetu haimanishi ako mbali angefatwa huko huko akashugulikiwa
@zainabnassoro1109
2 жыл бұрын
Ata Kenya hu ujinga hakuna sana shemegi zetu tz wamezidi
@salhakristina9434
2 жыл бұрын
Mimi huyu mwanamke namuchukia sana sababu hana ubinadam yy anacho fikiria ni hela tu ila Allah yupo inshaaalh atakuja kujuta
@simulizi2632
2 жыл бұрын
Mange kwa sasa anatafuta hela na app inamwingizia hela so hawezi acha kupost ishu ambayo italeta mwamko kwa jamii. Mtafuta hela mara nyingi anakosa utu
@CTM.24Updates
2 жыл бұрын
*ANGALIA VIDEO HII ,TUTAFUTE HELA JAMANI🤔🤔* kzitem.info/news/bejne/y2lunp-ri5eGZ6Q
@ibrahimgwasma1223
2 жыл бұрын
Mimi nashangaa serikali kupelekeshwa na kitu kama Mange kimambi Japo tunajua ni serikali inamhurumia Tu lkn this is too much, Mtu mmoja Tu anasumbuaje watu milioni kadhaa ondoa huyu binti
@ziyandamhlana8776
2 жыл бұрын
Ingekuwa ulaya mangi kimambi ilikuwa myaka 2 jela na fain dollar 1million
@franklinmganga736
2 жыл бұрын
Kwani kwann asilogwe huyo menge
@mecksaloon81
2 жыл бұрын
Mange ana laana, halafu mnamuita Dada Wa taifa, muiteni chizi Wa taifa, hana adabu
@gracetanyungu4727
2 жыл бұрын
mange afungiwe hizo app zake zote
@sirielsamweli4751
2 жыл бұрын
Chanzo aliyetuma kwa mange ni nani????
@yasminoluoch169
2 жыл бұрын
But what your doing mange sasa ni too much wah...
@dorcasdorie6161
2 жыл бұрын
Iyo mange wamufanyie kitu ili aache upuuzi.anazoweya sana,nawanawotumika Na mange kwakuwanamurushia taarifa mbalimbali wawakomeshe iliwasiwe navuka mipaka
@ItztocaAri-ns5lu
2 жыл бұрын
Mnamlaumu mange vipi nahuyo aliemrekodi mgonjwa na kuzituma kwa dada wa taifa lol , hii tabia ya kurekodi mambo ya faragha na kusambaza tuacheni jamani
@bahatisunga1642
2 жыл бұрын
Uyo ni kibaraka uchwala wa Mange
@neemaruben5427
2 жыл бұрын
Du!!!!jmn jmn😭😭😭😭😭
@johnmike6059
2 жыл бұрын
Na kunawatanzania wajinga wanaoliungamkono Ilo limangi kimavi kwa upuuzi wake liko nje macho yake yako uku tz kama chawi frani
@salimadamliwali9130
2 жыл бұрын
huyo demu anaumiza hisia za watu wengi sana, afungiwe hiyo app yake isifanye kazi tanzania, na vyombo vyote vya media visimzungumie , 😬😢
@selemanmohamedi8838
2 жыл бұрын
kwani mange yakwake hayasemi
@BINTIwaKITANGA
2 жыл бұрын
Mmh swali langu ...jee video ni Nani aliyerecord hiyo video wakati mangi yupo nje?!kuna namna hapoo
@hamisimuna125
2 жыл бұрын
Rudi shule ukajifunze kusoma na kuelewa,,naona umesoma Kujifunza kusoma na kumaliza
@BINTIwaKITANGA
2 жыл бұрын
@@hamisimuna125 alhamdulillah 🙏🏻 hongera wewe mwenye kujua kusoma na kuandika 👋👋Mimi sina ilmu yoyote hapa nilipo 🙏🏻 pia ningependa unifahmishe ama nirekebishe nilitakiwa kusema nini juu ya hii habari?!👂
@binmakka8693
2 жыл бұрын
*Basi atafutwe aliechukuwa video mange upo USA ama amekuja lini TZ*
@ashurakiswamba7085
2 жыл бұрын
Itakuwa vizur sana huyo mtu akipatikana na apate adhabu kali
@kungurukingunge2761
2 жыл бұрын
Kinchosikitisho sehemu ya ungaluzi maalumu wanashindwa kuweka camera twendeni na wakati jemeni
@barakakusa7606
2 жыл бұрын
Hivi huyu Mange Kimambi Kimambi serikali inashindwa Nini kumchukulia hatua mbwa yule.
@djnajma5627
2 жыл бұрын
DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA. m.kzitem.info/news/bejne/u52cqKt9enydpYY
@iradukundamike5370
2 жыл бұрын
Sasa tunajua mange anaishi USA iyo video ameitowa wapi jamani mange kua naroho yaubinadamu hadi wabunge kweri 😩😩😩
@erickphilipo6058
2 жыл бұрын
Kosa linaanzia kwa aliyechukua hio video. Mange kapelekewa tu
@rosemofuga8101
2 жыл бұрын
Sijawi kumuelewa huyo dada yenu mm nadhani ana tatizo la akili, kwa sababu yeye kila kitu cha mtu anakijua ,mtu akifunga ndoa lazima aoengee ,mtu wamegombana na mpenzi wake yeye anaongea, sasa mtu anaumwa yeye anaropoka tu utasema mtu anajitambua huyo
@MsAggie5
2 жыл бұрын
Ana laana
@rosemofuga8101
2 жыл бұрын
@@MsAggie5 yaani huwa nashangaa kwamba ni mtu wa sina gani huyo mwanamke,Kila tatizo au furaha ya mtu lazima aseme kama vile yeye ni msemaji wa binadamu hapa duniani
@rubbymusa1971
2 жыл бұрын
Huu si uungwana kabisa ugonjwa wa mtu usichukuliwe kama chanjo cha mapato cha mtu yoyote hata mungu hapendi, huyu dada ifike mahali awe na mipaka jamani, hivi mtu angefanya hivyo kwa ndugu yake angejisikiaje? sheria ifate mkondo wake kwa hili
@Farajahelene23031
2 жыл бұрын
shes fuu women mange
@queentoto3878
2 жыл бұрын
Kwan uyo mange hamuwenzi kumushitaki ili apunguze hata kihehe kidogo
@aishabrondi236
2 жыл бұрын
Nikisemaga mange kama nichizi mnanijia ju hicho kimavi kitakuja kukimbia kikiwa uchi wamnyama yani mtu Hana akili kisha watu mnamita dada wataifa
@zou7470
2 жыл бұрын
Kwani mange yupo tz sema wangepiga marufuku wauguzi wake
@djnajma5627
2 жыл бұрын
DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA. m.kzitem.info/news/bejne/u52cqKt9enydpYY
@bahatisunga1642
2 жыл бұрын
Ivi Mange kimambi ndio nani katika nchi hii na hao vibaraka wake uchwala au laana za kutembea na Baba yake Mzazi zinamuangaisha yeye ni nani hasa ktk Nchi hii ya Tanzania 😣😣😣
@ivynzuki6708
2 жыл бұрын
Hila Mange siku yako yakuja
@OfficialA83640
2 жыл бұрын
Kwani c kuna cctv camera mule kwann wasiangalie aliyepiga picha nani na wakachukua hatua zinazostahili alichukuliwa video Rais Magufuli na ulinzi mkali Taifa ulikuwepo lkn wataalamu waliipata video kwahy hapa kuna chakujifunza Mange karushiwa na yy anataka kuuza App yake kaona aiweke ila dah inaumiza kumdhalilisha binaadamu mwenzio
@mwanamisimatini5908
2 жыл бұрын
Aliepiga picha akatumia mange wake ndio tunataka kujua ni nani maana mange anaudhu kweli
@furahajacob506
2 жыл бұрын
Wabongo wanapenda xana Umbea...kwa hiyo huyu dad's ataxumbua xana
@mwajumakweli6774
2 жыл бұрын
Mmmhh kimambi jamani Dh!! Sijui ana matatizo gani Dh!!
@sharifaabdullah6825
2 жыл бұрын
Sasa kuumwa pia imekuwa ni ajabu kwa binadam?' Asifikirie yanamkuta' prefesaj' tuu hata yeye pia mange yanaweza' kumfika nakama' sio yeye nduguyake' au mwanawe' hakufanya' ubinadamu' wala uungwana' mange usipende kurukia' gari kwa mbele' ipo siku yatakukuta'
@kungurukingunge2761
2 жыл бұрын
Mtu wa namna hiyo ni mtu mwenye roho mbaya na kukosa hofu ya mungu yo yote mwenye hofu ya mungu hawezi fanya kitu kama hicho yaani huu mdada anaroho mbaya sana anatakiwa kajua hujafa hujaumbika asimchoze allaah kwani anauwezo wa kumgeuza anavo taka
@alfarnb9923
2 жыл бұрын
Serikal hii haimuwez huyo dada
@naomikrause1762
2 жыл бұрын
MUKIMBIZI NI MUKIMBIZI TU
@ziigochannel1541
2 жыл бұрын
Mama si alimuona wa maana akamrudishia passport
@janetahmed6948
2 жыл бұрын
Sasa huo mange njo nani jamani yani katu kanakilo kama karatasi anakosesha mtu amani
@lifhonlee3427
2 жыл бұрын
Wah.namsubirie uyo kichaa atawaabia ugojwa wake n nn ivi karibun.
@vanessalaizer4363
2 жыл бұрын
🤐🤐🤐🤐
@ashurajuma9086
2 жыл бұрын
mimi simpendi huyu jamani nyie acheni tu
@rukiaiddyyahaya9506
2 жыл бұрын
Lakini jamani mbona watu hamna adabu
@maryamtanzania9743
2 жыл бұрын
Mimi naona kuumwa ni kaida tu haijalishi unaumwa nini napiya kifo kiko pale pale ila mange ndo kaxi yake na wao hospitali hawako makini nani aliempiga picha kwa sababu mange hakai tanzania
@kungurukingunge2761
2 жыл бұрын
Sio makini wauguzi wetu njaa na mangi ana walipa visenti
@msemakweli371
2 жыл бұрын
Professor Jay mtu wa Watu jamani.
@binmakka8693
2 жыл бұрын
*Kwani anauguwa nini PJ*
@welcometoeat165
2 жыл бұрын
Aiseee 😭😭😭😭😭😭inaniuma
@saumusalimuhassan2499
2 жыл бұрын
Subhannallah, uyu Mange sio muoga na kazi za watu, sijui Ananini lakini uyu Dada yenu.
@aminahamisi2837
2 жыл бұрын
Hata haogopi ,mwanamke alikufa roho huyu anaishi tu hio nc
@Legends_Interviews
2 жыл бұрын
Watanzania wenyewe wanampa mange habar very 😔sad
@rebeccaasiyo4223
2 жыл бұрын
Anaugua Nini professor Jay?
@rachellebahati6126
2 жыл бұрын
Mungu amusamehe
@shifaaal-baity4503
2 жыл бұрын
Mungu asi msamehe
@abisinamustafa3118
2 жыл бұрын
Serikali yetu ya sasa kila mtu yuko huru Magu angekuepo huyu angefungiwa maana yeye ni mtu mzima anaweza kupewa umbea wowote kabla hujaufikisha kwe jamii tafakari kwanza.waandishi mnatakiwa mujue kua kuna taarifa hupaswi kuiandika kabisa kama umeipewa,hujafa hujaumbika.kueni na utu dunia inawadanganya .hivi mange hana familia iliowahi kupitia magumu.???? Siku hizi watu wamejiajiri kwa kukashifu watu.machawa wanakashfiana hadharani,serikali inaona ni uhuru wa hali juu.mumekataa uhuru wa wafanyabiashara ndogondogo eti wanachafua jiji mkaleta uhuru wa habari.r.i.p magu.
@ashaomari7972
2 жыл бұрын
Ushoga mtup🤔😏😏😏
@King_Of_Everything
2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌🙏
@EK-kp2np
2 жыл бұрын
😡😡😡😡😡😡
@djnajma5627
2 жыл бұрын
DAWA YA KANSA YA AINA ZOTE.MAMBO MA 5 MUHIMU YA KUZIKATI ILI UPONE KANSA. m.kzitem.info/news/bejne/u52cqKt9enydpYY
@abdurazaksiteofficial
2 жыл бұрын
Kama hujafanya Uhakiki WA namba ya nida fanya hivi 👉kzitem.info/news/bejne/snqsz6Z5iYyGgag
@bobommy9047
2 жыл бұрын
Mang kimang alifikaje hapo hospital akachukuwa video upuuz mtup... Anatakiwa alaumie aliye chukuwa video sio aliye Shea ujumbe..
@64aaa
2 жыл бұрын
Aliyechukuwa alikuwa na niya mbaya na uwenda ni Team Mangi. Lkn wakulaumiwa ni yule aliyeirusha mtandaoni. Inaskitisha sana
Пікірлер: 129