Mambo matatu yatakayo tokea wakati wa kutoa hesabu kwa Mungu;
1. Kunakupata thawabu au hasara. 1Wkorintho 3 : 9 - 15
2. Kuheshimiwa au kudharauliwa. Daniel 12 ; 2 - 3
3. Kukataliwa na Kupokonywa. Mathayo 7 : 23 - 24, Mathayo 25 :26
KUSUDI LA HUDUMA
1. kumzalia Mungu matunda.
Yohana 15 : 1 - 8 ( 16 )
2. Kuimarisha ushirika wetu na Mungu na sisis kwa sisi kama mwili wa Ktristo
1Wakorintho 12 : 12 - 27, 2Samweli 11 : 1 - 4 Isaya 41 : 6 - 7
3. Kutupa heshima na thawabu mbele za Mungu.
Ufunuo 22 : 12, 2Timotheo 2 : 20 - 21, Yohana 12 : 26, 2Timotheo 4 : 5 - 8,
Kuna taji ambayo Mungu meandaa kwa watu watakaofanya kazi kwa ubora na ustadi
Негізгі бет Mungu anapendezwa na mtu anaemtumikia kwa ustadi na ubora; Yeremia 48 : 10a, Mathayo 25 : 14 - 30
Пікірлер: 3