Am blessed always 🙏🙏🙏🙏haya mafundisho Yana upako. From kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ciciandjojo7701
Жыл бұрын
UAMINIFU ni tatizo kubwa sana . NIsombo la kufundisha sana. Wakisikia kwa wingi mioyoni itawaingia. Wanakatisha tamaa sana 😢
@ciciandjojo7701
Жыл бұрын
2023 watching this! Nimecheka ma hotpot. UAMINIFU NDIO SILAHA YA USHINDI 🙏
@eutropiangido9684
3 жыл бұрын
Limekuwa somo langu mchana wa leo. Nimefunuliwa jambo. Mungu abariki huduma hii
@micceymicco1690
3 жыл бұрын
Father tunashukuru kwa mafundisho mazuri, Mungu akubariki. Tulikuwa tunaomba pia utusaidie somo la kumtambua mwanaume wa ndoa mtu aliyechaguliwa na Mungu.
@neemasaidisaid1791
3 жыл бұрын
Asante Bwana yesu huu ujumbe unakusudi.nakuombaa hilo kusudi nilitimize.
@benoisjoseph8824
Жыл бұрын
Amen pastor
@esmilykipele4008
2 жыл бұрын
Kama kuna mtu amesaidika kwa ujumbe huu ni mimi Mungu akubariki mtumishi
Пікірлер: 37