Nafurahi sana ninaposikia ujumbe wa Mungu wa kweli unahubiriwa , Mungu azidi kuwabariki, lakini kwetu sisi Mungu ni mmoja tu aliye Baba
@aminakenea9614
Ай бұрын
Ana jijibu mwenye maswali anayoyauliza, subjannallah
@Vel42
Ай бұрын
AMINA
@callennyabonyi5580
Ай бұрын
Halleluya ❤
@Skmrimi1833
Ай бұрын
We ndacha mtihani leo unakubali yesu mwana wakati mwingine unadai yeye ndio Mungu
@gracebaptistchurch2129
Ай бұрын
Ndacha anajikanganya tu. Kama Yesu ni Mungu nanikweli: na Baba ni Mungu na hiyo ni kweli. Huo ni upili Mtakatifu. Kwa Ndacha Roho Mtakatifu ni kizungumkuti kwake kuwa ni Mungu. Bibilia inafunza kwamba Roho Mtakatifu ni Mungu. Mbona mnaukan Utatu Mtakatifu?
@samuelwafula9334
Ай бұрын
Ni wewe huwelewi Una kichwa kilichojaa majini ya kiislamu😂
@Nolithajack12
29 күн бұрын
Muntu wowote kama hawerewe ndacha hanahakiri kibisa
Пікірлер: 11