This is not fair .... Pamoja na zuio la mahakama still Bado mmebomoa na bila fidia kwa wananchi tulio Fanya investment hapo kwa zaidi ya miaka na miaka.... This government 💔💔
@maotora_tz
4 ай бұрын
Kwa sababu za uchaguzi wa serikali za mitaa hawa jamaa wameamua kutubomolea nyumba zetu nanenane bila compensation yoyote. Wamerevoke wenye hati na kujimilikisha eneo. Very sad.
Пікірлер: 3