Nahuko gerezani inatakiwa aishi kwa muda gani au azabu yake inaisha kwa muda gani
@shijamakoye6544
2 жыл бұрын
Sasa awali ulipoteza pesa tena unaendelea kupoteza pesa tena kumlisha duuuh hapo sheria haijakaa poa
@edgarcruzee5223
Жыл бұрын
Mmm
@pirminmatumizi5464
Жыл бұрын
Jela ni jela ndugu. Membe ana uwezo wa kumlisha gerezani hata kwa miaka 10. Anachotaka ni kumfundisha adabu huyo kijana. Kwa kweli alikuwa kero. Na akiachiwa atatamba sana kuwa hawamuwezi. Si unawajua watu wa Mara.
@majosamalundi3687
2 жыл бұрын
Kila zama na kitabu chake
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Membe nani grip zake nyingi sana zinaonekana mitandaoni hamna kitu hapo alutaka urais angepewa na nani hana nyota tokea uwaziri wa mambo ya nnje
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
Musiba amlipe membe pesa za nini yeye alizokula pesa za gaddafi alizopewa kujenga misikiti alilipa au aliziingiza serikalini
@peterbangari4273
Жыл бұрын
Kwanza wewe ni mhwanashelia wa mchongo kama wewe kweli ni mwanashelia hiyo kesi kweli ni bilioni
@jeanmusamba8448
2 жыл бұрын
HAHAHHA KUMBE KUKOSA HELA NI KAMA JINAI TU,TUSAKE HELA DAWA YA KESI NI HELA,NA JE SUPPOSE UMEMUWEKA NDANI NA UNAMLIPIA ALAFU UKAFA ANATOKA AU?YESU YUKO SAHIHI SAMEHE 7 X 70 NA TENA ASEMA MSIPOWASAMEHE WATU MAKOSA YAO MUNGU NAE HATA WASAMEHE(NA KWA NINI AKUSAMEHE WAKATI HUSAMEHE ATAKUWA HANA HAKI)
@abubakaribinaisa9812
Жыл бұрын
Unajua sheria ila sio mfasaha wa kuongea!!!
@sadialhaji1896
2 жыл бұрын
Hahahaha hahahaha hahahaha ngoja nikakope haraka nikale Bata za kutosha jela
@samsonmaiko6089
2 жыл бұрын
Ngoja Nika kope pesa nile Bata nifungwe na mdai
@gidongailo4514
2 жыл бұрын
Sasa hapo mdai atapateje anachoihitaji kulipwa?
@tanzanian8847
2 жыл бұрын
Ahsante sana wakili, Mungu akubarik
@mariayegela4224
2 жыл бұрын
Kwani pesa yenyewe na jera zinasemaje?
@Mamatonny2065
2 жыл бұрын
😁😁😁ni aibu kubwa sana kusubiri mtu ateleze ili unywe jasho lake !.
@codexdevelopmentserviceslt7809
2 жыл бұрын
nani kateleza??
@amosimuro6968
2 жыл бұрын
Bia Tamu😂😂😂😂😂
@tanzanian8847
2 жыл бұрын
Usichoke kutuelimisha
@wamburamwita1263
2 жыл бұрын
Acha msiba alipe alijipendekeza mno no makoza kumtegemea binadamu
@ngwanafabian4612
2 жыл бұрын
@@wamburamwita1263kumuunga mkono mtu siyo dhambi ikiwa unaamini sera zake hata wapinzani huwaamini viongozi wake hata wakikosea wanawatetea. Msigwa aliwahi shitakiwa na Kinana na mahakama ikampa ushindi Kinana Msigwa akaomba msamaha hadharani yakaisha.
@shabansaid5068
2 жыл бұрын
Aliyekuwa anasikiliza hiyo kesi ni mtoto wa nyumbani ndiyo maana madai ni bilioni 6
Пікірлер: 22