SubhanAllah Mungu tunusuru na kujifanyia vitimbwi tusiwe gizani Aamin
@RashidNassor-v6o
17 күн бұрын
Shekhe mselem mungu ampe maisha marefu azidi kutufudisha
@ShaibuchoumOmar
12 күн бұрын
Assalam alaykum warahmatullah assante sana shekh wetu Allah akupe umri mrefu ambao anaurizia Allah uzidi kutuelimisha
@fatmamsiliwa8485
21 күн бұрын
Mashallah mung akupe kila la kheri shekhe wetu
@aminaabdulghanim8256
5 күн бұрын
Jazakallahu kheir ❤. AMEEN 🤲
@ImamHussein-y8m
19 күн бұрын
Allah akulipe kila la kheri nasisi Atupe na Atujaze nurunya Qur"an katika Maisha yetu mafupi yaliyobakia
@haidarimfinanga9755
21 күн бұрын
Asalaam alaykum warahmatullah Fanyeni mpango huyu wa lugha ya alama ainekane katika clip. Muonyesheni ktk frame ndogo pembeni. In shaa Allah.
@RukiyaGharib
19 күн бұрын
6:11 ASALAMU ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH tujuze sheikh wetu hatupendi vya haramu ila huwa hatujajua.
@user-gr5vt5ru3k
11 күн бұрын
Shukrani shekhe kwa mawaidha allah akulipe ktk haya angalau ktk 10 hata 1 mtu apata faida
@user-ed3yb3cx1o
16 күн бұрын
Allaah atulinde na adui shetani
@SleepyAnglerfish-yc6px
21 күн бұрын
Naam baaraka llah fiykum shekhe
@sulumRashid
21 күн бұрын
Allah atuhifadhi
@RrrrRrrrwrw-wn3jj
20 күн бұрын
Waislamu wengi nimeona hawazingatii kula halal waty wanapenda nyama sana hua hawafikiri uhalali wake.
@vich2mussa997
20 күн бұрын
Assalalam alaykum peduu ni kuku wanao ingizwa nchi zanzibar kutoka nje ya nchii
@user-tk4es1uw7e
8 күн бұрын
Shee huko pwani ni balaa kubwa milaa za kina Babu matambiko, migoma ,na harusi zetu wakina mama Wana katika viouno hebu gusia mada
@user-xh6mt8xj9d
20 күн бұрын
Kama utamsikiliza Imani Petro KTC media 201 ,13K views 3years ago Basi habakii mtu kwa sbb kupitia hiyo clip ya Imani Petro ni mitihani kweli sijuwi Kama na wewe sh wangu Kama utavuka kwenye hili Allah atuhurumie na atusamehe amin
@mustafamsati9599
20 күн бұрын
Pidui ni nini?
@abullahkabaka8774
21 күн бұрын
allah yahfidhak she, msalem, peduu ni mnyama gani? shukran
@sheikhanasser4714
21 күн бұрын
Allahuma Aameen Yaarb Alaameen 🤲 Ndugu Allah a disaster kwa herufi kubwa Shukran
@khamisidrisa4216
20 күн бұрын
Peduu ni Kuku wa Kubwa yanakuja mapaja vidari virigisi ni kutoka Brazil na nchi nyengine
@saeedmassoud256
20 күн бұрын
Peduu ni kuku wa nyama wanaoletwa kutoka nje wanakuja wakiwa washachinjwa
@abullahkabaka8774
20 күн бұрын
@@saeedmassoud256 shukran wa jazakumullah kher, allah izid yahfidhna jamia muslimin, amin
@chamyluna8030
19 күн бұрын
@@saeedmassoud256kwaiyo shida Iko wapi sasa
@AllyHussein-v4u
6 күн бұрын
Huyonimnyama gani.
@IddyAbdallah-yk3hi
3 күн бұрын
Peduu ni km kuku wakubwa km bloira,niliwaona Zanzibar
@JazilaNjuki
15 күн бұрын
Peduu ndo uyo kuku Apo au
@salimwanga
13 күн бұрын
Asalam alaykum mashallah❤🎉❤
@OmarAyman-pn6ck
19 күн бұрын
Peduu ni myama gani? Na kwa jina la kizungu anaitaka nini?
@allyhassan7522
4 күн бұрын
Peru ni Perenge.
@nadiahassan7993
20 күн бұрын
Peduu ni nini???
@vich2mussa997
20 күн бұрын
Assalam alaykum peduu ni kuku wanao ingizwa nchini Zanzibar kutoka nje ya nchi
@IbrahimMohammed-xi2ix
20 күн бұрын
@@vich2mussa997Hapana sio kila kuku anaengizwa nchini ni peduu Kuna saadia na kabila nyengine inategemea inatokea nchi gani Peduu ni jina la kampuni moja tu
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct
18 күн бұрын
Hakuna najisi shehe ambayo ukila haiwezi haikudhuru afya yako hata ukila hakuna najisi najisi na kitu kinacho zuru mwili na afya yako kama sigara pombe kali kwa nini mviache nabii issa alisema kimuingicho kisha kinatoka kwenda chooni hakiwezi kumtia unajizi haya ni makatazo ya binaadam na
@Kabeya410
16 күн бұрын
We hujui kitu hiyo aya inayosema najisi kitokacho ila si kiingiacho basi kula mavi ikiwa kiingiacho we kula usiulize ulize kila ukionacho sokoni kuleni hii maneno ni ya PAULO SIYO NABII ISSA YAPO KWENYE AGANO JIPYA NDO KWENYE UCHAFU MWINGI AGANO LA KALE UKISOMA WALAWI 11:7 NAJISI INATAJWA WAZI WAZI USILE NYAMA YA NGURUWE WALA USIGUSE MIZOGA YAO yani hata kugusa tu imekatazwa sembuse kula acha uongo. Kama hujui kitu nyamaza
@aminaabdulghanim8256
5 күн бұрын
😂ondoka na ubililia wako
@chamyluna8030
19 күн бұрын
Mbona mi cjasikia sehemu inasema peduu kharamu
@AbdushakuruMussa
19 күн бұрын
Hujaelewa mjomba uharamu upo kama huko walikochinja hawajataja jina la mungu basi itakuwa haifai kula
@coyancodavao4004
19 күн бұрын
@@AbdushakuruMussaww ulijuaje km halijatajwa jina la Mungu huko?
@ahz6907
17 күн бұрын
@@coyancodavao4004labda ni kampuni ya kikafiri 😂
@coyancodavao4004
14 күн бұрын
@@ahz6907 kampuni ya kikafiri ya aina gani? Wakristo au hawana Dini kabisa?
@aminaabdulghanim8256
5 күн бұрын
@@coyancodavao4004 asiye kuwa muislamu ni kafiri yaani (non Muslim) nyama yeyote yaku chinjwa lazima iwe halal kwa kila muislamu.
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct
18 күн бұрын
Mna hadisi nyingi sana lakini waliozindika walijawa na ubinafsi kuliko ukweli na makatazo yasiokua haki najisi ziko nyingi hata kuzini kutamani ni najisi najisi sio kitu unachokula tu kuhangaika kutafuta vitu kuvifanya najisi na hakina madhala kwa Warmingham wakila ni kuwanyika au kuzuika haki ya kutumia kitu ambacho hakina madhara
Пікірлер: 51