Simba ni club ya kijinga sana. Sote tunajua simba day haiko kwa faida ya mashabiki.... Ni tukio la kutusahaulisha ujinga na upumbavu wote waliofanya viongozi misimu iliyopita, ni tukio lililotengenezwa ili kuuza sanda tu. Club serious haiwez kufeli kumsajili elie Mpanzu. Hapa siasa zinaendelea.... Inatosha, sitaki presha tena. Huu mwaka sichangi mchango wowote wala sivai sanda mimi. Pumbavu zenu
@hando8329
2 ай бұрын
Hatutaki michango yako ... ikiwezekana hamia huko NYUMA MWIKO😮
@eliadastan6021
2 ай бұрын
😂😂😂 mashabiki wa yanga msije kukoment huku jmny
@salimmalaka256
2 ай бұрын
HUNA SHUKURANI WEWE
@anthonymagoda1941
2 ай бұрын
Hulazimishwi kushabikia. Ww haupo kwenye benchi la ufundi unajuaje ubora wa Mpanzu
@lawlencekalenga4212
2 ай бұрын
Wewe umemsajir nani kwenye hicho kikos unachokidharau
Пікірлер: 43