Karibu sana viongozi mungu akurinde uwe rais wetu risu
@ndogoroedson199
2 ай бұрын
Rais wa wajinga labda!
@abdullahalsharji9428
2 ай бұрын
Raisi wa mashoga labda
@abdullahalsharji9428
2 ай бұрын
Mchagueni lissu watoto wenu waowane
@marysichinsambwe7708
2 ай бұрын
Karibu Baba Tanzania ❤❤❤❤
@SoloMwakaje
2 ай бұрын
Karibu risu mungu akulinde hakika wewe unafaa kuwa rais wa tanzania
@laizersayanga
2 ай бұрын
mungu bariki kazi Yko
@RamadhanAthuman-d4c
2 ай бұрын
Lisu we ni tunu ya taifa
@justinelukumay5308
2 ай бұрын
Tundu lissue ni Moyo wa Tz Ww mzee Mungu akupe nguvu nyingi sana uishi salama❤😂😂
@SoloMwakaje
2 ай бұрын
Nakuaminia tundu lazima uwe raisi wetu
@IssaJohn-kk8pb
2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu baba kweli watanzania tunakupenda mwamini mungu ipo siku utafanikiwa
@abubakarimussa9131
2 ай бұрын
Tuko pamoja sana raisi wetu
@duwampota
2 ай бұрын
Kalibu mteule wa mungu
@abdullahalsharji9428
2 ай бұрын
Mteule wa mashoga
@shimmysima1311
2 ай бұрын
Mr President
@estambuya3901
2 ай бұрын
Pamoja sana shujaa wetu.
@AbdulOthman-gy7nu
2 ай бұрын
Nakubal sana rais lisu
@harunamtiko117
2 ай бұрын
Home boy ❤❤❤
@rebekakulwa6159
2 ай бұрын
Lisu ni mtanganyika halisi karudi kwao siyo kwa hisani
@bukurunestory3540
2 ай бұрын
Rais ajaye tunakuombea kwa Mungu Mh Tundu Lissu
@ayubunato-lg7yy
2 ай бұрын
Lissu shikamooo
@AgnesAndrew-n4p
2 ай бұрын
Nawapenda sana sisisote niwatanzania . Mabadiliko huanza na mmoja kama usingizi wote hamuwez kuamkia pamoja. Asante saaaana people,s power
@deogratiusmaila676
2 ай бұрын
Welcome back home president to be Lisu
@ezromndangalasi8164
2 ай бұрын
unajua huyu jamaa ana akili sana sema ccm mnamdharau tu hata magufuri hafiki kwa huyu jamaa
@entertainmenttrendingevent
2 ай бұрын
Angekua ccm wangekua washampa kiti ila shida ni chama pinzani
@RashadiAsadi
2 ай бұрын
Karibu sana lisu tunakusubili
@ElishaJohn-ws5ix
2 ай бұрын
Love lissu Love chadema
@matalo0551
2 ай бұрын
👏💪👍✌️✌️✌️✌️✌️✌️
@ibrahimkibira9943
2 ай бұрын
Our future president Tanzania 🇹🇿 may God protect you always 🙏 ❤️
@ElishaOisso
2 ай бұрын
Mwamba huyu hapa🎉🎉🎉🎉
@ibrahimkibira9943
2 ай бұрын
Our future president of Tanzania 🇹🇿 may God protect you always 🙏 ❤️
@ElishaJohn-ws5ix
2 ай бұрын
Mabadiliko aya apa people power
@MathayoMelubo-i9m
Ай бұрын
Hongera
@wilsonandlea8614
2 ай бұрын
Karibu
@feruzmato4422
2 ай бұрын
Nakuunga mkono mheshimiwa
@EbenezerMagari
2 ай бұрын
Ila hiki kichwa mh kimerudi tena
@Focusm-se2sd
2 ай бұрын
Safi sana lisu
@ElizaCharles-qj4he
2 ай бұрын
Lisu tunakuku bali baba kura zote zako malaika watakupigania uck na mchana.ni moto🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@evancemoy5300
2 ай бұрын
Bwana akutunze akuepushe Tena uzidi kupambania haki
@jeremiahnzomuvula8419
2 ай бұрын
Huyu mwamba namwelewa sana!
@clemencemkondya8561
2 ай бұрын
Tundulisu hawezi kumshinda mama samia. Sababu zipo nyingine nihizo zakuhisi mambo ambayo hayapo .
@MathayoMelubo-i9m
Ай бұрын
Tatizo lako unagombea uongozi kwenye chama cha chadema. Ingekuwa CCM wakika ungeweza kushinda
@ERICKBAHATI-y8s
2 ай бұрын
Safari njema kwenye kapeni yko 12:31
@SeifAlly-g9i
2 ай бұрын
Mkutano huo ulikuwa una wahusu vijana vijana wote sikama chama chachadema tu
@boneventuremweya3673
2 ай бұрын
Rais mteule 2025 mweshimiwa Tundu lazima chini yako tuikomboe Tanzania kutoka kwa Manyang'ahu ya kijani yanayolithishana kwa vizazi kutafuna kodi zetu
@stevensosipita
2 ай бұрын
CHADEMA MNAFELI SANA HAKIKA KUNGEKUWA NA MGOMBEA URAIS KAMA MAKONDA,POLEPOLE,AU MPINA KIUKWELI SISI TUNGEWAANGUSHA LAKINI KWA WEWE TUNDU LISU HAUPATI KITU NA UNAPOMSEMA MAGUFULI VIBAYA NDO UNAPOFELI MAGUFULI ALIKUWA KIPENZI CHA WATU SIYO WEWE KIBARAKA WA WAZUNGU
@FikiriniMwaluko
2 ай бұрын
Aliekwambia uwapigie kura ni nani😊
@mwaamwetahussain9947
2 ай бұрын
Tunataka kumchangia fomu yko Mh
@Ali.salimu
2 ай бұрын
Kuipatia. Ccm kula lamda rais asimame. Waziri. Mkuu. Majaliwa
@IsayaToto
2 ай бұрын
✌️✌️✌️
@tumuombesalvatory6272
Ай бұрын
Nenda uko uwez kupat
@DanielSolomon-du8yz
2 ай бұрын
Llsi njoo Bab
@kaaakwakutuliaa5179
2 ай бұрын
chadema hili ndo gep la kupita na makonda huko washa mtia kitu mbaya
@simonzelote5998
2 ай бұрын
Tanzania ipi hata ccm wampitishe mbuzi huyo mbuzi atakuwa rais tengenezeni njia kwanza na njia yenyewe ni katiba . Tanzania inaongozwa na katiba na katiba yetu ni mbovu sana
@ndukulusudikucho_
2 ай бұрын
Ametoka kuchukua maokoto Belgium, kwani lazima ufanye Siasa? Ila Karb tusikilize sera na sio matusi na kejeli
@PartySekemi
2 ай бұрын
Lowassa hakusema alivyo rudi
@rithaurassa
2 ай бұрын
MUNGU AKULINDE AKUTIE NGUV KAMANDA WETU.TUNAKUTEGEMEA RAISI WETU 2025.TUKO NYUMA YAKO RAIS WETU KAMANDA USIOGOPE MANENO YA WAANDI YAKO KWENYE KANGA.
@patrickmarwa5024
2 ай бұрын
Magu utaweza kumfananisha na huyu lissu.tundu huyu ni mziki mwingine huu magu kombora moja tu hayati.mwamba huyu makombora ya kufa mtu mwamba yupo huu mziki
@abdalahgunda1319
2 ай бұрын
Big brain thinker tundundulisu arive on ground ready fighting with the ccm under ground
@malkavoice2570
2 ай бұрын
Hajajibu swali la kuhusu Mnyika kwann?
@MonicaKaskaz
2 ай бұрын
Usipoteze muda wako
@noahpaulo3845
2 ай бұрын
Lisu wewe nae huwa tuna kuku bali lakin sasa tumesha choka na ahadi zakusema wakifanya mchezo mchafu watasababisha mabalaa mbona hautuyaonagi mabalaa yeyote kinacho tokea unachukua pipa unaenda kula zako mauno ubeligiji hua unapewa mpunga nini ?
Kwani Wewe nd,o unachaguana nd,o useme kuwa lisu hawezi kumshinda Samia endapo tukipata katiba mpya na kuwachana na ya Sasa mbovu yenye kumpa raisi kuwa kama kamungu na wakati ni mwanadamu na wanatangazwa kwa mabavu kuwa alishinda? Au kura yako Moja itamfanya ashinde kama ushaguzi itakuwa wa huru na haki Wewe?
@wamburasamwel2101
2 ай бұрын
Umemaliza kila kitu mh rais ajae
@gwantwamwalyaje8515
2 ай бұрын
Karibu Sana Tz Kamanda Lisu Tulimisi Sana Uwepo Wako Tunashukuru Sana Tumesikia Kauli Yako Kuhusu MsiMbwa
@kibbysaidi7813
2 ай бұрын
Kama unajua yote hayo... kwamba utaratibu ni ule ule na katiba dhahiri ni ile ile ya kuibeba CCM, sasa kweli unategemea matokeo tofauti? Kweli unamdanganya nani? Njaa tu imewazidi sasa...semeni ukweli. Mtapewa madiwani na wabunge wachache kwa fadhila ya CCM ili tu kuleta legitimacy ya ushindi wa CCM.
@msabahaali758
2 ай бұрын
ww umefnya nini hichi ni ghama cha siasa lazma kiingie kwenye uchaguz lazma mapambano yaendelee
@kibbysaidi7813
2 ай бұрын
@@msabahaali758 Hujui hata unalosema...sina bahati ya akili nyingi kama ww!! I'm an apolitical intellectual. Akili yangu ya kawaida inasema ukiingia kwenye uchaguzi ambao unajua hauna haki ukishindwa usilalamike...ukilalamika unaitwa mpumbavu maana hata kabla ya uchaguzi ulijua huwezi kushinda
@melch3097
2 ай бұрын
Kama huna uchungu na nchi yako, kaa kimya
@kibbysaidi7813
2 ай бұрын
@@melch3097 Kwako ww kushiriki uchaguzi ambao unajua hauna haki na huwezi kushinda bali unahalalisha ushindi wa CCM ndio kuwa na uchungu na nchi kweli??? Usinichekeshe....
@rasnchimbi
2 ай бұрын
Sasa muungane na TLS taasisi,wanaharakati na wananchi wote mfungue kesi ya 👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿
@MaulidyMadyo
Ай бұрын
Tuko nyuma yako
@brunomirambi8792
2 ай бұрын
CHADEMA MUNA JENGO??? HIKI CHAMA MNAKOELEKEA HATA WEW LISSU WATAANZA KUKUSUSA TAFFUTA CHAMA UENDE BILA. HIVO UNAPOTEZA. legitimacy
@melch3097
2 ай бұрын
Hapo ulipo kichwani kama kopo tupu, kamwambie mama yako na baba yako maneno hayo
@magaigwa4204
2 ай бұрын
Hakuna upinzani kwenye nchi hii
@melch3097
2 ай бұрын
Hata baba yako na mama yako
@emmapaul1766
2 ай бұрын
Choko la ccm
@mangenyanyondo8691
2 ай бұрын
Yupo nani au mamayako ndio yupo
@ndogoroedson199
2 ай бұрын
Mamae hiv bila kumtaja JPm siasa zenu hazifanyiki? We usituchanganye hakuna kitakachotokea kama ww ni mjuzi mkabili mbowe kwenye uenyekiti mnapambana na nan?
Пікірлер: 87