Baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa kwa kivuko cha MV Tanga kwa sasa wakala wa ufundi na umeme Tanzania TEMESA imekirejesha tena kwa wananchi ili kiendelee kutoa huduma .
Awali wananchi wa Pangani walikuwa wakipata adha kutokana na kivuko hicho kuharibika mara kwa mara na kuleta usumbufu kwa wananchi kuvuka kwenda ng'ambo ya pili.
Негізгі бет MV Tanga yarejea kutoa huduma kwa wananchi wa Pangani
Пікірлер