MWAKINYO AMPIGA MFILIPINO KWA POINTI: Pambano la Raundi 10 limemalizika, ushindi ukienda kwa Mtanzania Hassan Mwakinyo akimpiga Arnel Tinampay kutoka nchini Ufilipino kwa pointi.
MATOKEO: Jaji wa kwanza ametoa 97-93 , Jaji wa pili akatoa 98-92 na Jaji wa tatu akatoa 96-96.
Weka maoni yako hapa. Kila kitu kilikuwa LIVE #AzamSports2 na #AzamSportsHD
#mwakinyo #tinampay #AzamTV #mwakinyovstinampay #NgumiJiwe #Vitasa #VitasaNight #Masumbwi
Негізгі бет Mwakinyo alivyomchapa Tinampay kwa pointi katika pambano la kihistoria
Пікірлер: 596