Yes ile sound isee nilkuwa najiulza how abibad make it sawa namkubal na ni mkalii ila ile imeenda extra kidgo big up kwa big P majan touch zake ni majan tu ndio anazo
@anelkaking9342
5 жыл бұрын
Much love lilommy interview mzuri natamani isiishe yani,big up hamisi a.k.a FA.love from zanzibar.
@kasimuyahaya4010
5 жыл бұрын
Lil ommy upo vizuri kwenye interview pia napenda unavyofatilia mziki na mistari eti dakika ya pili sekunde ya nane
@RamazaniMulongeca
5 жыл бұрын
Big up sana #MwanaFA and #TheKingOfTheBestInterview crew🙌🙌🙌 #KIBOKOYANGU FT #ALIKING ONE OF THE BEST SONG🙌🙌🙌
@mytelecom2019
5 жыл бұрын
unapita mule mule mwangu ramsey, kiboko yangu all time ni nyimbo yangu bora
@ahmedsubar900
5 жыл бұрын
Fa wewe ni mtu wa pekee sana kwenye jamii hufanyi burudani tu bali unanyoosha na kurekebisha pia jamii
@oneboyjahman1440
4 жыл бұрын
The chemistry between Ommy n Binamu is dopest...Mwana hafungii na kuepuka.. #Legacy!
@ashurabairu25
5 жыл бұрын
Mwana fa ni shabiki sana wa Nas Jayz na fabulous
@awadhtevez2918
5 жыл бұрын
Kichwa kimeja madini nakukubal Mwana FA among of very very powerful MC in Tz this guy is genius man whether you like or not
@CSWafrica
5 жыл бұрын
wa kwanza, kama unamkubali FALSAFA bonyeza kitufe cha like
@djmorefire5154
5 жыл бұрын
brooh your are really king ov interview keep it up broh falsafaa mtu mbaaaaaad sana madini Kama yoteee
@agustinokubagha8405
5 жыл бұрын
Nakubali sana mweshmiwa mwana fa kama vile hajasoma kaongea kiswahili chenyewe sasa wameishia njiani sasa ni😴😴😴😴
@binamubinamu1151
3 жыл бұрын
Lilommy nakukubali pia mwambie FA SALUTY KWAKE ANANIFUNDISHA SANAA KWENYE KISWAHILI HATARY
@newloudbitz2555
5 жыл бұрын
Hata usingezungumza bro mm ningeingia kichwan mwako kwa maelezo ya tshet yko hyo mesej hapo daah we sio king wewe ni teacher like a krs one
@pastorycelvin2447
5 жыл бұрын
Mzee wa kushuka nazo #Fa ft mzee wa kuchimba #LiliOmmy noma Sana'a
@stevewanga957
5 жыл бұрын
Half man half amazing.... Yaan FA amekomaa sana.. Show ya kibabe 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
@rehemahussein748
4 жыл бұрын
Namkubali sana #mwanaFa kwenye freestyle anamaliza 💥
@honeyjerrylugose3312
5 жыл бұрын
Half man half amazing na mwna falsafa🔥🔥🔥🔥🔥
@beentertained4173
5 жыл бұрын
Nice interview#kizazi sana
@hamimumankanga5302
5 жыл бұрын
fa, fa, fa... mr old
@burundidiana7906
5 жыл бұрын
Ata mi napnd Kiboko yao kbs
@ramsomedia3550
4 жыл бұрын
Dah Lily wewe n tatizo mjombaaa U can.....
@benjaminmwampamba3748
5 жыл бұрын
Nakubal
@hilalmtangi5241
5 жыл бұрын
Nimeisubiria hatimaye hii hapa part 2
@raphaeljerry6356
5 жыл бұрын
Kisasi kisikufanye kuwa ndo kazi yamoto sana iyoo
@jeshiwataaramo9982
5 жыл бұрын
Nilisubir sana
@jeshiwataaramo9982
5 жыл бұрын
Nini
@adilinanduguze2464
5 жыл бұрын
Nakuelewa sana F A
@husseinmucky829
5 жыл бұрын
Msanii wang bora wa mda wote,big boY
@alinassor6139
5 жыл бұрын
F/A I like you brother
@yohanapetro4937
4 жыл бұрын
FA nakuelewasana tena ukiwa kwenye kipindi bola cha lili om baada ya miladi Ayo ninyinyi apo maswali Yaakili
@sebariberio9621
2 жыл бұрын
unyama
@khadeejaabdullah7083
5 жыл бұрын
Kizaz sana
@shaniayubu2669
4 жыл бұрын
#lilommy kills me when he says mi ni KingofInterviews 😉 yes you are
@johnmwangi2435
4 жыл бұрын
Nice interview
@vicentmatius9361
4 жыл бұрын
hata kusikiliza 2 ni burudani yani unasuuzika na unaongeza siku za kuishi pia unajifunza vitu ningi mno bgb fa kaza zaid yahapo
@smartmussadozen3535
4 жыл бұрын
Fa
@Yegon254
5 жыл бұрын
Oyaa Lilommy sijui kama unasoma hii na watu wangu wa 254 naamini mtaniunga mkono kwa hii, watangazaji wa kenya hawana akili wengi wao, interviews ni za kishenzi utapata wengi wanazungumzia ngono tu.
@khizzer_jr
4 жыл бұрын
@linex kasema ivo ivo lazima watu wabaki kwa password zao ,mambo yatakuwa fresh #still OG
@radjabushabani28
5 жыл бұрын
nakukubal saaaaaana FA
@bongo3609
4 жыл бұрын
Kweli kabisa maana hi t-shirt umerudia ulishaivaa kweny interview ya XXL clouds fm hau deal na vitu vidogo bro
@vicentmatius9361
4 жыл бұрын
yes fa hebu fanya utakavyo weza ifike moshi hio fyn
@jaluumtanke8252
4 жыл бұрын
Common men ,nadeal na vitu vikubwa .
@mariamkaaya8639
5 жыл бұрын
🔥
@mtedewede22
5 жыл бұрын
Akil nying
@khadijajuma3039
4 жыл бұрын
Jamani jamani ww m2 mm sijawai kuku chokagaaaaa
@benadam6411
4 жыл бұрын
Yalaiti ndo mpango mzima
@vawamusic9495
5 жыл бұрын
uyujamaa kiboko
@stevebruno984
5 жыл бұрын
Shilole kasha maliza ckuhz watu mnmtabaka wasanii wnogopa kwenda wasafi media kufanya intvw wataacha kusaportiwa 'na chapaaaaaa clouds
@shickkitabunda3959
5 жыл бұрын
huyo msanii anayemsemea FA mwenye punchlines halafu wimbo hauna content ni Stamina
@gastorrogath3257
5 жыл бұрын
😁😁
@rick_bey
5 жыл бұрын
Ni fid q
@charlesjonas4412
5 жыл бұрын
😂😂😂😂 kweli bro
@josecharz7960
5 жыл бұрын
Kichwa madini
@akilimingimedia
4 жыл бұрын
FA ni Msanii ambae sijawahi kumsahau tangu Ingekua vipi?
@malickkasuga4805
4 жыл бұрын
Hata mim8 mnoko mnoko kwelii siwezi kuruhusu bint aolewe na hao jamaaa
Пікірлер: 72