Mawazo yanarudi nyuma kipindi tunainjoi music mzuri na mashairi yenye afya ya Ubongo. Inatufanya tukumbuke wapenzi wetu wa zamani. Nakukumbuka Jamila, sijui uko wapi siku hizi. Yale hayakuwa mapenzi bali ni mahaba. Mapenzi hata Shetani anayaogopa. Kila kukicha nafanya vituko lakini uliniganda zaidi ya ruba... Wanawake wa dizaini hii hawapo siku hizi.
@saidchaka8801
9 ай бұрын
Sure 💯 %
@shabanichalo7322
Жыл бұрын
Wimbo bora wa hiphop wa mapenzi wa kudumu Tanzania
@oswardnelson6679
2 жыл бұрын
Ambae Bado anasikilza goma Hili Kali weka like
@jamesgerald2
3 жыл бұрын
2021 hawajuw tulipotoka aysee wasanii wa zaman waliimba ujumbe wa maana jaman.gonga like twende pamojaa
@muchmashah2922
3 жыл бұрын
Kenya bado twaskiza bongo zamani....
@samolamsille3928
24 күн бұрын
2024 na sikiliza tena japo nilishasikiliza 2007
@AliHassan-fy6zk
Ай бұрын
2024 june tuko hapa
@Msela-bi_tozzy.
Ай бұрын
Kama nawewe unasikiliza 😮2024 like tujuane
@TherealDINO2005
27 күн бұрын
2024 muxic alive like hapa ...young dinonizi
@davidmwai706
2 жыл бұрын
2022 this song still on fire 🔥🔥🔥
@Tino_Official_tz
2 жыл бұрын
I just remember this dope song today 27/03/2022
@marymimi1796
6 жыл бұрын
siwez kukwacha laaziz mwenyw siwez ishi tuliumbwa wote mpenz ww uje uish na mimi... dedication to my aboubakari😙😙
@SoFrii
2 жыл бұрын
This is a philosophical song aisee... nakumbuka zaman sana hili songi.... Binamu amekuwa na kawaida ya kutoa nyimbo za kufikirisha kama hizi tangu alipotoka na Ingekuwa vip. Hongera Binamu nakubali kazi zako tangu umetoka...
@candycuthmboni2553
9 ай бұрын
November 2023 Keep the good music alive
@twahirnasa1574
4 жыл бұрын
Who else still listen to this song 2020
@fauziashabibu1467
Жыл бұрын
Daah mnanikumbusha nilipokua ninamiaka 9 nilikuwa naskiliza hizi nyimbo
@wizfbeb
7 ай бұрын
Kazi nzuri mhe. Waziri
@barbarasara4033
4 ай бұрын
Nice flows ❤❤❤❤❤❤
@emmanuelahmedbyona2353
2 ай бұрын
2024 again from My Congo naskia vinywele vinaruka...masiku hizi amapiano inajenga nini jameni...ni sawa tu kama Kayumba kafa sanaa ya movies mya 15 sijaona tena.
@loy118
2 жыл бұрын
Humu tu 2023 🔥🔥🔥
@scolastikachigonele4948
5 жыл бұрын
ya kwao yanawashindwa yetuuu hawataweza 😍😍😍
@asserymmary2696
6 жыл бұрын
Mwanamke una mapenz Hadi shetani angeyaogopa... SALUTE FA + Bint Machozi
@jeniphamnyawami6928
4 жыл бұрын
Zamani sanaàà
@brolinashiro2744
6 ай бұрын
Una mapenzi shetani anaweza ogopa 😂😂
@johnmwambasi2299
Жыл бұрын
Kweli nyimbo za kare zina afya ya ubongo still on fire 2023🔥🔥🔥
@catenzeki678
5 жыл бұрын
Aisee!Wimbo wa zamaaani lkni mpk leo ni hit song. Ninavyokupenda jide na ngoma zako ni mola tu ndie ajue.Wimbo una vina vizito na ujumbe mzito haswa kwa dunia ya leo...imejaa wanafiki na wachonganishi wengi wa ndoa na mahusiano
@sundayulomi9547
5 жыл бұрын
january 2019 twende wote
@lichilasalumu7983
2 жыл бұрын
Jide sauti yko tamu sana ukiwa unaimba 🔥🔥🔥
@suhailaomari2493
6 жыл бұрын
Daah kitambo namuona mdogo angu Wardah katulia tuli daah maisha haya
@barbarasara4033
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bobbymunda5108
2 ай бұрын
Mikono ya complex ilikua imebarikiwa sanaaa
@ALOYCE007
4 жыл бұрын
Nikitambo hicho wanamuziki walikuwa wanaimba 2019 hivi sasa wasanii wanafokafoka
@sweetoreke
Ай бұрын
I was here 2024
@Anza_tz
3 жыл бұрын
Tupo 2020 tuna sikiliza hizi ngoma
@yasserkhalfan7048
3 жыл бұрын
2021, we r legends aisee
@ninjadamour5592
5 жыл бұрын
Hivi MwanaFA alimpiga Vipi KONKI MASTER humu...!? 😂😂
@ezratibore6512
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Kitambo sana, hizi ndio ngoma ambazo azififii na zina Eat kila nikisikiliza
@officialmtangakingkassimu5291
5 жыл бұрын
We Dada unafatilia sana kwenye nyimbo za zamani uko vzr
@leonjuly8242
4 жыл бұрын
zina eat ama nn 😂😂
@dastonamichaels1854
Жыл бұрын
Namkubali sana uyu dada lakini skuizi sikutanagi na comments zake
@cuprumkimwaga4107
2 жыл бұрын
Bado unaishi nackiliza 2022
@mariamusalum6680
6 жыл бұрын
Yakwao yanawashinda yeeetu hawatawezaaaaa
@catenzeki678
5 жыл бұрын
Naomba muirudie tena hii ngoma na mwana FA.Bado naupenda
@davidmanjuu2060
3 жыл бұрын
Mwanamke unamapenzi hadi shetani anayaogopa hahahahaha still enjoy 2021
@deusrobert1343
2 жыл бұрын
kuitafuta 2022 kwamaana ni 14/12/2021 ivi kweli unaweza kumpata mwana mke kama huyo jaman
@timothymikola2317
9 ай бұрын
Aliyemuona fa kamkalisha konk nani😂
@mabenzimabenzi4348
2 жыл бұрын
hili dude mnalionaje kiba akalipiga remix af jide na mwana Fa wawepo kwenye Remix wataua waifufue na hii ya zaman ijulikane kupitia remix itaenda kuwa hit
@chachamadini9372
6 жыл бұрын
Mziki ulikua huu sasa hivi wanaimba madudu
@bertinaafonsorapaz8345
4 жыл бұрын
😂😂😂😂mwaga maji, chafua vumbi na mauchafu kibao
@bantuisolele2543
3 жыл бұрын
@@bertinaafonsorapaz8345 yaan hata siiufuatilii nyimbo zangu za old Kama ule wa bizzy man ametoroka mpenzi wangu lazima niupige everyday
@cooltobeconscious2973
2 жыл бұрын
Hizi ngoma zilikuwa na feelings sana. Yaani sai FA ni MP!
@user-od9qf6no2r
9 ай бұрын
😅😅😅😅😅 kweli nimeamini sikuzinaenda mbele
@michaelkapinga4957
Жыл бұрын
Music mtamu
@jumanzige9644
2 жыл бұрын
FA, mashairi yamejaa sana ulikua vizuri na bado naamini uko vizuri, Lady jaydee nimmwanamuziki wa kike pekee ninaye mkubali zaid, wengine wanajaribu tu lkn bado sana kufikia level zako. KOMANDOOO
@robertgordon7557
3 жыл бұрын
Kichupa hatari
@amadizoboss5279
6 жыл бұрын
Jide na binam,hii moja ya kaz zenu nzur keep on doing ningekua rais ningewaarika ikulu kwa ajil ya dina(ngoma inaujumbe)
@kuliray7650
Жыл бұрын
❤❤❤ c'était génial cette chanson,je me rappelle beaucoup de choses
@wizhaytham1876
9 жыл бұрын
Very good mwana fa
@jnote9283
Жыл бұрын
"waweza mkuta firauni peponi taulo langu niendapo bafuni nauli yangu niwapo safarini usiende mbali na mimi"
@wycliffeoluoch4367
11 ай бұрын
True Love song of Endurance when you love someone Deeply......Good Song
@karoltunduli107
2 жыл бұрын
2021 on great Jam always . When music was music
@josephmasenga7718
6 жыл бұрын
Nice song enz tupo ma young
@RamazaniMulongeca
6 жыл бұрын
Still Loving the hit 2018June23 Tucson AZ. #MOFAYA
@RamazaniMulongeca
5 жыл бұрын
Am back again January 08 2019
@congoboymbeyas2440
4 жыл бұрын
Uku tucson seemu gani
@mariabasesela3710
3 жыл бұрын
Nice song 🎵👌👍👏♥❤
@RamazaniMulongeca
3 жыл бұрын
@@mariabasesela3710 Umeonaee ngoma Kali sana
@RamazaniMulongeca
3 жыл бұрын
@@congoboymbeyas2440 😂🤣😂😂😂
@wycliffekasgon3462
3 жыл бұрын
When music was real !!
@andrekalunga2470
7 жыл бұрын
lady hajashindwa na kazi
@msodoktheson9708
2 жыл бұрын
nakubali sana ngoma za enzi hizo na cyo hizi za kipindi hiki
@vitaliswambura3418
11 ай бұрын
Nimaaaaaa
@Yegon254
6 жыл бұрын
Bonge LA kazi
@francissilayo.3457
Жыл бұрын
Still in love with this song
@allykassim1455
6 жыл бұрын
dec 2017.nipo.hapo vichwa 2 takatifu.mziki mtamu
@NASIRJONEZ
2 жыл бұрын
Mwana FA now is an MP.Noma sana
@hermesmpawenayo9221
3 жыл бұрын
Kama unaangalia ngoma hi 2021 nipe like
@salomechekwaze8850
3 жыл бұрын
2021 what's good
@elardmadeez3382
5 жыл бұрын
tuliopo hapa 2019 june gonga like
@ashaaqarimqarim1316
Жыл бұрын
Tangu Niko mtoto mdogo
@ppesampingo9042
3 жыл бұрын
2021 niko hapa jamani nampigania marehemu aamke ajue thamani yangu🤣🤣🤣
@nassorseif5071
7 жыл бұрын
napenda kazi za jide coz hajawai kufanya mbaya
@jamesisack566
3 жыл бұрын
Nooma
@stevenlugojeremia2323
3 жыл бұрын
2021
@patrickmbogo7805
6 жыл бұрын
suruali inanifunguka vicheche wakikatiza...mistari hot sana
@milemo604
5 жыл бұрын
Wanao hisikiliza Hadi 2019 tujuwane humu. 30/07/2019 3:00pm
@shireyusufducaleshireducal2367
5 жыл бұрын
Acha kabisa hapo ndo nachezea mtaji wangu wa Kwanza , yule rozi yule we acha tu.
@ezratibore6512
4 жыл бұрын
😂😂😂 saiv Rose yupo na jamaaa mwingine wanakala Maisha
@bantuisolele2543
3 жыл бұрын
@@ezratibore6512 😀😀😀
@boozwashingtonmorisho6259
Жыл бұрын
hii nyimbo ni kali
@masoudissah567
5 жыл бұрын
Nyimbo kama hii moja#imeburudisha watu wangapi?Imeburudisha watu wangapi!!!imewafunza wangapi?IMELETA AMANI KATIKA MIOYO YA WATU WANGAPI?lakini wamilki wa wimbo tumewalipa nini#kiasi gani?tunawaenzije?
@bantuisolele2543
3 жыл бұрын
Point wanaonufaika siku hzi ni wale wanaoimba matusi yaani ni ajabu halafu wanaaminishwa ndo wanajua
@jacklinmasawe2697
2 жыл бұрын
Du ngoma Kari sanaaaaa
@fasterwalker1464
2 жыл бұрын
I end this year with this nice song throwback 2007 30th December 2021
@makondefinest
6 жыл бұрын
Nachokumbuka ni kupenda hadi nikawa naimba darasani.
@alexnonya3005
2 жыл бұрын
mapenzi yalikuwa zaman sasa tunadanganyana2
@user-xm9xr5db1j
9 ай бұрын
Best of complex ...
@rubbenmabuga3058
4 жыл бұрын
Kumbe smart za motorola kitambe zipo mtaani eh! Au naona vbaya mm
@leylakassim3212
10 жыл бұрын
I would like to see another good song from jay dee and mwana fa
@gregorymarisa6766
3 ай бұрын
2024
@NASIRJONEZ
8 ай бұрын
2023
@bossbillionare
Жыл бұрын
What a hit with message in 2023 june
@jaquelinemunish3183
Жыл бұрын
Who listen 2023❤
@saidirashidimanot4142
2 жыл бұрын
Oya wadau mwenye kufahamu jina msanii alieimba song Sina nimpendae zaidi ya kinyonga wangu la kitambo kidogo 2007 ndio ilikua ya moto Sana please
@tatukachingwe1730
7 ай бұрын
19/12/2023
@mchiadarsizm1052
5 жыл бұрын
Unyama tupu FA 🔥🔥
@mtemimagema6176
Жыл бұрын
2022 heshima Sana bro
@mahesenitunduma2438
Жыл бұрын
5/1/2023
@swabilmbatta5619
4 жыл бұрын
Damn this song💥💥💥
@user-ez1ww7pw6g
Жыл бұрын
Hizo ndizo nyimbo kutiko za xaxa ivi
@abdulshaban4560
3 жыл бұрын
Ngoma hiz jamani sina la kusema
@mwaulambo
11 жыл бұрын
Nani anawagombanisha Binamu na Jide?? hawa ni marafiki kitambo
@sakinandoile4758
7 жыл бұрын
Martin Mwaulambo i wish wapatanishwe oneday watoe heatsong zaidi ya hii...
Пікірлер: 184