Mtoto jambazi huyo anayataka maisha kabla ya wakati wake.
@majebelemathis9991
5 күн бұрын
Hawa nabinti wanapenda sana wanaume wakikoswa pesa wanatafuta namna yakupata pesa
@deadcrush
5 күн бұрын
Mwanajeshi mtarajiwa. Ana ujasiri sana.
@DavalsonMarlony
5 күн бұрын
hahahaha 😂😂😂 awa watoto duu pasuwa kichwa
@DaheerK
5 күн бұрын
Mama akiwa bahili ndio inatakiwa ivyo😂😂
@user13375
5 күн бұрын
😮
@user-nb6yh2bn9y
5 күн бұрын
Hilo nalo neno 😢
@salomewandya7257
5 күн бұрын
Dah yaan wewe😅😅
@taifaonlinetv.3670
5 күн бұрын
Kweli mama ukizijua pesa sana na kuwanyima wanao , ujue haya lazima yatokeee
@sophsoph4740
5 күн бұрын
Kanunua mwiko na sufuria kikombe 😂😂😂😂jmn wanetu mtatuua
@uhurujan2244
4 күн бұрын
😂😂😂😂anajua vitu muhimu vya kuanzia maisha😂
@SharifaA-y4t
Күн бұрын
😭😭😭 mwenyezi mungu awalinde watoto wetu
@SalomeHaonga
4 күн бұрын
Ongeeni na mtoto kirafiki Zaid ana mengi zaidi moyon mwake
@magejuliani5293
5 күн бұрын
Athari za movie kwa watoto wasiojielewa
@FestoAbiud
3 күн бұрын
😢😢fatilieni uwezi jua wanaishi maisha gani
@user-il5pk2dr5n
2 күн бұрын
Daah dogo kashajipanga na vyombo kashanunua mzazi nae ajitathimini..
@hedarufines7763
5 күн бұрын
😂😂watoto wa 2000
@bintalmasi2393
4 күн бұрын
Huwezi amini tena huyu ni wa 2012
@joycemkeka3769
4 күн бұрын
Lipo jambo chunguzeni tu mtagundua kitu ilo jambo linausisha familia kunakitu kimefanya watoto kufanya ivo tutasingizia katuni lakini hata baadhi ya familia maisha yao nizaidi yaizo katuni utu akuna unyama uanfanyika mbeleya watoto tu ategemea nini mbona sisi tuliangalia katuni lakini atukufanyaivi ayonimaisha alisi wanayo yashuhudia watoto kwa machoyao tutalaumu. Watoto bure
@joycemkeka3769
4 күн бұрын
Hapo mwishoni kamanda umeongea vizuri sana wazazi tumekuwa chanzo kwa namna moja ama nyingine
@nth3512
5 күн бұрын
Tatizo mnawadekeza amuwachapi mnalea viburi, au watoto kuna kitu wanateseka sasa mtoto anatafuta namna ya kujikomboa yeye na mdogo wake
@user-dk6lw9co5n
5 күн бұрын
Huyo dada anampenda sana mdogo wake aliamua kuondokane😂😂😂 Dada zetu mungu awalinde
@iddykwangaya2794
4 күн бұрын
Sio dada bali ni watoto,
@thehollybookstudio2826
5 күн бұрын
Utoto una mengi. Mungu awasaidie warejee kwenye akili zao. Ni utoto tu haina haja ya kushangaa sana. Maombi Mungu Afanye upya kumbu zao
@claudiangowi9628
5 күн бұрын
Utoto wa miaka hii umekuwa tofauti maana Sisi wengine hatukuwahi kufanya hivyo
@user-hd5bg8qw1b
5 күн бұрын
HIYO AKILI WANAIPATA WAPI.NA UMRI MDOGO JAMANI WAZAZI WAPI TUNAKOSEA.HUO SASA C UTT BALI NI UJAMBAZI
@bintalmasi2393
4 күн бұрын
@@user-hd5bg8qw1bMovies
@salmaalimusa6809
5 күн бұрын
😂nacheka kama mazuri looh
@salomewandya7257
5 күн бұрын
Hahaha tena ni wapare 🤣🤣
@user-pk7yg1cq1g
5 күн бұрын
Mungu awalinde watoto wetu na vizazi vyao
@mohammedalishamis9405
4 күн бұрын
@@user-pk7yg1cq1g Amiin
@SalamaNauthar
3 күн бұрын
Allahuma Amin🤲
@mohammedalishamis9405
5 күн бұрын
Subhanallah mtihani mkubwa huu maadili yameporomoka sana Mola atuongeze sisi na vizazi vyetu
@rajabumalupu4184
5 күн бұрын
Mtoto umleavyo ndivyo akuwavyo. Nb!usilee mtoto kwa kumprnda sana
@saudalilingani9264
5 күн бұрын
Kazi kweli kweli
@mwanakhamisimwinyimatano1185
4 күн бұрын
Alhuma Amiin
@sarahweston2708
3 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kashaparamia mabwana mapemaaaaa
@amosmachibya1800
4 күн бұрын
Chunguzen vizuri kuna shida kwny familia
@MsAisha-w4o
3 күн бұрын
Miaka 12.waenda kupanga chumba duh...Atari sana
@mwanas2
5 күн бұрын
Mmmhhh aise hii ni hatari sana😮
@HermaniDaudi-yp8pf
5 күн бұрын
Dah niatari
@salmamlokela1987
3 күн бұрын
Binti mtukutu😅😅😅😅
@Boniphaceshayo5
4 күн бұрын
Katuni ndo tatizo watoto wanacheki vitu vibaya sana 😂😂
@user-tk4es1uw7e
2 күн бұрын
Mzazi usi cheleweshe huyu Binti boarding haraka
@bintalmasi2393
4 күн бұрын
Ila mwanza, mwaka jana tena mwanachuo alijiteka
@user-ky5wu4gc9g
Күн бұрын
Watoto wa siku hizi wanaakili sana kweli miaka 12 anawaza kujitegemea!? wakati huku kwetu kuna mtoto ana miaka 30 amepata kazi lkn muoga kwenda kuanza maisha ya peke yake!
@halimamasai2234
5 күн бұрын
Kuna wasenge wangesema ni serekali au watu wasojulikana bora imejulikana mapema
@TunuAdam-gc9rc
4 күн бұрын
Kwakeli
@vibetz9991
4 күн бұрын
Ana nyota ya utajili
@fredrickmbaruku5094
5 күн бұрын
Sisi wapare tunashida gani uwiiiiii.
@Boniphaceshayo5
4 күн бұрын
Akili kubwa sana uyo mtoto
@Revelation1412.
Күн бұрын
HAYO WAMEYAPATA KWENYE MOVIE
@mugishamajeba9628
5 күн бұрын
uyo mutoto mungu asimame2 ata ungekaa nae akuna namuna sasa upo utafanyaje
@brightnessrutebeka4206
Күн бұрын
Huyo mtoa nguo kwenye Mfuko ana KIHEREHERE kama mbwa
@youngyayoo2805
4 күн бұрын
Huyo ana D mbili moja ya kibabe
@EmanuelAllan
5 күн бұрын
Ila movie😂😂😂😂
@sophiakimaro5174
4 күн бұрын
Kizazi hiki kitatutoa roho hamani.khaaa!!! Hao watakuwa wanaangali movie za kivita saana haki!!
@jayjay4313
4 күн бұрын
Du, huyo kapangwa tu, na Boda boda. Mana si kwa bajeti hiyo ya laki na nusu. Godoro,simu, vyombo. Hapo ningewalipia Kodi tu wajiachie kwa Amani, si kwa kina hicho cha utapeli. 😂
@user-il5pk2dr5n
2 күн бұрын
Ni makuzi tu ndio yanamsumbua,umri waheka heka..
@faudhiasalum7279
4 күн бұрын
😢😢😮
@zxcvbnmmkh
5 күн бұрын
🤸
@upendohalisi80
19 сағат бұрын
HAPO WALA HAWAHITAJI KUPIGWA AU KUFUNGWA HUYO MTOTO MKAE NAYE CHINI KWA UTULIVU NA UPENDO ATAWAAMBIA KWANINI KAFANYA HIVYO, UNAWEZA KUTA FAMILIA MAMA BABA NI WATATA WANAWANYANYASA WATOTO HAO NDO MAANA KAAMUA KUKIMBIA NA MDOGO WAKE KATUMIA AKILI SANA KULIKO KIJIDHURU.
@SalamaNauthar
3 күн бұрын
Watoto wa kizazi hiki jamani mtatutoa roho Wazazi wenu
@florianhashimu1370
5 күн бұрын
Malezi yapoje huenda mama kuna vitu anavyo vifanya na kuona afadhali amchukue mdogo wake wakaishi mbali
@fridagustaphmwenda6658
5 күн бұрын
Watoto wengine ni vichomi
@lucymtui8680
5 күн бұрын
Mpare😂
@prince.eric_msemwa9732
5 күн бұрын
😁 ila, kwa nn (io ni mission impossible)
@user-rl3yh6ls7b
3 күн бұрын
Huyu ni kuchapa vibooko
@AwaziRajab
5 күн бұрын
Mi Naisi Wazazi Wamepitiliza Ubaili Mpaka Watoto Wanaisi Awana Wazazi Kosa Apo Ubaili2
@RobertMachenga-tz3re
2 күн бұрын
Huyo mama aliyekataa kuwapa chumba cha kupanga yeye binafsi anajitambua angekuwa mwehu angechukua tu hela na huyo mtoto mwehu akaanza maisha. Hiyo akili ya kupanga nyumba si yake ni ya mwanaume ambaye ni hawala yake na huyo mtoto. polisi wachunguze vizuri habari hiyo inaukakasi kidogo hakuna kitu kama hicho hiyo ni stori tu.
@ilynpayne7491
4 күн бұрын
Itakua mama huyo mbahili sana😢
@exaverysimon1064
5 күн бұрын
KUMBE SIO KILA ANAE TEKWA N POLIS WAMEHUSIKA INATAKIWA TUPUNGUZE KUWALAUM POLIS😢😢😢
@michaelthobias9967
5 күн бұрын
Unazani kwanini walaumiwe polisi
@user13375
5 күн бұрын
@@michaelthobias9967 ukilaum polisi we utakuwa ni Gen Zoro😮😮😮
@halimamasai2234
5 күн бұрын
Upo sawa kabisa kila siku lawama kwa polisi kumbe watu wanajiteka wenyewe
@winnerlucas5924
5 күн бұрын
Kuna tatizo mahali sio bure kabisaaa tatizo hili limeanzia mbali huyu mtoto angekua mtukutu asingeondoka na mdogo wake angeondoka mwenyewe tu
@kanankirannko6174
4 күн бұрын
Na Mimi nimewaza kama wewe kuna tatizo Kwa mzazi wakihojiwa wataeleza tatizo kuna kitu wanakwepa tusiwaone wajinga hata kidogo
@joycemkeka3769
4 күн бұрын
Kweli kabisa lipo jambo tena kubwa
@ZenaChuo
Күн бұрын
Mmmh inamana hiyo laki ndoinunue godoro vyombo na ilipe kodi na chakula mmmh
@cheiknamouna2058
4 күн бұрын
Ameenda kupanga Ameshanunua cm Ameshanunua vyombo na gadoro huyu mtoto lengo lake ni kuanza maisha yakujitegemea ama ni nini jaman sijampatia jibu angejua maisha yalivyo magumu kuna cm atajutia 😭😭
@eggysulle7988
4 күн бұрын
😳😳
@iddykwangaya2794
4 күн бұрын
Maji yanafata mkondo,atakua karisi iyo tabia either kwa mama,
@annamitumba3981
5 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@user-zu8ou2oe4c
5 күн бұрын
Hongereni ila mbona waliomteka sativa na wengne wengi waliotoa tarifa kipindi cha ziara ya makonda akiwa muenez wa ccm wakasema ndugu zao wametekwa mbona hao watekwaji hawakuoatkani?
@user-rf9vn7lz1n
5 күн бұрын
Na aliyewapangish pia washikiliw maan watot wadog wanapewaj chumb na kula walikuw wanakul wap hii dunia sijuw
@salmamlokela1987
3 күн бұрын
Umeelewa lkn
@jastinonline8996
4 күн бұрын
Uongo huu, acheni Uongo.. upuuzi mtupu....
@user-nm5ff3ri8k
4 күн бұрын
Akuna mtoto hapo ni hasala tu
@ilynpayne7491
4 күн бұрын
Watoto hawa 😢
@Juli-ep9dn
5 күн бұрын
Duuuh
@DanielMelami-o3t
3 күн бұрын
😂😂😂
@alfoncejohn2104
5 күн бұрын
Hiyo mtoto ni malaya
@kanankirannko6174
4 күн бұрын
Duh waguduzi wanaongezeka huku tuendako tutakuwa na jeshi la Siri linaloishu uraiani hao ni wasichana wangekuwa wanaume Tanzania imeisha
@jeremiahevodius925
3 күн бұрын
Apo kuna jambo akuna laki moja inayoweza kupanga chumba kununua godolo kununua sim na kununua vyombo afu mbona awatutajii iyo pesa aliyo kuwa amenwomba mama yake afu mbona awatuoneshi awo watoto siniwatuhumiwa tunafaa tuwafahamu
@tanzaniamycountry9308
5 күн бұрын
Maadil yamekwisha jmn dah
@user-yv7xg4em4s
5 күн бұрын
😂😂😂😂
@user13375
5 күн бұрын
Hii ndo Gen ZORo ya🇹🇿
@Sonia_abass
5 күн бұрын
😂😂😂
@salmaalimusa6809
5 күн бұрын
😂😂😂😂
@SuleAmber-lw2tx
5 күн бұрын
Watoto wa Mwanza ni matapeli sana nmewahi kupigwa laki 150,000 hvhv aseeh pale Igoma sitasahau mtu na Dada yake wakaniliza
@Legends_Interviews
5 күн бұрын
Makubwa dah hatari
@emmanueltillya2017
5 күн бұрын
Huyo mtoto aingie jeshini.awe Askari au mwanajeshi.tena ni bint.mtoto nux huyo.
We matako umeona ya Kenya jambo zuri sana basi nenda wewe msenge sana
@nth3512
5 күн бұрын
Ukiona una mtoto ana tabia mfano wa hiyo basi jua huwenda umewakosa watoto wenye akili
@eligiusedmund3187
5 күн бұрын
Huyu ni zaidi ya jasusi
@user-yn6om2lz9e
5 күн бұрын
Sasa huyo sianataka kuolewa ndiomana anataka kuish kivyake
@gracewilliam4102
5 күн бұрын
Mama atakuwa ma shida
@sophsoph4740
5 күн бұрын
Kbs shida ivyo😢😢
@exaverysimon1064
5 күн бұрын
MAKE HAPO ISINGEJULIKANA MUHUSIKA MNGESEMA N POLIS
@user-kz8di5th6e
5 күн бұрын
Ivi ni komed au ni ni ni
@edwinalexander1170
5 күн бұрын
Hawa ni Generation Z ndo wale wa miaka ya 2000 kwenda mbele, Generation Y ndo ile nyuma ya miaka ya 2000 mpaka miaka 1990. Nyuma zaidi ya 1990 mpaka 1980 Walikuwa ni Generation X. Hawa Generation Z mambo ni mengi sana. Ndo wale kule kenya wanajiita Gen Z. Hatari sana 😂😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676
5 күн бұрын
😂😅😂😂😂😂
@foibennjeje7730
5 күн бұрын
Maisha ya Tanzania hayo
@halimamasai2234
5 күн бұрын
Maisha kwani maisha magumu yameanza leo mbona lawama za kijinga sana
@salomewandya7257
5 күн бұрын
Duh watoto wamepata wapi ujasiri wa kufanya yote haya??
@johnmwandu2116
5 күн бұрын
Ni hayahaya masizon au tamthilia, lkn point kubwa sana ameiongea kamanda kuanzia dk 5:09
@tanzaniamycountry9308
5 күн бұрын
Tumefka mbal
@farukiddi5967
5 күн бұрын
Vp mtoto miaka 12 anapangishwa chumba jamani ?
@israelkisaila8401
5 күн бұрын
Hata AWE miaka 8,mimi anapanga tu,kikubwa maokoto tu mimi,mengine sina mpango nayo😂😂😂
@HanifaOman-oo4pl
5 күн бұрын
Yani nimtihani sana
@zebedayokatamaduni9676
5 күн бұрын
@@israelkisaila8401😂😂😂😂acha utani badi😅
@israelkisaila8401
5 күн бұрын
@@zebedayokatamaduni9676 🤣🤣🤣🤣MJINI maokoto kwanza, habari za kuanza kuulizia mbona wewe ni mtoto,inahusiana Nini? Kwani kupanga kuna mahali kwenye KATIBA ya Tanzania pamesema ,mpangaji awe ma umri Fulani?!huko ni kuingilia Uhuru wa MTU.🤣🤣🤣🤣
@Sonia_abass
5 күн бұрын
@@israelkisaila8401sawa Gen Z
@user-cv7vm1mx9d
5 күн бұрын
Huyo mtoto ana akili sana yani amepangisha chumba amenunua vyombo na mdogo wake uenda mama anawatesa
@user-rf9vn7lz1n
5 күн бұрын
Mimi nikisem hich kizaz kuazia 2000 kam wamelaaniw uwa anielew haya sasa daah eti kajitek duuh
@user-nb6yh2bn9y
5 күн бұрын
😡😡😡😡👎👎👎👎👎
@ZephaniahSekwa-fl2go
4 күн бұрын
@@user-nb6yh2bn9yHahaha naona ume comment kama kijana wa 2000
@user-sw6ig5hh3j
3 күн бұрын
ᴴⁱⁱ ᵈᵘⁿⁱᵃ ⁱᵐᵉⁱˢʰᵃ
@HekyHeky-c8n
5 күн бұрын
Movie na catoon zinaharibu watoto wetu. Wanajifunza kupitia vituhivyo.
Пікірлер: 145