Ukirudi uko uje na izo billion 5 za masudi kipanya😂😂
@modestmkali3436
10 күн бұрын
Muache abaki awe chokoraa, anadhani hii nchi ni kama Tanzania, kuishi kwa maneno maneno tu, unaishi kwakubwabwaja unapata hela mpaka unajenga ghorofa, huku ni kazi kazi na unafanya kazi miaka 10 hata nyumba ya vyumba vitatu bongo unashindwa kujenga, trust me maisha ya huku sio marahisi hata kidogo kama watu wanavyo ongopeanaga, maisha ni magumu magumu,
@user-wd2bc7bf5x
10 күн бұрын
unaandika sanaa acha ujinga utani wa mwijaku inakufanya ukaze fuvu
@muzafarsharif9465
10 күн бұрын
namuona ali kamwe amejificha chini ya kitanda 😂😂😂
@ERICKAUGUSTINOISSA
8 күн бұрын
😂utasaidiwa kukaziwa😅
@user-oc3jf3ts5i
10 күн бұрын
Kumbe watu wana mpigia kelele huyu Mkuda! Kumbe anaungwa mkono na mkewe kwa asilimia zote!🤣🤣🤣
@ngwacahnyagwaswa9979
10 күн бұрын
😂
@user-rw2mm1jk6o
9 күн бұрын
Yan huyu mwinjako namke wake kama pipa na mfuniko😂😂 vichwa vibovu kabisa
@norobo205
8 күн бұрын
Kumbe umemkimbia kipanya muoga wa sero
@FATUMABACARCADANGE
10 күн бұрын
sio mzr
@BakariIssa-s2w
9 күн бұрын
Millard tutakuchoka kutuletea habar za choko uyu
@barrynzeyimana6270
10 күн бұрын
Atakua omba omba. Hana vitamburisho Hapa Marekani vya kufanya kazi.
@muzafarsharif9465
10 күн бұрын
my wife his calling me😂
@othmanali7408
10 күн бұрын
Kasema my wife is calling shida nini
@chusseboywcb2808
10 күн бұрын
Njoo wakunase umemchafua navunja bai anakufungulia mashitaka😂😂😂😂kua anakulipa hera umlinganishe diamond na yeye
Пікірлер: 21