Jiunge kwenye Group ketu la WhatsApp ili upate updates zetu 👇👇 chat.whatsapp.com/LarXmEWWxvL47oLvzdPrOS
@SamsonMajan-k3g
7 сағат бұрын
❤
@ZeinabOmar-b8p
9 сағат бұрын
Mimi hamjawai kunipa like jamni nihurumieni😅😢
@mussasinje
9 сағат бұрын
Hii move hua na pata like moja2 nami leo nataka like 10 tu😂😂😂
@SabrahNibuka
8 сағат бұрын
Mm huwa sipewi kabisaa Lakini mm nawapaaa 😂❤
@RizikiZiki
7 сағат бұрын
Haya furai zimezidi ulizoomba 😅
@Bintnailah
4 сағат бұрын
Ila nyie mashabiki wenzangu wachoyo tu kama sania kwenye hii movie hamuwezi nipa hata like moja nyie😢😢😂
@ChirisitophaHabeli
6 сағат бұрын
Mam naroho mbay ambao hawamkubal gonga like
@mariawawuda
9 сағат бұрын
Jamani achenibkukawia kutoa movie inayofuatia
@Najmahnyangasi
7 сағат бұрын
Kazi nzuri sana sania na keina mko na roho ya kinyama jaman nyie watu daaah zuu pole kwa hayo unayo yapitia kwa nyumba jaman like hatakama mbili ni jione mtu na mimi 😂😂😂😂😂
@NeemaEli-wl1dz
10 сағат бұрын
Kazinizuri sana tupopamoja
@SamsonMajan-k3g
7 сағат бұрын
Ila Sania movie hii kanifulahisha kidogo kupunguza mawenge🎉🎉
@FatumaFeso
4 сағат бұрын
Labda n hiyo mimba ndio iliyomfanya apunguze mawenge😂😂😂
@rukianakukubalikibamwakahu5719
2 сағат бұрын
@@FatumaFesomimba ya mganga ngonde
@FatumaFeso
Сағат бұрын
@@rukianakukubalikibamwakahu5719 awe nan zaidi ya ngonde
@fatumamkuzi8051
Сағат бұрын
Kwani like hua mwauza pesa ngapi ninunue nami ama sionekani n mfupi sana😂😂😂😂😂😂😂😅😅
@QweenNickson
9 сағат бұрын
Zingatieni basi muda wa kuitoa? Kama mnavyofanya kwenye house girl 🥰🥰🥰
@FaithMandila-un5bs
10 сағат бұрын
Wakwanza Kenya ❤❤
@AishaNibizi
10 сағат бұрын
Wakwanza leo kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@Betty-t9q
10 сағат бұрын
Leo nimewahi pliz nipe like
@RAITHATABDALLAHNASSOR
9 сағат бұрын
Zuu humu mjamzito au naona umenona😂
@aishaomar2287
8 сағат бұрын
Kitambi tu,alafu mbn chake kdgo...mm kazini walisubir nijifungue hadi wakatubu😂
@BettyMasika-u9l
8 сағат бұрын
Kusema ukweli nawapenda sana ,,zuuu wewe ni actor mzuri sana nakupenda bure hii pia ifike season three
@evansahmed-gu8dh
8 сағат бұрын
kam una mkubali lami gong like hapa❤
@SofiaMwashasha
5 сағат бұрын
😂😂😂uyooo sania analizwa na mapenz Pol yako dear 😅😅
@christerignasy3589
10 сағат бұрын
Hatareee dakika ya tatu ndn ya nyumba
@MussaAlhaj-uw9du
7 сағат бұрын
jaman hii mov mzur ila ttz munachelewesha sana kututumia mpk tunasahau vipande vya nyuma ila rammy upo vizur kijana mdogo maarifa meng
@UmaziMdzomba
6 сағат бұрын
Congratulations for good work 👏
@AgnesMiyi
5 сағат бұрын
Jamani hii move ni nzuri sana na lami namkubali sana🎉🎉🎉
@JosephineMomanyi-jp8tv
9 сағат бұрын
Sania na keina mko na shida nani anakubali tuwaombee wabadilika wawe kaa zuu
@aishaomar2287
8 сағат бұрын
Dawa yao ni ngonde tu
@RizikiZiki
7 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂@@aishaomar2287
@مرحبا-ن8ز
6 сағат бұрын
Kaka remy kazi kwenye hiyo nyumba n mtego kwa hao wasichana
@joyceMwaikusa
10 сағат бұрын
Mmetisha
@hamadKhamis-p6k
7 сағат бұрын
Kwani hizo like ni lazima jamn
@SamouOman
6 сағат бұрын
kazi nzur jaman sania nakupenda sanaaaaaaa💋💋💋💯
@Bintabubakar-id2so
29 минут бұрын
Sania zinduka usingizini uyo keina ataka achukuwe rammy muambie hujar lolote hatakam umeonae video but sio yakweli amka banh Sania alafu Leo umejua kuni frahisha umekuwa mple mawenge wenge Leo huna❤❤❤
@veronicabea7895
10 сағат бұрын
Sania uyu ni shida
@AminaNgumba
8 сағат бұрын
Humo ndani mulivy n mazingir y nje y hiy nyumb ni tofaut
@EzekiaMsemwa-sk7ow
6 сағат бұрын
Bola kakimbia madeni maana ana kelele sana
@RozPeter-s5z
4 сағат бұрын
Pua jamn kah😮😮
@FatmaBakar-hl4ib
10 сағат бұрын
❤
@hamadKhamis-p6k
7 сағат бұрын
Hizo move zenu hazitawasaidia kitu mbele ya mola wenu km ni waislamu jisitirini wanawake
@elizabethmahenzo7220
6 сағат бұрын
Nice movie ❤❤❤❤🎉🎉
@StephanoCharles-d3v
6 сағат бұрын
Kazi iko good
@hamadKhamis-p6k
7 сағат бұрын
Mm nawambia munapoigiza michezo yenu muvae nguo za sitara ikumbukeni kesho yenu
@ErastoMsemwa
4 сағат бұрын
Mbon me sijawahi kupa like😢
@StellalaurenceNyangwa
2 сағат бұрын
Mbona mnaichelewa kuitoa
@VeronicaIbrahim-wv4dg
5 сағат бұрын
Kama unakubali lami kwenye hili movies gonga like hapa🎉🎉🎉😂❤
@coolboymicky3651
9 сағат бұрын
Bao kibao sania bhn
@Aminah-r4s
8 сағат бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉
@PhanyKemunto
4 сағат бұрын
Nyinyi wa kuomba likes kwani movie mmeact nyinyi jamani
@coolboymicky3651
9 сағат бұрын
❤❤❤
@ErenaDaudi
10 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉
@DomitilaEmily
6 сағат бұрын
Yaan keina na Sania duh! Mnavitimbwi saana
@SaudaAmos-x5q
9 сағат бұрын
💛💗💚💚💝💝♥🙏🙏🙏
@hamadKhamis-p6k
7 сағат бұрын
Na thania na dadaake hamna akili huyo ni mwanamme Gani wa kuwa mumgombanie ama kweli sie wanawake hatuna akili
@hamadKhamis-p6k
7 сағат бұрын
Mnavaa nguo za uchi na mnaangaliwa na WA Dunia mzima km nyie ni waislamu jisitirini wanawake hao wanaume ndio wanaovaa nguo za sitara nyie wanawake mnakwenda uchi hivo
@SelinaDorcas
6 сағат бұрын
Umeongea kweli kipenzi
@FatumaBahatihassan
3 сағат бұрын
Sania nandugu yake wani shangaza wanavyo gombania mufanyakazi waao aybukubwa pole yenu
Пікірлер: 64