FAMILIA KUIPATA CONTENT YA MZEE SAID NI KAZI NGUMU MNOO......MSAADA KOKOTE UTAKAKOKUTA MTU AMEIBA HII CONTENT AKAIPOST KWAKE NITUMIE LINK YAKE 0782100162 HUYO ALIEPOST UTAKUWA UMENISAIDIA SANA FAMILIA🙏
@RukhayyahMtutuma
15 күн бұрын
pamoja familia
@femidayahaya4882
15 күн бұрын
Chagamba zipo nyingi yu mbona..hata hii ukimaliza tu itapostiwa pahala.
@DM_15
15 күн бұрын
Ondoa shaka familia
@Finestonline
15 күн бұрын
@@femidayahaya4882 msaada wako ndugu yangu nipate link zake tu familia wanaua sana nguvu kazi yangu 🙏
@salimkadenge3231
15 күн бұрын
Poa gamba
@stevenobure8241
14 күн бұрын
Tunamuombea Maisha marefu sana Mzee Saidi ili tuweze kumfaidi maana anatupa raha sana Nawe Changamba hongera kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@rosenamilia4140
15 күн бұрын
Kwa muda wa nusu saa watazamaji wanaomfuatilia Mzee Saidi 1.2k🎉🎉🎉🎉❤❤.Shikilia hapo hapo Chagamba kwa kumhoji Mzee Saidi kula siku.
@user-ho1jq3ut2w
13 күн бұрын
🎉Yjistyuyyyuu98888😮
@christophermbuga9623
15 күн бұрын
Mzee Saidi nampenda sina maelezo kwa nn!! Ninaongeza mb kila mara ili nimsikie Mzee Saidi!! Udumu Mzee. Unatupa raha. Mwaga madini Mzee!! Nakukubali mnooo
@Shuu_mwak
13 күн бұрын
An uyu mzee awekewe ulinz kwa kweeel an me ananimalizia bando langu😂😂😂😂
@Shadia544
15 күн бұрын
Jamaniii jamaniii jamaniii 😂Chagamba na mzee saidi jamaniii nilikuwa namsubili mzee saidi 😂Chagamba anainjoi sanaaaaaa LIKE 10 😂
@mjumbemwanda9666
15 күн бұрын
Hadi wanawake mnapenda mpira? ❤
@abasikusaga6132
14 күн бұрын
❤ kumbe na wewe umoo
@MwanzoNyedeche
14 күн бұрын
Mambo mrembi
@Shadia544
14 күн бұрын
@@MwanzoNyedechepoa kipenzi changu
@Shadia544
14 күн бұрын
@@mjumbemwanda9666ndiyo tena miee yangaaaa 😂😂😂😂
@GeradinaJohn-xh8pw
15 күн бұрын
Napenda hii make haina matusi bali inafurahisha sana👌👌👌👌
@OmanAlkamil-nl2zw
15 күн бұрын
Nimekuwa wa Kwanza jmn,, from Oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲 nilikumic Mzee saidi
@GeradinaJohn-xh8pw
15 күн бұрын
Sawa Oman wa Tz😂😂
@gidanoagustino9056
15 күн бұрын
😂😂😂
@BaruaniBakari
15 күн бұрын
Mzee saidi ww.wachekesha kweli jamani mungu akuweke
@salimalaquimane3077
15 күн бұрын
Yanga binwa msimu huu Asante MUNGU 🙏♥️
@MpembaMayunga
14 күн бұрын
Kama unamkubal Mzee said gong like🎉🎉🎉🎉🎉
@alikawinga2289
15 күн бұрын
Mzee saidi niko ujerumani wanifuraisha sana mimi ni Yanga
Mm shabiki wa yanga mzee saidi anaujua mpira kweli nampenda sana
@user-we3cm7db2h
14 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu mzee SAID nakupnda sana mm napenda sana kukuckiliza wewe MB zangu naeka kwa sabb yako ila mm ni YANGAAAAAAAAAAAAAAAAAA ila mzee SAID AZIZ bado yupe sana YANGAAAAAAAAAA.
@BADILIJUSTUS-fs3oo
15 күн бұрын
Chagamba kazi Yako unaitenda vizuri aise
@ChenchiKing
14 күн бұрын
Yan Bato La Mzee Said Akunag Wakulimaliza🔥🔥🔥
@user-ch2it3qt5z
14 күн бұрын
Yan mzee Said ukwl unamzid jemedar KABSA Mungu akupe Maisha marefu mzee Wangu❤ ishi miaka 💯 tuenjoi burudan
@GodblessMushi-e6y
14 күн бұрын
Maze Said ni msema kweli, big up Chagamba, big up Mzee Said, big up Miraji a.k.a Mara moja
@michaelmduba5931
15 күн бұрын
Kumekucha kumekucha na mzee Said
@lumistarboy8499
14 күн бұрын
😂😂 Mzee Said na Gamba hii perfect combo
@user-vi7ly9zh1q
15 күн бұрын
Nimecheka jamani 😂😂 mzee said
@Mary-fs4mc
15 күн бұрын
Kumekucha kumekucha 😂😂 Baba yangu mzee Said, Gamba tuwekee no.ya mzee Said jamni. 😂😂
@abelimaganga417
15 күн бұрын
Chagamba nilikuwa nimechoka Sanaa nimetoka kazin lakin baada ya kumwona huyu mzeee nimefurah Sanaa ahsant sana
@BADAWY575
15 күн бұрын
Mzee Said mzee wa mpira anajua sana mpira na anajua kumtambua mchezaji kila la kheri mzee saidi wachezaji wako kwa mtazamo wanaonekana wanaujua
@shefatiakeleye897
14 күн бұрын
Mhuuuu😂😂
@MichaelMwambango
15 күн бұрын
Ila Mzee Saidi bhana 🔥🔥🔥
@emaculatemakoi8226
15 күн бұрын
Huyu mzee nampendaaa sanaaaa
@user-ff1it9og8y
15 күн бұрын
Mmm h ni kweriii Mzee Said maneno yake yana maaana Tz bila uchawiii wachezaji hawatobowiii wazeee wa Simba kaeni mapema mtafakari ni wapi mmekosea hizo gori 5 mchezo ulikuwaje e uwanjani wachezaji wa Yanga waliingilua Mlango ganisiku ya mchezo hiyo ni Vita ya kisasiiiiiii Simba kurudisha ufalume❤❤❤❤❤
@trice_yanga
14 күн бұрын
nakuona mchawi umetoaa maoni😂
@mohdkhatib223
14 күн бұрын
Hapa kama simba wanataka ushindi watengeneze timu na wakinunua wachezaji wanunue wachezaji wa viwango na si wachezaji wa mafungu.
@JANE-jv4eq
15 күн бұрын
Ngendembe imeanza lini tena mzee saidi 😂😂😂😂😂😂😂
@deogratiaspmwolo1942
15 күн бұрын
Mzee said kipenzi cha wana yanga . Yanga tunakupenda sana mzee said. Wewe ni kipenzi chetu
@evansmoshi1923
14 күн бұрын
Wana yanga chawa wenu huyu ntunzeni sana?
@VedastinaVedarian
14 күн бұрын
Tupo na mzee said mpka wamfukuze ahamie kwetu 😅
@minazsaid2470
15 күн бұрын
Mzee Said bado hujasema 😂😂
@zakayomgaya2758
14 күн бұрын
😂😂,😂 chagamba mwambie mzee saidi tunafulahi sana kumskia mwanasimba wenzie tupo nyuma yake
Uwa nasubiri interview ya mzee Said,Hao wengine wakina kisugu siasa nyingi mara mama mara nyoko
@user-ls2pp5hi6m
15 күн бұрын
Mzee wetu said tunampenda sanaa
@rashadymuhamad6293
10 күн бұрын
Yaani tunampenda vibaya mnoooo!!!
@GIFT37tv
14 күн бұрын
IMENIUMA SANA KUMUACHA SAIDOO NTOMBANDOKIZA
@MpembaMayunga
14 күн бұрын
😂😂😂😂 xhenzi zako
@user-hp5zf2fw4o
15 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅mzee unateseka sana poleee
@chumaramadhani.7581
15 күн бұрын
Mzee Said umetoa SMG kwa YANGA, wewe umebaki GOBOLE, Pole Sana.
@christophermbuga9623
15 күн бұрын
Mzee wa ngendembwe!! Mzee Said uko vizuri
@MariamMbonde-v1e
15 күн бұрын
😅😅😅 mzee side angalia usije mpiga vibaoooo huyo chagamba aisee jaman nmecheka sanaaa😂😂
@cleophasmkungu623
14 күн бұрын
Huhuuuu! Mzee Said utauaa, eti hamna cha Mkwara wala Mkwaraaaa😃😃
@Hgd-jk6lh
14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mezee said jamani nampendaa saan😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwenye nambar yake naombeni ninavocha yake laki 1chagamba nicheki mwanagu mie ni yanga ila nampendaa saan mzee Saidi😂😂😂like za mzee said ♥️
@PeterTelemka
15 күн бұрын
Nimemsubiri Sana mzee said hivi viongozi wa kaole Sanaa wako wapi kipaji hiki jamani kwenye maigizo
@salmamlokela1987
15 күн бұрын
Mambo yashaaanza uku😂😂😂
@PlanetLeo721
13 күн бұрын
Mimi ni mwananch ! ila I like Mzee Said. He also makes me to be happy when I’m very stressful.
@lumistarboy8499
14 күн бұрын
Gamba Augustine ni namba 6 Gambaaaaa unampoteza Mzee ila hapo kwa Deborah nimecheka sana😅😅😅😅
@ElizabethLukosya-lv2vf
14 күн бұрын
Pamoja sana mzee wetu saidi 🤗
@user-pw4hw5sx6e
14 күн бұрын
Nilitaka kushangaa bila kumtaja saidoo
@nelsonlugaimukamu6611
14 күн бұрын
Hongereni sana kwa kipindi kizuri,mzee saidi namkubali sana....msema ukweli
Chagamba jitahidi kila siku ukutane na Mzee Saidi mi MSURE mbaya.Wanafamilia tunampenda sana ,hasa kwa ukweli wake,vichekesho na lugha yake ya utani.Mie nacheka tu huku na kuongeza uhai wangu😂😂😂
@LinuslusianLinuslusian
14 күн бұрын
Mzee Said yuko safi mbona Jobe haongelewi?
@MuammaryAbdalla
15 күн бұрын
wakikuita debora na wew waite joicy
@mustaphawelder7022
14 күн бұрын
Watakuwa wanaijua daby Kwan hata kwao kuna daby
@user-zq2tj9gr6r
15 күн бұрын
Mzee saidi saidiya simba yako
@nasibumuya4504
13 күн бұрын
mzee saidi mm nakukubali sana hata kama nimevugwa nikikusikia bavu sina🤣🤣🤩
@chrispinallan3683
14 күн бұрын
Wee mzeee saidi noma sn Nina zawadi yk nitafute mzee wang
@phiddeschacha3143
15 күн бұрын
Yaani Mzee Saidi wenye kukuelewa wamekuelewa
@jamesmakaranga1170
15 күн бұрын
Mzee said bn nakukubali sna
@clementmmbaga3052
15 күн бұрын
Hatarii mzee said
@moseshaji1177
14 күн бұрын
Mzee Said nakufatilia vyema sana kila utupiapo interview mpya Nipo Bin Umran Doha Qatar hapa
@hyy4114
13 күн бұрын
Upo umran mm nipo Umqan
@kingslove7772
15 күн бұрын
Mzee said bana we leo umeamua je
@tamariamisi3540
8 күн бұрын
Thank you so much said I love you me I live from yuganda
@WilliamStanley-m8u
15 күн бұрын
Nakuelewa mzee said
@gaspermathayo5204
14 күн бұрын
Ndomana watoto wayanga wananita debora😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ramadhankombe2643
15 күн бұрын
Kwa sasa hv hawawez kumuelewa mzee Said.lkn ngoja ligi ikianza ndio watamuelewa vzr anachomaanisha huyo mzee.hahahaaaaa walah mzee said unanifurahisha sanaaa.na ww chagamba unachombeza kiunafki km vile huelewi simba watavyodhalilishwa na yanga😅😅😅
@harunimsangi7770
13 күн бұрын
Mzee saidi bwana mungu akupe maisha marefu
@HassanHassan-vh6pc
14 күн бұрын
Mzee said x hii tunakubandikia bango mlangoni kwako
@claragodfrey2985
15 күн бұрын
Mzee saidi unanipa burudani jamaniii ata kula sijala sababu ya maneno yako
@rozamabagala6242
4 күн бұрын
Saido mzee kukimbia hadi ajikusanye kama tairi za scania😂😂😂
Пікірлер: 548