Mtumishi upo vizuri. Wenzio hawasemi wapo katika mwili zaidi,wanakana unabii sasa watasikia wapi sauti ya Mungu? "Mfano wa utauwa lakini wanakana nguvu zake" Watumishi wenyewe ndo wanauwa! Fanya kwa zamu yako,Mungu akubariki,Amen.
@VLADDYNDANZI
16 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu na mie ninajiunganisha na sauti ya Mungu niombee Mtu wa Mungu
@joycemmassi5046
16 күн бұрын
Hakika tunahitaji watu waliosimama ktk Neema ya MUNGU kama wewe!!! Be blessed HUTAKUFA BALI UTAISHI,UNALINDWA NA MUNGU
@gililwise
16 күн бұрын
Damu za watu zilizomwagwa bila hatia zitawatafuna.na machozi ya watu waliodhulumiwa haki Yao yamefika mbele za Mungu aliye hai.hakuna atakayepona asema Bwana wa majeshi.
@user-xh6rw4qi4q
16 күн бұрын
Nakukubali sana mtumishi wa Mungu Niko pamoja nawe
@JamesKanyenda-y9y
16 күн бұрын
Umeongea ukweli.watumishi wengi wa MUNGU wapo kimya.akuna hekima apo.waambie waelewe.sio kupewa sadaka tu
@healingclinic698
16 күн бұрын
wengi wajinga tu watumishi wa kuvaa masuti na makora ya kicgungaji na kiaskofu wanakazi kusapport upumbavu
@Mosmwampa
16 күн бұрын
Upo sahihi, wengi waoga wanaogopa serikali
@sabinaboas6760
16 күн бұрын
Amen 🙏 God bless your servant in Jesus name
@jerusalemsuccess4562
9 күн бұрын
Amina Amina Mwanangu. Jitoe kwa Kristo Yesu. Hiyo ndoto au maono ni kwamba Mungu anakwenda kulitakasa, kulisafisha taifa. Damu ya mtu ukiimwaga Mungu hakuachi lazima akuathibu.
@YohanaRichard-e6p
16 күн бұрын
Hakika kila kitu kitakuwa peupe , ni ajabu mtu kuyakili matendo yake maovu mbele ya watu.
@fadhilimrope5134
15 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi, huwa napenda sana kusikiliza yale unayoongea Mimi nakuelewa, kwa kweli Mungu atupiganie na kutuokoa, kwa jina la Yesu Kristo alie hai
@MarcMhombo
16 күн бұрын
Mungu ashukuriwe kukuleta utufumbue na kutuelekeza kweli ya Mungu. Mungu aheshimiwe na tufanye yalioyahaki, viongozi tendeni haki tumtangulize Mungu katika yote
@obviousmphande8621
16 күн бұрын
Ubarikiwe mtu wa Mungu,Mungu azdi kukufunulia yalio yake Bwana.
@JanethSwai-i3d
16 күн бұрын
Amina mtumishi wa Mungu anawaumbua wote watesi wa hii nchi kwani utawala huu umekua chukizo kama wa Nebukadreneza hawaamini uwepo wa Mungu eti jamhuri ya muungano ndio salamu 😢😢
@robertphilip385
15 күн бұрын
Kuna mtumishi Moja aliwahi kusema inchi inaongozwa na mtoto wa shetani uleusemi niwakweli
@sabinaboas6760
16 күн бұрын
Dangerous vibes kimeumana hapo, watanzania mpoo hapo mnasikia au bado sauti iongezwee
@marieconnect6389
10 күн бұрын
Nakuamini kabisa nabii naamini mungu yuko Tanzania na tutaona kwa macho yetu miujiza yake. Acha maji machafu yamwagike yote
@norahfrank
16 күн бұрын
Amen, na iwe hivyo kwa jina la Yesu
@UpendoAron-p9n
16 күн бұрын
Bwana akuvishe nguvu kama za nyati na akupe kupaa zaidi ya tai na uwe jasiri kama simba uwararue maadui wote wanaokukaribia..
@ommylax7231
16 күн бұрын
Mungu akukinge na wabaya mwakilishi wake 🙏 🙏 nakufuatilia sana na maneno yako yote ni kweli na yanatimia ila wanajifanya vichwa vigumu kuelewa
@alexkamba5264
16 күн бұрын
Be bless kakika Mungu amekuweka na yupo upande wako yeyote aliyekinyume nawe asisimame.
@MarkoShilabi-w4i
8 күн бұрын
Mungu mwenye nguvu azidi kuwa pamoja na taifa letu akutumie kupatengeneza palipobomoka na akujalie ulinzi wake.
@Elinami-t2t
15 күн бұрын
Mungu akulinde siku zote za maisha yako mtumishi wa Mungu
@ZawadyKaoneka
16 күн бұрын
Nzuri sana Mungu akupe ujumbe zaidi wabaya wafee
@yordanyona1234
16 күн бұрын
Huyu jamaa anatisha
@mrjohn4446
15 күн бұрын
ndo mtumishi wa mungu anayenyoosha ukweli bila kufunika funika na hana uwoga wa chochote
@odiliaamnaay4429
16 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu umetisha. Mungu wako ahimidiwe. Mungu huyo aliyehai ndiyo Mungu wa kuabudiwa milele yote. Mungu anayeonekana. Si Mungu mfu. Washindwe kwa Jina la Yesu wanaoutafuta nafsi yako . Badala ya kufanya toba Wana jiongezea balaa
@edwindavid7037
16 күн бұрын
Kwa hili ni kweli uliitabiri hapa nakuunga mkono
@RoseMayige-gn9qb
16 күн бұрын
Mungu akulinde na aendelee kukupa ujasiri wa kusema anayokwambia useme.
@GABRIELBAHANGARWA
3 сағат бұрын
Amen mtumishi muite Mungu akupe mafanikio zaidi ya haya
@PeterMahona-zd3oz
16 күн бұрын
Mungu akutenge nao watekaji
@NehemiaMsofu
16 күн бұрын
May God be with you...........Ameen
@sabinaboas6760
16 күн бұрын
Kabisa mtumishi wa Mungu,msemakweli ni mpenzi wa Mungu
@consolatamairi3862
16 күн бұрын
Mungu yuko kazini
@hudumayakristo
16 күн бұрын
Bwana atawaumbua wote hakuna atakaye salia
@joycemmassi5046
16 күн бұрын
Niko nakuombea Bwana akupe Neema juu ya Neema acha tumtwike yeye fadhaa zetu zote sawa sawa na 1Petro5:7
@joycemmassi5046
16 күн бұрын
Nakuunga mkono mtumishi hakika nakuombea na ni kweli Mungu yu pamoja nasi IMANUEL!!! UMENIBARIKI SANA
@eliezersifuel3304
16 күн бұрын
Amen Mtumishi wa MUNGU, MUNGU MWENYEZI aendelee kukutunza ili Taifa letu liponywe.
@KyaruziChris
16 күн бұрын
Amina
@augustinonestorysasi3683
16 күн бұрын
Tusifike huko Mama Okoa Taifa hili tutendewe HaKi Hamjaona Vita tusike huko !!Nihatali tusifike huko!! Tumuobe Mungu anajibu Haha matatizo atuyepuke sisi tumezeaka Linda Nchi Kwa Amani na kutenda HaKi!!
@Yomiyomi6897
16 күн бұрын
Huyu Mtumishi ni wa Mungu kweli. Yuko well balanced. Anasema hali iliyopo. Anasema nini ni pato lijalo. Anasema aina ya mapato kutokana na hali iliyopo. Pato ni baya au jema? Kama ni baya, nini kifanywe ili baya hilo lisitupate. This is a definition, classic definition, of WHO and WHAT THE Prophet of God IS Msicheze naye huyu Watanzania. Msipomtii, maangamizi yanakuja as a necessary consequence in the sequence of events.
@Yomiyomi6897
16 күн бұрын
Huyu ni MBWA wa Mungu. Kakaa juu ya ukuta. Anabweka. Amemwona adui. Adui gani? Laana na mapigo ya Mungu kwetu. Anasemaje, " acheni, acheni, acheni UOVU"
@JoachimKisoka-d5l
16 күн бұрын
Ujumbe umefika na mwenye hofu ya Mungu akaye mbali na matendo hayo.
@reginaruta3249
15 күн бұрын
See. Mungu tusaidie watanzania macho yetu tunayainua kwako. Inua watumishi wakweli zaidi kama huyu. Amen
@charlesnyanhanga4382
14 күн бұрын
Nimekubali MUNGU ana watu wake anaowatumia kwenye nyakati hizi hongera sana natamani sana kipawa hiki
@JamesKanyenda-y9y
16 күн бұрын
Yani Kuna watumishi nawafatilia.ila wewe ni kwel MUNGU anafanya KAZI ndani yako
@UpendoAron-p9n
16 күн бұрын
Simamia kusudi la MUNGU kwa ujasiri wote usimtazame mwanadam si kitu.
@giftmloge7134
13 күн бұрын
Asante sana Mtumishi wa Mungu kwa kuwa muwazi, wapo wengine watumishi wa Mungu wamenyamaza kimya kusema kweli na kutetea watu wanapotea bila......
@juliuskitaluka1206
16 күн бұрын
Watu wamekinai madaraka lakini MUNGU hadhihakiwi
@EarnestMwangombola
16 күн бұрын
Mtumishi acha kuchekacheka, unakuwa kama unatania. Mungu akusaidie, usidhihaki. Toa ujumbe ukiwa serious. Ubarikiwe.
@corporatethugsent7380
16 күн бұрын
We nae emb toka bana.umefata ujumbe au kicheko.
@isayamwashibanda5819
16 күн бұрын
Hicho nikichekoo Cha kimunguu ikiwa umejiza titi kwa MUNGU Kuna kicheko Cha kufulahia matendo ya MUNGU na ndomaana ukiwa mwombaji Kuna hasilila yakimungu lazima ikujiee pia Kuna fulaha ya kufulahia matendo ya MUNGU ayo jifunua kwahiyoo binafisi sioni chucheeka kwa mtumishi kakosea bali nifula ya kimbinguu
@OSCARMWAIBAMBE
16 күн бұрын
Nawewe ko kuwa mlokole n kununa? Ulokole wa mateso huo kaka...Mungu alibeba shida zetu hvo tufurahie....
@UswegeJohn-ov3ym
11 күн бұрын
Wewe ni mwalimu wa manabii??
@augustinonestorysasi3683
16 күн бұрын
Tulipigana wote JWTZ POLICE na Majeshi mengine Wastaafu was Mejeshi Naomba mliopo kazini mkatae Maelekezo watu Wachache ndani CCM kuleta vujo vile vile Tunaomba mtulipe Pention .tuiopigania Nchi hii a
@StephanoJohn-p9k
14 күн бұрын
Mtumishi wa Bwana Yesu na kijana mwenzangu uko sawa Baba.usinyamaze kimy'a uko sawa nabarikiwa sana usiache kusema Mtumishi wa Bwana Yesu Kristo.
@getrudantandu
9 күн бұрын
AMEN
@JosefuSwai
15 күн бұрын
Mungu akutunze mtumishi mungu awangushe hao wanyanganyi na watu wasiojulikana
@MginaFiloteus
16 күн бұрын
Kama vile mungu alivyo haribu utawala wa nebkadresa .na atende HIVYO kwa ccm
@lamecklyimo6373
16 күн бұрын
Mungu akubariki
@AnnaMwitega
6 күн бұрын
Mungu azidi kukufunulia mtumishi mambo yaliyopo sirini. Amen
@JamesKanyenda-y9y
16 күн бұрын
Amina mtumishi tupo pamoja
@karimmveyange280
15 күн бұрын
Asante kwa kunikimbusha hii Aya. Nilikuwa naitafuta ningapi
@JacksonFrances
14 күн бұрын
😢😢🥺🥹😡😩 UTEKAJI UMEKITHILI n̈ã NA KWENYE HILI HATUNA BUDI Watanganyika KULIKEMEA KWA NGUVU ZOTE MAANA LINATISHIA USALAMA WA Watanganyika. NAFSI ZA WATU ZINAISHI KWA HOFU TUNAISHI KAMA WAKIMBIZI NDANI YA TAIFA LETU "
@AzizaMohhamed
15 күн бұрын
Watanzaniaa ni dhaifuu ,mungu mwemaa anaamuaa kututeteaaa,,mungu you nasii
@rweumbizalugaimukamu4905
14 күн бұрын
Umesema ukweli Mtumishi
@RukiaSalum-n4m
9 күн бұрын
Ndiyo mtumishi tumeyasikia nyooka nae Barikiwa mtumishi❤❤❤❤
@AdonaiFredy
16 күн бұрын
Shalom!kila aliyemwaga damu ya watanzania wasiokuwa na hatia,damu ya yao itawalilia mpaka kizazi cha nne!watalipa wote,hakuna atakae bakia,laana itawafuata na kuwapata.
@hafsalucky1088
15 күн бұрын
Mungu Akubariki Mtumishi 🙏
@nenolauzima5281
16 күн бұрын
Watu wakiambiwa hakuna jambo anaolofanya Mungu bila kuwaambia manabiii wake wanabisha.....
@DEBORAHMASANJA-yz3go
10 күн бұрын
Ni kweli kabisa hata mimi kuna Mungu alinutuma kwake ujumbe wa maonjo alihitajika afanye toba akasema nifanye toba mimi kusema ukweli kama alivyo Sema nabii wa Mungu yaani huyo mtumishi huduma ime kufa na ktk ulimwengu wa huduma hawapo
@jeniphermyingajeniphermyin8029
16 күн бұрын
Mungu azd kukupa NGUVU zake kwajina la Yesu
@mmassycharles409
16 күн бұрын
MUNGU akulinde dhidi ya hawa madhulmati wanaojiita wasiojulikana.
@felisminja3135
16 күн бұрын
Watandikwe
@mercyfulmndeme7329
16 күн бұрын
Amina mtumishi tunakuelewa
@BenjamenGeorge
16 күн бұрын
Ubarikiwe sana sana Mtumishi wa Mungu
@saulimmbaga.safisana9556
16 күн бұрын
Nimefurahi sana mungu akulinde
@rithaurassa
16 күн бұрын
AaaaaaaaaMeeeeeeeeNi! Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.
@dassustephen731
16 күн бұрын
Huyo mkuu WA wilaya pengine dawa za watu zinamwandama Hadi anaropoka
@usembiphonedar5632
16 күн бұрын
Laana na damu za watu zinawatafuna ccm na vibaraka wake! Mungu yuko kazini, acha .Mungu afanye kazi yake. Na bado tutaona na kusikia mengi! Mnara wa Baberi unaenda kuanguka, Ameni.
@leahenockmrina5381
15 күн бұрын
Mtumishi Mungu azidi kukutumia isivyo kawaida ili kondoo wa BWANA waokolewe na kupata malisho mazuri
@GreysonMzava
16 күн бұрын
Ubarikiwe mtumish
@coolsinare8824
16 күн бұрын
eee kasema kwa kujiamini uovu wa ccm na serikali aibu kubwaaaa na sisi tunaendelea kuishtaki serikali isiyo ya haki kwa Mungu atajibu tu
@isayamwashibanda5819
16 күн бұрын
Amen tumishi tuko nyuma yakoo
@pilimpinga647
15 күн бұрын
Amen
@valenakomba9218
16 күн бұрын
Amina sanaaaana, Asante Yesu.
@jamhurigeorge7730
15 күн бұрын
Naomba nikufuate tuwe pamoja katka uduma wewe kweli ni mtumishi wa mungu w a kweli ubalikiwe
@sabinaboas6760
16 күн бұрын
Mungu akupiganie mtumishi wa Mungu
@dietrichoswald34
16 күн бұрын
Unabii ni sauti ya Mungu ktk kinywa cha mwanadamu, Lengo kuu ni kuonya na kutahadhalisha watu watubu na kumrudia Mungu, au kuwatarifu watu wajue wayapasayo kujua kulingana na nyakati za Mungu. NABII WA KWELI HAJIAMINISHI KWA JAMII, UKIONA MTU ANAORODHESHA MAMBO ALIYO TABIRI HALAFU YAKATOKEA UJUE UKO USO KWA USO NA NABII WA UWONGO. Au nabii aliye kimwili zaidi anayefurahia mabaya yatokee ili yeye aonekana nabii wa kweli. Yona atumwa kuwaonya wakazi wa Ninawi kwamba watubu, na wasipotubu atawaangamiza. Waninawi wakatubu Mungu akaghairi hukumu. Yona kuona hivyo akanuna kwa nini Mungu awasamehe na kusababisha aonekane kuwa mwongo. Ndiyo wewe unayefurahi na kuonea fahari mabaya kutimia juu ya watu
@rockusngalela6581
16 күн бұрын
Hatari sana kujisifia Mhh
@jedidahbintidaudi8241
16 күн бұрын
Mungu Aturehemu kwa kweli..sio vizuri jmni. kama ameona hivi aende kama Mussa na kumuomba Mungu Rehema jmni kwa nch yetu
@mrjohn4446
15 күн бұрын
hakika we ndo mtumishi wa kweli maana unanyoosha ujumbe haufuniki funiki , nahuna roho ya hofu ndani yako
@rastheunique
14 күн бұрын
Jina La Bwana Wetu Yesu Kristo Linabarikiwe sanaaa🙏🙏
@ChristerKoku
13 күн бұрын
Amina mtumishi.Mungu hafichwi na Hana upendeleo.
@avithamosi2061
15 күн бұрын
Glory be to God
@sabinaboas6760
16 күн бұрын
Kweli kabisaaaaaa unasema ukweli mtumishi wa Mungu
@giftkalenge418
11 күн бұрын
upo sawa tena naongezea wasipo wataja waliopotea waliwapeleka wapi na watubu na kukubali adhabu ya makosa waliofanya msiba was taifa upo palepale
@JosefuSwai
15 күн бұрын
Amina na iwehivyo
@amiliabdala2513
15 күн бұрын
Mimi mwisilam ila nakufatilia nakukubali unaongea ukweli namungu akusimamie usitoke kwenyemstali Duniani tunapita mungu akubaliki
@user-hv7yp9yw4e
16 күн бұрын
MUNGU akubariki kwa kutuma meseji takatifu hii iwafikie na wasikie
@rebeccamaziku5070
8 күн бұрын
Ni kweli. Viongozi wa dini ni wachache sana wanaoliongelea hili jambo hadharani. Lakini neno la Mungu linasema rafiki wa kweli ni yule anauekujali wakati wa shida. Wa upande wa Nuru utawaona ktk dhoruba ikija. Na uelewe siyo wote wanaosema Yesu ni wa Yesu siyo.
@jonathanwistone8207
7 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu, uko sawa kwa ujumbe, ila kila mtumishi anakazi yake aliyopewa , wewe umepewa kusema na kupaza sauti, mwl.mwakasege , anakipande chake anachofanya, wewe fanya kipande chako , theni wote mtajenga nchi. Msipingane na kulaniana.
@odiliaamnaay4429
16 күн бұрын
Na uwe huo msiba uje mara maana wamemaliza watu wanajua kuua tu.
@rithaurassa
10 күн бұрын
Mtumishi naomba undelee na. Maombi mpaka wanulikane .Wakir YESU ni bwana .Tumechoshwa na utekaji mtumishi.
@Ambwene
15 күн бұрын
Wafe tuu mtumishi wa Mungu maana hawana faida katika nchi
@RukiaSalum-n4m
9 күн бұрын
Kweli kabisa wafe
@jerusalemsuccess4562
9 күн бұрын
Mungu amesha choka na wauaji, watekaji, wamwaga damu Tanzania . Itafikia wakati, watoto na ndugu na jamaa wa waliouwawa watalipiza kisasi. CCM ikiwaua CHADEMA, na Chadema itawaua watoto, ndugu , jamaa wa ccm. Hata jamii ya wasio na vyama ambao wana chukizwa na mauaji hayo watainuliwa kulipiza kisasi.
@wilfredluhwago9246
14 күн бұрын
Hakika nimeshuhudia unabii ukitimia kwa masikio na macho yangu....
@MabelKaaya-hl2je
15 күн бұрын
INATIA MOYO SANA JINSI MUNGU ANAVYOIBUA SIRI ZILIZOFICHIKA. MUNGU ANATISHA.
@clauschaula2050
16 күн бұрын
Wanaccm wenye nia njema hameni,kwa sasa chama chenu kina wauaji wengi sana kwa tamaa za mali.Ila Mungu hana haraka nao.
@JethaDololo
15 күн бұрын
Damu ya Yehova ineneyo mema imekufumika USIOGOPE
@eleazarimagesa6052
16 күн бұрын
AMEN MAN OF GOD
@josemalley1691
16 күн бұрын
Kwenye mapasta kuchungwa hapo hahaha mm kimya
@isayamwashibanda5819
16 күн бұрын
Patamu hapooo
@OSCARMWAIBAMBE
16 күн бұрын
Endelea kunyenyekea ili Mungu aendelee kukutumia mtumishi
@privatuskatabalo9617
16 күн бұрын
Mungu akubariki Mkushi......tu walawi wa Afrika
@bishoparronmgaya1749
16 күн бұрын
Ubarikiwe
@nenolauzima5281
16 күн бұрын
Ndiyo maana Mimi mtu akipinga nunabii kienyeji huwa simuelewi hata kidogo...
Пікірлер: 232