Kama ume kuja kwajili ya kujua kwa nin alipiga kelele peleka mpaka 9:52 ✌Af acha lyk kweny comment😂😂😂😂😂😂Lol
@starlightofficial5214
3 жыл бұрын
Daah!..! Ahsante kaka maana ningepoteza mb zangu.
@elenzianjk5543
3 жыл бұрын
Hahah umetisha mwamba...!!😂😂
@ellyitete938
3 жыл бұрын
Hahahaha asnteh
@azizamohd5728
3 жыл бұрын
Umefanya jambo la maana sana ndugu
@khadijabwikitia8367
3 жыл бұрын
Haka kadada kaongo ndugu mtangazaji huyomdada anatafuta pesa
@ndumitv5497
3 жыл бұрын
Siyo nabiii Olivia Ni tapeli Olivia Kama mnaniunga mkono dondosha like
@rosemneney3244
3 ай бұрын
Ayo tunakuheshimu sana achana nahao matapeli Nabiiii???
@MZEEWABUSARA.235
3 жыл бұрын
FOR ANOTHER NEW VIDEO CLIK HERE 👎👎👎 kzitem.info/rock/onKv4j27CaGK3uu_nkD0pA KWA VIDEO MPYA ZINGINE BONYEZA APAAA👎👎👎 kzitem.info/rock/onKv4j27CaGK3uu_nkD0pA #HISTORIA# YA #MUHAMAD(s.a.w)ep1/#PROPHET# #IBRAHIMU# #HISTORY# #ZA# #KIISLAMU#
@faustinsirili3480
3 жыл бұрын
Hakuna nabii bongo wote wanaojiita manabii Ni matapeli
@sharoombay8997
3 жыл бұрын
Yaaani!!sasaivi manabiii ni wengi kuliko enzi ya Yesu. Mungu naomba utusaidie. Manabii wa uongooooooooo.
@ramazubery2641
3 жыл бұрын
😂😂😂
@samiraabdimahamed4449
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 nawajifanya wanajua dini kumshinda hata Yesu
@augustinosizya4020
3 жыл бұрын
Wakati wa Yesu ulikuwepo na ukawaona manabii?
@hoseamgema9107
3 жыл бұрын
Hata watu ni wengi pia kuliko kipindi cha yesu . .
@witneskilinda5034
3 жыл бұрын
Mathayo 24:24
@kessynurutajiri4940
3 жыл бұрын
Hovyooo! Eti Nabii kiruuu!. Ww ni "Mpiga Hela" tu kama wengine tu. Acheni kutapeli watu jamani!. Mungu anawaona.
@madamloveness7274
3 жыл бұрын
Si kila amwitaye Bwana Bwana ndiye atakayeuona ufalme wa Mungu
@neemakaluwa1841
3 жыл бұрын
Mungu nionyeshe njia ya kweli, Na tufundishe kuomba wenyewe🙏
@digalaahmad6314
3 жыл бұрын
Njia ya kwr ni uslam ndo dini ya kweli wala aina shaka
@ramazubery2641
3 жыл бұрын
@@digalaahmad6314 huku akuna agano jipya Wala lakale iliposhushwa qur an ipo vilevile aibadiliki nampango wakibadilika haupo hautokei Hadi kiama.karibu neema kwenye neema kamajina lako huku hakuna kutumbukizana kwenye maji huku ukubali mungu mmoja kama baba yako alivyo mmoja namitume waliotangulia nawamwisho Muhammad s.a.w.
@niwemugenimediatrice5640
3 жыл бұрын
Uliomba vizuri sana
@trophinidamac3287
3 жыл бұрын
Neema ata biblia ime andikw watakuja manabii wakweli nawauwongo ami usiamini kwenye miujisa ilatu imani yako itakuponya ata ukiomba ukiwakwenye kitanda maombiyako yata sikikatu mbele ya Mungu na miujiza bila imani nisawa nakasi bure nimependa Ulivyo andika kuwa Mungu nionyeshe njia yakwe💙
@neemakaluwa1841
3 жыл бұрын
@@trophinidamac3287 🙏
@nassoronkelanza6161
3 жыл бұрын
Weka like kama umesikia "piga kelele"
@jjbornagain813
3 жыл бұрын
Nabii oliva moyon mwako pengine inakushughudia ukweli kuhusu uyo mdada hili tatizo lakutengeneza mambo lipo na wataalamu wa haya ni wanageria wakongo kuna mkongo aliwahi kuja akawanunua wadada wawili nakuwapeleka redion kushughudia uongo kwamba wameombewa wakapata kazi nzuri kumbe ni uongo .
@yassirhalimamohammedmohamm5913
3 жыл бұрын
Umeacha kazi nzuri umekimbilia kazi yakuwadanganya watu nabii mwanamke wapi nawapi
Mkumbuke pia imeandikwa..Usimseme wala kumnyooshea mtumishi wa MUNGU mkono,mwache MUNGU mwenyewe atashughulika nae. Tufikiri sana tunapotoa maoni..
@emmamatemu8225
3 жыл бұрын
Wengine hawana utumishi wowote Matapeli tu
@Zainab-sq1tc
3 жыл бұрын
Amen
@kulwamartin295
3 жыл бұрын
Yeah! Ukwel maana Haruni na Marium walimsema Mussa juu ya Kuoa mwanamke wa mataifa na Mungu alishughulika na Marium na akapata ukoma.....Mungu atashughulika nae maana yeye ndo anaejua ukwel so Sisi wengine tuachane na hiv vitu.
@sadokielias3007
3 жыл бұрын
@@kulwamartin295 bbb hb;j
@sadokielias3007
3 жыл бұрын
@@kulwamartin295 b
@angelshio2617
3 жыл бұрын
Hongera dada siwezi kukisemea vibaya kwa sababu hata kusimama mbele za watu ni kazi kubwa hao wanaokutuka tuwaombee rehema kwa sababu hata Yesu alipingwa na wale aliowasaidia
@georgeisdory9998
3 жыл бұрын
Pastor........ Wa kishetaniii Mungu anisamehe kwa ( kuhukum) ilaa dada unamkosea Mungu Na nikwambie tuu Mungu haigiziwi🙏🙏🙏
@witneskilinda5034
3 жыл бұрын
mathayo 24:24, 2Wathesaloniki 2:1-12
@fatumamwalimu5765
3 жыл бұрын
Piga kelele kwa msaka tongeee, weweeeeeeeee🤣🤣🤣
@japhrystar2597
3 жыл бұрын
😂🤣🤣😂😂
@mamyrylovemeagain2406
3 жыл бұрын
Weweeeeeeee
@sethkavenuke123
2 жыл бұрын
Nabii huwa chini ya mchungaj, ushahidi wa kwanza wa kuwa nabii wa uongo ni nabii kuchunga kanisa, no no no! Unabii wako upime
@Juma_Content
3 жыл бұрын
Hawa manabii wa uwongo awa dah
@deelissa2746
3 жыл бұрын
Me nilimuona kwenye tv nikamwanglia 😂nikaishia kukaa kimy jumpl iliyopit sikujua km ndio uyu wa piga kelel
@janemushjanemush1659
3 жыл бұрын
Maiki imemuumbua mtu et anasogeza maik pembeni anasema piga kelele akijua watu hawasikii
@hellenpeter4497
3 жыл бұрын
Unajua makanisa haya ni mengi yanayotafuta apate masilahi yake. Serkali kiangalie sana watu wameacha makanisa ya uongozi wanafuata matapeli Mungu anawaona
@cosmasassey8702
3 жыл бұрын
Kweli binti wewe nimuongo kinyama
@aminahussein5418
3 жыл бұрын
Mungu anakuona ww dada unaniongopea mungu shenzi kweli
@alfredfrank6151
Жыл бұрын
Ewe mwenyenzi Mungu mjalie moyo wa uvumilivu mtumishi wako Olivia, watu tulimwelewa vibaya
Nyie wakristo hatuwaelewi hivi hili nene la nabii mnalitafsiri vp mana naona mnapeana unabii kama njugu😅😅😅
@prophetgeorgeanointed1onli706
3 жыл бұрын
Mimi nimeona iyo cripu uyoo nabii alimwambia kweli apige kelele, ukisoma biblia Yesu kasema wasikilizeni manabii zangu pia kasema watakuja manabii wa uongo watadanganya wengi. Ushauri Funga omba umulize Mungu malisahihi ya kumuabudu Mungu atajibu maombi yako,
@mbarikiwambarikiwa3988
3 жыл бұрын
Nabii mwenyewe kabana tako duu, Mwenyezi MUNGU atusaidie.
@wasalimie11
3 жыл бұрын
namshangaa
@Craftiummah123
3 жыл бұрын
good one sharing, Stay connected.
@garsonmolaric603
3 жыл бұрын
Tafuteni pesa kwanjia yoyote ile,ilimradi pesa iingie,ukifeli maishaDuniani ujue pia umefeli na mbinguni.
@jackzodtv993
3 жыл бұрын
Ila sio kwa kuichafua kazi ya Mungu ni uwizi tu
@marymfugwa847
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi sina neno na wewe ila Mungu aliye kuita. Hakuna mtu anae weza kuacha kazi ya mshahara zaidi ya milion moja akaenda kumtumikia Mungu pasipo kuwa na wito.
@daatyabdul652
3 жыл бұрын
Adi kichefuchefu kumsikiliza eti Nabiii
@marywelman3237
3 жыл бұрын
Wewe Dada acha kumfanyia hivyo mungu kuwa nauoga hata kidogo.
@user-po8hz7xw9j
3 жыл бұрын
Sura ya umalaya kabisaaa
@felixlyimo4695
3 жыл бұрын
Ww dada mungu anakuona... Maana hata unavyoongea inaonekana wazi kbs hamna k2 muogope mungu
@irenegudluck1214
3 жыл бұрын
Hakuna nabiii kwa karne hii msidanganye watu . Hivi mnajua manabii nyinyi ?
@niwemugenimediatrice5640
3 жыл бұрын
Wanatutania sana
@niwemugenimediatrice5640
3 жыл бұрын
Shetani kaingilia vinadamu halafu kawafumba macho hili wasione mwanga
@lailaselmin9590
3 жыл бұрын
Mungu atusaidie ili tuwajuwe watumishi wakweli maana bila Mungu tunaweza kupotea maana hizi ninyakati zamwisho kwaiyo tunaitaji Roho mtakatifu atuongoze
@evasaimon2101
3 жыл бұрын
Acha kukufuru Mungu. Utaishia pabaya mganga wa kienyeji
@user-rd3hk5qt5p
Ай бұрын
YESU KRISTO ALIE HAI anawaona hivi kwanini manabii wengi sana Dar es salaam
@shabanimbui9567
3 жыл бұрын
AKUNA DINI YA HAKI ILA NI UISLAM ILA WAKRISTO WENGI AWAFAHAMU ILA WACHACHE WENYE KUJUA NDIO WAKATOKA KTK UKRISTO NDO WAKAINGIA KWENYE UISLAM
@michaelramadhan9466
3 жыл бұрын
Dini ya kweli iliyosafi mbele za Mungu ni kwenda kuwaona yatima na wajane na kujitenga nadunia pasipo dhambi je wewe hutendi dhambi?
@a2gmgimwa3
3 жыл бұрын
Uislam upo katika thehebu ngapi maana unaleta uchoko
@magrethjohn8576
3 жыл бұрын
Ni mtazamo wako wewe!
@salmamatola4255
3 жыл бұрын
Usihukumu ndugu,wewe sio Mungu
@lucianlui5850
3 жыл бұрын
Soma vizuri vitabu vya dini na uelewe vizuri usimezeshwe wewe jamaaa hujielewi
@mapundatv
3 жыл бұрын
dunia ako na fituko mingi
@rachelmbogolo484
3 жыл бұрын
ctaki kuhukumu mana nasubir kuhukumiwa...... video nimeona vizur no comment
@bonneytv9441
3 жыл бұрын
saf rachel
@mbogomlwilo6203
3 жыл бұрын
Nandiomana yesu alisema yeye ndio mchungaji wakwelie wengine wrote niwezi na wanyan'ganyi na kuwafananixha na mbwa
@gracesamwel8895
3 жыл бұрын
Songa mbele dada. Mungu ndiye ajuaye. Mungu azidi kukutetea katika huduma.
@nakundwamkubwe7823
3 жыл бұрын
Mnajibebea dhambi tu huo unabii kawapa nani ? Matapeli wakubwa nyie. Mungu hana mtoto.
@tamimaali8718
3 жыл бұрын
Hakika
@mohamedhaji2200
3 жыл бұрын
Yeap
@kinged9862
3 жыл бұрын
Watendao mema na kukubali kuwa Yesu ndio njia pekee wamekuwa wana wa Mungu, sio kama akili finyu yako Mungu kuwa na mtoto mpaka alale na mwanamke na mwanamke azae huo ni utahira wa Muhamad the fake prophet
@nakundwamkubwe7823
3 жыл бұрын
@@kinged9862 kwenda msenge wewe. Usinipigie kelele
@kinged9862
3 жыл бұрын
@@nakundwamkubwe7823 msenge Muhammad ambaye alikuwa analamba waume chini ya kitovu ndio maana hakuweza kumpa mwanamke yeyote mimba.
@marymamntine1909
3 жыл бұрын
Etiiii piga, piga, piga, nikajua piga mapepo kwa jina la YESU kumbe piga kelele.. Aiseee Mungu tusaidie
@aminielmbise2013
3 жыл бұрын
Mh mpiga ela uyu nabi yupi uyoo piga pc tumuoneeeeee
@gosbertmuta5421
3 жыл бұрын
Huna lolote muongo mkubwa we maandko umeyakanyaga
@kingfather731
3 жыл бұрын
Dunia imeisha vitabu vitukufu vinasema watakuja manabii na mitume wa uongo
@hamoudthabeet8000
3 жыл бұрын
Loooh maskini wa mungu...
@robenapomola2395
3 жыл бұрын
Dalili zote zilizo tajwa katika vitabu vitukufu tayali zimesha onekana tunasubil siku tu ifike tulud kwa baba
@sikudhan3378
3 жыл бұрын
Dalili za kiama
@kareemsukri3256
3 жыл бұрын
Uislam ndio dini ya haki
@ashahahahahatwendenikwetut3826
3 жыл бұрын
@Herick Anthony 😋😋
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
@Herick Anthony atoke aende wapi huku hamna mana bee wanawake mtu akifanya ufirao wake kesha ambiwa motoo unamsubiri sasa atajua yy uislam hautaki mchezo hata kama ww muislam jina unafanya mambo ambayo mmungu ameyakataza ujue moja utubuu ama motoo
@sophialaurent2876
3 жыл бұрын
Nikweli kabisa alimpanga huyo binti, huyu dada hakuna cha unabii wala nn utapeli tu umemjaa
@jamilahamisiissah249
3 жыл бұрын
Sijawah sikia nabii mwanamke
@adiliwasanga4521
3 жыл бұрын
mm napita shaaaa.....!? mbele hioooooo
@atanasjuma433
3 жыл бұрын
tatizo sio la hyu dada yeye anatafuta maisha, shida ni kwa hao wafuasi wake
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
Toka lini mwanamke akawa nabii hiyo ni kutafita pesa kichwa wazi kifua wazi hata yesu alikuwa na wafuasi wake wanaume huyu aseme yy mhubiri si nabee manabii ni waleee wakiume tuu anadanganya watu eti piga kelele
@niwemugenimediatrice5640
3 жыл бұрын
Vipofu tu!
@nururhobiecassius7890
3 жыл бұрын
Mmmmh🙌🙌 innalillah wainna lillah rajiun....dunia inakwenda Akhera...dalili mojawapo ni hii🙌 manabii tele sasa kha🙌 Allah atujaalie mwisho mwema Amin
@paulkisatulusana1142
3 жыл бұрын
Nabiii kazi kweli kweli jamani Eti kuokoka duuu
@samirmbarak1521
3 жыл бұрын
Ww Nabiii Yesu anakuona shexi ww
@tabasamtv6728
3 жыл бұрын
Aiseeeee..!! Ni aibu hizi kudhihaki madhabahu kwa kutumia jina la mungu. Mshauri wa kisaikilojia leo hii ni kujihita Nabii wa mungu.
@pilabiliani9394
3 жыл бұрын
Hawa nao tushawazoea kwa uongo pumbavu sana
@linnamlay3643
3 жыл бұрын
Hiyo sauti tu,maji ya Ilala
@dayanadayanakimalo8558
3 жыл бұрын
Mm unabii siuamini kiukweli km nakosea Mungu mwenyewe anisamehe!
@jumahamic9104
3 жыл бұрын
We nabii uyo aliyukurekodi mfukuze
@evlynmwiks5398
3 жыл бұрын
Hawa manabiii na wachungaji ovyo wanalithalilisha jina la yesu nabiii wa Mungu hazungumziiii sana yakale husema yale ametumwa na Mungu
@hanifatanzania7258
3 жыл бұрын
Inalillah wainailahi rajuun da mtihani Sana hi dunia Ya Mwisho ww mwanamke wewe siyo mzima kabisa kafiri
@slayingtee6044
3 жыл бұрын
Usihukumu mtu Mungu tu ndo ajua labda wewe ni mzambi kupita yeye..acha mambo ya udini we dada
@deborahmwakatoga7192
3 жыл бұрын
Mpaka apo umeshatenda ZAMBI kwa kumwita mwenzio kafiri WAKATI HATA wewe MWISHO WAKO hauujui mwombe sana mungu akupe MWISHO mwema
@hanifatanzania7258
3 жыл бұрын
@@deborahmwakatoga7192 Hakuna nabiitena hataetokea mpaka Kiyama kinasimama ni uwongo ulipo nanabii mwanamke si njaatu na utokuogopa zambi
@hanifatanzania7258
3 жыл бұрын
@@deborahmwakatoga7192 unajua maana Ya kafili KWA kiarabu siyo kama unavyo fikiliawwe
@eastafrica6858
3 жыл бұрын
@@slayingtee6044 ina mana ukimuona mwizi ukamsema, utasema usimhukumu binadam yeyote akikosea lazima utamsema sio hv ni vibaya sio kumhukum ila ni dhambi kufanya kitu potofu lazma ukemewe huyu na bee gani dhambi mtu anatafuta pesa kudanganya njaa mmungu hapendi uongo anaonekana muongo kwanza kujita na bee mmungu atamuonyesha adhabu kwani atakufa siku
@ivonaevarista4654
3 жыл бұрын
Mm unabii wako anaejua n Mungu pekee ila kuna namna mwanamke atakiwa kujipamba nasio mapambo ya nje,1petro3:3,yeremia4:30,utamalizia na yohana4:24,
@ahmedmohamedshaksy9471
3 жыл бұрын
Hawa wote ni biashara tu hakuna jengine ila kutengeneza hela hakuna duniani nabii wala hatakuwepo hawa wote ni matapeli.
@mr.danielwizard.5890
3 жыл бұрын
Sema dah manabii siku hizi wamekuwa wengi sana, 1 YOHANA 4:8
@vanderjoe2551
3 жыл бұрын
Hi
@vivianjacob4569
2 жыл бұрын
Mmeona mpasuoooo
@tonchersavage5742
3 жыл бұрын
Namuelewa nabii
@mihayoonline1573
3 жыл бұрын
Nabii sema tu ulikua Ps wa Magereza inatosha 😂😂
@teychriss3248
3 жыл бұрын
😛😛😛😛
@depaolo3461
3 жыл бұрын
😂😂😂
@odhiaodhia9898
3 жыл бұрын
Kweli watu hawana aibu, mimi nilifkria ataomba msamaha kwa Mungu kumbe bado anang'ang'ana kusema uongo
@endeshyamat6773
3 жыл бұрын
Tuwe makini tunapohukumu watu Mungu Pekee ndio anaehukumu
@aminamollel5725
3 жыл бұрын
Nabii wa kwanza aliyenzia kuuza Bar!!!??? Mungu hachezewi ujue? Wewe sema tu kuwa umeokaka na unampenda Yesu
@aminamollel5725
3 жыл бұрын
Wanamfanyia Mungu masikhara hawa watu jamani
@salimsaid7200
3 жыл бұрын
Siku Hizi Ka Acha Ku Uza Bar Analewa 2
@mwanahawaomarimashaka197
3 жыл бұрын
Jamani aliyeskia mtangazaji akisema leo ni Alhamisi ni nani
Ukweli ni kwamba huyu ni nabii wa kweli Mimi nimefika namkubali sanaaa
@emmanuelemmanuel3047
Жыл бұрын
barikiwa sana
@tungende779
3 жыл бұрын
Mungu tusaidie
@felixlyimo4695
3 жыл бұрын
Umeskika unamwambia piga kelele, lkn umeulzwa unamumunya maneno mungu anakuona
@mohamedhaji2200
3 жыл бұрын
Dada mjanja
@adammwita3150
3 жыл бұрын
PIGA kelele, mic iko hewani. Bwana anakuona
@irenendauka4353
3 жыл бұрын
Mungu atakuadhibu dada pale ni uongo tuu eti lia kwa sauti khaaaa dada muogope mungu
@fadiasly3048
3 жыл бұрын
Dada muongo ww muogope mwenyezi Mungu duniani tunapita tu kumbuka kuna kesho kila goti litapigwa
@hojajmagingila1099
3 жыл бұрын
Nabii anasema alisoma Chuo Kikuu cha IFM sijui kipo wapi Tanzania?
@annamichaell2906
3 жыл бұрын
Hahahaha
@charlescosmas7823
3 жыл бұрын
Chanika
@expert5898
3 жыл бұрын
Hahahaha!!! Labda aliwahi kusikia University of IFM!!
@malleseptuagesma9038
3 жыл бұрын
Kinondoniiiiii! 😅😅😅😅😅😅😅
@khamissnassor1462
3 жыл бұрын
Hamna kitu hapa ubabaishaji
@hawasshibbyalfalasi8551
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂wewe silimu tu
@shenjamamzingi7950
3 жыл бұрын
"Umenena Vyema...endelea kutoa Dawah,Allah atakulipa inshaallah"
@sameeraidd2109
3 жыл бұрын
Baada ya Menyezi Mungu kumchagua nabii Issa (Yesu) kua nabii aliefatia kua nabii wawatu wote na wamwisho Ni Muhammad pekeyake Hawa wengine binadamu wakawaida kabisa analala kukikucha anawaza kufungua kanisa ajiite nabii akusanye sadaka. Acheni utapeli
@jennlaflin2292
3 жыл бұрын
Wewe ni mtumishi wa Mungu kabisa,Mungu akuinue ktk huduma yako.
@jasmine.mayala7597
3 жыл бұрын
Duuuuuuuh duuukampanga et piga kelele piga kelele jaman tumuogopen Mungu
@ruwaidaal-ismaily9099
3 жыл бұрын
😄😄😄Piga kelele tunajua kama unayo fanya sio yakweli lakin unazid kujiharibia 😃😃 njaa hii anampanga eti piga kelele ulivo mjinga bas😄😄
@jehovandiwe1592
3 жыл бұрын
Mungu akuinue Mtumishi wa Mungu.
@fadhiltave1359
3 жыл бұрын
Atukuzwe mungu baba wa bwana wetu kristo... kwaajiri yako pasta
@wivinemwamini9110
3 жыл бұрын
Mutafutemungu tanzania munazihakiwatumishi siwotewauongo
@awadhrajab9527
3 жыл бұрын
Kwanza Duniani Nijuavo Mimi Akuna Manabii Zaidi Ya Yesu Na Mtume Muhamadi Na Wengine Wateule Akina Musa Awa Sio Manabii Bali Ni Wachungaji Wa Kusambaza Neno Imani Ya Mungu Eti Manabii
@wantangosaimon5295
3 жыл бұрын
Hizi dini sasa hivi mungu atuxamee tu Bure af hao wapambe wanaobeba watu wakiwa wanadondoka huwa na wenyew lao moja, kwa waume wakikuona unayumba wanakumalizia wanashika suruali kwa chini ili udondoke vizuri
@ambrosekizidio8976
2 жыл бұрын
Mtawajua kwa
@josephatkimbavala2724
3 жыл бұрын
Ok
@ednahumazi777
3 жыл бұрын
Olvia ni nabii mchumaji
@gabrielmurro7134
3 жыл бұрын
Mbona alikuwa anasauti kanisani lakin sahiz anaojiwa sauti haitoki jaman
@gabrielmurro7134
3 жыл бұрын
@@jacklinejantasanga4530 😁😁😁😁😁😁
@alhaddajmohammed4768
3 жыл бұрын
Kweli hiyo alikuwa/bado ni mnywa pombe na nashawishika alikuwa anakunywa/anakunywa gongo hata sauti inascretch koo limesha ungua.
@dintazdintaz7311
3 жыл бұрын
Picha linaanza anapiga mihayo
@aliciagenius7779
3 жыл бұрын
Hahahaaaa acha ukorofi wewe
@pastorcarolicarlostokunmbo826
3 жыл бұрын
Nakuelewa nabii safi sana endelea kupiga kazi.
@mtimacharles2059
3 жыл бұрын
Wewe kalime tu
@naamohamed9964
3 жыл бұрын
😃😃😃😃😃
@mgedzirpm1541
3 жыл бұрын
Njaa kitu nzuri
@Myright888
3 жыл бұрын
ONLY GOD NDO MHUKUMU , LAKINI MPENDWA OLIVIA , KUNA HAJAGANI YA KUJIITA NABII? TENDA KAZI YA MUNGU NA WATU WATAKUITA WENYEWE NA KUAMBIANA HUYU NI NABII WA MUNGU LAKINI NAHISI HAIPENDEZI KUJIITA. MAANA KIUKWELI MUNGU HUMTUMIA MTU YEYOTE. MIMI SINA UTHUBUTU WA KUKUHUKUMU LAKINI TU NAKUSHAURI USIJIITE WACHA WAKUITE TU.
@onesmomasam1367
3 жыл бұрын
Hakia mungu Sipigi simu utaniambia nilie kwanguv na nipige kelele
Пікірлер: 831