Paschal Mungu akubariki sana, kuna watu wapotezwa sana imani zao wanapoteza mda wao kukusanyika kwenye ibada za kishetani
@noahchepe8036
6 күн бұрын
Always Pascal Cassian uko real sana. Wenye akili tunakuelewa
@neema207
Күн бұрын
Amina mtumishi damu ya yesu ikufunikee ufalme wa Mungu umekaribia maneno ya Mungu yanatimiaa Amina aa Barikiwa sana
@user-cr6fc7nt8k
9 күн бұрын
Mungu akulinde kakaangu maubiri yako yamenifungua sana nilikuwa sijui nabii wa kwel na wa uwongo..Lakin nilivyokufatilia nimeawajuwa wengi sana
@MaggiemugoNjabini
9 күн бұрын
Mungu na akulinde juu hii huduma yako sio rahisi shetani haezi furahizwa na ww..damu ya yesu ikufunike shetani asikufikie in jesus name 🙏
@AlfredyLimu
6 күн бұрын
Jitahidi sana kuandika YESU Kwa herufi kubwa na hata MUNGU usiandike Kwa herufi ndogo,herufi ndogo inamaanisha miungu na sio huyu MUNGU unaemaanisha
@MaggiemugoNjabini
Күн бұрын
@@AlfredyLimu thnks 🙏true 👍
@pendopatrick2120
Күн бұрын
Ww siyo mtumshi WA mungu Kwa Nini unawasema vibaya mungu awezi kuku baliki kabisa
@JasminBabulal
5 күн бұрын
Asante sana mungu kwakuweza kunionyesha njia iliyo ya haki. Hivi kesho ilikuwa nipande gari kwenda kumuona kiboka wa wachawi. Mungu akupe maisha marefu na nguvu uweze kufanya kazi ya mungu. Ameen
@NURU-YA-BWANA-TV
Күн бұрын
Kesho ulikuwa uende aisee ,Mungu kakuhurumia kwakweli.
@user-wm2uj3bm8c
3 күн бұрын
Mungu akubaliki mtumishi wa mungu
@ZamdaAllyHassan
Күн бұрын
Hawa watumishi wa Mungu wakubwa Yesu anawatumia vizuri watu awaliwi tena na wachawi wala kuonewa wachawi sasa we usie amini emdelea kuto amini na ndo wachawi wanachotaka watu wasiamini ili waendelee kuvusha vitu vyao ...poleni sana wafata mkumbo msio jielewa na mmefungwaa masikini😅
@ContentClam-df1vy
5 күн бұрын
Na mshukr mungu japo nmetoka kwenye uislmu lkn sijawah kuwa Amin Hawa wachungaji na muamin hyu mtu mishi tu amekuwa faraja kwangu amenielimisha saana hyu mtumish wa mungu barikiwa saana
@evelynemitima5809
Күн бұрын
Mungu anatujuwa sisi sote kama wana wake, na yeye sikipofu ili awa ace walio wake waangamie, mwanadamu kila mara ukosea, anajaa sifa, ujimimi na zarau ila Mungu yu na ubakie mwaminifu.Mambo ya kanisa tu muacie Mungu .
@UpendoMbonica
6 күн бұрын
Mungu atupe macho ya rohoni
@ZacchaeusIsaya
9 күн бұрын
Pascal cassian nakukubali sana mtumishi wa mungu unacho ongea kuhusu hawa matapeli wa uongo ni true kabisa
@annanjoki6826
5 күн бұрын
Asante mtumishi kwakutufungua macho hizi ni nyakati za mwisho yaliyo tabiriwa yanatimia mbele ya macho yetu tukiona tubuni tubuni ufalme wa Mungu umekaribia hayo ndio yanafaa kua mahubiri ya wakati kama huu yale mengine tutazidishiwa baada ya kuvuna Nafsi yaani uponyaji na baraka zitafuata nyuma
@Jacksonswai685
2 күн бұрын
Yan kikubwa tunaangali miujiza kuliko neno la mungu na pia kuisoma biblia atutak wajanja wala vichwan mwa watu sema baba tupone kwa sababu tunaangamia kwa kukosa maarifa ubarikiwe na mungu cassian
@garamakalama407
9 күн бұрын
Mungu akulinde naakpe ngvu😢 maradu upambane nawapnga crsto
@FRENKMATONANGE-dx6ql
7 күн бұрын
Pascal cassia Mungu akusaidie mtumishi wa Mungu maan unawafumbua macho wengi nikiwemo na mimi ,God bless you 🙏
@ShuhudaSilungwe
9 күн бұрын
Mungu akusaidie mtumishi mtu ambay haelew hawez jua mungu akuzidishie na akupe siku nyingi za mwiz arobaini ipo so iku wataumbuk
@VickyMbona
Күн бұрын
Jaman wapendwa ulisema mungu kwa herufi ndogo ni WA duniani wa Mbinguni Jehovah unatumia herrfi kubwa jaman Mungu
@nadiatanzania
8 күн бұрын
Yan huyu ndio mchungaji naweza mpa mda wangu kusikiza no more 😘
@ivongailo4600
9 күн бұрын
Mungu akulinde na huduma yako
@gib3888
6 күн бұрын
mungu wangu sasa hizi n nguo gani kanisa la mapepo mtumishi wa mungu fungua watu macho may God bless you
@amisamaurid1882
4 күн бұрын
Nipo Tunduma tunakupata vilivyo mtumishi endelea kutufumbua macho mungu atakulipa kwa hili
@JacklineKalinga-y4j
9 күн бұрын
Jaman jaman inahuzunishaa eee mungu wangu ukowap utuokoeee
@JAckayaJoohn
Күн бұрын
Nimekuelewa sana mchungaji umenitoa kwenye giza
@FrenkJoseph-sz3ms
2 күн бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji mana nguvu yamungu ipondani yako naniyakweli nakuombea tuy kwamungu adui yeyote atakae kufatilia apigwe papa achanganyikiwe uzidi kuwa fungus fatu kiufahamu wengi wamefungwa ufahamu usiache kutu fafanunila juu yahawa manabii
@YuenPonsiano
6 күн бұрын
Pascal kusema ukwel ww ndio mchungaji unajaribu kuchunga kondoo wa bwana wasipotee mungu akulinde
@user-ey2xx1lo1c
2 күн бұрын
Eeee Mwenyezi Mungu hiki ni chombo chako umekishusha kusema ukweli. Mtunze na mpiganie.
@EzekielNdabalinze
2 күн бұрын
Hakika huku huku kigoma nilipo nakupata, Mungu atusaidie tupate kuelewa neno lake
@LevinaModesti
Күн бұрын
Nawakubal Kuhani Musa Richald Mwacha na Kiboko ya Wachawi asilimia 100 niwatumishi wa Mungu hubirini kivyenu achen kuwajadil
@gfydfdf8869
8 күн бұрын
Hiyo kiboko wa chawi, hana Rohomtakatifu mtakatifu hana Mungu huyu kaka na bii unafuga ndevu umeweka bli chii,hata nimakanisa yakuzimu huyu kiboko Cha wachawi,washilika nao wametekwa ufahamu hataukiwachunguza wengi hawana hata biblila
@ZamdaAllyHassan
Күн бұрын
KUHANI MUSA BABA LAO ...tunakupemda mpaka raha miyoni ..na watumishi wote wa Mungu pigeni kazi fanyeni kile mlichoitiwa na Mungu
@janethmwihumbo1289
8 күн бұрын
Yaani kiboko ya wachawi mavazi tu Yana ashiria
@victoriamtangi3287
9 күн бұрын
Mtumishi vip yule mtumishi anavaa viatu vya like kwenye ibada 😂😂 buski😂😂
@bulengepetite6062
6 күн бұрын
Mutumishi wa Mungu paza sati baba. Tuzidi kuombea Watoto wa Mungu. ❤
@emmanuelmateru2190
3 күн бұрын
Acha kumtaja Kuhani Mussa kwenye ishu ya huyo mchawi wa Congo. Wewe Cassian ni mpuuzi sana hujui unasimamia nini.
@PFD123
9 күн бұрын
Hii ndio Injli ya kweli kukemea maovu Mungu azidi kukuweka Hai umetufungua wengi macho mimi binafsi Nilikuwa Muumini mzuri wa hao watu sijui kina mwamposa kuhani musa hata uyo kiboko lakini baada ya kukupa sikio langu dah nilijikuta naona kabisa tunadanganywa sana siwezi kukanyaga tena Kwa hao watu ni Bora nimuombe Mungu mimi mwenyewe kupitia biblia
@happnesskitumbo5713
9 күн бұрын
Mshukuru Sana Mungu kaka kwa kutoa huko wanapeleka watu kuzimu pasipo wao kujua.watakuja shituka Yesu amelitwaa kanisa na wao wamebaki pamoja na hao watumishi wao.
Huwezi kumfananisha kuhani Musa Richard Mwacha na hao watumishi fake... Yule ni mtumishi wa Bwana kweli
@SurprisedBoombox-od9dr
5 күн бұрын
Muombe sana yesu Kristo akufunulie ukweli juu ya Kuhani Musa Richard Mwacha vinginevyo mdomo wako utagandishwa na Kristo mwenyewe na hautaweza kuinuka tena.
@ericosambi2736
5 күн бұрын
Sasa hapaa ukweelii ni upii maanaa wakoo watuu Wana saidiaa na wamesaidika kupitiaa hawaa manabii TEENAA Sanaa JEE huyuu anae wasemaa wenginee yukoo sahihi kumbukeni mashitaka aliee shitakiwa nayoo YESUU na aliponya alifufua na aka hukumiwa na akafa JEE ukweli ukoo wapii kumbukeni mpakaa pilato alikimbiaa kumhukumu YESUU AKA waambiaa sioni makosaa ya mtuu huyuu na wanadamu wenyewe waka mhukumu wakasema afunguliwe baraba YESUU ahukumiwe JEE baraba alikuaa mtakatifuu kuliko Yesuu😂😂😊😊
@muhaog
19 сағат бұрын
Mahalifa haya tunatakiwa tuyapate watanzania Mungu akubali mtumishi
@hadijasalim7769
Күн бұрын
Igekua mungu anawazibu ingekua bora zaidi ndomaan mm musimu
@MariaJerome-u7j
6 күн бұрын
Binafci nimebarikiwa sana kwakua umetufumbua macho wengi, stay blessed!
@angelemmanuel7143
Күн бұрын
Mungu akutenzi
@elishampoki8751
9 күн бұрын
Sema mtumishi wa Mungu Lakini Hao manabii wamewekwa na Mungu ili wale wasioamini kweli ya Mungu waende huko ili wakaukumiwe kwa Haki, Maana Mungu alisema Nitawaletea nguvu ya upotofu ili yasioami ni injili wauamini uongo,
@mwakipiano4568
6 күн бұрын
Mpoki nisaidie Hilo andiko nisome mpendwa
@floramaziku6091
2 күн бұрын
Uko sawa mtumishi wa Mungu
@user-ii1qk9xn9z
9 күн бұрын
Watu wamebebewa fahamu kweli kweli!!!😭😭😭 inaumiza kuona wana wa Mungu wanavyofuata upotovu na kuacha kweli ya Kristo. Hakuna miujiza hapo jameni wanapelekwa kuzimu daaah! Yesu wangu usinyamaze wataibiwa wote.
@WilsonEmmanuel-bs6op
9 күн бұрын
Mtumishi nakufatilia sana
@PatriciaFelix-hx9wc
2 күн бұрын
Amina mwenye sikio na asikie tufundishe usichoke na mungu WA mbinguni atakujaza mwenye akili anaelewa
@JacklineKalinga-y4j
9 күн бұрын
Tatizo akil zetu zimetekwa mungu atusaidie Yan hatujielew chochote tukiambiwa ni ameeeeen duh et u star
@Namaize-lc8sh
3 күн бұрын
Hubri neno la mungu watu wakuelewi acha kutumia nguvu nyingi kukosoa wengin.hata sio mkamilifu hukumu si juu yako mwachie mwenye mamlaka
@user-uq3cp6cc3d
Күн бұрын
Watu wangu waangamia kwakukosa maarifa kubali kufundishwa ukae kwenye njia sahihi
@JustinKituyamaana-og3bg
2 күн бұрын
Naomba Mungu akulinde na kila ubaya yoyote maana kiukweli uko mu vita kubwa
@ImeldaMyinga
2 күн бұрын
Jamani mungu atusaidie sana
@LucyKapinga-fg4dk
9 күн бұрын
Mungu Awafungue
@user-kl6zb6so3i
8 күн бұрын
Watu wengi tunapenda miujiza bila macho ya rihoni, Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu sema tupone Ameena.
@saidemuamedeali2678
Күн бұрын
Allah na mshukuru kuwa muislamu
@LusajoKabuka
7 күн бұрын
Kweli hao mashetani nimeelewa tutaangamia kwa kukosa maarifa tatizo watu tunataka mtelemko mungu wa mbingu na nchi awatupilie mbali amina
@rechojohn1909
2 күн бұрын
Hapanilichoelewa mm unaponda wengine iliwajekwako na watoke kwahao waliopo dunia ipo mwisho kilamtu anaimani yake jmn tuwwemakini na hawawachungaji wanaoibuka kilasiku kwa nguvu tofauti
@FestoJemsi-lr8pw
Күн бұрын
Hahaha unakichwa kigumu sana kuelewa MUNGU AKUSAIDIE KICHWA KIWENAMACHO YA ROHONI
@idrisajaphary8275
7 күн бұрын
Mm nakua tofauti na watu huyu nabii ni namba nyingine mtu kukosea yeye sio malaika Ila Caspian ni vizur ukatumia hekima maana nabii ndio anasikilizwa zaidi na Mungu
@EasterGlory
4 күн бұрын
I wish kukuona kwa ukaribu tufanye interview kidogo mtumishi wa Mungu nayakubali mafundisho yako
@KundaelGeorge-tv8mz
8 күн бұрын
Mungu atusaidie sana
@user-ih3zu6zt6m
8 күн бұрын
Jamani huyu ni nabii kwa mujibu wa Biblia lakini , huwenda ni manabii wa Uongo wa siku za mwisho wanatimiza unabii wa kalenda ya Mungu sisi wenye Roho Mtktf ndy tunayoelewa hayo Mungu
@LilyMaganga
5 күн бұрын
Mungu atusaidie na atupe neema kubwa sana ya kuwatambua manabii wa uongo
@Nyukiliabingwa
2 күн бұрын
Usichoke KUKEMEA MAOVU,,SIMAMA IMARA MUNGU AKUKUZE,,
@user-wd1ey8vy5u
9 күн бұрын
Mungu tusaidie
@OmAn-jw4jt
9 күн бұрын
Nikweli kabisa mtumishi hawa watu wamechanganyikiwa sana jamani Mungu awasaidie
@michaelwanyanga
7 күн бұрын
Paschal Cassian, you are real a man of YHWH-God. May the Lord Yahshua protect you against these crazy baldheads tormenting the nowadays church. I give you right hand to stand against these folks.
@Ushindiemmanuelushindi
9 күн бұрын
Cassian MUNGU akubariki sana❤❤❤❤
@magreththadei6880
31 минут бұрын
Angalia ya kwako Cassian, unapoteza CV yako br
@uswegetunsalilemwasonya1824
8 күн бұрын
Mungu akupiganie mtumishi, unatufumbua macho
@barikimaluli6107
6 күн бұрын
Just waoooh nimeipenda sana hii injili jamani jina la bwana libarikiwe sanaa
@PaulinaNyanzalashija
6 күн бұрын
😊Cassian fanya yako achana na kazi au shughuli za. Watumishi,nabii. Kutwa wewe kuwachambua manabii huo ni wivu tu wa kiuchumi tu hakuna binadamu aliyekamilika manabii wanasaidia sana kuliko tukuelewe ,tuvutiike
@boniventurematta1419
6 күн бұрын
Hata waganga wa kienyeji wanasaidia watu kwa hiyo na wenyewe waitwe watumimishi wa Mungu?
@EdmundTemba-pz8ui
5 күн бұрын
Pole mingu akusaidie
@jonsonigwakisa1162
3 күн бұрын
Hata wewe umechukuliwa umekuwa wa kuzimu
@kigongomasalu7402
2 күн бұрын
Unamulikiwa mwanga Bado huoni!!!!? Utatumbukia shimoni
@rosemarykimath9337
Күн бұрын
Huyu ana wivu kwani amekuwa Mungu hadi kuwajudge wengine
@agnessndabhalu
6 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi Cassian
@PascalSabonga
8 күн бұрын
Watu hawa ni watu waliotekwa, wamefungwa kwenye mashimo wala hapana asemaye rudisha
@veronicahkhaikwa4929
6 күн бұрын
Hatari weeee Mungu atusaidie
@Pendopasilika
9 күн бұрын
Mh mh jamani watu wanatekwa vibaya lakini wanaona mambo mabaya kama hayo lakini bado hawafunguki MUNGU wangu ulie mbinguni wasaidie watu wako baba wafunguliwe wamepotea lakini hawaoni kuwa wamepotea simama mwenyewe YESU
@user-tt1nm9xs4n
7 күн бұрын
Huyo kiboko mkorofi mara awafukuze washilika
@Pendopasilika
6 күн бұрын
@@user-tt1nm9xs4nLakini hata mwonekano tu Hana Kama Ni mpakwa mafuta wa BWANA
@NizaLuka-gi8hf
5 күн бұрын
Mungu Turehemu
@OmiMuhija
3 күн бұрын
Hata mm na kuelewa sn kasian mungu akupe maixha maref sn na utufumbue macho weng
@user-lg3lq8kb4k
14 сағат бұрын
Duuuuuh mungu aonenaaya jaman nishachoka nakuaangaria
@estonmnthali3719
9 күн бұрын
Eish nyakati za mwisho kweri
@NancyMatuli-fb5jp
6 күн бұрын
Hilo libaba nilichawi jamani tunaomba mungu aingilie kati kwa majitu kama hawa waliyoamua kumchafua Mungu wetu
Huyu kiboko ya wachawi nilikuwa napenda kumfuatilia lakini sasa hivi naogopa hata kuangalia ibada zake siku moja alikuwa anasema mtu hata akionyesha chupi yake yy ataangalia tu na pia yy hawezi kukemea dhambi.Nimeogopa sana ni Mungu yupi anayemuhubiri!
@MariamBright-v3m
3 күн бұрын
Mungu afungue macho yetu
@hubman6780
3 күн бұрын
Kwa wenye huduma inaelekea kama Kuna wenye maelekezo ya sirikali na walio na maono.Sasa hii maana kunatokea kushangaana na kuraruana mitandaoni
@gmbrown1429
8 күн бұрын
Mungu awe nawe, ukweli nikwamba watu wamefungwa hapo
@HASSANNGITU
3 күн бұрын
Mmm Yesu yu karibu.
@FaustinaMkama
3 күн бұрын
Hapa umekosea. Mwamposa ni mtumishi wa Mungu. Kabisa kabisa
@Namaize-lc8sh
3 күн бұрын
Hata usimjbu kimya nayo ni baraka acha apambane
@WilliamMsungu
Күн бұрын
Umejuaje kama wa ukwel
@NathanLeonard-eq5fc
Күн бұрын
Wewe zombi kweli 😅😅😅😅
@AngelYohana-sl9rb
8 күн бұрын
Kweli baba yetu ume tuvunja mioyo yetu kuhusu chupi jamani baba utaangalia kweli
@victoriamtangi3287
9 күн бұрын
Jamani hiyo ni madhabu gn 😢😢 huyu kufuru anatesa watu huyu kiboko ya wachawi. Angeobwa uhai angeuwa watu 😢Mungu tupe macho ya rohon
@user-tt1nm9xs4n
7 күн бұрын
Anaua wachaw
@gilliansiara3324
5 күн бұрын
Hapo kwa zumaridi mpya
@user-vk5qp5gy2u
7 күн бұрын
Mungu awasaidie. Wana macho lakini hawaoni, Wana masikio lakini hawasikii.
@marryjames-wl7be
Күн бұрын
Kweli kabisaaa
@laurentraphael5470
5 күн бұрын
Yesu yu karibu malangoni. KANISA limevamiwa na mashetani
@farajapetit7153
8 күн бұрын
Mbona wa tz nimatapeli kuliko wa congo 🇨🇩, Kuna wanao amini Mungu wa kweli congo tena bila shaka, lakini nyanya moja ikihoza usichanganye na nzima mtumishi, sio kuchanganya watu ahiza taifa nzima.
Kwanini unamuongelea MTU Kwa kumtaja Kwa. Jina Wewe ukitaka kutoka neno autakiwii kumtaja MTU Jina ikiwa wao awakuingelei ila mti wenye matunda ndio upigwa mawe mwache kiboko ya wachawi awachalaze
@mwana3887
3 күн бұрын
Mtumishi wa matukio juzi alikua anamsema Geordavie sasa hivi pastor dominick WAKATI HAKUNA HATA THELUSI YA ALICHOKIFANYA DHIDI YA HAWA ANAOWASEMA NI WATUMISHI WA SHETANI
@victoriamtangi3287
9 күн бұрын
Mtumishi damu ya YESU ikufunike sijui wanakuelewa??? Au tunafuata miracle tu
@damiansambuo5955
6 күн бұрын
Yesu akutunze
@AnjelaPaulo-my2lm
2 күн бұрын
Usha chemka Bora kwenda.huko kwakina Musa kwakina mwambosa kwakina kiboko yawachawi KULIKO kwenda kwawaganga mm nitawaamini mpaka MWISHO nimepona kwanjia ya tvi
@WilliamMsungu
Күн бұрын
Mmmh kwel
@user-wp1wz9ew8f
Күн бұрын
@@WilliamMsungupolen sana si akili zenu mmetekwa faham
Пікірлер: 292