Wakuhukumu ni Mungu pekee 🙏🙏🏻 na hakuna mkamilifu chin ya jua kuen makin na maneno yenu chungen ndimi zen pia mnaokejel msib😢🙏🏻
@ramadhanjuma610
8 ай бұрын
Hakuna anae kejeli msiba ila tatizo Dini yenu imeka ki mchongo mchoko tuna sema ivi mbona amu mfufui mtt wa Nabii mkuu nyie simna dai mna fufua wafu 😂Acheni uwongo
@mashiassenga8849
8 ай бұрын
The is true 😢😢
@abdallahassan6378
8 ай бұрын
@@ramadhanjuma610 som kwanza Jin langu ndio utajua,afu kingine mwenyez Mungu pekee ndiye wakuhukum hata we hujakamilika unamapungufu yako so usije ukajihesabia haki ata kdg
@maishayetufilm
8 ай бұрын
@@abdallahassan6378brother uko sawa binadamu tunajifanya tunajua kila kitu kumbe ni wadhambi na wazandiki
@abdallahassan6378
8 ай бұрын
@@maishayetufilm KBS tusijihesabie haki ,pia msiba usikiage kwingin lkn kufiwa na baba mama kaka dada MTT ndugu yangu Dah inauma kuliko yaani nashindwa ata nisemej ila mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema 😥🙏
@neemajames5137
8 ай бұрын
Huyo ni Mtumishi wa Mungu hilo ni jaribu usifikiri haumii anaumia saana ila hana jinsi anamjua Mungu wake anaemtumikia. Na anajua lazima ujaribiwe kwa ajili ya Utukufu wa Mungu. Hakuna atakaeishi bila majaribu. Mungu akupe ujasiri Baba kwa haya magumu unayopitia.
@salumjumaruhaga2513
8 ай бұрын
Hana lolote kamtoa kafara,umaarufu huwa unagarama yake ndiio karpa
@user-oy8gr5tz5r
8 ай бұрын
Pole sana mtumishi wa Mungu pamoja na familia yote Kwa msiba Mwenyezi Mungu awape uvumilivu wakati huu mgumu mnaopitia
@dorothmsuya1686
8 ай бұрын
Muwe na akiba ya maneno! Msiba uusikie kwa mwenzako yakikukuta domo utalifunga hilo😢😢
@user-bo5qp9gz8m
8 ай бұрын
Mungu awasamehe tu maana hayaja wafika tusihukumu tusije tukahukumiwa
@user-dm8oh9xe3c
8 ай бұрын
Poleni Sana wazazi, hiki kitu hakizoeleki kbs inaumiza Mungu amsamehe na ampokee ktk Nuru ya uso wake.🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@salimnzomo1704
8 ай бұрын
Hakimu ni mungu pekee, mungu awape nguvu
@ramadhanisalum3898
8 ай бұрын
Hapo ndio utajua kama ulikuwa na ranger v8 utaacha vyote mungu mkubwa RIP broo
@AMINASAIDI-mx7rs
8 ай бұрын
Pole San baba mungu akutie nguvu ndio mipango ya mungu
@neemajames5137
8 ай бұрын
Mungu anawaona mnavyokejeli lakini mjue hii ni dunia leo kwa mwenzio kesho kwako. Lakini mkumbuke kwamba kila jaribu lina mlango wa kutokea Mungu wa mbinguni akutie nguvu baba.
@marcynhumbi3534
8 ай бұрын
Yaaan hata mim nawashangaa Sana wakifa matajiri wametoa kafara,kwahiyo kifo kaumbiwa mtu mwenye kipato Cha chini.Pumzika Kwa amani Nic pole Kwa familia pia
@kengeleloya9598
8 ай бұрын
Everyone will die even the one who comment rubbish here. Very sorry the one concern
@linahmissanga4206
8 ай бұрын
Polen sana wafiwa pole nabii mkuu george davis kasambale.
@yovystevemsowoya1418
8 ай бұрын
Kumuona mpendwa wako ndani ya Jeneza si kaz ndogo😢😢😢😢💔🕯🕊
@josiacharles2778
8 ай бұрын
Naisi kwaili iwe funzo kwauyu mchungaji apate kujua akuna nabii mkuu duniani tofauti Yesu pekee, ndie nabii mkuu ajuaye mwisho wetu.
@omegamathew2399
8 ай бұрын
Pole sana familia Hii Mungu mnayemtumikia akawape faraja
@chalokalunde9429
8 ай бұрын
Askofu Maboya Mungu kukutumia sauti yako inaposikika inafariji sana!
@user-ey9ic9kk8h
8 ай бұрын
pole sana mtumishi wa mungu najua hili ni jaribu ndani ya huduma mungu akupe moyo wa ujasili mtumishi wamungu😊
@josephanthon8037
8 ай бұрын
Poleni sana Mama na baba wa mtoto Mungu awatie nguvu
@dignakanje4508
8 ай бұрын
Mungu anajaribu lake juu yamwanadamu anaemjaribu.Pole Hilo nipigo kwanabiii
@dimmotvonline2384
8 ай бұрын
Poleni kwa msiba mzito kwa wanafamilia wa nisher.msiba unauma sana tena hauzoeleki hata kidogo wee usikie kwa mwenzio tu
@aishaissa2512
8 ай бұрын
Kifo ni mawaidha tosha wanadamu tuamini mungu yupo na anaweza fanya chochote mda wote 😢 mungu akulaze mahali pema 🤲😭😭
@KassimAlly-xp4dz
8 ай бұрын
Mahali pema ndo wapi
@husseingulam8981
8 ай бұрын
Wenzetu mtihani wanauwezo wa kufufua halafu wanaogea na mungu Moja kwa moja wanamuacha kijana anaenda kufukiwa kweli
@ElishaSolomoni-kc4zk
8 ай бұрын
Tatzo kiti moto ya ucku
@ShirimaSigifrid-lk6ko
8 ай бұрын
Halafu tukumbuke chochote anachosema nabii wa kweli wa mungu ni mungu mwenyewe anaongea kuoitia yule nabii ss apa ipo shida kubwa sn
@queenmollel6739
8 ай бұрын
Jamani jamani nakumbuka siku kijana wetu alipoondoka, nikamuuliza mume wangu mbona umesahau muda mfupi akaniambia hajasahau ila hakuna wakumsaidia majukumu na nilazima aendelee kupambana na kumshukuru Mungu amtunzie hawa waliobaki duuu,,,, Najua Joe Davie na yeye anajitia moyo katika Mungu tuuu hawa wanadamu asilimia ndogo ni kijeli ila kubwa wanaojielewa wanajua maumivu ya msiba
@SMEDIA298
8 ай бұрын
Hata AYUBU alipitia haya na alikua mkamilifu kila idala
@user-ob1pk8zi6u
8 ай бұрын
Ni kweli msiba usikie kwa Hirani yako utatafita nguo nzur uvae ngoja ukufikie utataman atau kupiga minggu.awatie.nguvu.wafiwa wote
@PatriciaFelix-gv6ls
8 ай бұрын
Ndio Dada angu mungu atusaidie
@user-ds6me1eh7n
8 ай бұрын
Heeee mungu anashangiliwa kwa shangwe na vigelegele😢 astaghfirullah
@paschaziaignas6984
8 ай бұрын
Ulitaka wa kushukuru ww Mungu hua hakosei
@godsonkyara4896
8 ай бұрын
Nyie acheni mzaha na Mungu, hata kifo nacho kikikuta mpendwa wetu hatuachi kumshukuru Yesu Kristo kwa makofi na vigelegele maana hakuna tumaini jingine zaidi ya upendo wake kwa wanadamu. Biblia inatuambia tumshukuru Bwana kwa kila jambo, pia furahini katika BWANA, sasa nyie mnaotaka tulie kwa kuwa huwa mnalia ni chaguo lenu kulia. Tumejifunza kumsherehekea Mungu kila tuwapo ktk uwepo wake.
@MfangaShedrack
8 ай бұрын
Poleni nyote Wana familia pamoja na Nabii mkuu na kanisa kwa ujumla
@carolicarlos8699
8 ай бұрын
Tuombe Mungu watoto ndio wazike wazazi zao na sio wazazi kuzika mtoto. Ni ligha ngumu sana. R.I.P NICK DAVIE
@tabithakasake8492
8 ай бұрын
Pole Sana wazazi
@leahmtawa7038
8 ай бұрын
Mungu hadhihakiwa jamani kipind hiki nikigumu kwao tuwafariji tu pole sana
@kyuneshila6750
8 ай бұрын
Hayo ni majaribu tu.kwa mtumishi wa Mungu, Hapo Imani yake IPO kwenye kipimo mbele.za Mungu, ninyi wenye kukejeri misiba ya wenzenu kuweni makini
@goodmark1336
8 ай бұрын
Rest in peace nisher mbele yako nyuma yetu kifo ni faida 🙏🙏
@kanaelikanuya7919
8 ай бұрын
Mtumishi Mungu akupe uvumilivi ktk kipindi hiki kigumu sana ktk Maisha yako
@user-ob1pk8zi6u
8 ай бұрын
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema pepon ss tutaongea.mengi ila mungu ndie anajua
@user-mk3iu6ho3j
8 ай бұрын
Tunasikitika kwa msiba huu,,,ila huyo Mzee anayejiita nabii mkuuu abadilishe jina maana Tunaye nabii wakweli namkuu Yesu Kristo.
@user-lt1bi5nr1x
8 ай бұрын
Sasa wewe unatafuta ugomvi na wapendwa
@mcback4384
8 ай бұрын
Yesu Kristo sio nabii ni Mungu
@ImeldaSaire-ye2xq
8 ай бұрын
Hakuna dini ya kweli ndugu usijidanganye, wala Mungu hajui dini ya mtu maana hakuleta dini, dini ni kama vyama vya siasa tu Yeye anaangalia ibada ya mtu ambayo ni matendo mema, hivyo elewa uisilamu hautakupeleka mbinguni bali matendo yako!!!
@user-lt1bi5nr1x
8 ай бұрын
Hujui uisilamu ongelea chama chako km unavokiita Islam dini kamili
@mcback4384
8 ай бұрын
Hakuna matendo yanayompeleka mtu mbinguni, utaenda mbinguni kama tu ulimkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako na uliishi maisha ya toba na utakatifu na ulikufa katika Kristo, unaweza ukawa mtenda mazuri sana na jamii inakutambua lakini Yesu Kristo haishi ndani yako
@magrethmathayo2800
8 ай бұрын
poleni sana sote niwa mwenyezi mungu kwake tutarejea
@MathayoVictor-xb8zx
8 ай бұрын
Pole mtu mwenyenia ya mungu naamini unamoyo mkuu wakukubali kusemwa vibaya na vema kunawatu wanatamani uishie apo.
@marikwilliam9886
8 ай бұрын
Kazi ya Mungu haina makosa Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe🙏 Polee sana wana familia Mwenyez Mungu awatie nguvu katk wakat mgumu mnaopitia
@user-tt1nm9xs4n
8 ай бұрын
Wenyewe macho makavu
@aaminaasljbgbvf745
8 ай бұрын
Pole sana jodev unalia kiume polesan
@ausonjustinian4673
8 ай бұрын
Dah inauma inasikitisha kuona wadogo ndo wanaondoka wakubwa wanabaki. Poleni sana familia kwa hili
@PhilomenaSteven-tq2tx
8 ай бұрын
Mungu awape nguvu kipindi hiki kigumu apumzike kwa Aman 🙏🙏🙏 bwana ametoa na bwana ametwaha jina lake lihimidiwe 🙏🙏🙏
@stamelistameli8461
8 ай бұрын
Pole sana nabii mkuu
@shukranjulius9526
8 ай бұрын
Pole familia kifo hakizoeleki😢😢
@user-zc1xq8xk1i
8 ай бұрын
Mtoto wa nabii ni producer wa mziki wa bongoflever, huku ni kuporomoka KWA maadili ya kiroho ambako adhabu nzito hufuata
@nichoojr.6747
8 ай бұрын
Wengi Hapa walitegemea Muujiza Wa Mtu kufufuliwa na Mwanadamu ...
@Kabwela776
8 ай бұрын
Yaani ujanja ujanja kupitia dini wako manabii wengi siku hizi 😮
@user-eo4hd8xu6d
8 ай бұрын
Dahhh mbn waumin wanalia but MDG wake wakike na kiume Hawalii aiseee AU ndio kanuni wameambiwa wasilie ILI nabii CHEO kisishuke Kwa wananchi.
@John-gv5cw
8 ай бұрын
Pole baba mtumish
@erickchitumbi1308
8 ай бұрын
Ni rahisi sana kucomment unachojisikia lakini uhalisia utabaki kuwa uhalisia tu.tujitahidi kuheshimu nafasi ya Mungu kutokana na matokeo yaliyokuwa nje ya mwanadamu.
@FransiskaJohn-fq1nf
8 ай бұрын
Poleni sana kwa msiba
@user-lj9im1th6p
7 ай бұрын
Mungu awatie nguvu jamani.
@pendo8082
8 ай бұрын
Mkaliwenu na Harmorapa😮😮
@ImeldaSaire-ye2xq
8 ай бұрын
Alafu wanaoongea humu maneno ya kejeli wote ni waislam maana naona majina yao!!! Shida sana. Ee! Bwana uwasamehe kwa maana hawajui walitendalo!!
@user-lt1bi5nr1x
8 ай бұрын
Sasa wewe umechanganikiwa tafuta msaada. Waisilamu wanafufuaga wafu?
@John-gv5cw
8 ай бұрын
Pole baba
@user-wg1nz5ms2n
8 ай бұрын
Mungu wacha tupungue wewe uongezeke mwanadamu ni mavumbi na akifa hurudi mavumbini jana la Bwana lihimidiwe ameni RIP nisher
@judithkirenga9977
8 ай бұрын
Kabla haujaongelea msiba wa mwenzako vibaya,uwe na akika ya kesho yako pia na wapendwa wako,Watanzania tuamke kwenye huu usingizi,hatupendani
@peninashungu6633
8 ай бұрын
Wanao lia Sana watu mbali ata ukute awajawahi kumuona, ila family inalia kizungu
@ifadatalizam8607
8 ай бұрын
😂😂😂😂
@mussakimaro5588
8 ай бұрын
Baada ya kuanza ibada ya KUMFUFUA wanaenda kumzika huyu nabii vip
@@HeriTarim-sm5tm manabii wote Hao walioudhuria wanashindwa KUMFUFUA mbona wanasemaga wanafufua watu
@jameskenzedex
8 ай бұрын
Kama unaamini Kuna uingizaji katika mahubiri basi n hapa Sasa ufufuonwa Joe Darvie mbna usifufue kijana sasa
@SaadaKiyungi-uz6jn
8 ай бұрын
Dalili za qiyama hizi. Watakuja manabii wa uongo ndio hawa sasa.
@abdul-hamidali6534
8 ай бұрын
Siku nzito hii
@hamadsuleiman5177
8 ай бұрын
Kwani wale wanaojiita Manabii wa ufufuo hawapo...Mbona siasa nyingi kwny dini..Any way poleni wafiwa maana msiba ni jambo zito sana sanana hujui maumivu mpaka utapofiwa na ww.
@NsobiLema-wq9vh
8 ай бұрын
Tutakufa na atutaishi akuna mwanadamu mwenye uwezo wa kufufua binadamu kwanza kunakitu kimoja ambacho tuji funze kwani unaugonjwa unaenda hspitali wanakwambia utapona lkn. Nabiii mtoto wake kafia hospitali hiii imekaeje apo kwani alishundwa kumtibia yeye ?
@user-lt1bi5nr1x
8 ай бұрын
Alikua ajashukiwa na roho mtakatifu
@salehegiza3305
8 ай бұрын
Sasa hapo ameenda kuchukua nguvu za freemson hakuna msiba hapo.
@brother_majesty
8 ай бұрын
RIP NIC DAVIE
@ziadasalimu1730
8 ай бұрын
Mdogo wake aliyeshika picha jajipodoa jamani misiba ya siku hizi mmmm!
@HanifaOman-oo4pl
8 ай бұрын
Inalillahi wainailahi rajuun
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
8 ай бұрын
Kweli msiba ya kisasa mbona wadogo zake kama wapo harusini jamani
@user-nn5sq8ol4g
8 ай бұрын
Ndio mambo ya wakristo
@queenmollel6739
8 ай бұрын
@@user-nn5sq8ol4g😂😂😂😂 Tuonyeshe ya kwenu
@annamussa185
8 ай бұрын
Ni harusi ya kaka yao so kifo ni harusi lazima wafurahi huzuni ni kukufulu Mungu
@fatmafatu1128
8 ай бұрын
Mambo ya hovyoo hawana hata huzuni wakiristo bwana
@user-wh5zz5dk2g
8 ай бұрын
@@fatmafatu1128we mpuuzi sa wakristo wanahusikaje
@ShirimaSigifrid-lk6ko
8 ай бұрын
Manabii wa kweli wanafufua watu kama nabii elia
@yvesmasirika3839
8 ай бұрын
Hata Yesu hakuweza fufua wote
@agnessima5032
8 ай бұрын
@@yvesmasirika3839sema hakutaka..kumbuka yeye ayaweza mambo yote.❤
@user-lt1bi5nr1x
8 ай бұрын
Elia anakenuaga meno tu tapeli😊
@mcback4384
8 ай бұрын
@@yvesmasirika3839hakuweza au hakuamua?
@lilahdiyan468
8 ай бұрын
Rest In Peace My Lovely Bro Nic (Nisher) 🕊️🕊️🕊️🕊️ we love en mic u forever ❤❤
@alloycejames5285
8 ай бұрын
Poleni sana
@user-tt1nm9xs4n
8 ай бұрын
Masikini ndio wanalia
@user-bo5qp9gz8m
8 ай бұрын
Watu hawana majonzi ila wanaangalia waombolezaji
@achouraachoura5763
8 ай бұрын
Poleni sana😢
@victoriasamaga8429
8 ай бұрын
Wafiwa poleni sana
@rosehusein
8 ай бұрын
Hana nguvu za mungu eti
@binseif2216
8 ай бұрын
Alhamdulillah kwa neema ya uislamu hatuna haya mambo
@naimamohamed2216
8 ай бұрын
Alhamdulilah alhamdulilah alhamdulilah
@ashminaabdulla8946
8 ай бұрын
Alhamdulillah
@user-dk5kk4rf3v
8 ай бұрын
Kifo ni fumbo zito ..majina ya duniani hayana nafasi ,, mali wala vipaji ,, nachotaka kusema ... vliio kwa msiba ni kuondoa uwezo wa Mungu kwa wanadamu ... binadamu mwisho wake ni kifo ...ni sifa ya Mungu nyakati wa mavuno..yake..
@user-lz3vk5yb4d
8 ай бұрын
Wametekwaa wote kanisani kama zumariid wa mwanza anavowakanyga watu chini ya mikono
@berthafaya1402
8 ай бұрын
Tulisubiri ufufuo amekwamaje uyo nabii mkuu akati anamanabii kibao wakinamalisa mwamposa namatapeli wenzake kibao asa shida nn apo
@user-lt1bi5nr1x
8 ай бұрын
Innalilahi wa innaillahi rajeun.
@danielassenga7167
8 ай бұрын
Hapo ndipo naamini kuwa katitika dini zetu kuna mazingzhoong mnatuaminisha mnawafufua watoto wawenzio wakwako unamfukia sasa mbona hukutuambia kuwa imani yako inakuwa inatenda kazi kwawingine ila kwako haifanyi kazi 😢😢😢😢
@user-lz3vk5yb4d
8 ай бұрын
Baba katoa chake mwenyew nabii wa mungu tena mkuu haya mfufue mwanao sasa mbona anazikwa kwa jeneza kulikoni jamaniii 😂😂😂
@fatumanassor4656
8 ай бұрын
Amufufue yy mungu na ww kuwe naeshim bs anapony watu afufui mtu
@user-pe1qv1sn5p
8 ай бұрын
kulnafsi zallikatulmauti Allah akuhidi
@YalkinAlkindy-nt2hf
8 ай бұрын
Sasa huyu nabii si anaweza kufufua mbn hamfufui uyo mwanae aisee bongo😂😂😂
@queenmollel6739
8 ай бұрын
Tuonyeshe huyo aliyewahi mfufua
@nancyg8664
8 ай бұрын
🤣
@emmanuelthomas1078
8 ай бұрын
Itoshe ku😁😁😁tuu
@alexsuleiman3795
8 ай бұрын
Azikutoxhi mbwa ww
@saimongilala8938
8 ай бұрын
Punguza ujinga
@NIKUMBUKELEO
8 ай бұрын
Baba na waumini na familia jueni kuwa mko duniani penge wanyama wakila aina spirit za kila aina huyu Baba Yuko kwajili ya watu wote familia ni ndugu pigo Lazma likupate Mzee wako au mama atafunga mlango wake anapokutana na jambazi atasepa kivyake nawe haupo na kumu yako syo ya Baba au mama, Mfalme Joe amekua akionya mengi bila kubagua mtoto au mumini kwahiyo wacheni huwa wa zazi Baba Joe na Mama Anie wamtukuze Mungu.mtoto Akisha kua nikumshauri tu kwahiyo Mimi na wewe VIP na kina monie na Kaka... VIP pata mema popote ulipo jeuka sikia ya Baba na Mama ulipo hakuna mkubwa kwa wazazi au Yesu, ni funzo syo kitu yakukenulia Meno na domo mamba. Mama na Baba muwe na afya Tele na ulinzi wa malaika bila kusita mbeleee! Mfalme koresh!
@user-to8up6cz8r
8 ай бұрын
Wewe nabi umufufue huyo😮😢😢
@marthalangia
8 ай бұрын
Sasa huyu mtumishi anahojiwa anaongea nakucheka anacheka utadhani cameraman kamwambia aseme ndizii cjapenda Hilo niswala na huzuni basi onyesha huzuni hatakama nisalama rohon ktk Hilo sisi tusio wa rohon hatutakuelewa, polen wafiwa wote Mungu awape faraja
@nailaomar4810
8 ай бұрын
Hata mm kanishangaza anacheka kama yuko kwenye furaha subhanaallah
@claudiajames2003
8 ай бұрын
Nimewaza hivyo hivyo Kwa mshangao
@marykarebeti9410
8 ай бұрын
Huwezi kumfariji mtu huku unalia ndugu yangu
@marthalangia
8 ай бұрын
Unataka kujua nimemaanisha nn, Sasa siku nenda msiba wa ndugu au jamaa Yako sio mtani alafu ukifika Anza kuwafariji mf.😂😂polen jaman😂😂polen Sana 😂😂Mungu awatie nguvu kama hawajakutoa akili
@user-pe1qv1sn5p
8 ай бұрын
kwahio sasa huyu nabii anafananishwa na manabii walio pita Astaghafirullah
@dorcaskidoti249
8 ай бұрын
Zamani nilikuwa nikiona msiba nalia sana, kuna siku nimeona live mbibi kafariki hata sikuhisi chozi, Naona amelala tu, Eee Mungu nisamehe kama nawaza vibaya, Hata video zakuoneaha sana marehemu online zinanifanya niwe sugu
@obadiajuma436
8 ай бұрын
Pole MTU wa MUNGU
@sophiakimaro5174
8 ай бұрын
Yote tutaongea lakini pale unapomwona mpendwa wako akibebwa kwa Jeneza ni shughuli ngumu saana jamani.Mungu awape matumaini.
@peninashungu6633
8 ай бұрын
Ila watu Wana mtii Sana kama mtu wa serikaln
@user-lt1bi5nr1x
8 ай бұрын
Si tajiri anahela
@tatumatango2207
8 ай бұрын
Hamorapa na mkali wenu 😢😢😢😢
@nancyg8664
8 ай бұрын
🤣🤣mnisamehe kwa kucheka
@pendo8082
8 ай бұрын
Yaaan
@rerisamba
8 ай бұрын
Waa poleni jamani
@doricedeluxe9486
8 ай бұрын
Aliugua au?
@jafetichusi284
8 ай бұрын
Mungu wasamehee maana hawajui walitendalo hao wanaozungumuza vitu vya kipumbavu
@jeryjery8566
8 ай бұрын
Wamemtoa sadaka uyo
@user-kt6ct4nh8i
8 ай бұрын
Poleni sana 😭 😭😭
@WansolaLuther-tq8qm
8 ай бұрын
Wewe ni mnafiki sana
@tunauzapweza3501
8 ай бұрын
Misiba ya sasa hivi JAU yani mtu unaenda kupaka MAKE UP siku ya msiba
@SophlaJackson-nt1nc
8 ай бұрын
Umeona mkuu😮
@Monica-vq2iy
8 ай бұрын
Kuweni makini na midome yenu ata yesu aliziakiwa ivyo ivyo Kwa iyo Siwa shangazi huo wano hukumu emungu wape familia moyo wa ujasir
Пікірлер: 312