Binti Bwana Akufunulie Zaidi lipendezalo be blessed Bigup MUNGU Akupe hekima ufahamu wake Have The Best fureture On Jesus Name Glory be to God
@laurentjoseph5646
Жыл бұрын
Amen, sipotezi tumaini langu na naitunza Imani yangu najua nafasi yangu ipo Kwa jina la yesu
@marianajoseph1892
Жыл бұрын
Monica kazi nzuri sana,nimekuelewa, kutunza Imani na tumaini wakati wowote.🙏🏻🙏🏻💕💕
@DottoKitambi
Жыл бұрын
Nimeguswa sana na neno Yani kanigusa sana na kanifariji ameen
@GabrielChumbi
2 ай бұрын
Powerful you're a great preacher,, teacher and servent of God,,may God bless you Monica,,, wonderful message what you have preached is reality in life
@salmampinga4995
Жыл бұрын
"Kujishusha na kukubali kujifunza Ili uweze kuvuka"Powerful Asante sana Monica
@celecridamatilya7625
Жыл бұрын
Safi sana , ❤ Ubarikiwe na Mungu wa mbinguni azidi kukuinua zaidi uweze kuifanya kazi yake kwa ukubwa❤
@monicahmueni627
Жыл бұрын
Blessed so much, hapo kwa kulalamika umenisaidia Sana
@davidngonyani5599
Жыл бұрын
@davidngonyani5599
Жыл бұрын
@@monicahmueni62788888i8888ï 11:41
@stevenakyoo7020
Жыл бұрын
Neno lako limebariki kila mmoja Mungu aendelee kukuweka na uzima dada una nizamu sana utafikiri ijakulia kwenye mapesa mengi ivyo kwa baba nabii. Una nidhamu sana.🙏🙏
@annamboya2822
Жыл бұрын
Hongera Monica nimekuelewa somo zuri sn, nimejifunza jambo kutoka kwako. Mungu akubariki dear.
@richardmartin6429
Жыл бұрын
Dada Monica Mungu akubariki, Mungu amekupa Karama nzuri endelea kuitumia kwa Utukufu wake.
@monicandengo4680
10 ай бұрын
Asantee Sana Mtumishi songs mbele Ameeeeen
@lilianmungure8374
Жыл бұрын
Ooooh Hallelujah, thak you JESUS for this girl,Mungu akukuze kiroho zaidi,ufundishe mataifa yote kwa jina la YESU,AMEN
@mussatete2618
Жыл бұрын
Somo lako zuri, nimelielewa limenikaa moyoni, I SALUTE U❤❤❤
@JEREMAYPaluku
Жыл бұрын
Asante sana kwaujumbe huu lakini nakusisanakama mutoto wa mungu unkebadili muonekanowakowaje iliuwevizurikwamungu wako sababu petro 3:3inasemahivi kujipambakwenukusiwekwakusukanyele navienginevio nivionakokwako dadangu sikusemevibaya❤
@lisajoerpodcast
Жыл бұрын
You did amazing Monica. Extremely blessed by your message. ♥️🔥🔥
@jasminimalaso9417
Жыл бұрын
Ila nyie mungu ana waona mungu so wamchezooo ayyyyaaaaàà
@marcellyimo9292
Жыл бұрын
Amen na hongera upo vizuri nimekuelewa
@victoriamkilya928
Жыл бұрын
Amina, binafsi nimekuelewa sana! Barikiwa sana! ❤
@gudilahshirima5070
Жыл бұрын
Mungu akubariki dada Monica....somo lako halichoshi kujifunza.....sitaman umalize
@AlistidiusKagyabukama
3 ай бұрын
Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu mimi unanibarki sana
@aishakilimba5938
Жыл бұрын
Petro 1 3:3 kujipamba kwenu ,imeelezewa Mungu apendi tupoteze asili yetu na mapambo hayatatuingiza mbinguni pamoja na mavazi yasiyompendeza Mungu mbingu ipo kuzimu ipo mtu unabadili kucha, nywele, ngozi , jamani Mungu hazihakiwi tufuare Yesu ametuagiza Nini?
@lucykapinga369
Жыл бұрын
ona makuchaa'nywele hivyoo vyamapamb9 awazungumzii na mavazii wakati lipo kwenye biblia Wajanjaa wanarenga kwenye kipatoo Dah
@AbbahCostaabbahCostaabbah
10 ай бұрын
Uhakik
@nabiialuta8234
Жыл бұрын
God. Bless you Monika for transfer our heart s pia msalimu baba yetu nabii mkuu tunamuombea kwa machozi kwa hekima aliyo nayo ambayo watesi wake hawawezi kushindana nayo amen Dada Monika bwana yesu akulinde ww na familiya ya ngurumo ya upako
@yousramutwale2463
Жыл бұрын
Uyu baba niwakipekee sana love u nabii mkuuu
@tumainiisrael9378
10 ай бұрын
Good teacher
@DeussMtogela
10 ай бұрын
Kajitahidi sana kufafanua ila mavazi hanaendani na mazingira aliyopo binti geor dav jiaribu kuheshimu madhabao mama nakupenda❤
@elizabethkambi5221
10 ай бұрын
Ni kweli tupo wenye shida lakini wapo wanaosema watatumia vipi pesa zao . Ameeen ubarikiwe tuombeane Barikiwa sana
@davidmike6054
Жыл бұрын
Daddy natamani nikuone tu sir amini Mungu atafunguwa njia baba yangu
@williammduma4180
Жыл бұрын
Thanks for the good message
@elisantennko1585
Жыл бұрын
Nabii ubarikiwe kwakuwalea watoto ktk kulihishi neno hii nimeipenda ni zuri sana wengi wataongea wawezavyo ila hauwezi kuubadilisha wakati no ningumu tu🙏
@sellinaayoma108
Жыл бұрын
Thank you for a wonderful message. Watching from Nairobi, Kenya
@philipomwakasala8937
Жыл бұрын
Fhee
@philipomwakasala8937
Жыл бұрын
Hapo sasal
@josephitangishaka960
11 ай бұрын
God bless you Mona Davie I appreciate your message
@mariamthomas5554
6 ай бұрын
Mungu akulinde sana una kipaji na kalama za mungu mungu anaangalia matendo haangali nguo acheni kumnuku vipaya mtoto wa wawatu Amina pambana mungu yuko na wewe
@gracemgumba
10 ай бұрын
Barikiwa sana Monica Umeifanya vizuri snaa🌹
@mwash7777
11 ай бұрын
Mwanadada ni mwalimu wa neno mzuri sana. Nimefurahia sana sana ..from +254.
@elizabethnamwinga3210
Жыл бұрын
Be blessed Father.songa mbele usimwangalie mwanadamu,nikigeugeu mwangalie mungu pekee
@JoyceSwai-b9x
10 ай бұрын
Ameen!Nimependa sana mafundisho yako binti
@zomasamweli
Жыл бұрын
Mungu akubarik
@dorahisinika7576
Жыл бұрын
Blessed family..loving and humble child.
@kevinseleman8921
Жыл бұрын
nakupenda baba unavyo saidia watu akika wewe niwapekee mungu akubariki naomba nafasi yakuja naimani ntabarikiwa
@Debbiegrac3
Жыл бұрын
Amen Amen Monica Davie 2023.powerful.
@rahabasaid
Жыл бұрын
Amen
@jasminimalaso9417
Жыл бұрын
Akuna k2 sipendi unafiki ila nyie mnao sapoti ujinga mungu ana waona wajingaa nyiiiee3e
@gracemwangi4880
Жыл бұрын
Nayaweza Mambo yote katika yeye anitiae nguvu.usipoteze Imani yako...itunze tumaini lako. GOD BLESS YOU ABUNDANTLY 🙏 MISS MONICA DAVIE.❤ Powerful Message. AHSANTE SANA
@DeusOgenda
Жыл бұрын
Iko vizuri mis you
@DeusOgenda
Жыл бұрын
Iyo umeka poa
@nawechi4818
Жыл бұрын
Amen Amen Amen dada nimekuelewa sana somo zuri sana
@anastaziajohn7792
Жыл бұрын
Amina mungu akubariki mtumishi
@annatarimo686
Жыл бұрын
Kwa kwel Baba Umewalea watoto wako vyema .nashukuru kwa SoMo zur Sana.🙏🙏🙏
@HadijaZabroni-pu1lt
Жыл бұрын
Asante monica ❤❤❤❤
@DaudiLaiza
11 ай бұрын
❤❤❤ mtumishi wa mungu tunashuru Sana mkuu wetu amina
@saturinimushi4746
Жыл бұрын
Song. Iende Mbele Injili hiyo...... Iyende Mbele... Ndiyo Mana tunawambia Iende Mbele....(x4 ) Yaokoa Injili hiyo.... Yaokooa....
@jacobletema3681
Жыл бұрын
Binti, mafundisho yako mazuri na mazito sana, nakushauri usichekecheke, unapunguza uzito wa mafundisho, somo zuri sana!
@anastaziaayubu3642
Жыл бұрын
Akicheka ndo inaongeza bidii ya kutuelezea vizuri wengine tunapenda akicheka
@tumainiisrael9378
10 ай бұрын
Huo ndo ualimu, kucheka muhimu
@stelayunami7779
Жыл бұрын
Amejitahidi sana kufafanua! Kwa kweli maji hufuata mkondo kuhusu mwonekano! Kuna watu wanavaa mavazi ya kujisitiri ila matendo yao ni machafu kupitiliza siwezi kumwukumu! Tumwachie Mungu aonae ya sirini ahukumu mwenyewe!!!
@agneskapwani3484
Жыл бұрын
Umesema vema
@petermwenda6470
Жыл бұрын
Mungu akikuonyehsa tatizo ataka wewe iwe sehemu ya mabadiliko, kumwachia Mungu ni kiburi
Huwezi kuchunguza nguvu ya neno tuu bila kuchunguza appearance ya mhubiri,, huyu hana tofaudi na muonekano wa watu wanaodanga kama makahaba walivo, huwezi sema fuateni maneno msiangalie mavazi ,,iyo ni kuhubiliwa na wapuuzi wanaokalili neno ila mioyo yao ni vipofu.
@catherinendwiga6207
Жыл бұрын
Asante. Monica. Kw ujumbe mwema. Umenitia Imani na mungu. Ukazidi. Kutuombea. Ameni
@mediavumbi9243
Жыл бұрын
Monica ,ndakuombeya kwa Mungu akuze hico kipawa cha uinjiliste, ubarikiwe sana
@festodaniel2252
Жыл бұрын
Thank you so much for a nice word.I have lern something so precious ofcorse you touched my situation. Be blessed servant of God.
@alexchaula4088
10 ай бұрын
Nakubali maneno
@anascholasticandagiwe6977
Жыл бұрын
Mungu pekee akakuinue monica ukafanye zaidi binti yangu
@mbezionlinetv3399
Жыл бұрын
Amina Somo zuri sana lenye kutia moyo hakika mtu hutakiwi kukata tamaa cha msingi ni kupambania ndoto zako huku ukimtanguliza Mungu yeye muweza wa mazito na mepesi ipo siku atatenda kwa njia usiyoitaraji zidi kubarikiwa
@kileopajoseph2158
Жыл бұрын
Angalia nafsi yako wewe usiangalie ya mwenzako! Huyu amejitahidi sana kwa mara ya kwanza tu ameweza hivi! Huyu ni kipaji mavazi nywele wala havina shida kabisa sikuliza ujumbe tu.
@damarisnjerunjeru399
Жыл бұрын
Amazing family
@monicandengo4680
10 ай бұрын
Monica wajina wangu nakupenda mno Mungu anakutumia Sana wewe unakitu kukubwa Sana umepewa kusema namataifa
@annonciataumingabire1460
Жыл бұрын
Ubarikiwe dada monica ❤
@barnaba3037
Жыл бұрын
Mungu tusaidie
@juliusmollel9570
Жыл бұрын
Binafsi nmetambua uwepo wako maneno yako all in all I thanks to God
@MargarethKisse
9 ай бұрын
Monica uko vizuri be blessed
@elizabethkambi5221
10 ай бұрын
Natunza Imani yangu na muujiza wangu upo
@jmntwari4714
Жыл бұрын
Shalom nipe number ya nabii mkuu
@sylvestrengwelu2012
Жыл бұрын
Mungu AKULINDE Monica songa mbele piga hatua.Umefundisha vizuri. Mifano mizuri sana.KUJISHUSHA, KUKUBARI KUJIFUNZA.HONGERA KWA WAZAZI.
@bonabonala5559
Жыл бұрын
haya ndio mambo mungu arikutuma kuriko kuitetea viongozi wa ccm wakanye kwa kuuza bandari utakua nabii wa kweli goerdevie
@unclegmihale455
Жыл бұрын
Safi sna ❤
@HagaiKisaka-et1uk
Жыл бұрын
I do appreciate you Frankly speaking, you inspired me
@stellatemu2458
10 ай бұрын
Amina binti wa Yesu Ubarikiwe
@nikodemmwahangila3334
Жыл бұрын
Mungu alinde uzao awainue awalinde ni fraha sana sisi watumishi kuona mtoto wako anasimama madhabahuni analisema neno la Mungu ni fraha sana Mungu awainue hawa watoto wa huyu baba awainue sana awatukuze sana nawaombea
@davidwambura5915
Жыл бұрын
Hii comment ni yako au naona vibaya
@emanuelkidali9733
Жыл бұрын
Utanitambuaje kama mie nimeokoka? Nope majibu waumini wa kweli
@JenifaJohn-d7t
Жыл бұрын
Shallom shallom niko marekani lakini ni Mtanzania Naomba number ya Nabii ninashida naye ombi
@saramartine7330
Жыл бұрын
Siskiii Bwana Yesu asifiwe,
@mwanduelizabeth2282
Жыл бұрын
😃😃😃
@emanuelayubu5021
Жыл бұрын
usikariri, hapo ni kusikiliza mafundisho kwanza.
@enelissadickson7618
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtoto❤
@BeatriceFlorina
Жыл бұрын
munguakujaliyeujasirinamoyomuzurikamawababa
@ngayaimkwe5175
Жыл бұрын
Umeva vibaya sana kwenda za kwendeya disco
@ej4409
Жыл бұрын
Mungu, akutie nguvu usonge mbele zaidi, coz watoto wengi wa wachungaji huwa hawajaokoka na hawapendi kabisa neno. Kwahiyo kitendo cha huyu binti kupata ujasili wa kufafanua na kufundisha vizuri ni neema ya Mungu. Hata kama atakuwa na mapungufu machache ,lakini hakuna aliye mkamilifu, huu ni mwanzo, tuendelee kuwaombea ili Mungu awatienguvu ,wasonge mbele.
@imanikambindu6830
Жыл бұрын
Acheni umbea na kukariri mambo, kakwambia nani kwamba watoto wa wachungaji huwa wanakuwa hawajaokoka , we ndio unatazama mioyo ya watu, na mbona huelezi watoto wa waalimu , wakulima, na wengine , hao Je huwa wanakuwa wameokoka ? Don't generalise mambo
@ej4409
Жыл бұрын
Achakukurupuka kuongea bila kuelewa nilichomaanisha.Kwani mi mi nimewataja wakulima na walimu hapa? Unatakiwa utoe comenti zako kulingana na ulivyomuelewa aliyehubiri, siyo kudakia tu mzee! Au usije ukafikiri kila mmoja anapenda malumbano yasiyo na maana, Alwayz tafakari kabla ya kutoa maneno, kuwa makini sana
@wemakingdaily1462
Жыл бұрын
Ni kweli watoto wengi wa wachungaji wanakuaga hawajaokoka na watukutu balaa sijui shetani ndo anakuwaga kazini, mf Linah Sanga baba yake mchungaji lakini mwangalie
@afandebrighttz2887
Жыл бұрын
Amen Amen Tunatakiwa kuitunza Imani Monica umeongea point sana
@georgemuro245
7 күн бұрын
Great
@CatherineSummary
6 ай бұрын
❤❤sana
@upendoibrahim5030
Жыл бұрын
Eeee Mungu ahsante kwa neno lako takatifu, kupitia Mtumishi wako Monica,amegusa nafsi yangu mpaka mwili umesisimka, Mungu akutunze mwanangu,Pia wabariki wazazi wake kwa malezi mazuri ya kumjua Mungu, AMEN
@mugishomwenda4265
Жыл бұрын
Kweli ni NENO la kusisimua mweli WALA sio kuponya roho
@helenbahati8038
Жыл бұрын
@@mugishomwenda4265 hapo sasa watu tunapenda neno la kusisimua mbali sio neno la kuponya Roho 😭😭
@mobilebeats3086
Жыл бұрын
Mungu atusaidie sana
@Maryam-kl6gj
Жыл бұрын
Dah umenifariji sana moyowangu kutokana namapito yngu😢. MUNGU AKULINDE
@santinosabugo2114
Жыл бұрын
Mrs nabii nimeelewa mahubili yako zidi kumpendeza mungu
@constanciapeter2497
Жыл бұрын
U made it lady..keep it up 🥳
@herinestor3080
Жыл бұрын
U are smart my sister 😊
@lilianmungure8374
Жыл бұрын
Good girl, be blessed in JESUS name MONICA
@upendowaziri1382
Жыл бұрын
Barikiwa sana , nakupenda
@imansmwatete4953
3 ай бұрын
Good job Monica.
@rehemamgeni203
Жыл бұрын
Amin monica nimekuelewa from dubsi
@mercykitundu3680
Жыл бұрын
Ameeeeeeen kubwa,somo zuri
@roberttryphone2400
Жыл бұрын
ujumbe mzuri sana hongela
@DAMIANPNIIMA
Жыл бұрын
Monica love you so much god bless you
@hidayaswai3119
Жыл бұрын
Barikiwa kwa kuwa biological daughter of prophet. It's blessings
@zomasamweli
Жыл бұрын
Asante🙏 Monica maneno yako nimafunzo kwa watu
@gosbertmuta5421
Жыл бұрын
Dah inauma sana baba na mwana wote vipofu......
@namicktz_official
Жыл бұрын
She talked to me direct this lady,abarikiwe.
@ShedrackJoseph-j4b
Жыл бұрын
Barikiwa Kwa ulichopanda Rohoni,
@PAULMAKONDA-TV
10 ай бұрын
R.i.p nisher 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@estermatara2220
7 ай бұрын
MUNGU 🎉🎉
@onolatharobert
10 ай бұрын
Amina
@venancjoseph4795
Жыл бұрын
Mbona hivo😀😀
@happinesshaonga8488
Жыл бұрын
Mwanadamu siyo mkuu bali Mungu pekee.
@mulumederwasifa4801
Жыл бұрын
Uyu siyo mukuu nimututu kamamimi
@emanuelayubu5021
Жыл бұрын
tafuta khela acha makasiriko yasiyo na tija. hata wewe unaweza kuwa mkuu
@shukulutumaini
Жыл бұрын
@@mulumederwasifa4801 mim ni mkiristo ila saiv ukirsito umefka pabaya yaaan mtoto wa mtumish wa MUNGU anavaa mavaz yaajabu
Пікірлер: 422