PAZA SAUTI HATA ROHO MOJA IKISIKIA NA KUOKOKA MUNGU ATAJITWALIA UTUKUFU NA MALAIKA MBINGUNI WATASHANGILIA, BARIKIWA SANA WATUMISHI WA BWANA PASCAL CASSIAN
@daudikaringa
Ай бұрын
Hata mimi najua Yesu Akimwita Mtu Kwa Kazi Ya Kulisha Kondoo Anamwachisha kazi zake zote
@MadollartzMadollar
Ай бұрын
Amen MUNGU akuongezee maisha mema
@martinahlighare6495
Ай бұрын
Thank you Lord for giving us your son and leaving ur holy spirit for the work on Earth is done. Jesus is the redeemer, name above all names, He's lamb of God messiah and the holy one. Wasio wana wa Mungu wanajidhihirisha. Maji na mafuta. Kwani tuliopo hapa kukusikiza sio wafuasi wako? Tena tupo wengi mno. Wapotoshe na waangukie kwa ukurasa wako, watakiona kilichomnyima kuku meno, ameza punje bila kutafuna.
@user-dp1bt9hj5n
Ай бұрын
Deep sana,ubarikiwe na Mungu wa Mbinguni♥️
@florencemushi6561
Ай бұрын
Safi sana. Good argument pastor ipm
@amanmalima940
Ай бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@KokoloLambinguni
Ай бұрын
shetan anawaingia watumishi ili wachafuane ili watu wasimuendee Bwana YESU
@jovettedenise2591
Ай бұрын
Mungu akulinde na akupe uwezo na uvumilivu manaa maaduwi niwengi.
@zaramuneer3257
Ай бұрын
Hallelujah watu wa Mungu ❤
@DaimonMwapelele
Ай бұрын
Safi Sana pepeto linazid kupepeta uchungaji na siasa unachanganya Maj na mafuta
@sekesekestudiokjay1025
Ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@jumarata6459
Ай бұрын
Paschal yuko sahihi kabisa, wachungaji wakae mbali kabisa na siasa,KAZI waliyonayo ni kubwa kuliko hiyo siasa wanayoishabikia!
@newlightmoviesproduction3598
Ай бұрын
Mungu akubariki
@EllyjTengeneza
Ай бұрын
Kuna wakati wa ibada na kuna wakati wa kufanya kazi kama vile siasa na Mungu hakusema atambariki mtu akiwa mchungaji tu bila kazi yoyote nje ya uchungaji na maandiko yanasema asiyefanya kazi na asile na ukiona mtu ni mchungaji tu ujue anategemea sadaka
SIASA INATAKIWA KUWAHAMASISHWA HATA KANISANI ILI KUSUDI WAPATIKANE VIONGOZI WENYE MUNGU WA KWELI, TANZANIA INAPASWA KUCHUKUA HATUA KUINGIA NDANI YA SIASA.
@daudimlamka1239
Ай бұрын
Kasian mtumishi Hata hao unaowaponda walianza kwa shida kama wewe,vilevile na wewe hukuanza kwa kuchangisha kama hivi ,ila kadri huduma inavyokuwa ndivyo ambavyo utahitaji michango zaidi na ndivyo huduma za wengine unaowaponda walivyo anza, HEKIMA ITUMIKE ZAIDI MTUMISHI
@RahelSololo
Ай бұрын
Ubariwe mtumishi
@user-jl5un4wf3u
Ай бұрын
Huyo IPM mlipukaji hajuagi lolote yeye hata unabii hajuikuwa lazima utimie ufalmewa giza na waMungu ninani zaidi....maandikoyakowazi. hasa kitabu chaufunuo watu waMungu hawanawasiwawasi. hivyo hao jamaa wanamhubiri mpingakiristo namamboyakeyote.
@rabeccakwekwemungumi6441
Ай бұрын
Hakuna kitu Kam hicho utakuaje mchungaji n uwe mwana siasa hebu Ambien watu ukweli achen kupotosha watu utafuten kwanz ufalme wa mungu n mengin yote mtazidishiwa mbn utumikie dunia n huku unasem um hristu?
@florencemushi6561
Ай бұрын
Cassian acha kurarua wenzio hadharini. Waendee muongee faraghani. Muombe Mungu akuhekimisha. Soma 1wakorintho 8:2 mahubiri Kristo sio jukwaa la kusema watumishi wengine
@AgnesLayzer
Ай бұрын
Hapa paulo aliwandikia wakorintho kuhusu habari ya matoleo ya sadaka waachane na njia ile ya kutolea sanamu sadaka na kafara kuwa wanachokiamini ni ujuzi iyo ni upumbavu
@alexkakwaya4383
Ай бұрын
Usije kushangaa mtu km Paschal Cassian ni mmojawapo wa miongoni ya wale wanaotoka upande wa pili. Yesu alisisitiza zaidi umoja kuliko utengano, kwa sababu Yesu alishauri hata magugu yaachwe yakue pamoja na ngano. Siku ya mwisho itaeleweka ni nani ngano na ni nani ni gugu. Siamini ktk mtu anayewafarakanisha watu.
@vivianokalinda8697
Ай бұрын
Ila nikweli hivi vita ya ndoa ya jinsia Moja kama siku ukipelekwa mswaada bungeni au tukaletewa mashalti na mataifa ya nje kua kama hamtaki ndoa za jinsia Moja hatuwapi misaada, je kama hakuna watumishi wenye hofu ya MUNGU bungeni je Kuna wakupinga, Na mjue kabisa kuwa mtu wa MUNGU sio mchezo lazima ukubali kufa kwaajili ya MUNGU. Sasa wangap tupo pamoja na mm tufe kwaajili ya MUNGU? Hapo ndipo tunapata majibu kua hata mchungaji, padri na mashehe wanapaswa kua wachungaji na sio dhambi maana kama nidhambi kwann turuhusu dhambi ituongoze alafu tupo kimya tuna keshatu makanisani kuomba, mambo mengine sio ya kuambiwa ni kuelewatu
@generosennko8343
Ай бұрын
Heee. Asante sana kwa somo hili. Huwa unanichanganya sometimes. But this topic i agree. The spirit inside of me agrees. Ni ngumu kuwa mwanasiass na ukamtumikia mungu kikamilifu ktk huduma yako. Lazima uta compromise. Ni ngumu kutumikia mabwana wawili. Labda mtu ajishushe na awe la lay minister. Mtu naachie ngazi yake kuu kwa mtu mwengine kwa ngazi za kanisa lao. Politics zikiisha basi warudi kwenye huduma kwa kuwa walikuwa na wito wa mungu. But indeed its a waste of time. Huwa inaumiza sana kumwona mchungaji uliyemshiba anaacha unabii na kuingia kwenye kazi za kilimwengu.
@Mrchedda-p2l
Ай бұрын
Kweli nimeamin unaweza kusoma biblia lakn usielewe Gwajima songesha neno baba na siasa piga kam kawaida IPM piga kazi baba achan na awa watu wajuaji neno 😅
@agnesspaul1866
Ай бұрын
❤❤❤cassiana jembe la Mungu
@Pendopasilika
Ай бұрын
Ee MUNGU tukumbuke watanzania tunapokea mafundisho yasiyo ya kweli kwa anili ya kupoteza
@KokoloLambinguni
Ай бұрын
Toa andiko linalosema siasa ni zambi ivi Watanzania jamani ivi tumuamini nani mbona ufalme wa Mbinguni unapingana sasa
@Apostle_Dr_Jerry_Emmanuel
Ай бұрын
Sawa wewe cassian unataka waislamu watawale??!?? Hapo cassian huna shule juu ya hilo mbona gwajima alipinga chanjo?????? Cassian hapo na kupinga aiseeeeeeee
@santuwillah7297
Ай бұрын
Yaan cassian kuna mambo anapinga ila siyo kweli
@user-jr5fv1yd1o
Ай бұрын
𝑨𝒏𝒅𝒊𝒌𝒂 𝑷𝑨𝑺𝑪𝑯𝑨𝑳 𝒌𝒂𝒔𝒔𝒊𝒂𝒏 𝑨𝑳𝑨𝑴𝑨 𝒀𝑨 𝑴𝑵𝒀𝑨𝑴𝑨
@besttrendingcovers1838
Ай бұрын
Dini ni biashara yenye faida sana. watu amkeni achaneni na izo takataka.
@josephntandu
Ай бұрын
Nimekuwa nikifuatilia jumbe zako nakuzikubali sana Mwinjilisti Pascal! Ila kwa mara ya kwanza sitakubaliana na kile ulichosema kwa habari ya Dr.Gwajima! mtumishi napata mashaka kama kweli ulikaa faragha kumuuliza Mungu kuhusu Gwajima,Nina shawishika kuwa kuna information nyingi huzijui kuhusu mpango wa Mungu na Gwajima!hujui kwanini ameenda bungeni!kufanya nini!Mungu ana mawazo gani!Mtumishi wa Mungu kweli una ujasiri ila kwa hii clip kuhusu Gwajima! big No!Clip zingine uko sawa ila hii hapana mtumishi.Hukumsikia Mungu vizuri.Ipm umeelezea sawa,ila Gwajima no my friend!turudi tena barazani kwa Bwana.Tu download kwa upya.
@EmmanuelKunzugala
Ай бұрын
YUSU MWENYEWE ALIKUA WAZIRI MKUU BAADA YA KUTOKA UTUMWANI
@fernandocharles-jg8ot
Ай бұрын
Mchungaji mungu akulinde sana
@RahelSololo
Ай бұрын
Tunaomba vifungu vya maandiko yanayo sema siasa Ni dhambi
@MakaliusNgua-y9g
Ай бұрын
Kemea mtumishi wacha waseme kwamba unaongelea watu maana awajuwi Kama watu tunaokolewa kupitia wewe MUNGU akubaliki sana na akulinde ili tujuwe wepi wanatuongepea kanisani zaidi wanaangalia sadaka tu? Sio roho zetu
@user-qn8ig9ey6b
Ай бұрын
Wewe hujuikitu yani hujui maana ya uchungaji unajiita mchungaji kwa kua unaongoza watu na kiongozi nae nimchungaji maana nae anaongoza watu
@JuliusMatiku-ux4ch
Ай бұрын
Shangaa na ww, maana mi najua imeandikwa hata boc wako ni mtumishi wa mungu kwaajiri yako.
Mwenye masikio asikie na mwenye macho aone na kutambua nyakati na majira,ninakubali kati ya watumishi wote wapo walioitwa na niwatunishi wa Mungu aliye hai na wengine wamejiingiza niwatumishi wa tumbo nao hao hupenda sifa na kuonyesha uwezo wao wakipato na wengine makufulu kinywani mwao na udanyanyifu.
@KokoloLambinguni
Ай бұрын
Mbona kwenye corona amkuonekana kumpinga Gwajima alifungaga atoki madhabauni mbona amkujitokeza jamani nyie wana wa MUNGU
@alexkakwaya4383
Ай бұрын
Jinsi ya kutambua km mtu ni mtu wa Mungu au la ni kuwepo tunda LA Roho. Paschal hana tunda LA Roho. Pili anafarakanisha kanisa. Yesu hawezi kumtuma huyu. Huyu ametumwa na Freemason aje km malaika wa nuru. Mark my words, time will tell.
@asumptaraphael9741
Ай бұрын
Huyu ipm inawezekana neno bado halijui vizuri,na paschal cassian yupo vizuri na Mungu anamtumia ili kulisaidia kanisa ,Bwana Yesu aliposema yaacheni magugu yakue pamoja na ngano hakuwa na maana hiyo wewe alesx kakwaya, unajua mtumishi wa Mungu akipotea na kondoo wote watatumbukia shimoni
Pascall Mutumishi waMungu aliye hai iko sahihi anajiripuwa haogopi bMbwamwitu wana wa ufalmetu njo watamuelewa
@AberhartNdauka-nu3do
Ай бұрын
Umelogwaaa
@fredricksikukuu2743
Ай бұрын
Amen 🙏🙏
@user-yk3yr2yt6o
Ай бұрын
Ukiwa rohoni utagudua anaonya akiwa rohoni au ni kisasi ,
@mariachuhila9518
Ай бұрын
Mpaka nimetetemeka mtumishi anatukana MUNGU atusaidie
@EmanuelBlassy-uz4gm
Ай бұрын
Amina
@LameckLameckmjwanga-yc6yv
Ай бұрын
Ameni baba❤❤
@g-makangarealitymbunge9290
Ай бұрын
Wewe acha kupotosha jamii muda mwingine ujue kwamba imeandikwa asiefanya kazi asile
@Rashid-vm1fk
Ай бұрын
UKWELI UNAPINGWA ILA UONGO UNAKUBARIKA MIMI NAMWAMINI NABII MOJA TU KWA SASA AMBAYE NI ASTON ADAMU MBAYA, WENGINE BADOOO SANAA.
@mwanjammassa8563
Ай бұрын
Sasa mtumishi wa Mungu kutumikia nchi yake kwa njia ya siasa kuna tatizo gani? Mbona yusufu alikuwa mpendwa (mtumishi) wa Mungu lakini alikuwa waziri mkuu kwa farao. Nawengine wengi. au ukristo wa siku hizi ndo unasema mkristo hawezi kuwa mfanya sihasa? Si kila lililosemwa,lilihandikwa ndani ya Biblia.
@JosefuSwai
Ай бұрын
Siasa michezo mchafu sanasana haifai mchungaji kuwamo ila kushauri akiwa nnje
@JoaquimdriveMicher
Ай бұрын
Paschal naombo namba yako . mimi napende sana maneno yako
@valenakomba9218
Ай бұрын
Tena
@ev.elishaadamson9531
Ай бұрын
Naomba tuwaache walioitwa kuingia kwenye siasa waingie hata kama wanahuduma maana hata Daniel alikuwa kwenye siasa, lakini kikubwa Mungu huzungumza na mtu wala si watu
@jonasdaniel1025
Ай бұрын
Daniel alipigiwa kura na Nani? Na jee! Alikuwa chama Gani Cha siasa? Hao maaskofu wenu na wachungaji wenu wabunge wanaya pindua maandiko na kuwalisheni matango poli Kwa masilahi yao na matumbo yao tu,, amka weweee!
@ev.elishaadamson9531
Ай бұрын
@@jonasdaniel1025 nashukuru ndugu kwa ujumbe wako, lakini usilaumu usilolijua Wala usinyoshee kidole usichokielewa, maana kila Neno la kinywa chako utatolea hesabu, acha tusubiri hukumu ya mwisho ya Mungu.
@Rashid-vm1fk
Ай бұрын
CASSIAN MANABII WAPO ILA SEMA TU HAWAFANYI UPOTOSHAJI KAMA HAO WA KITAPELI JUA PALIPOA NA FEKI UJUE ORIGINAL IPO.
@HarunaNicholaus-ed3mq
Ай бұрын
Hii ndo injili ya kweli yesu aliacha duniani chapa kazi nipo pamoja na wewe
@EdsonGoziberth
Ай бұрын
Huyu ana pepo mchafu
@MANGOSONGO
Ай бұрын
Mbona ayubu alikuwa mfarme
@charlesnyanhanga4382
Ай бұрын
Kwani hajataki kubadilika maana hata mbarikiwa alimushauli asipotoshe watu
@festinamwakipale3919
Ай бұрын
Ila kinachosumbua ni kwamba hatusomi biblia serikali imewekwa na Mungu wanasiasa wasiomweshimu Mungu sijui wanatoka wapi unajua watu hawasomi.guraan na biblia japo wanaapa wasiomcha Mungu ilitakiwa.bungen wasiwemo inaniuma sana.wanachanganya ukuu wa giza na ukuu wa nchi.jamani mnaoingia na upagani bungeni chondechonde si mahali pake
@laurentbulabo5002
Ай бұрын
Huyu ni nimtumishi wa bwana wetu aliye juu, mwaminini enyi kizazi cha miujiza na ishara.
@renatus5687
Ай бұрын
Mtoa hukumu wa duniani
@KokoloLambinguni
Ай бұрын
Biblia inaongozwa na Ufunuo sasa tatizo ni kutofautiana kwa Ufunuo na mapokeo
@user-pi9fv2rr4d
Ай бұрын
Ufalme wa mbunguni haupingani ila watumishi
@albertinamichael6123
Ай бұрын
Mnatafuta ufalme wa hapa duniani?????
@consesaprosper
Ай бұрын
Wengine wanawaibia waaumini je? Wewe ningefurahi kama ungesema hela ya ujenzi na yavyombo imetoka juu sio kwawaumini. Hacha wivu nawewe niwale manabii wauongo tena saaaana
@mwanjammassa8563
Ай бұрын
Sasa kama Biblia haijasema siasa ni dhambi, kwanini wewe uone mtumishi hawezi kuwa mwana siasa ???? Kuna mambo unaongea vizuri lakini hapo, umepitiliza
Пікірлер: 92