Asante sana doctor sule walahi kunavitu munavikumbusha mpaka tunaona ilitoka wapi bible story tamu nacungu anajifanya nabi kumbe muzinifu muku uyo paulo
@yaceenmohamed858
3 жыл бұрын
We ni bingwa wa historia sulle bigup
@abdulkarimmarzuk3748
3 жыл бұрын
Dk sule allah akupe afya njema na mafanikio katika kuieneza dini ya haki!!!
@faisalashraf8031
3 жыл бұрын
Mashaalah dokta sule Allah akulipe
@shafiihamad7182
Жыл бұрын
Allah 🙏 amjalie Dr sule
@jumahamisijumahamisi9295
Жыл бұрын
Mungu akujalie kher
@omanbarka2053
3 жыл бұрын
Shukrani jazzaqallah kheir
@husseinibrahim5438
3 жыл бұрын
MA SHA ALLAH TABARKALLAH .
@ubaxali8423
3 жыл бұрын
Ma sha Allah
@fadhirsaid1987
3 жыл бұрын
Allah akubaliki sana.
@abasilomba3528
3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu ktk daawa
@malikikalole7697
3 жыл бұрын
Shukran
@jumasalum2677
3 жыл бұрын
Masha Allah Nimesia mmoja anaitwa juma Salum wajina wangu
@mbenamdudu7856
2 жыл бұрын
Mashaa allah kheri nyingi
@yusirhamdan1483
3 жыл бұрын
Kher Iwe nawe ustadh
@aliabdi5363
3 жыл бұрын
Laana Ya Mola Iwe juu yao Mayahudi
@عايشهعايشة-ر1ب
10 ай бұрын
Amiin
@yusirhamdan1483
3 жыл бұрын
Mung akulipe kher Ustadh na Akulipe ktk yalio mema
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Allah akibar izo njo story afu wanakuja danganya watu eti wako na njia wameuwa manabi wanadini gani awo makafiri wakujiita wakristo ivi nyoka ikule afu ukupe pepo abadan wanauwa watuwa Waongofu tena ndugu nawanafunzi wayesu afu wanapindukiya kusema iyi ni dini ya Mungu iki nikitabo ca Mungu subhanalah wacristo tuko katika storia tafuteni kweli ukweli ushafika ata bible inasema yesu ni muisilam atakujawakana kimasomaso mapadri wamewauza
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa duniani kadanganya yesu kasulubiwa paulo kumbe yeye njo yuko njiyani Allah anatisha tujaribu kumuomba musamaha wazhati atatusamehe inshaallah
@moussadinanga6022
3 жыл бұрын
Kweli Allah ananipa jijini ya hagi inshaallah
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Docter sule nandugu zake mawaziri sinabudi kuwambiya nyinyi mmesoma wacane huyu ndiyo Muda cana ukweli
@georgekaguru3126
2 жыл бұрын
Enda kandanganye waislamu wenzako na wachenzi wenzako
@abasilomba3528
3 жыл бұрын
Doctors nakuaminia
@francisjoseph1074
2 жыл бұрын
Uongo wa huyu jamaa ni zaidi ya uongo wa Muhammad
@mohammedndune6495
2 ай бұрын
Acha kumtusi mtume wa mwenyezi mungu fanya adabu kijana
@denismugisha2
3 жыл бұрын
Swali ni je Huyo nabbing zekaria pamoja nabii yahya hawakuwa mayaudi?
@zuberimohamedi255
3 жыл бұрын
Neno sala linaniuma sana,sisi waislam neno letu ni SWALA si Sala ndugu zangu
@maryamshuraim4163
3 жыл бұрын
watu wachache kijijini
@yasiniselemani2412
3 жыл бұрын
Wakola waitu
@Footballer-1992
3 жыл бұрын
Hahaha 🤣 kumbe uisilamu umekuja ili kushinda madini singine hiyo geni kweli. Kumbe
@sawdaasawdaa7903
3 жыл бұрын
Yes uisilam unazungumuza aliyo ya amurisha mwenyezimungu apana wanayoyafundisha watu wenye kutaka kulifuta nuru ya Mungu na ukweli wametiya uongo ili watu wakwende nao motoni nikumupinga Mungu lazima ufate yaliyo ya Mungu na sio yabinadam baada ya kifo kuna maisha yanaendeleya njomana twafata ukuli bibilia twaijua waisilam jatika bibilia baazi ya nusu wameaca kweli wa Maneno ya mungu waloyapokey Manabi na baazi yanusu nyingine wameweka uongo ili watu wawacanganye akili mukose kweli mwende motoni
@jumanzige9644
3 жыл бұрын
Huwezi kuelewa, paulo unamuelewa zaid kuliko hata yesu mwenyewe
@seiflugendo5043
2 жыл бұрын
Jifunze kwanza kuandika we bilashaka utakua ni mmasai maana kuongea hujui hata kuandikapia.
@mossesjovenari9457
3 жыл бұрын
SULE unaposema YOHANE MBATIZAJI na ZAKARIA ni waislam nitakushangaa maana huyo YOHANE MBATIZAJI Aliletwa na MUNGU Kwa hajili ya kusadikisha NENO Ambalo ni YESU Pamoja na kutuleyea UBATIZO Ambao ni ondoleo la DHAMBI je kama unamfuata ZAKARIA na YOHANE MBATIZAJI Wewe umebatizwa ?? Soma yohane 1:32
Uyo yohana unayomutumiya kwakutuonesha maandiko zawanafiki soma vizuri we hujuwi betrehem panesali waisilamu ata yesu muisilam pia sasa wewe ukibatizwa zambi zinaisha hutofanya zambi tena ao? Nyinyi hakili zakuwaelewa manabi hamuna ivi ukisema kubatizwa ni ondoleo la zambi na yohana ndio kapewa unakuja sema tena vip yesu ni kakukufia musalabani nyinyi wacristo akili hamuna mambo ya yohana yameisha pakaja mapia wewe ungali unabatuzwa wangine wamesikia neno la yesu wakamuamini Mungu we waikalia maandiko ya ki papa eti kubarizwa na kwatarifa yako pametoka musa pakafata yesu pakamalizuta Nabi humi wamwisho anaitwa MUHAMMAD s.a.w mukweli muaminif mutume wa yesu huyo na dunia nzima watuwakisamba vituvyakweli vyote nivya wa islam na vyauongo vyote ni upande wa sheitani ambao ni awo walowaletea ukristo na ukifatamuongo ni hasara tiya mukicwe hasara kubarizwa iliwayikuwa kwa yohana kuungama zambi sio ondoleo la zambi
@jumanzige9644
3 жыл бұрын
soma na uielewe biblia ndugu, unadhani yesu na yohane nani alitangulia? na je unadhani mfumo wa ibada wa Musa ni sawa na wa hyesu? je humuamin musa kwa kuwa alisali kama muislamu kwa kusujudu? na je yesu aliabudu km Yohane au alipokuja alibadili mfumo wa ibada ikiwemo aina ya ubatizo? yesu aliacha mafundisho ya uislam ikiwemo kutawadha ambako wewe tangu uzaliwe hujawahi kutawadha kbs, je unafata fundisho hilo? lakini pia hujui ni yepi maneno ya YESU na yepi ni maneno ya Paulo. Fatilia vizuri paulo ndio mwandishi wa barua nyingi ambazo nyie wakristo ndio mnaamini kua ni maneno ya YESU
@seiflugendo5043
2 жыл бұрын
Quran inamzungumzia Yohana vizuri kuanzia mababu zake mpaka babaake sasa biblia inamjuaje Yohana Bible inarukaruka2
@francisjoseph1074
2 жыл бұрын
@@sawdaasawdaa7903 kama yesu ni muislam lini kashahadia
Пікірлер: 64