Mdogowangu kasian,Mungu akubariki sana. Endelea kufundisha. Huyo ni mwongo mlubwa. Damu ya Yesu ilitosha kabisa.
@benignajosephwatendewao2065
2 ай бұрын
Jamani huyu bado Mchanga kiroho Haswa kwenye UKRISTO HUKU.Bwana yesu aliyemuita kufanya kazi yake Amfunulie.
@AgnesKalinga-if3uf
3 ай бұрын
Yaani Mungu ametaka tuone kwa macho na tusikie kwa masikio yetu yote yanayotendeka katika Dunia hii
@PROPHETEMETHODEMANEKAYEMBE
Ай бұрын
Amen amen ❤nakupenda ndugu yangu watu tunapotosha watu wa mungu mungu atusamehe
@KelenJosias
2 ай бұрын
Mungu aendelee kukutunza mtumish wa Bwana paschal kasian usichoke kuendelea kusema kweliiii ya neno la Mungu 🙏🙏🙏
@JamesOscar-k6p
Ай бұрын
Asante sana kaka nakuelewa sana mungu akulinde bro
@TatuYufuramadhan-zw2ln
3 ай бұрын
Mtumishi mungu akulinde sana man vita ya kiroho nikubwa na ngum kulik ya kimwili mungu akusaidie usije wakakuangamiz wapendwa tuungane kwenye maombi tumuombee paster class mungu ampe ulizi na adhidi kuwafungua watu kutok kwenye vifungo
@sarahmwasyoge1830
3 ай бұрын
Kwa kweli
@geitandelwa299
3 ай бұрын
Ni kweli waongo ninwengi mno
@zachariamwanga
2 ай бұрын
Amina Mpendwa
@OmAn-jw4jt
3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa kazi kubwa huyu lpm ni shetani mzima katoka kwenye uislamu kaja na njaa zake kujifanya katokewa na Yesu maana wakristo wengi wakisikia tu nimetokewa na Yesu wanamwamin Yesu alituonya tuwe makini na watu kama kina lpm na wengine wanaotumia Jina la Yesu kwa ajili yao binafsi
@MaryMichaelMaryMichael-i7o
3 ай бұрын
Shida cyo kutokewa shida after kutokewa je?unayaish maisha Matakatifu??😢unayafanya yale YESU KRISTO amekuagizaa?....anawatokea at wachaw mashehe
@SteveIlunga-qx8wi
3 ай бұрын
Asante mtumishi wa bwana mungu mkuu, ubarikiwe saana mtumishi.
@edwinezawadi2736
2 ай бұрын
Mungu akubariki saana fundisha ukweli wa Mungu uache hao wapotoshaji kwaajili ya tamaa zao
@Petitejollie
3 ай бұрын
Mtawatambua kwa matendo yao🙌🏼
@PaulDeus-jh7jn
3 ай бұрын
Nyakati za mwisho neno lasema yatakuja mafundisho ya kishetani .Watu bila kusoma neno watadanganywa na kupotezwa neno ndiyo taa .Barikiwa sana mtumishi.
@mercymamuya7844
3 ай бұрын
Asante sana sauti iliyao nyikani sema watu wa Mungu tupone. Haleluyah
@elizaedward1851
3 ай бұрын
Amen Yesu Alishamaliza pale Msalabani, Kwakupigwa kwake tumepona
@eliasmyamba4767
2 ай бұрын
Mungu akusimamie mtumishi pascal 🙏
@annehaysanday9214
3 ай бұрын
Mungu wangu! Tukimbilie wapi??? Yesu yeye alishafanyika kafara yetu
@DuniaBilaka-kt3jq
2 ай бұрын
Alifanyika kafara ya kiroho. Je kafara ya kimwili nayo nani alihifanya?
@Eunice254-o7x
3 ай бұрын
Poster cassian amenifungua macho sana kwasababu ata mm nilikuwa kwa uwo msafara wakuamini awa manabii wakishetan...lakini toka nisikize maubiri yake na awa wengine waongo hapo ndyo nilifunguka macho...natamani ata wewe mwingine bado macho yako yamefungwa mungu akufunguwe
@ElizabethMakwaia
3 ай бұрын
Barikiwa ndugu. 👍🙏
@ChanilaKitwima-zc6ko
3 ай бұрын
Ubarikiwe sanaa Mtu wa Mungu
@KenedyOuma-tn2vu
3 ай бұрын
Ww stopped ✋️, akuna damu kushinda ya Yesu Kristo, wachana na agano zakale kuusu kuchinja, sikuizi hatuchinjii
@habarinjematv1355
3 ай бұрын
Kwani agano la kale hua kanisanikwenu hamlisomi?
@FridayMwassa
2 ай бұрын
@@habarinjematv1355Agano la kale ni kivuli cha agano jipya, ndiyo maana hakuna andiko kwenye agano jipya panapoonyesha mitume walitoa kafara acheni kupotosha maandiko Yesu ndiyo kafara yetu.Hakuna atakayekuja kutangua maneno ya Yesu maana yeye ni wa mwisho
@dainesmsagala8588
3 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Bwana akubariki sana, uendelee kuisema kweli
@apostlemussaonlinetv
3 ай бұрын
😂
@ashamdemeka
2 ай бұрын
Hata mimi nisie kua mchungaji muumini wa kawaida najua habari za kuchinja alimaliza Yesu msalabani alimaliza alimwaga damu yake kwa ulimwengu mzma kwa hiyo siku izi hatuna habari za kunchinja ni waislamu tu ambao hawana kristo❤
@mwinjiristijacksontv
3 ай бұрын
MUNGU akubariki sana sana mtumishi muonye na masanja maana anaambatana sana na awa manabii wakipepo awa adi wanamchangia sadaka
@Epifania-b3u
3 ай бұрын
Ahsante mtu wa Mungu naomba niongezee Roho mtakatifu ndiye anaye tuwezesha kuielewa biblia. Ahsante
@essaumedson5664
3 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtu wa mbinguni
@williammathenge2245
Ай бұрын
Ubarikiwe
@jesusfirstchurch4162
3 ай бұрын
Mambo ya kuchinja wanyama ni agano la kale la gizani..Nuru imekuja na Damu ya mwana pekee wa Mungu iko juu ya kafara zote..usiturudishe Misri .. Yesu akasema pale msalabani imekwisha.
@WitnessHassan-gy3rz
2 ай бұрын
Jamani jamani mpaka naogopa sikuizi wamekuwaje hawa watumishi mbona wanavurunda Mungu amrehemu uyu mtumishi sitaki hata kumjua
@FridayMwassa
2 ай бұрын
Hizi ni nyakati za mwisho chukua tahadhali@@WitnessHassan-gy3rz
@UswegeMwakabenule
2 ай бұрын
Amen
@WiliamVicenteWiliam-q2y
3 ай бұрын
❤ paschal wewe pr Antonio junior nyinyi ni waukweli Tanzania Vs Brazil
😭😭😭🙌 Yesu tusaidie Dunia inawayawaya 😭😭😭🙌🙏 na huyu jamaa anapotosha sana ndoa za watu hata huku watu wanamuamini sana😭😭😭😭🙌 Yesu tusaidie 😭😭😭
@ziadasadiki8196
3 ай бұрын
Kwani Ng'ombe, Mbuzi nk. Hawachinjwi??😂😂😂😅 Kwani ukiwapa nyama masikini na mchele ni dhambi??😂😂😅 ??
@FridayMwassa
2 ай бұрын
@@ziadasadiki8196Hujui kinachoongelewa hapa, kutoa mbuzi kwa watu havina uhusiano na kutoa dhabihu kwa Mungu
@deborakamsi
3 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@ingianaelidickson3038
3 ай бұрын
Upotoshaji wa Hali ya juu kabisa. Tumekombolewa Kwa damu ya thaman na Damu ya Yesu inalipa Damu zote.
@OfariMahenge
2 ай бұрын
Kaka pamoja, ebu toa neno maana tutofautishe msimu wa myahudi au Sheria na msimu wa neema
@JustineEbinda
3 ай бұрын
Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu nimepata kitu,aliye na sikio na asikie
@lydiabenjaminmgalula6189
2 ай бұрын
Mungu atuhurumie sana 😔
@EdithaNovarth
3 ай бұрын
asante baba kwakunifundisha na kuwaumbua manabii wa uwongo
@apostlemussaonlinetv
3 ай бұрын
😂
@ManasejacksonPaulo-bs6qb
2 ай бұрын
Mtumishi upo sahihi Yesu akutetee na kukulinda
@PavlovBestfriend-fb3kh
3 ай бұрын
God bless you 🙌🙌🇨🇩
@dicksonmangah1648
3 ай бұрын
Amen mtumishi paschal,endelea kuwakemea manabii wa uongo.
@MadollartzMadollar
3 ай бұрын
Ubalikiwe sana mtumishi
@JustinKiwovele
3 ай бұрын
Yesu Ni toleo moja tu mile, hakuna dhabihu nyingine Hizo dhabihu nyingine za kichinja hazina uwezo wa ondoleo la dhambi.
@JustinKiwovele
3 ай бұрын
Soma Waebrania sura ya 9
@JustinKiwovele
3 ай бұрын
Ni vema watumishi tufanye maandalizi ya uelewa wa neno vema kabla ya kukimbilia huduma Tutadanganya Sana watu
@HinohiatHidoCo
3 ай бұрын
Paschal mtumishi wa Mungu, usichoke kueleza Ukweli. Watu wa Mungu waweze kujitambua na kujilinda nafsi zao. Yesu Kristo atakaporudi kuja kuchukua Kanisa lake.
@kashindimwaliasha4762
3 ай бұрын
Damu ya Yesu inatosha
@WiliamVicenteWiliam-q2y
3 ай бұрын
Paschal uko kwetu Mozambique tunae ivyo ivyo Onório cutane na wenginavyo
@salima2658
3 ай бұрын
Ni kweli kabisa ipm sio mtumish wa mungunalie hai anapotosha iman
@mwassajoseph8675
Ай бұрын
Hii vita uliyoianzisha ni kubwa Sana unahitaji umshirikishe Sana mungu!! Najua wataunganisha nguvu kukuadhibu lkn nikutie tu moyo kuwa unachokifanya ndio maandiko yanavyotaka na mungu atasismama upande wako
@josykogei7647
3 ай бұрын
Amen amen and amen
@wendynkya1309
3 ай бұрын
Yesu alishajitoa uhai wake kuwa kafara yetu na hakuna kafara nyingine yoyote duniani inayotolewa kwa Mungu acha kupotosha umma ndg😊
@martinahlighare6495
3 ай бұрын
Full stop, Jesus was last sacrifice , no any other than Him. Amen.
@ApolloniaMwinula
3 ай бұрын
Exactly! Yesu alimaliza kafara,siku za mwisho
@RogerLwamatwi-m5p
3 ай бұрын
Kweli kabisa Kaka yangu
@K-go1qj
2 ай бұрын
Pana vibaka wa injili pana wajasiliadini pana motivation speakers kama kina tonny
@ApolloniaMwinula
3 ай бұрын
Ni nabii wa uongo kweli huyooooo! Mm hata simpendi,mungu anisamehe tu! Huyo ipm anapenda kusema wenzake,Kwa nn hakubaki kwenye uislamu?
@Esthermordecai
2 ай бұрын
Iyo ni uchawi, Yesu Kristo alikwisha mwaga damu yake pale msalabani na akasema imekwisha.😢niliomsokia akitetea mavasi ya suruali ndefu kwa wanawake kanisani nikajua uyu anahitaji aombe kabisa.
@GustaveAbedi-td9yv
3 ай бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi
@jesusfirstchurch4162
3 ай бұрын
Makubwaa ..wametengeneza mpaka pa kuchinjia😅😅hiyo Imani ya kuchinja ni ya imani yake ya kiislamu.
@mr.yahzadochuno7914
2 ай бұрын
Jesus mambo ni mengi muda c mchache
@hovongajilo1236
3 ай бұрын
Barikiwa Cassian
@CadiaOnesmo
3 ай бұрын
Mungu naomba utusaidie katika Nchi yetu ya Tanzania tupate chombo kitakachoweza kusimama kikiwa kama Musemaji mkuu wa imani ya kikristo ili kuondooa haya kila kukisha wanaibuka watu kudhihaki ukristo na hayupo anayeweza kuzuia haya Mungu tusaidie maana hata hawa wanaosema hawana uwezo wa kuwazuia tupe chombo kilicho na sauti ya mwisho kinachoweza kuzuia hayo Bwana
@nonveroniquejohn
3 ай бұрын
Ufunuo wa yohana una sema tuta mshinda kwa damu ya yesu walichinja mignama kabla ya yesu alipo kuja yesu kafara za gnama hazikuwa na nguvu tena
@KaviraMulumbi
3 ай бұрын
Amen amen❤❤
@lindakapongo8421
2 ай бұрын
ni kweli kabisa usikate tamaa kumtetea yesu damu ya yesu tu inatosha kafara tosha hakuna kafara zaidi ya yesu pazia la ekalu lilipasuka kwa kwa hiyo imekwisha ni yesu tu damu ya yesu tu
@NiyimbabaziRose
3 ай бұрын
Nakubar pastor cassien
@janejoseph4175
3 ай бұрын
Hiyo ilikuwa zamani kabla Yesu hajasulibiwa. DAMU YA YESU NDIO KAFARA PEKEE INAYOPENDEZWA NA MUNGU BABA. KALVARY INATOSHA JAMANI MSIPOTOSHWE.
@agnesmbula5261
3 ай бұрын
That's old testament...Jesus is the sacrifice
@Mosesmwaibabile-fc4cp
3 ай бұрын
Mnqtumiia mda mwingi sana kushambuliana kuliko kuhubiri injili
@Ursain.IKE.jesuis9365
3 ай бұрын
Kweli kweli Baba 👏👏👏
@Janeth-r1c
3 ай бұрын
Dini ya kweli anayo mungu tuache hata wewe ndo walewale,!!!
@prochesernest5439
3 ай бұрын
Mungu atatuonyesha manabii WA uongo awataweza kujizui wanasema tu mafundisho Yao wakristo tujitaidi kusoma biblia hili kuwajua watumishi WA kweli na waongo
@mariambwilo2506
3 ай бұрын
Yesu alimaliz msalaban
@shadraachshadinho
2 ай бұрын
Unafeli sana japo unajifanya unaelewa
@wilsonkyaruzi4585
3 ай бұрын
Yesu alimaliza masuala ya kuchinja damu ya Yesu inatosha usipotoshe watu
@PaulDeus-jh7jn
3 ай бұрын
Tatizo lako hujasikiliza mpaka mwisho. Unaangalia tu harakaharaka mwanzoni unawahi na kuandika. Wewe umeona hapo anaunga mkono kwamba utoaji wa kafara za wanyama ndo zinatumika hata leo. Unaangalia kipande tu unakimbilia na kuandika.
@FridayMwassa
2 ай бұрын
@@PaulDeus-jh7jnUtoaji wa kafara kwa mkristo uliishia kwa wayahudi na baada ya kuja Yesu hatutoi kafara za wanyama tena yeye ndiyo kafara yetu
@PaulDeus-jh7jn
2 ай бұрын
Hata huyu mtumishi Pascal kasiani ndoo alikuwa anasema hivyo ,kwamba kafara za wanyama zilikoma baada ya kuja Yesu na ndivyo ilivyo kabisa. Sasa wewe unamwambia anafundisha watu kutoa kafara wakati hamna.
@UkweliTopic
3 ай бұрын
Kwanza Kasema uongo, Ayubu alikua natoa sadaka yakuombea watoto wake rehema kwa Mungu. Sio kwa ajili yamafanikio. Muwe makini sana wanadamu.
@sweeteaglepower4773
Ай бұрын
Imani yako ita kuponya mnatuchanganya uko mbinguni nendeni wenyewe
@FredKiluka
3 ай бұрын
Ni kweli kabisa Ev wamevaa ngozi ya kondoo ndani Yao ni mbwa mwitu wakali
@adenhyera4820
3 ай бұрын
Duuu
@misscesty5817
3 ай бұрын
Watu wamepotoka kwa mafundisho ya uongo ya kale imepita lakini neno la mungu litasimama milele,tutawaju kwa matendo yao
@SaumuMbegha
3 ай бұрын
Ee Mungu kweli nazishuhudia siku za mwisho live nipe mwisho mwema lakini hurumia Dunia mana Ina wayawaya Kwa haya yanayoendelea tupe hekima Kwa hawa manabii wa uongo
@wemapaschal2325
3 ай бұрын
Ukichinja kwa kafara unamkana Yesu mwana wa Mungu aliye hai na unamtangaza shetani uwe unajua au hujuhi Iko Ivo full stop
@personalitiesan9806
3 ай бұрын
Yan sijui niende kanisa gani yan nmechoka kabsaaa.....nahsi ntarudi Catholic nilpokuwa zamani😢😢😢
@GabrielMbotwa
2 ай бұрын
Yesu anakufunulia njia sahihi unataka urudi nyuma , achana na Roman, achana na mafuta ya upako na viambata vyote vya manabii wa uongo maana heri uingie mbingun ukiwa na chongo kuliko motoni umepona Kwa manabii fake
@RoseNdagala
2 ай бұрын
Yuko ndani ya kiwanda PERIOD
@tolatinofaustine
Ай бұрын
Si kweli hui ni ushrijrikina
@wiza2309
3 ай бұрын
Huyu hajui thaani ya Ukristo wetu. Yesu ndiyo Sadaka ya kuchinjwa. Damu ya Yesu tu ndiyo damu ya kuchinjwa
@Mahershalalhashbazi-kf6xi
3 ай бұрын
Kutoa kafara Agano jigya ni uchawi
@leonilamarandu6640
2 ай бұрын
Kuna faida gani kukosa uzima WA mile upate ya ulimwengu huu jamani turidhike na ambavyo Mungu ametupa tuzipimeni hizi roho
@JaneMashaka
3 ай бұрын
Mungu ashughulike na IPM abadilike au arudi alikotoka maana huko ndio kwenye makafara
@dullasultan5263
2 ай бұрын
Wenyewe kwa wenyewe😅 Kule kuna pete ya utajiri huku nako kuchinja😅 Sijui twende wapi
@WitnessHassan-gy3rz
2 ай бұрын
Kutoka 22:20 Mtu atakayemchinjia sadaka Mungu ye yote, isipo kuwa ni yeye BWANA peke yake, na angamizwe kabisa Damu ya Yesu ndio ilikuwa sadaka yetu katika ondoleo la dhambi Katika kila aaminie ata okolewa damu ya yesu ndio kila kitu Mungu kashasema waangamizwe!( wawekwe wazi)
@BerylSeer1
3 ай бұрын
Hatimaye umejibu sahihi CA ssian kuna damu ya Mwanakondoo. Hii ya kafara ya wanyama sio sahihi...... Atakuwa anamaanisha damu ya Yesu Kristo wa Nazareth Aliye Hai haina umuhimu kwake na kwa wafuasi wake.
@corrolesscps
3 ай бұрын
Heeee huyu tena ameibukia kutoka huko , anayaleta huku, Damu ya YESU KRISTO yatosha kutusafisha kazi zote za giza, looo, watu wasome Biblia
@josephlorri431
3 ай бұрын
Sisi ni wana wa Agano Jipya, Damu ya Yesu Kristo na kifo chake cja msalabami ni kafara tosha kwa ukombozi wetu. Hakuna damu ya mnyama yoyote itakayomwagwa... IPM ni mshirikina
@SmilingCityMap-xb9md
3 ай бұрын
Damu ya yesu ndio kafala pekee kwa kizazi chetu
@KaviraMulumbi
3 ай бұрын
Baba wetu wa mbinguni atusaidie kwa siku hizi za mwesho
@aryanamendes8700
3 ай бұрын
Uchawi upo
@K-go1qj
2 ай бұрын
Ipm anafundisha elimu ya kale ya wamisri yaani ukemitizimu umizimu kama afanyavyo chief good love sasa ukemitizimu sio Ukristo hakuna kuchinja kwenye Ukristo
@harryvice77
2 ай бұрын
Hakuna kuchinja yesu alishachinjwa kwajiliyetu
@jesusfirstchurch4162
3 ай бұрын
Hatuko kale tuko na agano jipya ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya. Makafara ya wanyama wapi na wapi Tena Karne hii?😢😢
@sergekibala8298
3 ай бұрын
Ni tapeli wa kiroho na wa kimwili. Mwizi kweli kweli.
@ErastoKibassa
3 ай бұрын
😂😂😂 sana Mwizi vibaya mno TUTAWANG'OA NA KUWAZIBUA VIBAYA MNO
@JudithPaulo-m3q
3 ай бұрын
Du kumbe kunawanao ishi bado agano lakale mungu atusaidie yesu amekuja kufanya nini sasa ajent wa kuzimu huyu kabisaaa
@FrancineRiziki-b2f
2 ай бұрын
Wewe unaepotosha watu na kafara zako apana kupinduwa neno la Mungu.
@besttrendingcovers1838
2 ай бұрын
ndo maana mim staki izo takataka zenu, fuatilien vizur Mungu yupo ndani yako ndo maan hata uyo yesu hakuponya mtu bila imani yako. so imani yako ndo dawa ya maisha yako na kujiamini kwako tu
@NiyimbabaziRose
3 ай бұрын
Wew ni free monson
@ConfusedChicken-ze9fz
3 ай бұрын
Huyu Ipm kama kweli ameamua kuwa mfuasi wa Bwana Yesu inabidi akae chini afundishwe misingi ya imani kwanza maana inaonyesha ajui chochote na hasa kuusu haya maagano mawili ambayo Mungu ameyafanya,daaa inasikitisha sana
@paschalcassianoriginal9411
3 ай бұрын
😂😂😂😂hakika umenena
@Eunice254-o7x
3 ай бұрын
Sahi usipo angalia vizuri unaeza jipata pabaya sana kwasababu awa manabii wakishetani wameinuka wengi..na awo ndyo wanafanya miujiza hili wa2 wa amini.......mm toka niaze kusikiza maubiri ya poster cassian alafu na awa wengine yako tofauti kabsa...
@zabibusaidi1404
2 ай бұрын
Ibada iko moyoni na maombi yako moyoni
@Blessedboi8019
3 ай бұрын
Huyu ni mganga Mambo Leo
@josykogei7647
3 ай бұрын
Kwanza maandiko Inatuambia tusichinje Wala kumwaga damu tutazidi kuzini na majini
@ErastoKibassa
3 ай бұрын
😂😂 itabidi upunguze kunyanduana asee
@jimmymwashambwa7364
3 ай бұрын
IPM wewe hudanganyi lakini unahitaji kujinfunza mambo mengine unatakiwa ukubali kujinfunza Yesu amekua mbali utakuwa vuzuri usikate tamaa lakini Hilo liache ombea TU kwa jina la Yesu utapata matokeo lakini usipo kubali masahihisho utakuwa umbwa mwitu nakutakia mema
Пікірлер: 296