Njia rahisi ya kubeba ujauzito ikiwa mwenza wako anaishi mbali na hamuwezi karibia Kila mwezi ni kuhakikisha
1: unakuja vizuri mzunguko wako wa hedhi ili kubaini siku ya hatari kwenye mzunguko wako
2: kufanya vipimo vya uzazi kwa Wote Wenza ili kuhakikisha hakuna kikwazo kinachoweza kuwa Kuwakwamisha kubeba ujauzito
3: Pangani kukutana Walau siku 4 kabla ya siku ya ovulation (siku ya upevushwaji)
4: kurudiarudia Mara nyingi na kutokukata TAMAA mapema kwani siyo kila mwanamke hubeba ujauzito mara ya kwanza wanapojaribu kutafuta ujauzito
Mawasiliano kwaajili ya matibabu ya uzazi na changamoto za ugumba wasiliana na Dr Ramo kawaida au WhatsApp +255 712 286 686
#fertility #uzazi #love #longdistancerelationship #womenempowerment
Негізгі бет NAMNA YA KUBEBA MIMBA NA MWENZA WAKO ANAISHI MBALI
Пікірлер: 30