JazakaAllahu kher doct Allah akuzidishie kwa kutupatia elimu inshaaAllah
@sarahmatama8422
Жыл бұрын
Uko vizuri Dr Ramo Mungu akutunze kwa ajili ya yetu ubarikiwe Sana wewe ni mwalimu .
@pendo8703
2 жыл бұрын
Mungu atusaidie tuwe na mizunguko inayoeleweka
@KudraKassu
25 күн бұрын
Asante sana docror milikuw sijui hata maana ya mzunguko wa hedhi god blessing you.❤
@LoyceMacDougall
5 ай бұрын
Unaelezea vizuri sana Doctor barikiwaaa
@EvaEzekiel-o7z
3 ай бұрын
Asante Kwa mafundisho yako
@JeanSenga-c7v
15 күн бұрын
Vizuri Sana kaka
@jovithaGosbert
11 ай бұрын
Asante sana Doctor nimejifunza kitu hakika umenifungua sana naimani kila kitu kitakaa sawa 🙏🙏🙏
@GivenessAbas
7 ай бұрын
Nashukuru sana Dr nimeelewa kichwa ilikuwa ngumu kuelewa ila leo nimeelewa
@ZaiShaban-x4e
7 ай бұрын
Kaka kazi nzuri nimeona mimi naanza kupata siku za hedhi tarehe kumi na tatu sisaidie kujua siku za hatari nisipate mimba
@NawajeAli-fn1op
4 ай бұрын
Asante dokta darasa zako ni nzuri leo nimefaham namna ya kuangalia cku zangu za hatari
@zabibukopakopa336
Жыл бұрын
Doctor samahn kwanini tunatumia mzunguk mfupi kijuwa siku zetu za hatari na tusitumie mzunguk mrefu kujuwa sik zet za hatari? Plz naomba nisaidie jibu
@VAILETHCOSMAS-mv1kc
9 ай бұрын
Thanks for ur lesson Dr ramo
@mwajumajackson-sh1lv
9 ай бұрын
Nimeelewa,,. Be blessed 🙏🙏
@neemampanga5094
2 ай бұрын
Asante sana dr umenielezea vizuri sana hadi nimeelewa barikiwa Mungu akupe maisha marefu🙏🙏
@EsterAmos-b9i
8 ай бұрын
Asantee sana broo🍉🙏🙏nimepata kitu
@RosemaryWangabo
2 ай бұрын
Asante sana doctor nimeelewa vizuri sana
@abdalabucco9152
7 ай бұрын
Broo uko pouwa sana Mungu akupe Afya njema uzidi kutuelimisha zaid
@ZeituniSanga-j1s
Жыл бұрын
Asante kwa kutufundisha nimekuelewa sn kaka
@frankhumphrey8376
Ай бұрын
Mungu akubalik kaka umeelezea ukwer mtupu
@pendombowe5878
Жыл бұрын
Asanteee doct me nilikuwaa sielewiii kabisaaa ilaa Leo Somo lako limenifundish Mungu azidii kukupaa ufunuooo zaid na zaidiii🙏
@glorymoyyo3654
10 ай бұрын
Nashukuru kwa elimu dr ramo
@مهندأمبوسعيدي-ر3ي
2 жыл бұрын
Shukran kwa darsa
@beckhammzawa5862
6 ай бұрын
Shukran dr🙏🙏
@detadenis2880
Жыл бұрын
Nimekuelewa Kaka ngoja niifanyie kazi ahsante kwa kutuelimisha
@NeemaMwakalambo
7 ай бұрын
Ubarikiwe saaana dr
@MatildaFrank-bp5oq
7 ай бұрын
Upo vzuri saana doctor.
@NoelaAbudul
6 ай бұрын
Wow asant sna make wengin tulikuwa hatuelew kabis
@vestinaeliaselias
Жыл бұрын
Mungu akujaarie kila jambo ubarikiwe xan n umekua mwalim mzur xn yaan
@FranciscaMosses
6 ай бұрын
Hongera sana kaka nimekuelewa
@oscarvipi5603
9 ай бұрын
Asante mkuu hili somo nitalirudia rudia
@blessiramukandala9836
2 жыл бұрын
Mungu akulinde.. I like your services through teaching us on our healthy issues
@ramonawatoto
Жыл бұрын
Thanks for your appreciation
@nusrasaid5760
Жыл бұрын
asante doctor nilikua sielew kabsa nashkuru
@adelalaswaiadelalaswai262
2 жыл бұрын
Be blessed doctor shukrani 🙏
@ramonawatoto
Жыл бұрын
Karibu sana
@gaudiosamweha1792
4 ай бұрын
Mungu akubariki sana .somo adimu.wewe umejua kufata Kona matatizo ya wengi yalipo.Barikiwa sana.
@JescaJulius-m5z
2 ай бұрын
Asante doctor
@NuruMbunda
3 ай бұрын
Asante dokta umeeleweka sanaaa
@rogathemlay5842
7 ай бұрын
Asante san doctor
@zawadimalyagili5833
7 ай бұрын
Ubarikiwe sasa nimeelewa
@MikaKav
11 күн бұрын
Asante dkt
@HALIMAABDALLA-nj9pw
5 ай бұрын
Shukran daktari nimekueĺewa vzr
@desciplemercygk9833
7 ай бұрын
Thanks Dr. Naomba fafanua 18,5,na 4 zinasimamia nn au why them??
@MwajumaJolie
10 ай бұрын
Asante nataka ni isabiye
@EdwardMbwilo
4 ай бұрын
Asante nimeelewa vzr
@LovenesKagoroba-pf5sw
7 ай бұрын
Leo umenipa tumaini jipya Asanteee
@HudhaimaSalum
5 ай бұрын
Yani wew doctor unajuwa mungu akuweke unajuwa mpk unajuwa tena ❤❤❤❤❤❤
@vailetmwampamba2341
8 ай бұрын
Mungu akutunze kaka,sikujua jamani oooh!!
@ScholaMuli
Ай бұрын
Samahani na vizuri kukaa miezi zaidi ya tano bila kuona siku zako
@AgnesChalamila-z5d
Ай бұрын
Tunashukur kwa darasa zur nimeelewa .
@MwanaishaYahaya
5 ай бұрын
Thanks nimeelewa ss
@zarinadaud3261
2 жыл бұрын
Dah nyie huyu kaka mungu ampe umri mrefu kwajili yawote tunaomhitaji 🙏🙏🙏
@ramonawatoto
Жыл бұрын
Allahumma Amiin 🙏
@GloriaStefan-dw8ev
3 ай бұрын
Samahan naomb unielekeze juu y mzunguko Wang mwezio huu 10 uliopit 8 wantuma ten 3 je mzunguko Wang wa CK ngap maan n naenda 6 je CK Zang za htr n zip???@@ramonawatoto
@fetychina3969
Жыл бұрын
Hapa nimekuelewa vizuri sana kwa namimi ni muhanga wa jambo hili🙏
@PostelRastan
7 ай бұрын
god bless you
@EvaKayombo
2 ай бұрын
Mungu akubariki unatuponya wengi
@witneylosika
7 ай бұрын
Imenisaidia❤
@happynessjulius5470
28 күн бұрын
Unaelezea na kueleweka kwa urahisi 🎉
@LeylaKambi
19 сағат бұрын
Samahn dokt nimeshilk tndo la ndoa kish nkapt blid sik rano ila najiic kam mjamzit je inawezekan kuwa mimb kwer
@Beatricekombe-rb3ie
Жыл бұрын
Habar dokta
@NeemaMwakalambo
7 ай бұрын
Asante saaana
@rassoosidi7388
Жыл бұрын
Je naez pata ujauzito
@feliciafulgence1495
Жыл бұрын
Kwema kaka, samahani kwangu mimi uwaga narudi nyuma siku mbili mfano mwezi april nikiingia tar. 9 mwezi mei ninaingia tar. 7 nashindwa kujua nini mzunguko wa siku ngapi. Ahsante
@FaithHealingTv
2 ай бұрын
Ishu sio tar husika zimepishana, ila ishu ni kuangalia jumla ya siku za mzunguko ni ngapi kutokea siku ya kwanza ya hedhi, mpaka tarehe nyingine ya hedhi inayofuata, hapo utagundua mzunguko wako unasiku ngapi na ndipo utajua namna ya kupata ujauzito na namna ya kuuepuka huo ujauzito.....
@Rehema-t9i
Жыл бұрын
Shukurani doct
@EmanuelaMungi
Жыл бұрын
Asante sana
@nyangetamaijo3442
Ай бұрын
Kwa kweli mimi nakushukuru sana Dr nimeelewa vizuri mnoo...kumbe mimi nilikuwa naziacha siku za hatari natafuta mtoto katika siku salama. Umetusaidia mnoo na Mungu Akubariki.
@VailethMnyasa
5 ай бұрын
Ubarikiwe kwasomo Doct
@tausimasoudramadhani8425
6 күн бұрын
Dah mi mzunguko wangu siku 17,18,,aah nachoka
@raheelolne8625
2 ай бұрын
Asantee sana Dr. Ramo kwa elimu hii nzuri.... Hivi kwa wenye irregular cycle, akitaka kutumia hii njia kupata siku salama na hatari.. ni lazima azingatie miezi sita ili kupick mzunguko mfupi? Au hataikiwa chini ya miezi 6??
@BenedictoDamian
9 ай бұрын
Samahan Dr mim mzunguk Wang unanichangany nikiona ck zang mwez huu mwez unaofata naruka nitazion tena mwez ujao na tareh isiyojulikan naomb unisaidie kwa Hilo.
@JoseGodfrey-t4c
5 ай бұрын
nimefulahi sana na nimelewa vizuli doct asnte umenisadia kutokutumia kondom kwa make wangu
@habibahassan8596
5 ай бұрын
Shkrn daktr Kwa maelezo yko mazr ,sasa nmeweza kuelewa🙏
@SafinaIddi-z5c
25 күн бұрын
Nisaidie please
@LucyGongo-hh2ei
10 ай бұрын
Doctor samahan m nataman kupata mtoto lakn mzunguko wangu hauelewek huu mwez wa kumi na mbil nmeenda tarehe 1na tar 2 bac sas apo naomba unisaidie sku ambazo naweza pata mimba
@jozeeferuz
Ай бұрын
kaka umenisaidia sana nilikua sijui kitu kuhusu hedhi
@Joycemodestus
4 ай бұрын
Nakushukuru docter
@InnocentDachshund-hw5gv
5 ай бұрын
Asante sana dokta
@LizzyBuliba-qo9of
9 ай бұрын
Bro nakupateje
@NulinaDimile-lv9ng
Жыл бұрын
Barikiwa sana nimekuelewa
@JennyTairo
Ай бұрын
Kwahy me nitkuwa ntumia mzunguk wangu huo huo mfup ck zote au ht km huwa znbdlk?? Yaan nyngn n 26,27,28,34hp natumia mfupii ty ck zotee au?
@Laitonkasitu358
5 ай бұрын
Ahsante nmekuelewa broo
@rehemaalawi3485
2 ай бұрын
Kk angu habari doctal mm nimeingiya trehe 23 mwezi was Saba nanikimaliz treh 26 lkin treh 28 nikakutana nayee na treh 30 na 5 trehe 5 ssa apoo sjaelewa kwamb ndioo siku z hatlii nilizokutanananyee au nisiku z kawaida
@Queenrose-o3m
3 ай бұрын
Doctor sasa vp mim huwa na anza kuingia kwamfano labda mwez wa 6 naingia tar 30 had tar 3 au 4 mwez wa 7 , haf huo huo wa saba tena naingia tar 29 au 30 hio imekaaje???
@RukyaluqmanLuq
2 ай бұрын
Samahani doctor je na wale wanaingia mwezi 1 Mara 2 je inakuwaje kuwaje??
@winfridahenrybabalevouguap1143
Жыл бұрын
Ramoo ni mmoja tu Dunia nzima
@StellaLeon-n5m
5 ай бұрын
Jaman msaada dr ramo mzunguko wa sikuishirin nasita
@Nabwii
Жыл бұрын
بارك الله فيك
@ramonawatoto
Жыл бұрын
Wa anta Qadhalik Habibbyt 🤲🤲
@MusaOmari-w1t
2 ай бұрын
Jamani asante dkt
@MusaOmari-w1t
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@ruthkhaindi9399
8 ай бұрын
Sijaelewa
@PilijonhShimbi
3 ай бұрын
Jaman dct m mzunguko wang wa hedh n unarud nyuma2 kil mwez sik tano zinarudi mara najirudia mara mbili kwa mwez hapo unawez nielewesha tafadhar
@MwajumaJolie
10 ай бұрын
Nisaidiye kaka mungu atakulipa ni meadika ivi memesha isabiya ila nauliza kama ni taisabiya mwezi kwa uyu nimeoneya 17/12 2023
@MagdalenaIbrahimMalkiad
Жыл бұрын
Jmn ❤❤❤❤
@ClementinaMathias-wh8uj
7 ай бұрын
Kaka habar SoMo laki Zur sananimesikiliza je mm nisaidie nimeingia tar 21/2/2024 mwezi uliopita niliingia tar 23/1 je nifanyeje ili nijue siku ya hatari
@phillyjnl2205
2 ай бұрын
Doctor je kama hujaona ute wa uzazi yaan kwenye siku za hatari kunauwezekano wa kushika mimba
@SabitinaCute-ns8eu
4 ай бұрын
Dr.samahani nilikuwa nauliza kama mzunguko wa pld. Unabadilika hauko sawa umeingia pld. Talehe 1/3/ sasa hapo utajuaje siku zako za hatali ya kushika mimba na mwezi ukiwa bado ujaisha ili uweze kuesabu ili ujue siku ya kushika mimba mana hapo nilazima uwingie tena pld.ndo uwanze kuhesabu umeingia siku ngapi
@RICHARDSANYA-ob3me
3 ай бұрын
Thenks I'm the one
@erickputita
3 ай бұрын
hi dcta,unapatikana wpi?ama tunawezaje kuzungumza? ningepata nambari ya simu ningefurahi manake Nina mke ambayetumejaliwa mtoto mmoja ambaye ana miaka saba,atashikaje mimba ingne?
@adijammuya-ch8oq
Жыл бұрын
Mm ndo sielewi tu
@officialriclaud6752
2 жыл бұрын
Ramo ni mmoja tu😂🔐
@ramonawatoto
Жыл бұрын
Ni yeye
@ArgentinaChangala
9 ай бұрын
Mimi huwa siend kwa mtiririko samahn naomba unisaidie naendah sk San lakin ndan ya sk saba katikat sik mbl huwa zaluka mfan nikiaz ski ya kwanz mpak ya tat naend ya nne na tan siend naenda ya sit na Sab na siend kimtiririko
@ZamzamSalim-y2i
21 күн бұрын
Mambo naomba unisaidiee mm nimeshiriki kitendo cha ndoa baadae ya xku zangu za mwezi niko na Miata wa m mimba
@TifaLove-kk6hc
2 ай бұрын
Asante dokta ila bado kichwa yangu ni ngumu naomba kuhuliza kwa maesabu yangu ya myezi sita nimepata 27,27,27 nkapata tena 28 ,28, tena nikapata 27 hiyo myezi sita nikapiga hesabu kama ulivyo sema nikaichukua hiyo ndogo swali langu mwezi huu wanane nimeingia 8 talehe kumi na moja nikawa mkavu je siku ya hata ni hipi maana naomba mungu mwezi huu nipate mtoto
mimi nimeingia mwanzo wa mwezi yn trh 4 Je naweza kushika mimba tarh gan
@FaithHealingTv
2 ай бұрын
@@NancyDaniel-xc2orhua unachukua mzunguko wa siku ngapi? ukijua hilo basi ni rahisi kujua siku za hatar na siku za usalama..... Mfano kama unaenda siku 28, maana yake siku zako za hatari zinaanzia siku yab10 tangia siku ya kwanza ulipoingia hedhi, na siku ya 14 ni siku ya yai kutokea yani ovulation day, ambapo kuna uwezekano wa kupata ujauzito kabisa, na mwisho wa siku za hatari ni siku ya 19, na kuanzia siku ya 20 na kuendelea mpaka mwisho wa mzunguko zinakuwa siku za usalama..... Sasa mzunguko wako hua unachukua siku ngapi ili usaidiwe..... Karibu
@MwajeySawile
3 ай бұрын
samahan doct mzunguuko wangu ni siku 30 na hedh ya mwisho ni meingia taree14 mwezi wa sita imekata taree 18 naomb kujuw siku ya hatal ni zipi??
Пікірлер: 333